SHK OTHMAN MAALIM AFAFANUA KUHUSU SALAFI | KEJELI KWA WANACHUONI | MTU MPUUZI NDO ANASAUTI LEO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2024
  • #RiyadhTvZnz #Zanzibar #Salafiyyah

Komentáře • 278

  • @mwanakheri2880
    @mwanakheri2880 Před 2 lety +7

    Maa shaa allah Tabaarakallah Mngu akuhifadhi Ustaadh. Maelezo yakufahamika kabisa. Siku hizi kumekuwa na waalimu wengi. Wakisoma kidogo washakuwa maulamaa

  • @apangomombasa9230
    @apangomombasa9230 Před 2 lety +12

    Ma Sha Allah sheik Othman Maalim, Allah akulinde na Hasidi

  • @safiasaidi3280
    @safiasaidi3280 Před 2 lety +5

    Mashaallah Allah akulinde na Shari za masalafi wasiojielewa , endelea kutupa daawah tunakupenda sana

  • @jumamzee6999
    @jumamzee6999 Před 2 lety +12

    MashaAllah. Waambie ukweli hao wanaojifanya kusoma sasa hivi kuona wamesoma zaidi kuliko Mashekhe waliopita

    • @saidmwakulika9945
      @saidmwakulika9945 Před 2 lety +1

      Huu ni mti watu hutumia maneno haya hikma na busara kuwafahamisha watu hapa sira huyo kijana anaejifanya kasoma wacha asomeshwe

  • @uweyssjawhary5587
    @uweyssjawhary5587 Před rokem

    mashallah nimefarjika sana Alhabyb Sheikh Uthmaan Allah akuhifadhi na akuweke kwa hakika Elimu ni nuru tutapata mwangaza huko daaral aakhira

  • @adensir630
    @adensir630 Před 2 lety +6

    Allah akulipe Kheri sheikh othuman....Na amuhifadhi mommed bachu ampe umri mrefu wenye manufaa na amdumishe ktk kazi ya dawa

  • @AllyHilal
    @AllyHilal Před 2 lety +9

    Allah akuweke sheikh. Tunakupenda kwa ajili ya Allah.

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 Před 2 lety +19

    Maalim othman kwa hakika ww ni mti wenye matunda na hawa watu shida yao ni kukutoa ktk mstari,si kweli kwamba kila kitu utapatia lakini nakupenda kwanza ni muungwana na nakuelewa sana unapotuawidh,waislam tuwe na tabia ya kuheshimiana sana na hasa walimu wetu hawa

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Před 2 lety +4

    Mashaallaah ustadh othuman jazakumullah kheir wabaadalikhair jaannaatul naaiim

  • @ibrahimmsabah440
    @ibrahimmsabah440 Před 2 lety +3

    Hutba nzuri,Allah azidi kukupa elimu sheikh wetu.

  • @habibasaleh8870
    @habibasaleh8870 Před 2 lety +3

    Masha Allah mwalim Mungu akupe kila LA kheri, daawa imefika

  • @ABUUALLY-ch5jr
    @ABUUALLY-ch5jr Před 5 dny

    Maa shaa Allah sheikh wetu otham maalim hakika umeongea maneno ya kweli kabisa Allah akulinde

  • @zainulabideen6955
    @zainulabideen6955 Před 2 lety +9

    Boa palestra, k allah abençoes sheikh otman maalim

    • @safinabakari9140
      @safinabakari9140 Před 2 lety +1

      Meu irmão o que achas se encontrarem shaikh Saide Abibo e Shaikh Othman Maalim. São super para me!

    • @mahfoudhcalender2747
      @mahfoudhcalender2747 Před rokem

      مبتدعون

    • @smshukairi7238
      @smshukairi7238 Před rokem

      Maneno Yako nisawa kabisa maalim Othman

    • @smshukairi7238
      @smshukairi7238 Před rokem

      Maneno Yako sawa kabisa Allah akujalie kheri kwa kutuelimisha.

  • @BaitoSiddiq-cs1dt
    @BaitoSiddiq-cs1dt Před rokem

    Allahumma ya rabbila álamin mjalye humri mrefo na mjalye Maísha mema dun Yan na kheira na mjalye muicho mwema Amin ya rabbila álamin

  • @shariffhabshy6770
    @shariffhabshy6770 Před 2 lety +7

    Mwenyeezi Mngu akuhifadhi sh. Uthman bin Maalim kwa bayana ilio wazi.

  • @saidihaji3739
    @saidihaji3739 Před 2 lety +14

    Jamaniii ukweli usemwe tu .
    Unapomsikiliza sheikh Othman moyo unatulia saana ..
    Mungu azidi kumpa elimu na amhifadhi na mahasidi na wenye chuki zao binafsi .

  • @minaziparasu3352
    @minaziparasu3352 Před 2 lety +5

    Mashallah. Tunamuomba Allah akulipeni kheiry mashekh wenyekuelewa naakupeni umri mrefu ili dini yetu ipate Nuru

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 Před 2 lety

    Kwakweli Shekhe nimekuelewa sana hakika umenipa kitu ambacho nilikua nakikosa katika maisha yakiimani katika dini yangu yakiislamu Asante sana

  • @aliabeid2653
    @aliabeid2653 Před rokem

    Allah akupe maish mareef maaalim no comment na majungu ww anaejua hupendw ila cc tunakupend mashaallah

  • @shaabanabdalaah9422
    @shaabanabdalaah9422 Před 2 lety +1

    ALLAH akbar akulinde namahasidi shekhe Othman nimekuelewa sannna ila simimi tu ujumbe umewafika wanojiita waislam

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Před 2 lety +1

    Mashallah nimekuelewa shekh othman maalim Allah akuhifadhi

  • @umazza2274
    @umazza2274 Před 2 lety +5

    بارك الله فيك

  • @MuyaDadirri-mw1rt
    @MuyaDadirri-mw1rt Před rokem +1

    Mungu akuhifadhi

  • @rotalyrotaly9230
    @rotalyrotaly9230 Před 2 lety +4

    ALLAH akuhifadhi

  • @sabriyasuluh3002
    @sabriyasuluh3002 Před 2 lety +4

    Mashaallah shukran sana tunakupenda mno shekhe wetu😘😘

  • @husseinabdul7948
    @husseinabdul7948 Před 2 lety +1

    Jaazakallahkhery .Allah s.w.t atuhifadhi nahya makundi yanayo taka kutupeleka pabaya makafiri wanazo mbinu ata za kutumia ktk sisi kuaribu din yetu umakin unaitajika

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Před 2 lety +2

    Mashaallaah ustadh mola akulinde na maadui hii inatosha kwa mwenye akili timamu miongon mwa wenye akili darsa hii au khutubah

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 Před 2 lety +5

    MASHAA ALLAH.

  • @jamalbahdela524
    @jamalbahdela524 Před 2 lety +2

    Maashaallah, Umeeleweka shekh, mawahabi ni waropokaji wasio na adabu

  • @salimdibundile4872
    @salimdibundile4872 Před rokem

    Ah
    Shekh Othman Maalim Allah akujaalie neema na baraka tele InshaAllah
    Wallah anaejua anajua tu na hawezi kufanana na asiejua

  • @zainulabideen6955
    @zainulabideen6955 Před 2 lety +5

    Suadakta ya SHEIKH .....😍😍😍

  • @salhaabdulkariym8792
    @salhaabdulkariym8792 Před rokem

    Allah akuhifadh ....unaongea kwa hekima sana sana Wewe umawasilimisha watu wengi bila wewe kutambua ....Allah akulipe mwalim wetu mwenye hekima

  • @temitemimramifamili368
    @temitemimramifamili368 Před 2 lety +1

    Haswa mawahabi wa kwenye mitandaoni tunawaona sio kama hatuwaoni tunawaona daah
    Tena hata elmu ya hekma hawana
    Bora wewe Sheikh Othma maalim
    Mashallah Mungu akupe long life
    IN SHAA ALLAH.

    • @user-qe8xp6ii1u
      @user-qe8xp6ii1u Před 2 lety

      Wew huoni unamtukana Sheikh Mohammad bin Abdul wahab.?
      Tatzo lenu Masufi ni waongo na mna Talbisi sana.

    • @aliyahya5785
      @aliyahya5785 Před 2 lety +1

      Masalaf ili wakukubali lazima uwatukane wanazuoni. .na uwaseme ovyo ..... ndio mafunzo yao hawajamaa hatar sana

  • @AbdulrazakKachibo
    @AbdulrazakKachibo Před rokem +1

    Mashallah sheikh othamn malim unatufumbua waislamu wenye elmu ndogo

  • @jailaniramadhan1788
    @jailaniramadhan1788 Před 2 lety +8

    Duh. Mawlana umeongea maneno kwa mwenye akili amekuelewa Sana ( أحسنت)

  • @soudbako5925
    @soudbako5925 Před 2 lety +3

    Alkhamdulillah bora umeongea shekh maana siku hizi hawa watoto wanavyotupiana maneno mitandaoni kama simba na yanga kwa kujiona wamesoma ipo siku watawakosoa mpaka maswahaba

    • @AHMEDAli-mu7me
      @AHMEDAli-mu7me Před 2 lety +1

      Kma ynga na simba

    • @ABUUALLY-ch5jr
      @ABUUALLY-ch5jr Před 5 dny

      Tatizo Hawa mawahabii hawana adabuu wamekujaa juzii tu Leo ety Kila kitu wanakijuwa waoo ,Hawa ndio wachafuzi wa dinii ,wao ndo waloleta chukiii na ufisadii 😢

  • @mohammedkimanga8960
    @mohammedkimanga8960 Před 2 lety +1

    Shukrni sna sheikh uthman maalim tuko pamja kutoka Kenya

  • @iddyhsingano2463
    @iddyhsingano2463 Před 2 lety +2

    Alla akuhifazi shekhe

  • @adijarashidswedi6979
    @adijarashidswedi6979 Před rokem

    Allah akuzidishie umri mrefu ukiwatizama kwa undani utakuta wenye kubeza viongozi hawana wajualo

  • @hakimkombo
    @hakimkombo Před 2 lety +2

    Baaraka Allah fiih

  • @aminamhina9129
    @aminamhina9129 Před 2 lety +1

    Masha Allah shukran sheikh

  • @sadikfarhansadik6096
    @sadikfarhansadik6096 Před rokem +1

    MashaAllah

  • @alimuchiri6151
    @alimuchiri6151 Před 2 lety +7

    Unafafanua vizuri sheikh...lakini wale watu wakupiga Radi wanapachika pachika tu. Hawana la msingi.

  • @tajirbarua3279
    @tajirbarua3279 Před 2 lety +2

    Nimekuelewa shekhe othmani ilimisha waislaam

  • @salmaalisalim2462
    @salmaalisalim2462 Před 2 lety

    Allah akuzidishie hekma na uongofu sheikh

  • @vitalcool9266
    @vitalcool9266 Před 2 lety +3

    Hawa jamaa wanaojiita Salafy wakati hata harufu ya hao Salafy hawana,wamekuja kuleta vurugu tu katika UISILAMU..

  • @khelefali2438
    @khelefali2438 Před 2 lety +1

    Mashallah

  • @jamalbahdela524
    @jamalbahdela524 Před 2 lety +4

    Hakika uliyoyazungumza Shehk Othmani Maalim ni uhakika wa mambo yalivyo hivi sasa.

  • @ABUUALLY-ch5jr
    @ABUUALLY-ch5jr Před 5 dny +1

    😢😢 dahh kweli kabisa leo dini imegeuzwa kuwa ni siasaa kila mmoja anasema atakayoo ! Leo wajinga ndio wamekuwa ndio wasemajii wa kubwaa na wenye elimu wanaonekana hawana kitu kichwani 😢 yaarabbi tustirii na watu waovuu wenye kuharibu dini yako

  • @feisal6592
    @feisal6592 Před rokem

    Jana ana Leo niliwachirea plass gas's. Negative gas's sababu kubwa ni haturuhusiwi kutumita solar nihatari kwa jamii baadaa ya miyaka Miya tuakuwa na shida ya mvua rein sababu kubwa ni solar inavuta juwa karibu Kisha inaharibu rain ☔ sawa ikshindika tumiyenii laboralaty tutegezee gassa ntv or gas's positiv

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 2 lety +5

    MCHE ALLAH,ACHA KUWAFUNIKA WASIO NA ELIMU NA DINI YAO.
    MANENO YAKO NI KIJELI KWA UISILAM,.
    BILA RADD NYIE MNGEUGEUZA UISILAMU KAMA UNASWARA, KILA MTU NA LAKE!!

    • @faiditv5535
      @faiditv5535 Před 2 lety

      Acha husda

    • @Heiswatching.
      @Heiswatching. Před 2 lety

      MASHAA ALLAAH. SAFI SANA KAKA.
      HAWA LAZMA WAPIGWE RADDI.

    • @ramadhanirama6636
      @ramadhanirama6636 Před 2 lety

      @@Heiswatching. Zitawafikisha wap hzo rad???

    • @Heiswatching.
      @Heiswatching. Před 2 lety

      @@ramadhanirama6636tushafika.. na Allaah)(عز وجل) atuthibitishe zaidi tufikie mbali zaidi,katika kheri zaidi ya hizi,wewe kaangalie maana ya radd. angalia,uwajibu wake, halafu, jiulize zitawafikisha wapi waislamu hizi RADDI.

    • @Heiswatching.
      @Heiswatching. Před 2 lety

      @@ramadhanirama6636 kwa ufupi, ntasema mtu mwenye kukataa raddi manaake ni kua Anasema,. "" msikatazane maovu wala msifundishane mema""

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Před 8 měsíci

    Maalim Othman nakukubali sana

  • @yahyarashid8038
    @yahyarashid8038 Před rokem +1

    Kwan imamu shafi hajasema kuwa ikienda kombo kauli yangu na hadith bas iyacheni kauli yangu chukuweni hadith ss twasema kusoma bismillah ipo lakin sunna ni kusoma kwa siri na kunut kwa swala ya alfajir ni bid ghaa ikiwa kuna hadith tupeni ushahid wa kusoma kunut katika swala ya alfajir tupeni t

  • @nassorbinfundi1196
    @nassorbinfundi1196 Před 2 lety +4

    Wallahi salafia hawa niafitna twamuomba Allah Kama nikwelo wafitni katika tumain letu yani uislam Basi awafishe wote fitna hawa

  • @Heiswatching.
    @Heiswatching. Před 2 lety +2

    HHH ALLAAH ATUONGOZE (AMIIN).

  • @AyubuYasini
    @AyubuYasini Před rokem

    ماشاءالله

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 2 lety +4

    KILA MMOJA HUPATIA NA HUKOSEA, ILA SWAHIBU HADHAA LQABRI..
    NYIE MASUFI MASHEIKH WENU HAWAKOSEI MANZIL YAO YA ELMU SAWA NA رسول الله صلى الله عليه وسلم، NA WENGINE WAMEMZIDI MTUME,.NDIYO SABABU MMEZUA IBADA NYINGI KTK DINI YA UISILAM,.!!

  • @hassanbukengu1075
    @hassanbukengu1075 Před 2 lety +2

    Il est musulman digne de ce nom insha Allah

  • @abuuzakariyya8630
    @abuuzakariyya8630 Před 2 lety +1

    Al Akh nakuomba ulifafanue hili kundi la Ashaa'irah na wala usiwaweke watu katika njia panda ...........

  • @nurdin.mndeme3447
    @nurdin.mndeme3447 Před rokem

    Ma shaa Allah

  • @shaibhasan9233
    @shaibhasan9233 Před 2 lety

    Sheikh Wang Allah akulinde

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz Před 2 lety +2

    Allah Skype subra

  • @nadalibrahim1261
    @nadalibrahim1261 Před 2 lety +2

    huu ndo ueledi na ukomavu wa kidaawa kwa shekh othman maalim.....hawa wengine wana baleghe ya elimu tu...

  • @allylwanda7872
    @allylwanda7872 Před rokem +1

    Othuman Maalim ni mzushi masheik wa kisalafi wanalingania kwenye haki zaidi

    • @salimtanzania2088
      @salimtanzania2088 Před rokem

      Fitna imeshakuingia ndani ya damu yako ndugu yangu ....Allah akuongoze

  • @salahhddindasuvic6447

    Noted

  • @iginassales3433
    @iginassales3433 Před rokem

    mwenyezimungu akuhifadhi shehe mm nimekuerewa unamaanisha nn ukweli Allah amekupa kitu kikubwa hapa dunia

  • @Heiswatching.
    @Heiswatching. Před 2 lety +4

    we mtu wa talbisi tu.. hao maimamu.. si ashaa'ira MUONGO ..

    • @hamisisekidende5365
      @hamisisekidende5365 Před 2 lety

      Ww ni mpumbafu kbs acha chuki zako cheikh uthman maalim siyo mwenzako we rofa yule ni cheikh tunamkubali sana Allah amuhifadhi na fitna zenu

    • @Heiswatching.
      @Heiswatching. Před 2 lety

      @@hamisisekidende5365 hhhmmh fitnah sio.. wewe baki na othmaan maallim wako anotukuza kina ashaa'irah halafu tutakuona wewe na wenzako ATAKUFAA NINI WEWE 'UTHMAAN MAALLIM WAKO na sisi tutabaki na kitaab chetu na sunnah tena kwa ufahamu wa salaf... HIVI HIVI TUNAMUOMBA ALLAAH (JALLA WA' ALAA) ATUTHIBITISHE MPK MWISHO WA UHAI WETU, NAMPK KATIKA MKUTANO WETU. ((YASSARALLAAH 'ALAYNAA WA' ALAKUM..)) AMIIN.

    • @user-gs2wv1cc1b
      @user-gs2wv1cc1b Před 19 dny

      hakika ww ni mshenzi sana

  • @husseinabdul7948
    @husseinabdul7948 Před 2 lety +3

    Ndugu zangu vijana wenzangu tuwe makini kuna watu wametumwa kuja kutuvulugia din yetu ya haki uislam tuwe makini .

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Před 8 měsíci

    Watu wengine vichwamaji hawana elimu! Huwezi kuwa umezaliwa 1950 au 1960 kisha ukawakosewe au uwe unajua kuliko maimamu 😢😢😢 watu sasa hivi ni wahuni tu

  • @omarjuma1867
    @omarjuma1867 Před rokem

    A alaikum ,mm madhehebu yangu ni shafi ,laknini thamani ya maulamaa wengine kwangu ni kama shafi tu , kiukweli tusipo waheshimu maulamaa wetu hatutoingia ktk pepo ya Allah

  • @munirsmith2938
    @munirsmith2938 Před 2 lety +1

    MashaAllah leo umewapiga na kitu kizito kichwani vibaraka wa mayahudi na manaswara 😂😂😂

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Před 8 měsíci

    Elimu msingi wake ni heshima….ukimuona mtu anasema watu na anakosowa wanadhuoni hamna kitu………na aina ya watu hawa hawathubutu kumsema kiongozi wa kisissa hata siku moja!

  • @nassorothabiti7237
    @nassorothabiti7237 Před rokem

    namuomba alla atuhifadhie shekh letu huyu hataki kumuongelea mtu fulani aniongeleatu din sio saw na kijana wangu wa hovyo anapenda sana llderbiy na wenzake mwenye elmu utamjuatuu ana hekma pia hana hasira alla ammpe umri mrefu sheikh othman

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora6624 Před 2 lety

    Alhamdu bila Bismillah ni SIFURI KABISAA..mm mtu akiiruka Bismillah basi huwa namhalif imama ..usiposoma Bismillah basi sulatlifatiha itabaki na aya 6 kwssb itakuwa aikukamilika Bismillah ktk sulatlifatiha ni aya ya kwanza ktk sulatlifatiha..na aikukamilika sulatlifatiha basi apo amna swala na lengo lao ni kualibu swala ukaswali swala ambayo aikubaliki

  • @jamalbahdela524
    @jamalbahdela524 Před 2 lety +3

    Ilmu ndogo ya mawahabi ni msiba mkubwa kw zama hizi.

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Před 2 lety +1

    Mtihani inasikitisha sana waisilamu kukuta tuavyo vutana

  • @abdulwahabbakar8677
    @abdulwahabbakar8677 Před 2 lety +1

    Nashangaa watu wanamsifu Othman maalim hapa anasema kuhusu Qunut atwambie sala imo katika mambo haya Nguzo, Wajib na Sunna sasa Qunut nini katika hizo na ukiisahau kwenye sala. Ni muongo Othman maalim Salafy hawajawakataa hao na wanachukua reference kutoka kwao

    • @skozamsai2654
      @skozamsai2654 Před 2 lety

      Ushapotea wewe kurudi ni kazi . Endelea tu kujiona bora

    • @suleshaziz9841
      @suleshaziz9841 Před 2 lety

      swali li qunuti muulize annawawi ibnu hajar kina suyutwi na kina shsfiii kunuti ni nini maana hao ndio waliotwambia qunut inafaa sio uthman maalim

    • @matumlamwenyesuyo4273
      @matumlamwenyesuyo4273 Před 2 lety

      @@suleshaziz9841 Masha Allah

  • @yahayaali7970
    @yahayaali7970 Před 2 lety +2

    Ukwel mtupu ukitaka kubishana na mtu au ukitaka kumbeza MTU kwanza ujue historia yake ( usimzarau usiyemjua)

  • @mussamussa2881
    @mussamussa2881 Před 2 lety +3

    Hakika manenobora ni kitabu Cha all na muongozo uiliobora ni mtume Muhammad s na ubaya ulioje kuzua nakila kinachozusha ni upotofu na Kila upotofu ni motoni .....
    . Sheh hii hadithi vipi unaifaham ? Kua muwazi usijichanganye sema kweli Kama huwezi kusema kweli nyamaza wewe so mwanaharakati baki hukohuko katika kuburudisha katika Visa vya mswahaba na katika maulidi

  • @eng.saalim8646
    @eng.saalim8646 Před 2 lety +3

    Othmaan ww ni jitu ongooo. Na utaulizwa juu ya uongo wakoo huuu siku ya kiama ikiwa hautatubia na kutaraajaa hadharan

    • @shariffjuma7974
      @shariffjuma7974 Před 2 lety

      Wewe inaonyesha hujui chochote ktk dini

    • @omarsakawa2070
      @omarsakawa2070 Před 2 lety

      Hana ajualo huyo ni shabiki kichwa kitupu

    • @AbdulHakeem-eo9ep
      @AbdulHakeem-eo9ep Před 2 lety

      We Una elimu gani mpaka umuite muongo?

    • @gharibmuhsin2450
      @gharibmuhsin2450 Před 2 lety

      Wewe jitu ongooo. Na utaulizwa juu ya uongo wako huu siku ya kiama kama hutamuomba radhi shekh othman na hautatubia hadharani .

    • @eng.saalim8646
      @eng.saalim8646 Před 2 lety

      @@gharibmuhsin2450 mashekh wameshabainisha uongo wake kwa hoja za waziwazi. Na haezi jibu mpk leo kmyaaaa

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora6624 Před 2 lety +1

    Sheikh awa watoto awana adabu kwa MASHEIKH..awana adabu hata chembe mpaka chefu

  • @hasanisaidishabani3879

    Allah mpe umri mrefu shekh othmani wewe ndyo ulamaa na allah amekupa hekma

  • @halidijuma1884
    @halidijuma1884 Před 2 lety +1

    Wenye fikra za yaki yahudihawawezi kukuelewa SHEIKH WETU

  • @w4058
    @w4058 Před 11 měsíci

    Hawajui salafi nini wala sufi nini wamo tu kujiropokea

  • @sudaissaid8428
    @sudaissaid8428 Před 2 lety +1

    wembie hao mashekhe wamitandaoni2 km kuradiana tuu....wewe OTHMAN ndo Zanzibar one......

  • @mutomubaya
    @mutomubaya Před 2 lety +1

    Sheikh wetu Uthmaan tunakupenda kama ndugu yetu Muislamu na Allah amekujaalia kufahamu lugha ya Kiarabu na Dini ilivyo. Umetueleza Kwamba Ma imaam wale wanne ni miongoni mwa Salafu. Na umesema ni maneno mazuri kusema Tunaamini Kitabu na Sunnah na uelewa wa Salafu. Sasa kuna ubaya gani kuhubiri Dini hivyo? Kwa nini wanakejeliwa wale wanaosema hao ma Imaam hawakuhusika na Sherehe za Maulidi.....tunahimiza tufuateni Sunnah ya Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, ili tushikamane na kamba ya Allah sote na tuache kufarikiana....

    • @sayman158
      @sayman158 Před 2 lety +1

      Manenoo meengii lakini hauelewekiii,,,hao wanaojiita Masalafi ndo waovu zaidi ktk uislamu sasa ivi,,wanaharibu dini tu...Nawachukiaa sanaaa na Allah anisamehe kama kuna kosa,,nahisi hawa watakuwa na akili za kiyahudi...Masalafi wa kweli ni wale waliopita kabla yetu hizo karne za nyuma bora...lakin hawa wa kujiita masalafi wa leo ni Mayagudi tu hata maneno yao ya kishenzi shenzi tu

  • @dokadoka9426
    @dokadoka9426 Před 2 lety

    🙏🤲

  • @Zeituna30
    @Zeituna30 Před 2 lety +1

    enda usomi dini wacha kurukaruka

  • @abdurahmaniislam4722
    @abdurahmaniislam4722 Před 2 lety +2

    huyo shee jahili mkubwa

  • @swaleheurassa4535
    @swaleheurassa4535 Před 2 lety +1

    Kabla ya Ashaira kulikuwa kina nani ? wewe Ruweibidhwa Othman Mualiim,Kwanza wewe ni Ashaira,nipe dalili ya kuwa Ashaira?

  • @almadrasatsamiul-aliimkili557

    Watu wanajitangaza mwenye mitandao sababu wanataka umaarufu na hela tu hiisalaf ndio imezidi Hawa nahisi itakua wametumwa kitu

  • @abuushafee7877
    @abuushafee7877 Před 2 lety +3

    Imam abuu hanifa imam Malik imam shafii imam Ahmad bin handbaly hao wote ni salaf sheikh bin Abdul wahahab ibn taymiya Albany bin baaz utheymin wote ni wa sunnah gari moja....shida ni nyinyi watu wa bidaaa hao ulamaa ni wa haqq

    • @gharibmuhsin2450
      @gharibmuhsin2450 Před 2 lety

      Shida ni wewe apo sio maimamu wala watu wengine na kama bidaa wewe ndo bingwa katika hizo bidaa .kasome na uwe na nidhamu kijana usiropokwe.

  • @elbattawy2864
    @elbattawy2864 Před 11 měsíci

    Ataupata ujumbe huu muhamedi bachu

  • @omarmuhammed8987
    @omarmuhammed8987 Před 2 lety +2

    Na hivyo vitabu vya swalawat alanabi vipo kabla ya wao kuzaliwa

    • @hatibuahmadi7237
      @hatibuahmadi7237 Před 2 lety

      Ache upumbavu wewe

    • @omarsakawa2070
      @omarsakawa2070 Před 2 lety

      @@hatibuahmadi7237 mungu auhifadhi ulimi wako utoe maneno mazuri badili ya maharo.

  • @ismailsaidsalim296
    @ismailsaidsalim296 Před 2 lety +3

    إنّا للّه وإنّا إليه راجعون

  • @aliyahya5785
    @aliyahya5785 Před 2 lety

    Yupo salafi mmoja kutoka Tanga anasema hata shekh nasor bachu ilikuwa mtu wa batili wamekuja kumlingaania wao kutoka tanga kitandani ndio amekubali sunnaa ...... Habar sana.

  • @Heiswatching.
    @Heiswatching. Před 2 lety +1

    Wamefunzwa nakufunzika, HAWAONI, KUPOTOSHWA WAKAPOTOKA,
    munir,umesoma sana,, inavyoonesha.., hhmm wewe, ushakua unajua lipi ndilo lipi silo,,,.. kwani umesoma wapi???,,
    Ya'ni watu wooooote duniani waikatae manhaj ya salaf,, illa mmoja au wawili au watatu.., Basi Allaah ((عز وجل)) Atawasaidia na da'wah itafika tu, kwa watu wa haqqi..
    mim sioni kwa watuwanoiponda hii manhaj, ila sifa zaokubwa ni mbili na ni kuuu.
    1=>Kwanza ni ujahil(kutokujua/ujinga)
    2=>Kufuata matamanio yao((Bas)).
    HEM,ASEME YOYOTE MAKOSA YALIOKUEPO KWENYE MANHAJ YA SALAF, YOYOTE YULE,
    HALAF TUCHAMBUE MOJA BAADA YA JINGINE.

    • @salumjabir813
      @salumjabir813 Před 2 lety

      Hamna kosa hata moja...mko sawa kuliko kiumbe chochote kilichopo ulimwenguni...hata maikah wakasubir kwa masalafi..mko sawa kupindukia

    • @gharibmuhsin2450
      @gharibmuhsin2450 Před 2 lety

      Naaam nyie ni malaika hamna kosa asaa nyie. Si unauliza kuhusu kosa lolote basi jua hivo nyie mmekamilika .باعتبار اللجك

    • @gharibmuhsin2450
      @gharibmuhsin2450 Před 2 lety

      @@salumjabir813 😀😀😀😀 twayyib twayyib hawa ni walimu hasa wa mpaka malaika katika ukamilifu hahahaah.

  • @ramadhankibiriti6894
    @ramadhankibiriti6894 Před 2 lety +2

    Hujawaelewa masafi bado wasikilize vizur nakuwafaatilia biidhinillaahi utawaelewa

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 Před 2 lety +1

    Muhaamad nasoro bachu asiwatyukane wana wa zuoni

  • @alimzee7397
    @alimzee7397 Před 2 lety

    Sheikh othman niyakwel unayoongea ila tu hapo kwny kunuti kwny sala y alfajiri haina shaka nibid aa ymezushw maan uzush ulianz kabl y awo maulamaa wao allah awalipe kw jitihad yao