Ni ipi tofauti kati ya salafiya na Answari sunnah:Sheikh Kassimu Mafuta-Allah amuhifadhi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024

Komentáře • 32

  • @allykalaile-ek3zg
    @allykalaile-ek3zg Před rokem

    mashaallah allah amhifadhi shekh kassim mafuta hifdhahu llah

    • @abbaspaziaog2188
      @abbaspaziaog2188 Před rokem

      ALLAH amuongoze jadidah lakupepea Qasimu mafuta yataa kwa uongo wake ..na amswamehe kwa chuki zake ALLAHUMA Amini

  • @tarish001
    @tarish001 Před 2 lety +2

    Mola amhifadhi Sheikh ul Islam Abuu Fadhl Mafuta.

    • @abuuaminah5655
      @abuuaminah5655 Před rokem

      Mafuta Ni Sheikh Islam ama Ni Zee la Mipasho,🤣🤣🤣

    • @Menino938
      @Menino938 Před rokem

      Usifanye ghuluwu sheikh kassim anamchangu mkubwa lkn usimpeleke uko

    • @abrahamansaidi8631
      @abrahamansaidi8631 Před rokem

      Kwaiyo sio muislamu?

  • @ahmadmzoa74
    @ahmadmzoa74 Před 2 lety +1

    Acheni kuzitakasa nafsi mtakaseni ALLAH SUBHANAHU WATAALA Peķee .Tuache Daawa za kibishoo tufanye Daawa kiucha za kiùchaMungu.

  • @abubakarabdurahman7415
    @abubakarabdurahman7415 Před 2 lety +2

    Assalaam alykum!!
    Mimi napenda kuchukua nafasi ya kumnasihi huyu ndugu yangu aliendika comment mwanzo kabisa kua sheikh abul fadhli ni shaykhul islaam!!
    Haya maneno ni ya ghuluu yaan kuchupa mipaka kwa kassimu mafuta huyu ni sheikh na anajitihada ya kulingania daawa km walivo masheikh wetu wabora wengine km sheikh wetu mlezi sheikh mujahid na wengine!!
    Lkn hana manzila ya kuitwa eti ni sheikhul islaam

    • @ahmadmzoa74
      @ahmadmzoa74 Před rokem

      Mche MOLA wako. Yeye ni binadam na anakosea kama wakoseavyo wengine. Kuna mambo mengi atakiwa kuzingatia. Attarghib wattarhiib. Ajirekebishe kwa ajili ya ALLAH SUBHANAHU WATAALA.

    • @abrahamansaidi8631
      @abrahamansaidi8631 Před rokem

      Amekosea nini?

    • @MohamedAlly-dq2rl
      @MohamedAlly-dq2rl Před 5 dny

      Shehe wetu abuu fadhili pomoja na familia yako allhah awifadhi

  • @azizaj776
    @azizaj776 Před 2 měsíci +1

    Hakuna tafauti kati ya Dawaa Salafia na Dawaa Answari Sunna WOTE Ramona na WOTE wafuasi wa IBNU TIMMIYA NA MOHAMMED ABU WAHABI ambao WOTE ni FINARIY JAHANAM - AMEEN 🤲🤲🤲🤲

    • @ObAH
      @ObAH Před měsícem

      Ittaqillah akhy

  • @thulaniduku3218
    @thulaniduku3218 Před rokem +3

    Funga kinya wewe mafuta kwa kuwadanganya ummah
    Aifayi muislamu kushirikiana na makafiri dhidi ya mwislamu
    Soma vitabu vya Sheikh Muhammad ibn Abdul Wahab rahimahullah

  • @user-nl1ou9ow2l
    @user-nl1ou9ow2l Před 2 měsíci

    Shekhe,akiacha uhizbiya,hali yake ya mwanzo itarejea.hivyo answar Sunnah ni hizbi na yeye shekhe ni hizbi.hivyo sijaona kama unautofauti nao.

  • @abuuaminah5655
    @abuuaminah5655 Před 2 lety +1

    Usalafiya ni project ya mayahudi.

    • @East_Africa_120
      @East_Africa_120 Před rokem

      Ulikuepo nao hao mayahud wakati wanaandaa iyo project au unaleta habari za kila wa kala

    • @mwanju3981
      @mwanju3981 Před 5 měsíci

      Ukiona muslamu anaungana mmarekani ni myahidi wa wazi wazi...marekani iko kwa aajili ya mayahudi ​@@East_Africa_120

  • @SUNNAH0001
    @SUNNAH0001 Před rokem

    Ukweli kuhusu Qaasim mafuta na watu wake.👇👇👇
    czcams.com/video/83R_95FQpl8/video.html

  • @jumanasoro8903
    @jumanasoro8903 Před 2 lety

    Huna kitu wewe

  • @wajawemaonlineTV
    @wajawemaonlineTV Před 2 lety +2

    UNYA NYA SAJI UNAO FANYWA NA WASHIA KWA MABINTI WA KIISLAM KWA KUFARADHISHA NDO....
    czcams.com/video/uAvRvzTyImY/video.html
    *MZUNGU MZAJI SHEIKH ABDUL RAUF AL MUNAAWIY*

  • @muhammadmochenje1409
    @muhammadmochenje1409 Před 2 lety

    Shkh kassim mafuta hivi na kutetea saudi Arabia 🇸🇦 kutaka msaada kwa wamarekani 🇺🇸,kumpiga Sadam hussein mbona hiyo Saudi Arabia 🇸🇦 haitaki msaada 🇺🇸 kuwasaidia wapalestina,ambao hawa wapalestina wanadhulumiwa na Israeli 🇮🇱?hata useme nini Saudi Arabia 🇸🇦 na baadhi ya wafalme wao ni vibaraka vya mwamerika hilo liko wazi.

    • @abuushaymaatz
      @abuushaymaatz Před 2 lety +1

      Wewe ushafanya Nini tuone Kama mfano?
      Pili kipi ni Bora kibla ya Kwanza au al Kaaba?,

    • @abuushaymaatz
      @abuushaymaatz Před 2 lety +1

      Marekani wanashirikiana na Saudia kwenye Nini?,
      1. Diyni?(Daawa)
      2. Biashara
      3. Security
      4. All of the above?

    • @abuuaminah5655
      @abuuaminah5655 Před 2 lety

      Salafiy nii project ya mayahudi.
      Kafiri au asieswali kwao Hana tatizo,lakini shida Yao ni kwa waumini wa kiislamu.
      Usalafi ni kuvuruga waislamu na uislamu.

    • @user-bp6fb6wo5u
      @user-bp6fb6wo5u Před rokem

      @@abuuaminah5655 chunga unachokisema kaka, sababu aya na hadith ndio twawasikia wakisema! Ikiwa jambo huna ilmu nalo bora kuliwacha tu, sababu ukiulizwa siku ya kiama ulieleze hilo kwa ushahidi wallahi huna hoja ila chuki tu ulizobeba.

    • @abrahamansaidi8631
      @abrahamansaidi8631 Před rokem

      Uzuri wa uislamu ni kuachana na yasiyokuhusu

  • @kassimualli1600
    @kassimualli1600 Před 2 lety

    Nyie wavuruga dini mbona mnaficha sura zenu washenzi wakubwa nyie