Kasheshe Mkoani Iringa, Mama anadai Jeshi la Polisi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024

Komentáře • 190

  • @liverpoolfootballclub9985

    Justice delayed is justice denied big up our brothers from Tanzania.🇰🇪

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 Před 5 lety +5

    Tunakupenda muheshimiwa,Maana police hawachelewi kumpigia cm Za vitisho

  • @theopistamganwa7752
    @theopistamganwa7752 Před 5 lety +2

    Ally Happy Ulitumwa na Mungu kuokoa wanyonge. Mungu akutie nguvu kwa haya majukumu.

  • @mkwipunda2036
    @mkwipunda2036 Před 5 lety +8

    Brother Nampenda kwa ufuatiliaji mzuri wa mambo ila namshauri ajitahidi kuwa mpole watuhumiwa wanapojieleza awaache huru wamalize kujieleza asiwakatizekatize

  • @kaidrisa2711
    @kaidrisa2711 Před 5 lety +5

    Mama kauwa kuidai polis da big up sana bama

  • @josephchalatv8318
    @josephchalatv8318 Před 2 lety

    Mungu akuweke hai mweshimiwa daaah hakika haki ya mnyonge haipotei wew ukiwepo 😂😂😂🙏

  • @lucygk5894
    @lucygk5894 Před 5 lety +4

    Ally hapi uko vizuri sana

  • @mohdsalum3832
    @mohdsalum3832 Před 5 lety +31

    Serekali ya magufuli ni ya kutetea wanyonge

  • @alfredkillo6080
    @alfredkillo6080 Před 5 lety +2

    Ally happy u'r the strongest kamanda & God bless u pambana hufany kaz icyo na malipo MUNGU atakulipa

  • @miriam5735
    @miriam5735 Před 5 lety +30

    Gonga like kama na ww una mama, maana nimewaza kama ni mama angu afande ungenibeba 😂😂

  • @mligombuma2287
    @mligombuma2287 Před 5 lety +8

    Hakuna kitu kinanikeraa kama hao wabeba mabango yaani shida walizonazo na mabango waliyobeba ni vitu viwili tofautiii mmmmmmxiiiiiiuuu kazi kweelii kweelii

  • @kassimjuma8713
    @kassimjuma8713 Před 5 lety +3

    Kazi ya Askari ni kazi ya Laana. maana hata Yesu. walimuwa wao.

  • @lwagamwakalinga5276
    @lwagamwakalinga5276 Před 5 lety +5

    Ni kweli huyu mama anadai anapaswa kulipwa lkn Ally Happi msikilize pia askari wako usimkatishe katishe sio njia nzuri za kutatua !

    • @sultanmganzira4388
      @sultanmganzira4388 Před 5 lety

      Lwaga Mwakalinga yaani huyu mkuu anataka cfa kwa wanaanchi ngoja nae aje rais azalilisgwe hivo tuone km atafurahi

    • @nyamogafamily4262
      @nyamogafamily4262 Před 4 lety

      Hao waongo,lazma asimame atutetee sisi wanawake❤️

  • @nyakinyaki1702
    @nyakinyaki1702 Před 5 lety +12

    mh happ nimependa sana msimamo wako endelea kupiga kazi

  • @esabelfadhili8432
    @esabelfadhili8432 Před 5 lety +5

    Ali happy yupo vizuri kwakwel

  • @shabanikidaba9856
    @shabanikidaba9856 Před 5 lety +5

    Uko vzr Ally Happy njoo na singda uwanyosheeee

  • @vinozamhone1110
    @vinozamhone1110 Před 5 lety +8

    Kibarua miaka yote hiyo mmezoea kudhulumu watu tu

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 Před rokem

    Siasa mpaka kwenye chombo Cha haki.Mmm tuiondoe ccm madarakani tuu

  • @esaumpulule8887
    @esaumpulule8887 Před 5 lety +1

    Kazi nzuri

  • @princesinko4073
    @princesinko4073 Před 5 lety +12

    MLIPENI MAMA WA WATU

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija6672 Před 5 lety +1

    Hii nim serikali ya wanyonge ni kweli ni serikali ya kuwanyonga. Yote aliyoyanya mama alistajhiki kuwa ni muajiriwa bila ya matatizo uwajiri unaingia mtu akifanyakazi zaidi ya miezi mitatu moja kwa moja anakuwa muajiriwa. Maafisa wengi wa serikali wanakula pesa za umma kwa kutumia vyeo vyao.

  • @fatumashaban7931
    @fatumashaban7931 Před 4 lety

    Jisafishie njia kaka kesho ukagombee ubunge Iringa

  • @naomikakingo7070
    @naomikakingo7070 Před 5 lety +2

    Jamani kibarua miaka yote hiyo jaman

  • @gracetitus9963
    @gracetitus9963 Před 5 lety +3

    Hii ndiyo haki iliyokosekana kwenye serikali zilizopita. Wakati wa Nyerere Watanzania wenye shida waliweza kumushitaki hata mkuu wa polisi kwa Mkuu wa mkowa. Nyerere alikuwa akiwakumbusha viongozi wasitumie cheo ni dhamana na wasitumie vyao vyao kuwanyanyasa wananchi. Serikali zilizofuata wenye pesa na madaraka ndiyo waliokuwa wakipata haki. Udhurumaji ulikuwa mukubwa tulikuwa tunaelekea kama Kenya. Wasi wasi Watanzania , je Rais Magufuli akimaliza wakati wake atachukuwa madaraka nani? Je tutarudi kwa wapiga vifuwa wa kutuuliza unajuwa mimi ni nani?

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před 5 lety +3

    Rais kasema hakuna raiya wala polis akilosea mtu weka ndani😂😂

  • @shawaribakari1226
    @shawaribakari1226 Před 4 lety

    Af ww afandee huyu ni sawa sawa na mamako cyo yulee aliyee kuzaaa ndo mamako

  • @husseininteligence6234
    @husseininteligence6234 Před 5 lety +5

    Huyu anafaa mje mmpe urais tz

  • @festokiraryo.6107
    @festokiraryo.6107 Před 5 lety +5

    Hapi oyeeeee

  • @sendeesupriydewoochiagaliy7474

    Powerful Leander

  • @emmanuelthomas3657
    @emmanuelthomas3657 Před 5 lety

    Ok vizuri mheshimiwa hii ni hapa ni kazi hapa

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan25 Před 5 lety +3

    MKUUU UKO SAHIHI KUUULIZA HADHARANI NDIOO SAWA WATU WAMESHA NYANYASWA SAAANAAA

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki1166 Před 5 lety

    Alafu jamani kibarua miaka karibu miaka minane dhuluma sio nzuri

  • @twilumbakabelege3426
    @twilumbakabelege3426 Před 4 lety

    Mweeee jamani hadi machozi yamenitoka kama mama angu vile, yote haya ili alee watoto wake, mh rais msaidie tu

  • @boreshaafya7411
    @boreshaafya7411 Před 5 lety

    Nakupenda buree mkuu wa mkoa wa Iringa

  • @fatumashaban7931
    @fatumashaban7931 Před 4 lety

    Mwizi wa kwanza ni polisi,yaan hawana huruma ata kidogo mi wananikera sana walimsingizia mtu kamuibia askari kwenda mahakamani walikimba

  • @binurusm8886
    @binurusm8886 Před 5 lety +6

    Hapi utaongea kihehe mwaka huu, kamwene.

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 Před 5 lety

    Haki ipo kwa mungu duniani ubabaifu tu mana ukweli wote anaujua mungu huko hakuna kuongopa mara huyu alifanya ivi mara vile hakuna huko

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 Před 5 lety

    Sasa jamani milioni 1 na kidogo mnashindwa kumlipa mama wa watu.hata km nikibarua lkn kazi sialikuwa anawafanyia

  • @gipsonice7gipsonice791
    @gipsonice7gipsonice791 Před 5 lety +2

    Vizuri mkuuu wa mkowa

  • @gracechalagwa9745
    @gracechalagwa9745 Před 5 lety +2

    Hapi Kamwene nimekupenda bure

  • @emmanuelwilliam1664
    @emmanuelwilliam1664 Před 4 lety

    Wanyonge watapewa haki zao, kila kitu kina mwanzo na mwisho

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 Před 5 lety

    Tukianza kujiheshimu na kuheshimiana.. then tunaweza tukasonga mbele..!

  • @giftlwesha2213
    @giftlwesha2213 Před 5 lety +2

    Rc msikilize na police kwanza aongee...ukal hausaidii unaweza ukapga klle ukatoka Apo na asilipwe Ni kawaid yenu

  • @margarethsaramaki1100
    @margarethsaramaki1100 Před 5 lety +1

    Safi sana Mh

  • @godfreywebiro4058
    @godfreywebiro4058 Před 5 lety

    he, huyu mwenye kijani na bango lake anajielewa kweli,
    pia haya mambo ya kijeshi hayatakiwa kuletwa uswahilini huku. aende kwenye ngazi husika za kijeshi hata ikiwezekana kwa IGP , jeshi la polisi halitwajwi kizembe zembe kiasi hicho na kiutendaji RC hana mamlaka ya kuiamulia polisi kufanya anachotaka yeye.
    RC anajitahidi sana and i appreciate that ila mipaka izingatiwe, otherwise you did superb

  • @mohdsalum3832
    @mohdsalum3832 Před 5 lety +7

    Safi

  • @melisemasebo8931
    @melisemasebo8931 Před 5 lety

    Mungu akutangulie mkuu

  • @staviusbagambilana867
    @staviusbagambilana867 Před 5 lety

    jamni tuwe na huruma smzingine ni rahana tu million tu

  • @natyvan4071
    @natyvan4071 Před 5 lety +1

    Mkuu wa mkoa wa iringa 😘😘😘😘😘

  • @alistachiusalistidesmwemez1930

    Good Rc

  • @shabanihamadi6595
    @shabanihamadi6595 Před 5 lety

    safi sana rc piga kaz

  • @dennismalima5365
    @dennismalima5365 Před 4 lety

    Ally HAPI taifa kubwa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @djdj3urj88
    @djdj3urj88 Před 5 lety

    Kina msigwa wanalalika nini wananchi wanaonewa hivi anawatetea hawapendi msigwa nitamchukia hadi kesho

  • @BedroomTvKe
    @BedroomTvKe Před 5 lety +1

    Kanifurahisha huyo jamaa wa CCM kasimama na bango hapo 😂😂

  • @nzokirahappy7393
    @nzokirahappy7393 Před 4 lety

    Uyu bwana mwisho atakua President wa Tanzania

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před 5 lety +1

    Mama mbona km unaonekana hujiamini unachokisema

  • @mussajoseph7746
    @mussajoseph7746 Před 5 lety +1

    Tatizo unapaza saut utaki kusikiliza ndo uboya ulio nao Rc

    • @sultanmganzira4388
      @sultanmganzira4388 Před 5 lety

      Mussa Joseph bara wwumeligundua hilo anataka cfa kwawananchi huyo mama alikuwa anakuja raini mwenyewe anaomba km mtu unanguo akufulie unampa hela hata huko kufua nguo kuwapikia maabusu alikuwa kibarua maana kila akija mkuu mwingine aombe maana aliemleta anakuwa ameondoka nahela walimilipa nasaizi zipo

  • @qc5clickclick558
    @qc5clickclick558 Před 5 lety +5

    Hii ni kudharirisha jeshi,angewaita ofisini,sio mbele ya raia,sasa Afisa mzima wa polisi anaonekana muongo na heshma inashuka,

    • @danieljoseph6309
      @danieljoseph6309 Před 5 lety +4

      Kila mtu awajibike bhna, polisi nao ni taasisi na watumishi wa umma sio miungu watu

    • @alextzmmary5121
      @alextzmmary5121 Před 5 lety

      Wamemfanyia uovu unataka wasitirike bichwa bovu

    • @tonykisogole6710
      @tonykisogole6710 Před 5 lety

      Tatizo mnapenda dhuruma halafu mnataka mkiumbuliwa iwe siri msijulikane mbwa nyie

    • @tonykisogole6710
      @tonykisogole6710 Před 5 lety

      Heshima ya nini nae ni muongo!

    • @harounali1626
      @harounali1626 Před 5 lety

      Hiyo ndiyo uamini kwamba wapo watu wana dhulumiwa na vyombo vya dola.

  • @georgelupembe7621
    @georgelupembe7621 Před 5 lety +1

    .....aibu sana...!

  • @kasianlinus4996
    @kasianlinus4996 Před 5 lety +2

    Dhuluma munazofanya zinawatafuna

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Před 5 lety +1

    Kasesela bwana muone macho😂😂😂😂

  • @mjukuumaiige8559
    @mjukuumaiige8559 Před 5 lety +1

    Watafoji sign

  • @jeffreymalingula1489
    @jeffreymalingula1489 Před 5 lety +3

    Hapi anajitahidi kufanya kazi

  • @ericbaraka2498
    @ericbaraka2498 Před 5 lety

    Naweza penda nizae mtoto ambaye atakuwa mkuu, nae akaweza kukata hukumu vizuri kama huyu mwanaume.

  • @sudiaman8503
    @sudiaman8503 Před 5 lety

    ally hapi rais wa iringaa

  • @dyanatanz6574
    @dyanatanz6574 Před 5 lety

    Makonda oye🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @richardmaliwanga4565
    @richardmaliwanga4565 Před 5 lety

    Kibarua miaka yote hiyo bila ajira ya kudumu!?

  • @mgayajofreyj9788
    @mgayajofreyj9788 Před 5 lety

    Vzr sana

  • @fanfrees_motors_ltd3319

    Mhhhh police muna roho mbaya sana

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 Před 5 lety

    Saafiii kusaidia wamama

  • @sultanmganzira4388
    @sultanmganzira4388 Před 5 lety

    Ww mkuu wa mkoa ucwe upande mmoja cmama km upo upande mmoja

  • @jovinezekiel3652
    @jovinezekiel3652 Před 5 lety +1

    kama kweli mungu akutete

    • @sultanmganzira4388
      @sultanmganzira4388 Před 5 lety

      Afya yangu sio kweli watu hamuwapendi polic huyu mama alilipwa ila kuna mtu amempampu eti hela aliyolipwa nindogo

    • @sultanmganzira4388
      @sultanmganzira4388 Před 5 lety

      Afya yangu huyu mama ila huyo mama Mungu atashughulika nae maana nitapeli ameanza km wagonjwa wa temeke walitaka kumfukuzisha nesi kazi kuchunguza kumbe ni muongo wananchi wamejua wanatetewa bc Huwa wanataka kukomoa huyu mama alilipwa ila kuna mtu kampampu kwamwambia hela uliolipwa ni ndogo sana nenda ukakatae km hukulipwa

  • @shedyjr3227
    @shedyjr3227 Před 5 lety

    Ha h ha ha police bana.. Yani mnadaiwaa.. Sasa hapo msimamizi wa mashitaka atakuwa nani?

  • @gracetitus9963
    @gracetitus9963 Před 5 lety

    Malipo kama haya yanasababisha wizi wa fedha za umma. Huyu mama angeajiliwa na Jeshi la polisi moja kwa moja kupikia warumande. Sio OCD ama RPC.’kama mtumishi wa binafsi. Polisi inatakiwa kuweka hesabu za mishahara ya waajiliwa raia kama wafanyakazi wowote serikalini. Ama sivyo waipe kazi hiyo kampuni binafsi ifanye hiyo kazi kwa mapatano na serikali. Tanzania lazima tubadilike tuende na wakati. Nampa hongera kwa hekima yake ya kusaidia wasiokuwa nacsauti na kwa ujizi wake wake wa sheria na haki. Amewataka polisi walete ushahidi. Mtu hawezi kulipwa pesa za umma bila ya kuweka kidole. Hongera serikali ya Rais Magufuli na watendaji wake.

  • @stephenmgema2208
    @stephenmgema2208 Před 5 lety +1

    Hapi si usikilize kwanza.....!

    • @jumalojala9271
      @jumalojala9271 Před 4 lety

      hapy nakwelew cn wew kweli unafanya kz mungu akubarik akwepushie na coron

  • @goldendaisy187
    @goldendaisy187 Před 5 lety

    Huyu jamaa ahamie huku kwetu Kenya, mkuu wa mkoa

  • @allyomari680
    @allyomari680 Před 5 lety

    huyu asikal binaadamu anasema ukweli

  • @sawatimustapha4867
    @sawatimustapha4867 Před 5 lety

    Asanteeeee

  • @Rashidmhedhery
    @Rashidmhedhery Před 5 lety +3

    Upuuuzi huu, haya mambo sio ya hadharani, ni kutafuta sifa tu!

  • @tanzanianaturalt.n4846

    Hahahaaaaa police shuuuuuuuuuu

  • @theresiakaruhanga9502
    @theresiakaruhanga9502 Před 5 lety

    hapi kwanini usisikilize??? utapatataabu sana

  • @mamymamiza2924
    @mamymamiza2924 Před 5 lety

    Awamu ya tano

  • @sultanmganzira4388
    @sultanmganzira4388 Před 5 lety

    Subiri naww mkuu akujie maana unataka cfa kuwadhalilisha wenzio mbele ya umati cjapenda hatakidogo

    • @giftaugustine603
      @giftaugustine603 Před 5 lety

      Sultan Mganzira acha afanye kaz yake we ni mlund nn sio mtanzania

    • @sultanmganzira4388
      @sultanmganzira4388 Před 5 lety

      Gift Augustine ckia mm nimtanzania Lkn cc watu niwabaya sana huyu mama alilipwa kapampuwa eti kalipwa hela ndogo kwakuwa wanajua wanasaidiwa naserikali hii bc mtu anatunga chochote dar manesi temeke walifukuzwa kazi kwaraia mmoja kutoa uongo Lkn baadaye hata wagonjwa waliokuwepo walieleza jinsi ilivokuwa wale wakarudishwa kazini unajua uhuru ukizidi sana watu wanataka kuwakomesha maasikari Lkn huyu mama Mungu atashugulika nae hata hiyo hela hata mfikisha popote

    • @sultanmganzira4388
      @sultanmganzira4388 Před 5 lety

      Gift Augustine tena alie muajiri alikimbia hakuna Lkn hawa walichanga hela mifukoni mwao wakampa tena km huyo aliekuwa anaongea hukuwepo yy kaanza kazi 2013alikuwa shule bado Lkn alipo likuta hilo kampa alipo jikunia sasa yy anataka zayule amtafute km Alisha sitafu ustarabu angesema nashukuru hawa waliokuja wamempa kidogo

    • @miriam5735
      @miriam5735 Před 5 lety

      Sultan Mganzira Vp mbona mapovu huna mama nn

    • @sultanmganzira4388
      @sultanmganzira4388 Před 5 lety

      Miriam Hemed sasa mbona walileta alipo saini kakimbia hata ipogolo kakimbia

  • @ndagabwenekusaya223
    @ndagabwenekusaya223 Před 5 lety +6

    Huo utendaj wa kz magufuli adumu miaka yote

  • @emmanuelndahan1421
    @emmanuelndahan1421 Před 5 lety

    Affisa wa jeshi la Police

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před 5 lety

    Mama yake na amba rutty..

  • @mwanajumaomahundumla6504

    Iringa kumenoga ha ha ha ha

  • @matitu_jr5035
    @matitu_jr5035 Před 5 lety

    huyu Ali nae vp?

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 Před 5 lety

    Hili jambo ni siri. Jaribu kutatua ofisini si hadharani

  • @mercymtunguja1252
    @mercymtunguja1252 Před 5 lety

    Sijawahi kuona mkuu wa mkoa kama huyu

  • @habibumallanga6392
    @habibumallanga6392 Před 5 lety +2

    Duuh

    • @sultanmganzira4388
      @sultanmganzira4388 Před 5 lety

      Habibu Mallanga jamani kumbe mbona mnakuwa mnaowaona sana police

    • @knowledgeprofit5090
      @knowledgeprofit5090 Před 5 lety

      Habibu Mallanga wew na bango lako

    • @sultanmganzira4388
      @sultanmganzira4388 Před 5 lety

      Knowledge Profit maasikari mmewaweka maadui hata jambo ambalo likowazi laki nane hajasrma mpaka polic anataja nfio anaitika Lkn anasema co zenyewe wananchi tuwe waungwana tushabikie kitu kwachuki za vyama

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 Před 5 lety

    aroo kiongozi unalidhalilisha jeshi

  • @samateryussuf5938
    @samateryussuf5938 Před 5 lety +1

    waTZ wajinga tu , kwani serikali iliyopita ilikuwa ya chama gani ? jamani si ilikuwa ccm pia ?

    • @fathermore9772
      @fathermore9772 Před 5 lety

      Samater Yussuf acha usenge wewe kwaiyo kama ilikua ccm watu wasidai haki zao .....wewe ni kilaza kweli

    • @samateryussuf5938
      @samateryussuf5938 Před 5 lety

      @@fathermore9772 haki gani , wametawala nchi hii kwa katiba ya ccm hadi sasa , mm naleta hoja tu , TZ haina katiba toka 1964 wakati mtukufu nyerere alipoamua (waTZ usingizini) kuwa rais , na waZenj (wakiwa gizani wakaungaunishwa) enzi ya leo wadanganyika wanaikataa ccm ujue , leta katiba huru , tume huru ya uchaguzi , uone kama kutakuwa na mhimili uitwao ccm ? wala sina haja ya kukuktukana kaka

    • @mashakathomas9321
      @mashakathomas9321 Před 5 lety

      Samater yusuph we we ndo mjinga sio watanzania tena!!!!!!

    • @samateryussuf5938
      @samateryussuf5938 Před 5 lety

      @@mashakathomas9321 hahaha mapovu ya ccm , jibu swali , kwani awamu zote zilikuwa za chama gani???