JINSI YA KUTENGENEZA CAPPUCCINO NYUMBANI BILA KIFAA MAALUM - MAPISHI RAHISI
Vložit
- čas přidán 5. 10. 2018
- Perfect way to make cappuccino without coffee machine
INGREDIENTS:
2 teaspoons coffee powder
4 teaspoons sugar
some water
1 cup boiled milk
Facebook: / mapishirahisi
Instagram: / mapishirahisi - Jak na to + styl
ni nzuri sana. nataka nijaribbu hii. ila naomba pia tufahamishe hiyo chocolate syrip inavyofanywa
@princess waa hiyo chocolate syrup unainunua supermarket tu...ipo kwenye supermarket nyingi
nice nice asante sana mwana dada kwa hio elimu nzuri
Thank u kwa mapishi 🙏Allah azid kukubarik hbbty❤
MA shaa Allah kazur Allah akulipe zaidi
Daaah mashaallah nimependa sanaaaa and will do it inshaallah
Masha Allah tnx dats so cool
Wewe ni the best wallah
Wow..thank you for the recipe
I have tried it today..... Masha Allah 😋😋 very nice
i love it thank you dada
Mashaallah shukraaan habibty. Kwelii rahisiii 😍😋
Masha,Allah very nice , napenda sana recipes zako so easy
Mashalla your very good sister Asante sana
Nzurii 💕💕💕💕
MashAllah I will try this❤❤💞💞💞💞💞
MashaAllah simple and easy👌👌
Wow Hongera sana
Wow wow this is great
Màa Shaa Allah
Habari za asubuhi
it took how long kuchanganya mpaka ibadilike rangi. nisije nikalose patience
congrats dada your recipes are awesome, please nifunze jinsi ya kupika mkate wa kuminina kwenye jiko la mkaa
I love it ❤️❤️❤️
Dah umetisha.....asante sana
Sukar gan hyo nyeupe
I now know how to make cappuccino. Thank uuu
Asant. Kwa mapishi yak uko vzr mashallh
Very good ahasnte I like it.
Awesome.
Masha Allah nice je ukitaka kuserve kwa watu wengine vipimo vinakuwaje va hyo mix namna ya kuitayarisha
Mashallah so easy to make
I always find myself in your channel 😍 😍
Ma sha Allah
Dalgona coffee 💓thank you for this
Nmeipenda Asante
Nzuri kweli
Nzuri sana asante
Good job...kp it up
Mashaa Allah
Nice and simple😘😘
I loovee recipe zako na sauti pia siwezi choka kusikiza maelezo yako. Please siku moja tupe recipe ya spaghetti.
Since day one, you made my life easier, jazakallaah khayr, u the best
Awwe😍. Thank you so much ❤😗
Asante dadangu
nzurii sana
Love you😻😻
MashaAllah
Tnx dear
@mapishirahisi Veep kawaha nyingine haifai je nkitumia cocoa ina faa badala ya chocolate syrup???
Asante my ntajarib
In nzury kwa biashara
Nice plese
Asante sana. Naomba recipe yako bila sukari
Cocoa powder ina weza ama lazima nescafe ?
Chocolate syrup unatengezaji...ahsante kwa mapishi yako
Nice
Chocolate syrup in kenya where can one buy. Thanks I subscribe to this Chanel.
Nzuri
Very nice!
Je huo mchanganyiko naweza kuhifadhi nikatengenezea wakati mwingine?
A.aleikum mimi sipendi nescafe je naweza nikapika bila nescafe
Please bring how to make mkate wa mayai
Hiyo cofee lazima iwe Nescafe?sukari lazima iwe icing sugar?alafu uwe mchanganyiko ukibaki wau-store vipi?salaam aleikum
Umenyamaza Christmas lete mapya
👍👍👍😍
some water=hot, cold water?
Cool
Hassan Dre
Hi mbona mm nmefanya rang haijabadlika nmekosea wap?????? Plz nijibuuuu tafadhal
Mumeo atapata Raha sana maana una mapishi kama yote
Mauwa Puga 😂😂usijidanganye wanaojua kupika wavivu kitandani ✌😂
@@zaibonge7867 na wewe unajidanganya ujuzi kitandani haimfanyi kutulia, ndio kwanza anakuchoka ma kukinai mapems heri mpishi bora.
@@barikiwa22 we nitulizie mmshono kila mtu na mume aliyenae .usinichoshe kaoshe vyombo kwanza 👌
Je niblazma kutumia kahawa iyo? Huwez tumia aina nyngne km africanaa na nyngnez?
Coffee gani una tumiya plz ukhty
Nescafe
Naomba unijuze kutengenez saladi
👏👏👏👏👏😘😘😘🙏🙏🙏🙏
Lzm sukari iwe nyeupe au
Je kahawa nyingine zafaa au nescofffee tu
Yan.mapishi.yak.rahis ad.raha
sukar 4 kahawa 2 alfu unachanganya
Nimejifunza nikaingia jikoni and made a cup by myself. It came out very well am so amazed. Thank you for your recipes.
Mashallah Allah akujaze kila lakher
Maaky um Abdallah
Shukran um Abdallah 😊
Mashaa Allah
Nice
nimependa sauti