ALIKUFA NA KUPELEKWA ZIARA YA MASAA MATANO MBINGUNI KISHA KURUDI|Ushuhuda wa John Paul
Vložit
- čas přidán 7. 09. 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Amen Mungu wa mbinguni unisaidie nikujue zaidi
Mungu wangu nisaidie natamani uzuri wako pendo lako tuokoe babayeeee na ulimwengu huu wa tabu shida mateso yesu tuangazie neema zangu tena
😭😭 Yesu anatupenda sana
Na upendo wake hauelezeki tutubu dhambi zetu na turejee kwake
Kweli Mwenyezi Mungu nisaidie kumalizia vyema kama mtume Paulo, ni wachane na na hii kasumba, na vtuko vilivyo jaa kote ulimwenguni, mpaka tunsahau Mungu yuaja hivi karibuni na ujira mkononi, Asante mtumishi
Mungu nisaidie nakuomba nisaidie ktk maish na mienendo yangu unisafishe katik roho wako mtakatifu, nikujue zaid , ufanye jambo jipya katika njia na mapito ya ulimwengu.❤
Yesu wangu naomb a unisamehe makosa yangu...futa jina langu kwa kitabu ya mauti andika jina langu kwakitabu ya uzima wamilele jina lako nitalitukuza milele na milele
MUNGU wetu nakuomba unisaidie niishi maisha ya kukupendeza wewe nakuomba MUNGU 🙏😭tusaidie waona hatuwezi bila wewe tuhurumie tuishi maisha ya kukupenzeza wewe.
Bila Mungu ss si lolote ,so chochote.
Na Dunia tulimo ni tambara bovu na kuti kavu yaani maangamizi.
Ee Yesu tukumbatie Mikonon mwako...
Bwana Yesu asante kwa Ushuhuda huu, tujalie kufika kwako kwenye utukufu mkuu🙏
Mungu naomba mwisho mwema nakutenda mema kwahidunia
Yesu naomba nisaidiee niwezee kuingia kwenye mji udumuoo milele na kufurahiii milelee yote
Yesu naomba niwezeshee kuishi maisha matakatifu ya kukupendeza wewe
Eeee Mungu wangu uni wezeshe niishi maisha y’a ku ku pendeza , na unipe mwisho muzuri kwa jina la yesu kristo. Amen 🙏
😭😭😭 eeMungu nisamhee dhambi zangu na unipe mwisho mwema eeBwana 🙏💖 Mungu awabariki Sana AMINA 🙏
❤
Bwana YESU KRISTO aachilie msamaha kamili ndani yangu nipate kulithi mbingu ktk jina kuu la YESU KRISTO Amina
Bwana Yesu,umesema nami,naomba unisaidie kukuishi wewe,ili siku hiyo niwe miongoni mwa mabibi arusi
Asante kwa ushuhuda hii Leo ninageuka na kumurundia Yesu Kristo
Amen Amen Amen Mungu akubariki
Ubarikiwe sana
Bwana Yesu nisaidie mimi na uzao wangu na ndugu zangu tuwe na mwisho mwema wa kukutana na kukaa na Bwana Yesu Kristo kwenye ufalme wa mbinguni.
Ohh my God, MUNGU nipe kukujua wewe na unionyeshe njia zako maana bila wewe yesu siwez maana safari ni ngumu sana karibu ndani mwangu na usafishe moyo wangu
Yesu nipe kushinda ondoa dhambi zangu nipe Moyo wa kuyaishi uyapendayo nipe kukupenda hatimae nikuone🙏
Yesu nipe kukupenda na kukuishi wewe ❤
@@dafrozaraphael5547 😊 y 😅
Yesu nikumbuke kwenye ufalme wako
Yyfyh6yhy yyyyh hhh😢
Yesu naomba niwezeshee kuishi maisha matakatifu ya kukupendeza wewe
Nisamehe makosa yangu yote nirehemu nitakase. yote niliyofanya kinyume na mapenzi yako.NAKUHITAJI BABA NAKUITA MUNGU WANGU.
😊
Oh my God.... I have listened carefully. Everything in this testimony is biblical. I have experienced some incidences in my dreams. I need you oh God more than anything else here on earth.
God is everything in our lives.
May we pray to the Holy spirit to lead us to know him well and his ways better!
Be blessed in Jesus name!
Nice testimony Eeeeh Mungu nisaidie kujitakasa ili ni iishi na wewe milele na milele
Ushuhuda huu ni wa kweli. YESU KRISTO WA NAZARETH Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana utukuzwe milele.
God bless John Paul in Jesus name, amen
Aissee Yaani ninajutia Sana mda niliopoteza kwenye uganga na wizi na uchawi
Mungu akubariki sana
Yesu nisaidie mwanao niweze kuingia katika uzima wa milele🙏🏼
Create in me a Clean Heart Oh God and renew a right spirit within me...
So that l can have a Golden chance to worship forever ni Heaven! AMEN.
Eeeeh Bwana Yesu naomba unipe mwisho mwema 😭🙏
Yesu naomba unirehemu, nisaidie nimalize mwendo salama.
Mmh mungu atusaidie tufike kwake tusipotee
So amazing ,I try to listen well and carefull may God protect us🙏🙏
MUNGU wambinguni atusaidiye tusiikose mbingu sifa nashukran tunamregesheya MUNGU wambinguni Amina
Promover Tv
Mungu Awabarikieni
Tuna barikiwa Sana,Mungu awatie nguvu katika huduma hii
Unabarikiwa?na uongo kwani ujuwi kwamba wafu hawajuwi. Neno huku unajiita pasta
Yesu naomba msamaha wa dhambi. Nioshe na damu Yako Yesu
Bora niamini mungu yupo alafu nisimkute,,, nageuka naacha maovu kuanzia Leo ee MUNGU nisaidie
Njoo kwangu eeh Yesu wangu nakuhitaji katika maisha yangu .
Thanks for the testmony be blessed
Amen 🙏 YESU atuwezeshe
Ameen asante kwa ujumbe huu hakika .nimejuwa mengi na na omba mungu aniwezeshe yale nisiyoyaweza
Amen amen.....What a beautiful testimony...Life is spiritual. Heaven and hell is real...and Jesus is the only way to heaven....
I believe and agree with you!
May God save us from all evil in this world!
Amina Ee Mungu mwenyezi tusaidie tuya tende Yale mema ili tuweze kushiriki nawe kwenye huo mji Mtakatifu wadhahabu Ee mwana wa Mungu tupe nguvu na ujasiri wa kupambana na yule imbilisi shalom
May Jehovah God help us,this are times of repentance and Holiness, revelation 22:11-14.
Mimi ni mwenje zambi nakuja kwako Bwana wangu' nioshe thambi zangu niuone ufalme wako. Na uimidiwe Bwana Yesu kristo !!
Amen 🙏🙌 am humble Man of God more anointing more Grace as you continue with the work of God 🙏 Amen shalom
Mwenyezi Mungu atutetee na atupiganie.😢
EE YESU NAOMBA NIKUJUE ZAIDI NIWEZE KUSOMA NENO LAKO, NIWE NA HEKIMA NA BUSARA NIWEZE KUKUJUA ZAIDI NIWEZE KUPONYA WATU ,KUSAIDIA YATIMA NA WASIOJIWEZA.NIWEZESHE BABA
Good help to inherit the kingdom of God
Oooh my God ushuhuda mzuri sana hakika huu ushuhuda umenijenga sana katika kiimani yangu asante sana Amen 🙏🙏
Mungu nisamehe makosa yangu yote, naomba Bwana Yesu msada wako
Soo touching,Yesu naomba nikutana na wewe
Asante Mungu atujalie neema ya kutunza Imani zetu
Mungu unisame Zambi zangu zote, unirehemu
Ewe MWENYEZI MUNGU nisaidie nikae katika njia zako🙏
Amen 🙏 ..
Napenda kuskiza shuhuda kama hizi, zinajenga Imani. Atleast ukiambia watu mbinguni ni ukweli, na jehanamu ni ukweli pia. Mtu achague njia yake kwa sababu wokovu ni mtu binafsi.
Jiulize swali tangu lini ulisikia MTU ameendambinguni akarudi?
@christianmarkus3482 Where do you come from? Continue arguing, that's your own problem. Have you never heard that someone died and, after some time, resurrected again? These things do happen. Heaven is real, and he'll is real too. Choose your path wisely, and stop arguing about things that do not help you .
Such a moving testimony Godbless you jactan and may God help us live in His likeness eventually inherit His kingdom
Amen amen
@@PromovertvTz I Www awWaWWWWWWWWWWW amina aaaA
Amina mungu atujalie na sis pia tuhuone hufalme wa mungu
Napenda kujua zaidi kuhusu mambo ya kimungu
Waa aliponea chupu chupu Mungu tusaidie tuwe niwenye kuenenda sawa sawa na sheria zako
Yesu zidi kutusameha Na kutakaza mioyo yetu . AMEN yesu pkea Sifa Kwa ujumbe Huu.promover tvhongereni.
😅
Amen Amen 🙏 🙌 natimai kuna part 2 my brother jactan be blessed with all ur team nawapenda bure
Mungu wa nakuomba onisamee kwa yale yote mambaya nimetenda mbele zako.Akika ww ni nuru na mwangza wa uzima wa milele. Naomba oni saidi kurejesha nafusi yangu iliopotea jambini.nisaidi niwe mtu wa ukweli mbeli zako hapa duniani na pia binguni.jina lako linuliwe milele na milele Amini.
Ee Yesu naja mbele yako nikiwa mchafu mtenda dhambi unisamehe makosa na unipokee Babaa,Oo Jesus may you give me a spiritual ears,eyes and understanding to hear what people cannot hear,to see what people cannot see and to understand what people cannot understand in Jesus name
Amen
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa kazi unaoifanya
😢
MUNGU akubariki sana tena sana Glory to God 🙏🙏 kwa ushuhuda huo
Encouraging gospel news thank you promover TV.
Amina mungu akubaliki🙏🙏☀️
God help you and me to see heaven🙏🙏🙏☀️🙂🏃
Yesu kristo anisaidie niingie mji ule na kumwona yesu wangu, anipuguzie shida za Duniani...
Amina Mungu atutie nguvu tubadirike. Tumwamini yeye
Mungu naomba unisamea makosa yanyu najua SI sitahili mbele zako lkn mungu turehem Ili tukaone ufalume wa mungu na nikaingia ufalume wa mungu nikaingia kwenye lango lako eee mungu ni nisamea Ili nione ufalume wako😭😭😭😭🧎🧎🧎🧎🧎🧎
Yesu 2saidie😊😊😊 2tende mapenz yako 2 mwil usitukoxeshe mbingu
Waaa nangopa lkn naomba mungu hanipe nguvu y kushinda ulimwengu huu wa dhambi bila mungu hatuwezi
Ee mwenyezi mungu uturehemu wanao tunaangukia pua utujalie roho ya kujishusha
Ee baba wanao 2saidie mawazo akil njia zetu zifanane nazako mawazo yangu yawe yako yesu2saidie wanao🙏🙏🙏
Bora hata wewe unasema ulikwenda ukamuona na Maria mama wa Yesu❤
Ee mwenyez Mungu nisaidie kuishi maisha matakatifu il nije niulis uzma wa milele
Amen may God open for as ooooh lord
Eeh Yesu nipe imani nishinde ya dunia hii AMINA.
Bwana wangu YESU nipewishi muzuri
Ooh Bwana Yesu nipe neema ya kufika kwako dunia ina mengi magumuu
Eeeh Yesu tunakuomba utuwezeshe
Asente jactan Msafiri kwa ushuhuda kama mimi jigika Sana na mombo ya binguni
Ushuhunda mzuri huyu na nimekawia sana sijawatch of late I was not ok bt now I'm back thanks a lot mtumishi Jactan na promover tv
Ee Bwana naomba rehema na neema yako juu ya maisha yangu! Niyaishi mapenzi yako! Yesu nakuomba 🙏
AMEN MUNGU akutangulie kwa kila jambo
Eee Bwana Yesu naomba unisamehe Mimi mwenye dhambi
YESU NAOMBA KUURITHI UFALME WA MILELE
UNIPE NGUVU ZA KUKUTUMIKIA MUNGU WANGU
UNIPE MWISHO MWEMA NA FAMILIA YANGU
AMINA
Unisamehe makosa yangu yote bwana
Nyie yesu alisema msipo wamini manabi nawakina mussa nawegine hata Kama MTU akitoka mbini hawatamin aminini2
Asante kwa ushuhuda huu
Glory be to God almighty
Ameeeen MUNGU ANA RUDI
Good job
Pamojaa daima
Yesu nisaidie na unisamehe 🙏 niliyokutenda ninayo yajua na nisiyo yajua 😢😢😢😭😭
Utuhurumie eee bwana
Asante sana kwa matumaini haya mapya sikuwa najua kwamba Musa Abraham wakiwa mbinguni miili ya umri mdogo ni upendo ulioje kwetu sisi ambao tumeyasikia haya.
Tuna heri ambao tumeupata huu ujumbe ulio mkuu.
Amen amen
Ameni
AMEN
Mungu naomba unirehemu mimimkosefu naanguka mbele yako
MUNGU nifundishe kukutumainia😢😢
Yesu nakupenda nisamehe yote yasiyo kupendeza kwangu ili nirithi ufalme wa mbinguni mkumbuke mtoto wangu katika uzima wa milele
God your true help me pls
Eee Bwana Yesu nisamehe dhambi zangu, lifute jina langu kwa kitabu cha dhambi na uliandike katika kitabu cha uzima wa milele, nifundushe kutenda yaliyo mema na unionggoze katika njia zako usiniache nikapotea, Amen
🙏🙏yesu Kristo nitakapokata roho malaika wanisafirishe na hill Gari LA mbinguni yesu anikubatie :Mara mingi huwa na huzunika moyoni mwangu ;ila naamini nitamiliki mbingu pamoja na yesu:nisaidie Sana bwana maana siwezi bila ww:
Amen
Balikiwa sana
Ee YESU nisaidie nifike katika uzima wa milele