REV. DR. ELIONA KIMARO: MBEBA KUSUDI LA KUWEPO II

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 11. 2023
  • KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH - IBADA YA EVENING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING* - 16/11/2023.
    KICHWA CHA SOMO: KUSUDI LA KUWEPO"
    "A SENSE OF PURPOSE"
    NENO KUU
    UNAFANYA NINI HAPA?
    WHAT ARE YOU DOING HERE?
    NYI - KYIKYI UWUTA IHA?
    1 Wafalme 19 : 9
    UNAFANYA NINI HAPA?
    NENDA KWENYE KIWANGO CHAKO
    FROM TEST TO TESTIMONY
    MBEBA KUSUDI LA KUWEPO
    Matendo 9 : 36 - 43
    36 Na mwanafunzi mmoja alikuwako Yafa, jina lake Tabitha, tafsiri yake ni Dorkasi (yaani paa); mwanamke huyu alikuwa amejaa matendo mema na sadaka alizozitoa.
    37 Ikawa siku zile akaugua, akafa; hata walipokwisha kumwosha, wakamweka orofani.
    38 Na kwa kuwa mji wa Lida ulikuwa karibu na Yafa, nao wanafunzi wamesikia ya kwamba Petro yuko huko, wakatuma watu wawili kwake, kumsihi na kusema, Usikawie kuja kwetu.
    39 Petro akaondoka akafuatana nao. Alipofika, wakampeleka juu orofani wajane wote wakasimama karibu naye, wakilia na kumwonyesha zile kanzu na nguo alizozishona Dorkasi wakati ule alipokuwa pamoja nao.
    40 Petro akawatoa nje wote, akapiga magoti, akaomba, kisha akaelekea yule maiti, akanena, Tabitha, ondoka. Naye akafumbua macho yake, na alipomwona Petro akajiinua, akaketi.
    41 Akampa mkono, akamwinua; hata akiisha kuwaita wale watakatifu na wajane akamweka mbele yao, hali yu hai.
    42 Ikajulikana katika mji mzima wa Yafa; watu wengi wakamwamini Bwana.
    43 Basi Petro akakaa siku kadha wa kadha huko Yafa, nyumbani mwa mtu mmoja, jina lake Simoni, mtengenezaji wa ngozi.
    Mhubiri : Rev. Dkt. Eliona Kimaro
    Kwa maombi na ushauri :
    Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
    Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053

Komentáře • 12

  • @doreentemba7833
    @doreentemba7833 Před 24 dny

    😇💟✝️🙏🏿

  • @catherinegimbika1545
    @catherinegimbika1545 Před 8 měsíci +1

    Mungu awabariki wabeba kusudi (IT team) wako vizuri mno kama mchungaji wao, Mungu awainueee daima🎉🎉🎉🎉🎉

  • @estharlovely6202
    @estharlovely6202 Před 7 měsíci

    Amen 🙏 🙏 Amen na nimebarikiwa sana Mchungaji

  • @user-cg6oj2nn5v
    @user-cg6oj2nn5v Před 6 měsíci

    😊😊

  • @lightmoshi3131
    @lightmoshi3131 Před 8 měsíci

    Paster Eliona nikama umeniona nakopita na ndugu zangu,yn ni kinapa,yelyeuwiiiii

  • @catherinegimbika1545
    @catherinegimbika1545 Před 8 měsíci

    Vizuri sana mchungaji, nimefurahi sana juu ya kuheshimu wabeba maono

  • @furahamtweve4222
    @furahamtweve4222 Před 8 měsíci

    Amen❤❤❤❤

  • @giftcalleb1597
    @giftcalleb1597 Před 8 měsíci

    Mimi nimebariiiwa san,Nlkua naomba kama itawezekana turushiwe matangazo Mahubir haya kwenye TV maana kunasehem wanatamani kuyasikia na hawana namna yakuyapata online,mfano ikiwekwa kwenye Azam tv au startimes itawafikia watu wengi sana na Jina la bwana litazidi kutukuzwa,Mahubiri Mazuri sana na nnafatilia kila mara sitoki tupu Mungu awabariki sana team nzima ya kijito nyama na mchungaji hakika umebeba kusudi sio tu kwa Watanzania na dunia kwa Ujumla

    • @deborahissaya1601
      @deborahissaya1601 Před 6 měsíci

      Ameen ubarikiwe sana kwa hili wazo naamini wataona comment yako

  • @catherinegimbika1545
    @catherinegimbika1545 Před 8 měsíci

    Yaan like zingeruhusiwa zaidi ya moja, ningelike zisizo na hukomo,

  • @josephlukumaya4223
    @josephlukumaya4223 Před 8 měsíci

    Mbona hii hayonekani vizuri

  • @annamazengo975
    @annamazengo975 Před 8 měsíci

    Haina sauti mbona tusaidieni basi