REV. DR. ELIONA KIMARO: ZITAFAKARI NJIA ZAKO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 11. 2023
  • KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH - IBADA YA EVENING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING - 07/11/2023.
    KICHWA CHA SOMO: KUSUDI LA KUWEPO"
    "A SENSE OF PURPOSE"
    NENO KUU
    UNAFANYA NINI HAPA?
    WHAT ARE YOU DOING HERE?
    NYI - KYIKYI UWUTA IHA?
    1 Wafalme 19 : 9
    UNAFANYA NINI HAPA?
    ZITAFAKARI NJIA ZAKO
    Hagai 1 : 6
    Isaya 55 : 8 - 13

    Hagai 1 : 6
    6 Mmepanda mbegu nyingi mkavuna kidogo; mnakula lakini hamshibi; mnakunywa lakini hamkujazwa na vinywaji; mnajivika nguo lakini hapana aonaye moto; na yeye apataye mshahara apata mshahara ili kuutia katika mfuko uliotoboka-toboka.
    Isaya 55 : 8 - 13

    8 Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema Bwana.
    9 Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.
    10 Maana kama vile mvua ishukavyo, na theluji, kutoka mbinguni, wala hairudi huko; bali huinywesha ardhi, na kuizalisha na kuichipuza, ikampa mtu apandaye mbegu, na mtu alaye chakula;
    11 ndivyo litakavyokuwa neno langu, litokalo katika kinywa changu; halitanirudia bure, bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika mambo yale niliyolituma.
    12 Maana mtatoka kwa furaha, Mtaongozwa kwa amani; Mbele yenu milima na vilima vitatoa nyimbo; Na miti yote ya kondeni itapiga makofi.
    13 Badala ya michongoma utamea msunobari, Na badala ya mibigili, mhadesi; Jambo hili litakuwa la kumpatia Bwana jina, Litakuwa ishara ya milele isiyokatiliwa mbali.

    Mhubiri : Mch. Dr. Eliona Kimaro
    Kwa maombi na ushauri :
    Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
    Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053

Komentáře • 22

  • @Jackson-br2km
    @Jackson-br2km Před 8 měsíci +2

    Africa will remain a beautiful place... Ugaibuni tabu sai baridi hakuna hata raha😢

  • @PriscarLawrence
    @PriscarLawrence Před 23 dny

    Asante Mtumishi kwa Neno,nimebarikiwa,na nimeponywa

  • @felistermoshi5852
    @felistermoshi5852 Před 3 měsíci

    Asante Mchungaji. Neno limenibariki sana. Ubarikiwe

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před 8 měsíci +2

    Mwaka wa kumi mfululizo. Mafungo ya siku 40! BARIKIWA MTUMISHI kwa kazi yako nzuri san.

  • @lilianmuchoki1659
    @lilianmuchoki1659 Před 4 měsíci

    Mungu awe nawe wakati wote

  • @JUDITHAMONDI
    @JUDITHAMONDI Před 8 měsíci +1

    Thank you servant of the most high, I believe that through the message i will never remain the same.

  • @lucresacareen8332
    @lucresacareen8332 Před 4 měsíci

    Baba Mungu azidi kukutunza kwaajili ya vizaz vingi hakika nabarikiwa sana na wewe nipo kwenye msiba mzito wa kaka yangu nimeshinda nasikiliza mafundisho yako kwa muda wa siku tatu aisee nimemuona Mungu

    • @lucresacareen8332
      @lucresacareen8332 Před 4 měsíci

      Mpaka naenda kuzika nasikiliza tuu ..naishi mbeya lakini mimi ni mkristo wako mwaminifu online ingawa mimi n moravian

  • @doreentemba7833
    @doreentemba7833 Před měsícem

    😇🙏🏿

  • @user-ik5kz6gh7n
    @user-ik5kz6gh7n Před 6 měsíci

    Ameni nauona ukuu wa mungu mbele yangu

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 Před 7 měsíci

    Mungu akubariki sana

  • @sylviaprotace8243
    @sylviaprotace8243 Před 8 měsíci

    Ubarikiwe mtumishi

  • @user-xi7xg2tt5v
    @user-xi7xg2tt5v Před 8 měsíci

    Mungu atuunganishe waumini wote katika mafungo haya❤

  • @beatricemsele4844
    @beatricemsele4844 Před 8 měsíci +1

    Nashukuru Kwa mahubiri mazuri mnooo

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před 8 měsíci

    Nkyoki kuketana yaa! Nkiki kuuta iha! AMEN BARIKIWA Baba yetu.

  • @esterstephen7978
    @esterstephen7978 Před 8 měsíci

    Amina

  • @judithgodfrey6503
    @judithgodfrey6503 Před 8 měsíci

    Mndumii nar'umisho mbee. Kama Mungu hasikii maombi ya waliopoteza muelekeo ni nini kinawarudisha kwe mstari? Mwana mpotevu alirudi mwenyewe bila neema ya Ktisto? Je Mungu hakuona mateso yake ya kula na nguruwe na kumpa wazo la kurejea kwa baba yake? Inanitafakarisha Sana🙏

  • @perpetualugendo5230
    @perpetualugendo5230 Před 8 měsíci

    Njii kuketana iya?

  • @wamadenzatv4174
    @wamadenzatv4174 Před 8 měsíci

    Mchunga unauwez mzur wakufafanua vizur na kufundisha vizur

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 Před 8 měsíci

    Samahani mnakata mapema atuombewi pia baraka atupokei najuingamanisha nikiwa Oman