HAIRUSIWI KWA WALIO CHINI YA 18, STERLING MKOJANI FULL BONGO MOVIE
Vložit
- čas přidán 24. 08. 2024
- Tin anamroga mtoto wa dada yake ili aweze kuuza nyumba, anaenda kwa mganga kupata dawa lakini inakuwa tofauti na mategemeo yake
Tin cursed his sister's child so that he could sell the house, and went to seek for help from a witch doctor but things got out of hand.
Tunapatikana kwenye mitandoa ya kijamii kama vile:
/ kingsofbongo
/ kingsofrealbongo
/ kingsofbongo
#CZcamsSwahiliMovie #SwahiliFullMovie2022 #LatestSwahiliMovie2021 #kingsofbongo
Basi sauti isiwe inazimazima ivo. Tunakosa kuskia wanayosema .naomba mjitahidi kurekebisha hilo.Muvi nzuri.
Nzuri sana
Hhaaa hii group noma bana🔥🔥🔥🙏
Chukua remote tuondokee na yy kababa vyatu ya dadake wooooooiiiii nimeipendaaa🔥
Nawapenda Sana kiukweli
Duh! Wanganga jamani!🤔 Tumrudie mungu tu kwake tiba ni bureeee kabisa.
Kali sana naomba pt 2
*Mambo ya DHIKIRI tn KILINGENI😁😁😁 (Mashallah🥰🥰TAMUU)*
"Unakufa tu Mwanangu, hakuna namna" 😃😃😃 mzee Msisiri katishs💥🔥
🤣🤣🤣🤣🤣mganga mtamaa hyuu
Duh mkojan unapendeza ukigiza kwa staili ya kipemba asee
Bora mkituambia mapemaaaa watoto waondoshwe maana
Nime ipenda sana
Nimeipendaaaa
Muvi nzur kwer hongera kwa waandaaji was muvi mmetuandalia muvi tamu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kwenye Kuva viatu Nimecheka
😂😂🤣🤣🤣🤣🙌
Tamaa mbaya🤔
Babu anataka kumuuua 😳😳😳😳
Tusikae kiboya bila kua karibu na Mungu
Safii Sana
😂😂watu wanaitaji fedha we wasema mikopo ya chooni😂😂😂
😀😀😀😀😀hapo mwishoni wanapo mwinua 🤣🤣,tinn bhana
Hairuhusiwi chini ya 18 nn maembe au pesa
Unashindwa kuuza oxygen😂😂😂
#Tinwhit na #mkojani nyieee nishidaaa 😂😂😂😂😂😂😂
Jamani
Waganga sio watu wazuli daahkumbe unaweza kumgeuka mgonjwa malamoja kwasababu yapesa. Kojani naomba part2 Jmn
Jamani jamani tini wewe
🤣🤣🤣🤣🤣 mkojan wee kibok
😂😂😂 haki nyinyi waTZ , ati huyu anasema mganga akiwaitisha kuku atachinja harafu awapatie mkakule mpate vitamin,,,,, 😅 huyu jamaa ni mkonk, anaongea vitu vipo
Movie nzr
Imetisha
Kkkkk Un féticheur qui risquent d'être corrompu.
Je vous aime depuis🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Binadamu wabaya
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Safi sana
1🤸🤸🤸
Kwa mganga kuna faida mtakula kuku ila hospital anameza panadol pekeake😂😂😂😂😂😂😂
Nice movie ❤
Mzee msiriri umekuwa nabii issa
Mjomba ndo kanichekesha🤣🤣🤣
Ahahaaa mjomba balaa
Iyo ni single ausio Kaz Nzurii
❤❤❤❤❤
Magaga uko na tamaa kweli kotekote upo hatari
good movie
Mukojan munazingu kipande kikumbwa hakin saut munaferi san
Kweli ndugu zako ndio adui zako duuuh mjomba kamuua duuuh😢
Ww watak kuku mkojan😂😂😂
Kiloba cha ukiri😂😂😂😂
Nice movie inamafunzo dunia inamambo
🙆🙆🙆 mganga
Da kumbe ndo wanavyotufanyia waganga
hahaha
♥
Zunde wewe namkojani nawakubali sana nawapenda eti kauze oxjen
Vb
Malipo ya dhambi nto hayo mjomba
Kikulacho kiko nguoni mwako
Move nzuri sana inachekesha
Nice movie but huyu jamaa mwanzon kabisa kakwama mahala yaan dada kadondoka then yeye reaction yake it's like yaan mtu alikuwa anajua kabsa kwamba atakufa, yaan unajua kabsa anaigiza
Love it
Mganga tamaa
Hapo ni kupanda kwa dau mwenye dau kubwa ndio mshindi
Hakuna mjomba hapa hahahahaha 😆 🤣 😂 😅 😄
Alipo aladini me sikos
Mganga kusikia milioni 5🏃🏃😂😂😂 jamani Mambo haya🔥🔥💥
Chukua remote tuondoke😅😅😅🤣
baga
Eeee mjomba jaman kwaio alitaka Kila akiomba ela apewe
Vipi mkojan
Kiuu ya kisasasi
Kali sana
Tz
Binadamu
Ila movie nzuri
Duh
Mjomb jmn 😅😅😅😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣CHUKUA REMOTE TUONDOKE
Vb
@@najilealfan3985 wazii
Ina mafunzo
🤣🤣🤣🤣🤣
Duuuh nomasan mganga 🤪🤪🤪🤪
Ungetumia misemo yako yajakulii nangombr hunijui ingekuabomba Zaid.
Mamavb
Kipupwe
😆😆😆😆
😂😂😂😂😂ah ahah ctaki kupigwa nawew
😂😂😂😂😂😂mwisho balaa