HII HAPA RAMANI YA UJENZI WA CHUO CHA UFUNDI HANANG MANYARA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 06. 2024
  • Mkurugenzi wa Miradi TAG Jimbo la Manyara Magharibi Hosea Laja, Akielezea Ujenzi wa Chuo cha Ufundi Cha Jimbo kwa Askofu Mkuu wa Kanisa la TAG Dk. Barnabas Mtokambali baada ya kuweka jiwe la msingi wa Ujenzi wa Chuo hicho kilichopo Kijiji cha Mogitu Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara na Kuahidi kuunga mkono Juhudi za ujenzi huo kwa kutoa Tsh Milioni 100, Huku Mkuu wa Wilaya ya Hanang’ Bi. Almish Issa Hazali akiahidi kuchangia Tsh Laki tano 500k.
    Mahali popote, wakati wowote sikiliza Revival Fm Live Kupitia 91.1Mhz Na App Ya Radio Box Kama Uko Nje Ya Mkoa Wa Manyara.
    Copyright ©️ 2024
    #RevivalDigital
    #Sautiyaasubuhi
    #Mbiuyajamii
    #News
    #Amazingglory
    #Varandani
    #sportshub
    #News
  • Hry

Komentáře •