ASKOFU MKUU WA TAG DKT. MTOKAMBALI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA CHUO CHA UFUNDI HANANG'

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 06. 2024
  • Askofu Mkuu wa Kanisa la TAG Dk. Barnabas Mtokambali ameweka jiwe la msingi wa Ujenzi wa Chuo cha Ufundi Mogitu kilichopo Kata ya Mogitu Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara na Kuahidi kuunga mkono Juhudi za ujenzi huo kwa kutoa Tsh Milioni 100, Huku Mkuu wa Wilaya ya Hanang’ Mhe. Almishi Issa Hazali akiahidi kuchangia Tsh Laki tano 500k.
    .......................................................
    Mahali popote, wakati wowote sikiliza Revival Fm Live Kupitia 91.1Mhz Na App Ya Radio Box Kama Uko Nje Ya Mkoa Wa Manyara.
    Copyright ©️ 2024
    #RevivalDigital
    #Sautiyaasubuhi
    #Mbiuyajamii
    #News
    #Amazingglory
    #Varandani
    #sportshub
    #TAG
    #85
  • Hry

Komentáře •