Subuhanallah. Pole sana kunawatu wanarohombaya. 😭😭Umepitia mengi mazito ipa Allah kakuwekatu naatakulipa. Kwayoote uliyopitia. Cha muhim kuliko yoote fanya ibada sana mshukuru Mungu piajitahidi uwemcha Mungu huijue Diniyako na ufatishe Amriza Allah utafarijika saana na utakua na amani ya Duniani na ahelah.
Kwanza pole kaka kwa yote,ila Nina ombi kwako naomba uwasamehe wazazi wako ,kwa sababu wamekukisea pia Tambua shetani ndiye adui yetu mkubwa kabisa tena ni mshtaki wa ndugu kama neno la Mungu lisemavyo katika Ufunuo ;12:12.Pia kaka jiulize kwanini Mungu kakuacha hai hata sasa,Tambua Mungu ana mpango nawe,samehe uone kusudi la Mungu ,usiposamehe utamzuia Mungu kutenda jambo maishani mwako,tafadhali samehe ,omba Neema ya Mungu ikusaidie kuachilia yote
Matatizo ndo maisha yetu wanaume kauasha ki bingwa wasamehehe madingi kwa vile uko sawa ki wapeleke makka wakatubu zambi zao muachie molla usiwahukumu ww ckulia poa 2❤
Mambo yote utendeka kwa wema,ukiwa tumboni mwa mamako mungu alikujua, kwa shinda zote ulipitia alikujua, kama ungetupwa kwa msitu ungekuwa vile ulivyo, ingawa ungekufa,wasamehe wasasi, ili nao wamjue mungu
Pamoja na majaribu yote uliyopitia, naomba uwasamehe wazazi wako,uishi maisha ya kumcha Mungu ndiyo utaingia mbinguni,kuzimu kaka kunatisha sana,unyoe nywele yako vzr,utupe hiyo Pete ni ya kuzimu,uokoke ya kweli kaka Mungu anakupenda sana
Father do not provide your children to anger but bring them up in the discipline and instruction of the Lord my brother wasamehe tu juu mungu akubariki
Maskin pole Sana I can't imagine maumiv uliyokuwa nayo😭Allah hamtup mja wake Wazaz wamekutupa Alhamdulillah Allah kakustir umepata watu wamekulea Alhamdulillah Ila pole sana unaongea kwauchungu kaka angu Allah atakusimamia Daima Inshaallah nataman kujua Wazaz wake waliishiaj aliwajua au Adi leo hawajui wako wapi😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Subuhanallah. Pole sana kunawatu wanarohombaya. 😭😭Umepitia mengi mazito ipa Allah kakuwekatu naatakulipa. Kwayoote uliyopitia. Cha muhim kuliko yoote fanya ibada sana mshukuru Mungu piajitahidi uwemcha Mungu huijue Diniyako na ufatishe Amriza Allah utafarijika saana na utakua na amani ya Duniani na ahelah.
YAA Rabbi SUBHAANA Llah Kuna watoto wanateseka katika hii Dunia Mola wangu dah imeniuma🤦sanaa pole ndugu yangu,Kuna wanawake wanaroho mbaya jamaniiii
Wasamehe wazazi wako Mungu awe pamoja nayo Bado upo safarin Mungu akupe safari nzuri pole sana
Kwanza pole kaka kwa yote,ila Nina ombi kwako naomba uwasamehe wazazi wako ,kwa sababu wamekukisea pia Tambua shetani ndiye adui yetu mkubwa kabisa tena ni mshtaki wa ndugu kama neno la Mungu lisemavyo katika Ufunuo ;12:12.Pia kaka jiulize kwanini Mungu kakuacha hai hata sasa,Tambua Mungu ana mpango nawe,samehe uone kusudi la Mungu ,usiposamehe utamzuia Mungu kutenda jambo maishani mwako,tafadhali samehe ,omba Neema ya Mungu ikusaidie kuachilia yote
Mungu akupe moyo wa ujasiri na wakusamehe pia
Pole sana kwakweli ila wasamehe tu Mungu atakusamehe na wew pia 😢
Pole mdogo wangu. Wasamehe wazazi maana Mungu aliyaruhusu hayo yatokee ili akuletee msaada wa uponyaji kupitia watu wengine.
Matatizo ndo maisha yetu wanaume kauasha ki bingwa wasamehehe madingi kwa vile uko sawa ki wapeleke makka wakatubu zambi zao muachie molla usiwahukumu ww ckulia poa 2❤
Daaaah😭😭😭😭🙌tumbo lauzazi limenikata.
Mungu aendelee kukutunza namema akuletee
Daa imeniliza kwa kweli inauma Allah akusimamie atakulipa kwa wote ulio pitia akupe subra katika maisha yako
Pole sana brother for all you pass through Dunia haina huruma kweli ......watching from uwarabuni
Nandio maana Mwenyezi Mungu amesema ktk neno lake Baba na Mama yako watakuacha lakini Mimi sitakuacha kamwe
Msimpe kichwa huyu ni mrongo ! Hakuna mama ataetupa mwanae mnafiki huyu
Ahmee
Ahmee
@@maase2023 wamejaa kila siku twaona unabisha nini
@@fatmafatu1128 uswahili umewajaa tu
Pole sana ndugu yangu ila wasamehe wazazi wako endelea kumtegemea mungu
Dunia ni tambala bovu, Mungu akupe amani
Mimi nahanza kukupa lenk zako shayo kabwa Ata kusikiliza hii story upo makini sana na kazi yako 🙏🇹🇿🇬🇷
Pole sana Kaká yangu,wssamehe bure
Pole Kaka kwanyote walio kukosea wewe wasame mungu ndie anajua wamefanya hivyo kwasabaabugani wewe muombe mungu awasame kakatu
Mambo yote utendeka kwa wema,ukiwa tumboni mwa mamako mungu alikujua, kwa shinda zote ulipitia alikujua, kama ungetupwa kwa msitu ungekuwa vile ulivyo, ingawa ungekufa,wasamehe wasasi, ili nao wamjue mungu
Nimelia Sana Kwa uchungu😭😭 pole kijana Allah akupe Amani ya Moyo wako . akika NI mtihani
Pamoja na majaribu yote uliyopitia, naomba uwasamehe wazazi wako,uishi maisha ya kumcha Mungu ndiyo utaingia mbinguni,kuzimu kaka kunatisha sana,unyoe nywele yako vzr,utupe hiyo Pete ni ya kuzimu,uokoke ya kweli kaka Mungu anakupenda sana
l
Pole baba Mungu ni mwema.mpaka nalia jaman
Pole
Pole sana
Subuhaan llah pole san kak wasamehe Mwenyezimungu atakulipia🙏💖💖💖
Subhanallah Pole Sana lkn unatakiwa uwasamehe wazazi wako kila mtu anapitia lile aloandikiwa na mungu
Subahnallah, pole sana brother allah akuongeze kwa kila khatuwa
Wasamehe ilindoto yamungu aliokuwekea litimie Mungu anajambo na wewe
Pole sana mung mwema alikulinda na akakuponya na atakulinda milee❤🎉
Mwanangu wasamehe wazazi wako
Ila mungu atakutangulia ktk maisha yako
Wewe unasema hayajakupata Mimi mamangu anataka kuniuwa na wanangu na sitomsamehe inauma
@@zuhura.suleimanmwamwari3083 mmmh pole umejuaje ss
@@zuhura.suleimanmwamwari3083ww pia umzazi dadaangu usiseme umsamehe mzazi wako omba mungu akupe subra na imani akuna kama mama ingawa unamitian
It's a touching story,but brother believe in god one day he will wipe your teas
Hizo ndio zao waluguru wengi wao si wote kutupa watoto mungu awasamehe
Wasaheme mpendwa hakuna kosa lisilosamehewa Alafu mruhusu Yesu Aingie ndani yako iliaachilie moyo Wa msamaha kwako
Wakwanza assalaam allaykum warahmatullah wabarakatu wapendwa mje TK tv ipo hewani msinisisshwu like zangu nipeniiiiiii 😂🤣🤣🤣🤣🤣
Walaykum msalam warahmatullah wabarakatu
Waykum salaam warahmatu allah wabarakatu
Waallaykum ssallam warahma tullah wabarakatuh
😂😂😂
Waalaikumussalam Warahmatu llahi wabarakatuhu
Polesana kijana wasamehe ili na wewe mungu akusamehe muachie mungu ndiye hakimu wa yote
Pole sana wasamehe ndio njia zako zizidi kifungua. Bure usipo wasamehe njia zako pia zitafunga
Naumia sn ndugu yng nalia kl ukiongea mungu atakupa mazuri mbele
Uwasamehee,bro mapenzi yake Mungu wewe kua haii,unajifungia baraka
Duuuh imenitoa machozi😭
Pole sana brother atakufungulia mambo yako na ukawaone washikwe na haya
Shukran kk tuletee 2 na pole sana kkng kwa matatizo makubwa
Father do not provide your children to anger but bring them up in the discipline and instruction of the Lord my brother wasamehe tu juu mungu akubariki
Aki pole brother mungu angali upande wako kabisaa uciache kumtumikia
Pole sana kaka upo kwaneema ya mungu
Ama kwwri kilakitu kinasababu. Wazaziwako walijua wamekukomoa kumbe wamekufagilia hizozote sababu wakutupe uwokotwe upone. Polesana kwa mitihani iliyokukuta
Ukuu mungu unapojidhihirisha !
Pore sana mugu akupe umri mrefu
Mgongo ni mgoro ,bawasiri ni vinyama mikia midogo au vinyama vinavyoota sehem za haja kubwa
Pole Sana kakaangu
Pole sana kaka ila wasamehe wazazi hujui walipitia nini paka wakafikiya kukutupa
Duh Dunia inamambo hii,,,Pole sana kaka
Wasameh mungu awaadhib na sio wew umsaidie mungu kaz yake
Pole sana
Ai hi ni ujungu sana mbona wazazi wakafanya ivo lakini wasamehe Mungu alikulinda
Pole sana ila wasamehe wazazi wako ili uishi kwa amani
Da wa Nyumbani huyu wamepata wapi roho ngumu hii pole sana
Mhhh jmn pole kaka dahh
Pole baba nimapito yaduniy
Pole sana kaka
Daa inauma sana allah yupo pamoja nawe usijali
pole kwa uliopitia
Pole sana kaka ,wasamehe bure wazazi wako
Pole sana kakangu
Pole sana kaka mpaka nimelia ila mshike mungu sana
Pole brother this story is very painful
Nguvu ya msamaha kwa wazazi wako
Mungu akuepushe hili na jengine mwanaume msuri wametaka lukuwa lol watakufa wao
Mungu ndie mfariji mwema
Pole sana dunia ni mamapiyo
Pole sana my brother 🤲🙏😭😭
We ni mtumishi.mkubwa sana pole sana
Pole
Pole sana Ndugu yangu
Dunia ina mengi jmn
Nimelia sana jaman nashindwa kuvumilia mwenzen
Part2 ijee, kuna uhondo
Sina hata cha kukoment😢😢😢😢 ila Mungu akutie nguvu
Mwendelezo tafazali
Wasameh mungu awahukum pek yao acha na wew kujiongezea dhambi??
Pole sana kijana umenitoa machozi story yako inaumiza moyo
Pole.sana
HAKIKA POLESANA NA MUNGU AENDELEE KUKUPIGANIA HAKIKA INATISHA NIMELIA SANA USHUHUDAWAKO UNATIA SIMANZI SANA
Pole san mdgo wng
Watu wanapitia magumu Aya yamepitiliza 😢
Msamaha ni afya ya roho na mwili, Aliyekulinda wewe ni Mungu, ansyetaka usamehe ni Mungu, samehe na maisha yaendelee.
Polesana kaka
😭😭😭😭Pole mdogo wangu
Mbona mdogo na mwili wake tofauti na umri wake
Hapana ni sawa tu na maisha pia ila co mkubwa
Mdogo kivip kazaliwa 97 hadi 2023 miaka 26 ni sawa wakwangu kazaliwa 99 wanafanana jumbile na wakwangu mdogo
Jmani Stori ya maumivu sana
Mmmh makubwa
Pole Sana Kaka yangu
Pole sana kaka mim nimepitia magumu ila yakwako yamezidi
Mr shayo longtime hope you are doing fny
Maskin pole Sana I can't imagine maumiv uliyokuwa nayo😭Allah hamtup mja wake Wazaz wamekutupa
Alhamdulillah Allah kakustir umepata watu wamekulea Alhamdulillah Ila pole sana unaongea kwauchungu kaka angu Allah atakusimamia Daima Inshaallah nataman kujua Wazaz wake waliishiaj aliwajua au Adi leo hawajui wako wapi😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Walimu pia wawe karibu Sana na watt.Mfano mtt anapitia magumu Hana wa kumwambia.Mwalimu unampigaaaaaaaa anaongezea maumivu yake
Bt Jua ww hauwezi laani wazazi wako ata ufanye nn chamsingi ww jipe shuguli achana nao
Mungu anampango na weww
Pole sana mdogo wangu daah 😭😭😭
Pole sana jamani mkaka umeniliza😭😭😭😭😭🙆♀️
Wasemehe tuu. Mungu anamakusudi yake
Miaka saba unakumbuka mpk muda, mmmmmmh
Wasamehe mdogo wangu kwa faida yako sio kwa faida yao usiichukue hiyo laana
Polesana dakunawatu wanaroho yakishehetani
Daaaah MUNGU weee😭😭😭😭😭
Kila Muungwana atasema uwasamehe nami nasema hivyohivyo
You should release your bitterness,samehe Saba mara sabini plis