SITAWASAMEHE WAZAZI WANGU WALIAMUA KUNIUA ILI WA..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 04. 2023
  • SITAWASAMEHE WAZAZI WANGU WALIAMUA KUNIUA ILI WA..
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    #SITAWASAMEHEWAZAZIWANGU #KWAUNYAMAWALIONIFANYIA #WALIAMUAKUINUA #WANAJUANIMEKUFAKUMENIPOHAI #tikitvkiakilizaidi
  • Zábava

Komentáře • 196

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před rokem +7

    Subuhanallah. Pole sana kunawatu wanarohombaya. 😭😭Umepitia mengi mazito ipa Allah kakuwekatu naatakulipa. Kwayoote uliyopitia. Cha muhim kuliko yoote fanya ibada sana mshukuru Mungu piajitahidi uwemcha Mungu huijue Diniyako na ufatishe Amriza Allah utafarijika saana na utakua na amani ya Duniani na ahelah.

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 Před rokem +6

    YAA Rabbi SUBHAANA Llah Kuna watoto wanateseka katika hii Dunia Mola wangu dah imeniuma🤦sanaa pole ndugu yangu,Kuna wanawake wanaroho mbaya jamaniiii

  • @felistertesha6042
    @felistertesha6042 Před rokem +3

    Wasamehe wazazi wako Mungu awe pamoja nayo Bado upo safarin Mungu akupe safari nzuri pole sana

  • @ElizabethMrosso-su9ec
    @ElizabethMrosso-su9ec Před rokem +5

    Kwanza pole kaka kwa yote,ila Nina ombi kwako naomba uwasamehe wazazi wako ,kwa sababu wamekukisea pia Tambua shetani ndiye adui yetu mkubwa kabisa tena ni mshtaki wa ndugu kama neno la Mungu lisemavyo katika Ufunuo ;12:12.Pia kaka jiulize kwanini Mungu kakuacha hai hata sasa,Tambua Mungu ana mpango nawe,samehe uone kusudi la Mungu ,usiposamehe utamzuia Mungu kutenda jambo maishani mwako,tafadhali samehe ,omba Neema ya Mungu ikusaidie kuachilia yote

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Před rokem +10

    Pole sana kwakweli ila wasamehe tu Mungu atakusamehe na wew pia 😢

  • @malkialazaro6676
    @malkialazaro6676 Před rokem +2

    Pole mdogo wangu. Wasamehe wazazi maana Mungu aliyaruhusu hayo yatokee ili akuletee msaada wa uponyaji kupitia watu wengine.

  • @user-ud3ws3lz8i
    @user-ud3ws3lz8i Před rokem +3

    Matatizo ndo maisha yetu wanaume kauasha ki bingwa wasamehehe madingi kwa vile uko sawa ki wapeleke makka wakatubu zambi zao muachie molla usiwahukumu ww ckulia poa 2❤

  • @yasmincharles8495
    @yasmincharles8495 Před rokem +2

    Daaaah😭😭😭😭🙌tumbo lauzazi limenikata.
    Mungu aendelee kukutunza namema akuletee

  • @user-uh8bk5mj6e
    @user-uh8bk5mj6e Před rokem +2

    Daa imeniliza kwa kweli inauma Allah akusimamie atakulipa kwa wote ulio pitia akupe subra katika maisha yako

  • @rebeccamaunde4085
    @rebeccamaunde4085 Před rokem +3

    Pole sana brother for all you pass through Dunia haina huruma kweli ......watching from uwarabuni

  • @veronicamwaseba7839
    @veronicamwaseba7839 Před rokem +9

    Nandio maana Mwenyezi Mungu amesema ktk neno lake Baba na Mama yako watakuacha lakini Mimi sitakuacha kamwe

  • @mwanaidwakanai1125
    @mwanaidwakanai1125 Před rokem +2

    Pole sana ndugu yangu ila wasamehe wazazi wako endelea kumtegemea mungu

  • @rosemarymwakitwange6257
    @rosemarymwakitwange6257 Před rokem +4

    Dunia ni tambala bovu, Mungu akupe amani

  • @kotadapotar5094
    @kotadapotar5094 Před rokem +3

    Mimi nahanza kukupa lenk zako shayo kabwa Ata kusikiliza hii story upo makini sana na kazi yako 🙏🇹🇿🇬🇷

  • @JuliaDalepaDalepa
    @JuliaDalepaDalepa Před 12 dny

    Pole sana Kaká yangu,wssamehe bure

  • @user-nv6nq3dq9c
    @user-nv6nq3dq9c Před 7 měsíci

    Pole Kaka kwanyote walio kukosea wewe wasame mungu ndie anajua wamefanya hivyo kwasabaabugani wewe muombe mungu awasame kakatu

  • @user-bk4jd5vr1p
    @user-bk4jd5vr1p Před rokem +1

    Mambo yote utendeka kwa wema,ukiwa tumboni mwa mamako mungu alikujua, kwa shinda zote ulipitia alikujua, kama ungetupwa kwa msitu ungekuwa vile ulivyo, ingawa ungekufa,wasamehe wasasi, ili nao wamjue mungu

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Před rokem +1

    Nimelia Sana Kwa uchungu😭😭 pole kijana Allah akupe Amani ya Moyo wako . akika NI mtihani

  • @dokasa9176
    @dokasa9176 Před rokem +1

    Pamoja na majaribu yote uliyopitia, naomba uwasamehe wazazi wako,uishi maisha ya kumcha Mungu ndiyo utaingia mbinguni,kuzimu kaka kunatisha sana,unyoe nywele yako vzr,utupe hiyo Pete ni ya kuzimu,uokoke ya kweli kaka Mungu anakupenda sana

  • @halimaiddy8691
    @halimaiddy8691 Před rokem

    Subuhaan llah pole san kak wasamehe Mwenyezimungu atakulipia🙏💖💖💖

  • @sadakimwaki9791
    @sadakimwaki9791 Před rokem +2

    Subhanallah Pole Sana lkn unatakiwa uwasamehe wazazi wako kila mtu anapitia lile aloandikiwa na mungu

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 Před rokem +2

    Subahnallah, pole sana brother allah akuongeze kwa kila khatuwa

  • @ANUSIATHACLEMENCE-mb4oy
    @ANUSIATHACLEMENCE-mb4oy Před rokem +1

    Wasamehe ilindoto yamungu aliokuwekea litimie Mungu anajambo na wewe

  • @user-yz9vd3yb4p
    @user-yz9vd3yb4p Před rokem

    Pole sana mung mwema alikulinda na akakuponya na atakulinda milee❤🎉

  • @zakiambwana1911
    @zakiambwana1911 Před rokem +3

    Mwanangu wasamehe wazazi wako
    Ila mungu atakutangulia ktk maisha yako

    • @zuhura.suleimanmwamwari3083
      @zuhura.suleimanmwamwari3083 Před rokem +1

      Wewe unasema hayajakupata Mimi mamangu anataka kuniuwa na wanangu na sitomsamehe inauma

    • @mosiuledi4598
      @mosiuledi4598 Před rokem +1

      @@zuhura.suleimanmwamwari3083 mmmh pole umejuaje ss

    • @ummiissaabdulissaabdul8117
      @ummiissaabdulissaabdul8117 Před rokem

      ​@@zuhura.suleimanmwamwari3083ww pia umzazi dadaangu usiseme umsamehe mzazi wako omba mungu akupe subra na imani akuna kama mama ingawa unamitian

  • @merrylin1359
    @merrylin1359 Před rokem +3

    It's a touching story,but brother believe in god one day he will wipe your teas

  • @arafahhh5574
    @arafahhh5574 Před rokem +2

    Hizo ndio zao waluguru wengi wao si wote kutupa watoto mungu awasamehe

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Před rokem +1

    Wasaheme mpendwa hakuna kosa lisilosamehewa Alafu mruhusu Yesu Aingie ndani yako iliaachilie moyo Wa msamaha kwako

  • @azizaaziza7996
    @azizaaziza7996 Před rokem +23

    Wakwanza assalaam allaykum warahmatullah wabarakatu wapendwa mje TK tv ipo hewani msinisisshwu like zangu nipeniiiiiii 😂🤣🤣🤣🤣🤣

  • @lucymwanakatwe164
    @lucymwanakatwe164 Před 3 měsíci

    Polesana kijana wasamehe ili na wewe mungu akusamehe muachie mungu ndiye hakimu wa yote

  • @JenitrexMikalianix-hz1rj

    Pole sana wasamehe ndio njia zako zizidi kifungua. Bure usipo wasamehe njia zako pia zitafunga

  • @user-ru1qb6hv2k
    @user-ru1qb6hv2k Před rokem +1

    Naumia sn ndugu yng nalia kl ukiongea mungu atakupa mazuri mbele

  • @kaithamoit8748
    @kaithamoit8748 Před rokem +1

    Uwasamehee,bro mapenzi yake Mungu wewe kua haii,unajifungia baraka

  • @monabweniz
    @monabweniz Před rokem +5

    Duuuh imenitoa machozi😭

  • @nuruommy
    @nuruommy Před rokem +1

    Pole sana brother atakufungulia mambo yako na ukawaone washikwe na haya

  • @user-uh8bk5mj6e
    @user-uh8bk5mj6e Před rokem

    Shukran kk tuletee 2 na pole sana kkng kwa matatizo makubwa

  • @lilianwambui1035
    @lilianwambui1035 Před rokem +4

    Father do not provide your children to anger but bring them up in the discipline and instruction of the Lord my brother wasamehe tu juu mungu akubariki

  • @phelisterschelimo
    @phelisterschelimo Před rokem

    Aki pole brother mungu angali upande wako kabisaa uciache kumtumikia

  • @wettykznznhuioploko1571

    Pole sana kaka upo kwaneema ya mungu

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před rokem +1

    Ama kwwri kilakitu kinasababu. Wazaziwako walijua wamekukomoa kumbe wamekufagilia hizozote sababu wakutupe uwokotwe upone. Polesana kwa mitihani iliyokukuta

  • @hono1232
    @hono1232 Před rokem +1

    Ukuu mungu unapojidhihirisha !

  • @user-dl1gy9pe1g
    @user-dl1gy9pe1g Před 7 měsíci

    Pore sana mugu akupe umri mrefu

  • @drallicemugasa3086
    @drallicemugasa3086 Před rokem +1

    Mgongo ni mgoro ,bawasiri ni vinyama mikia midogo au vinyama vinavyoota sehem za haja kubwa

  • @Rahmajohn-ix3lh
    @Rahmajohn-ix3lh Před rokem

    Pole Sana kakaangu

  • @user-dp4vn2it6h
    @user-dp4vn2it6h Před rokem

    Pole sana kaka ila wasamehe wazazi hujui walipitia nini paka wakafikiya kukutupa

  • @stellah3844
    @stellah3844 Před rokem +1

    Duh Dunia inamambo hii,,,Pole sana kaka

  • @user-uq5sb9zv3g
    @user-uq5sb9zv3g Před rokem

    Wasameh mungu awaadhib na sio wew umsaidie mungu kaz yake

  • @mabulamasunga7378
    @mabulamasunga7378 Před rokem +1

    Pole sana

  • @linahmutende-zv4ns
    @linahmutende-zv4ns Před rokem +1

    Ai hi ni ujungu sana mbona wazazi wakafanya ivo lakini wasamehe Mungu alikulinda

  • @janesanga3727
    @janesanga3727 Před rokem +1

    Pole sana ila wasamehe wazazi wako ili uishi kwa amani

  • @theresiakunambi5376
    @theresiakunambi5376 Před rokem +1

    Da wa Nyumbani huyu wamepata wapi roho ngumu hii pole sana

  • @suraiyahhussein3608
    @suraiyahhussein3608 Před rokem +2

    Mhhh jmn pole kaka dahh

  • @aziza9093
    @aziza9093 Před rokem +1

    Pole baba nimapito yaduniy

  • @yunceyoely
    @yunceyoely Před rokem

    Pole sana kaka

  • @mwazaniabdullah420
    @mwazaniabdullah420 Před rokem

    Daa inauma sana allah yupo pamoja nawe usijali

  • @GivenJames-ze6hb
    @GivenJames-ze6hb Před rokem

    pole kwa uliopitia

  • @sarazephania7669
    @sarazephania7669 Před rokem

    Pole sana kaka ,wasamehe bure wazazi wako

  • @evalyinesalama2535
    @evalyinesalama2535 Před rokem

    Pole sana kakangu

  • @maisaalawy8549
    @maisaalawy8549 Před rokem

    Pole sana kaka mpaka nimelia ila mshike mungu sana

  • @valerineval3233
    @valerineval3233 Před rokem +1

    Pole brother this story is very painful

  • @princes6045
    @princes6045 Před rokem +1

    Nguvu ya msamaha kwa wazazi wako

  • @user-ru1qb6hv2k
    @user-ru1qb6hv2k Před rokem

    Mungu akuepushe hili na jengine mwanaume msuri wametaka lukuwa lol watakufa wao

  • @tracietanui1783
    @tracietanui1783 Před rokem +1

    Mungu ndie mfariji mwema

  • @hamisathadeo4870
    @hamisathadeo4870 Před rokem +1

    Pole sana dunia ni mamapiyo

  • @habibaraphael6583
    @habibaraphael6583 Před rokem +1

    Pole sana my brother 🤲🙏😭😭

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Před rokem

    We ni mtumishi.mkubwa sana pole sana

  • @LydiaSawe
    @LydiaSawe Před rokem

    Pole

  • @jumannekingu68
    @jumannekingu68 Před rokem

    Pole sana Ndugu yangu

  • @suraiyahhussein3608
    @suraiyahhussein3608 Před rokem +2

    Dunia ina mengi jmn

  • @joharijuma1876
    @joharijuma1876 Před rokem

    Nimelia sana jaman nashindwa kuvumilia mwenzen

  • @kazungukakio9600
    @kazungukakio9600 Před rokem +1

    Part2 ijee, kuna uhondo

  • @ShabaniBinuu-dr1lp
    @ShabaniBinuu-dr1lp Před rokem +1

    Sina hata cha kukoment😢😢😢😢 ila Mungu akutie nguvu

  • @wettykznznhuioploko1571

    Mwendelezo tafazali

  • @user-uq5sb9zv3g
    @user-uq5sb9zv3g Před rokem

    Wasameh mungu awahukum pek yao acha na wew kujiongezea dhambi??

  • @bahatikyusa8864
    @bahatikyusa8864 Před rokem

    Pole sana kijana umenitoa machozi story yako inaumiza moyo

  • @fatuma5208
    @fatuma5208 Před rokem

    Pole.sana

  • @user-dt9uv3hj6n
    @user-dt9uv3hj6n Před rokem

    HAKIKA POLESANA NA MUNGU AENDELEE KUKUPIGANIA HAKIKA INATISHA NIMELIA SANA USHUHUDAWAKO UNATIA SIMANZI SANA

  • @faudhahamisi7588
    @faudhahamisi7588 Před rokem

    Pole san mdgo wng

  • @stelamwakatulile2455
    @stelamwakatulile2455 Před rokem +1

    Watu wanapitia magumu Aya yamepitiliza 😢

  • @deogratiashaule8958
    @deogratiashaule8958 Před rokem +3

    Msamaha ni afya ya roho na mwili, Aliyekulinda wewe ni Mungu, ansyetaka usamehe ni Mungu, samehe na maisha yaendelee.

  • @allymwanga8253
    @allymwanga8253 Před rokem

    Polesana kaka

  • @zikenims6167
    @zikenims6167 Před rokem +2

    😭😭😭😭Pole mdogo wangu

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat Před rokem +1

    Mbona mdogo na mwili wake tofauti na umri wake

    • @rosemilingi7860
      @rosemilingi7860 Před rokem

      Hapana ni sawa tu na maisha pia ila co mkubwa

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d Před rokem

      Mdogo kivip kazaliwa 97 hadi 2023 miaka 26 ni sawa wakwangu kazaliwa 99 wanafanana jumbile na wakwangu mdogo

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Před rokem

    Jmani Stori ya maumivu sana

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 Před rokem

    Mmmh makubwa

  • @winifiridamayala4692
    @winifiridamayala4692 Před rokem

    Pole Sana Kaka yangu

    • @pillyally2605
      @pillyally2605 Před rokem

      Pole sana kaka mim nimepitia magumu ila yakwako yamezidi

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 Před rokem

    Mr shayo longtime hope you are doing fny

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 Před rokem

    Maskin pole Sana I can't imagine maumiv uliyokuwa nayo😭Allah hamtup mja wake Wazaz wamekutupa
    Alhamdulillah Allah kakustir umepata watu wamekulea Alhamdulillah Ila pole sana unaongea kwauchungu kaka angu Allah atakusimamia Daima Inshaallah nataman kujua Wazaz wake waliishiaj aliwajua au Adi leo hawajui wako wapi😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @sophiajonas2090
    @sophiajonas2090 Před rokem

    Walimu pia wawe karibu Sana na watt.Mfano mtt anapitia magumu Hana wa kumwambia.Mwalimu unampigaaaaaaaa anaongezea maumivu yake

  • @kweyujohn16kweyu87
    @kweyujohn16kweyu87 Před rokem

    Bt Jua ww hauwezi laani wazazi wako ata ufanye nn chamsingi ww jipe shuguli achana nao

  • @user-yw1oz2rc1n
    @user-yw1oz2rc1n Před rokem

    Mungu anampango na weww

  • @lilyrose7983
    @lilyrose7983 Před rokem

    Pole sana mdogo wangu daah 😭😭😭

  • @OmanOman-pt2nx
    @OmanOman-pt2nx Před rokem

    Pole sana jamani mkaka umeniliza😭😭😭😭😭🙆‍♀️

  • @rukiamasayanyika2284
    @rukiamasayanyika2284 Před rokem

    Wasemehe tuu. Mungu anamakusudi yake

  • @berthamahangila4462
    @berthamahangila4462 Před rokem

    Miaka saba unakumbuka mpk muda, mmmmmmh

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Před rokem

    Wasamehe mdogo wangu kwa faida yako sio kwa faida yao usiichukue hiyo laana

  • @maimonamaimona1177
    @maimonamaimona1177 Před rokem

    Polesana dakunawatu wanaroho yakishehetani

  • @mosiuledi4598
    @mosiuledi4598 Před rokem

    Daaaah MUNGU weee😭😭😭😭😭

  • @mtumwasamaki
    @mtumwasamaki Před rokem

    Kila Muungwana atasema uwasamehe nami nasema hivyohivyo

  • @AgnesNdunge-yx3dl
    @AgnesNdunge-yx3dl Před rokem

    You should release your bitterness,samehe Saba mara sabini plis