UCHAGUZI WA GARI KWA KIGEZO CHA UPATIKANAJI WA SPARE PARTS BY KYANDO MJ

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 04. 2020
  • Tuzingatie upatikanaji wa vipuri wakati wa kununua gari

Komentáře • 17

  • @bensonswai7575
    @bensonswai7575 Před 2 lety

    Naomba uweleze kidogo kuhusu range rover

  • @jack2010ization
    @jack2010ization Před 4 lety +1

    Upo vizuri safi sana

  • @simongenius8178
    @simongenius8178 Před 2 lety

    Kwann gari zinapewa namba A,B,C,D

  • @naphetkisigo4553
    @naphetkisigo4553 Před 3 lety

    Bàrikiwa sana kwa elimu!

  • @hermanlubapula64
    @hermanlubapula64 Před 3 lety

    Asante Sana kwa elimu nzuri juu ya vyombo vya Moto. Naomba nijue zaidi juu ya Nissan X trail

  • @evancekaganda1250
    @evancekaganda1250 Před 3 lety

    Mwandisi asante kwa shule nzuri naomba ushauri wako juu ya gari aina ya spacial

  • @nicholaussatielnkondo8966

    Habari za kazi ndugu, mi nataka unifahamishe kuna gari nalipenda ambalo ni Toyota mark 2 grande hivyo nahitaji ushauri Kwani ninatarajia kumiliki gari kwa mara ya kwanza. Nielimishe juu ya uimara na matumizi ya mafuta ikoje. Ahsante kwa msaaada

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa1082 Před 3 lety

    Mhandisi Kyando asante kwa darasa la vipuri.Napenda kuuliza je ni aina gani ya magari vipuri vinapatikana na aina gani vipuri hadi kuagiza nje nchi?

  • @maryaloyce5715
    @maryaloyce5715 Před 2 lety

    Sawa braza nimekuelewa .Mimi nikuwa nataka kununua voklswage polo au golf kwa utaalamu wako spare zinapatikana? Asante sanaa

  • @adammsemakweliministry394

    Mwalimu nashukuru sana kwa masomo,lakini naomba masahada ni wapi naweza kupima gari nzima kujuwa matatizo kwa jumla pia ni jue gereji yako ikowapi?

  • @michaelpeter9513
    @michaelpeter9513 Před 3 lety

    Punguza sauti ya background mziki ili tusikie vzur!

  • @freddieelice6377
    @freddieelice6377 Před 3 lety

    Kala. Naomba ushauli, nataka kununuwa Toyota porte!!... Uzoefu wako upoje wa hii gar.

    • @freddieelice6377
      @freddieelice6377 Před 3 lety

      @@kyandotv1468 asante, nimeona ina Vvt-i engine, hopefully vipuli vyake vinapatikana kwa urahisi hapa dar es salaam !...?

  • @dojachomoka7643
    @dojachomoka7643 Před 3 lety

    Tafuta siku kaka uizungumzie Nissan xtrail uzuri wake na changamoto zake nakuelewa sana

  • @joshuambiaji9808
    @joshuambiaji9808 Před 3 lety

    Engineer Kyando Hongera Sana we ni mwalimu mzuri sana nimeanza kukufuatilia huu ni mwaka wa nne naomba uendelee tu kutupa masomo kama haya maana tuko tunaopenda sana kazi yako na naamini ipo siku utafurahia kupata mhitimu ambae umemfundisha kupitia Online TV yako
    Please ongeza masomo, pia share na mimi email yako na namba ya WhatsApp nina jambo la kusema na wewe. Respond kupitia mbiajijoh@gmail.com simu +255762878306
    Asante!