Habari za kazi ndugu, mi nataka unifahamishe kuna gari nalipenda ambalo ni Toyota mark 2 grande hivyo nahitaji ushauri Kwani ninatarajia kumiliki gari kwa mara ya kwanza. Nielimishe juu ya uimara na matumizi ya mafuta ikoje. Ahsante kwa msaaada
Engineer Kyando Hongera Sana we ni mwalimu mzuri sana nimeanza kukufuatilia huu ni mwaka wa nne naomba uendelee tu kutupa masomo kama haya maana tuko tunaopenda sana kazi yako na naamini ipo siku utafurahia kupata mhitimu ambae umemfundisha kupitia Online TV yako Please ongeza masomo, pia share na mimi email yako na namba ya WhatsApp nina jambo la kusema na wewe. Respond kupitia mbiajijoh@gmail.com simu +255762878306 Asante!
Naomba uweleze kidogo kuhusu range rover
Upo vizuri safi sana
Kwann gari zinapewa namba A,B,C,D
Bàrikiwa sana kwa elimu!
Asante Sana kwa elimu nzuri juu ya vyombo vya Moto. Naomba nijue zaidi juu ya Nissan X trail
Mwandisi asante kwa shule nzuri naomba ushauri wako juu ya gari aina ya spacial
Habari za kazi ndugu, mi nataka unifahamishe kuna gari nalipenda ambalo ni Toyota mark 2 grande hivyo nahitaji ushauri Kwani ninatarajia kumiliki gari kwa mara ya kwanza. Nielimishe juu ya uimara na matumizi ya mafuta ikoje. Ahsante kwa msaaada
tuwasiliane. 0762244647
Mhandisi Kyando asante kwa darasa la vipuri.Napenda kuuliza je ni aina gani ya magari vipuri vinapatikana na aina gani vipuri hadi kuagiza nje nchi?
Sawa braza nimekuelewa .Mimi nikuwa nataka kununua voklswage polo au golf kwa utaalamu wako spare zinapatikana? Asante sanaa
Mwalimu nashukuru sana kwa masomo,lakini naomba masahada ni wapi naweza kupima gari nzima kujuwa matatizo kwa jumla pia ni jue gereji yako ikowapi?
Punguza sauti ya background mziki ili tusikie vzur!
Kala. Naomba ushauli, nataka kununuwa Toyota porte!!... Uzoefu wako upoje wa hii gar.
@@kyandotv1468 asante, nimeona ina Vvt-i engine, hopefully vipuli vyake vinapatikana kwa urahisi hapa dar es salaam !...?
Tafuta siku kaka uizungumzie Nissan xtrail uzuri wake na changamoto zake nakuelewa sana
👍
Engineer Kyando Hongera Sana we ni mwalimu mzuri sana nimeanza kukufuatilia huu ni mwaka wa nne naomba uendelee tu kutupa masomo kama haya maana tuko tunaopenda sana kazi yako na naamini ipo siku utafurahia kupata mhitimu ambae umemfundisha kupitia Online TV yako
Please ongeza masomo, pia share na mimi email yako na namba ya WhatsApp nina jambo la kusema na wewe. Respond kupitia mbiajijoh@gmail.com simu +255762878306
Asante!