KYANDO MOTORS TV
KYANDO MOTORS TV
  • 22
  • 223 020
FAHAMU KAZI ZA MFUNIKO WA REJETA (RADIATOR CAP) KWENYE MFUMO WA UPOOZAJI WA INJINI
Mfumo wa upoozaji wa injini unafanya kazi muhimu sana na katika mfumo huo kuna kifaa kinaitwa mfuniko wa rejeta (radiator cap). Mara nyingi kifaa hiki huchukuliwa poa na mafundi na hata watumiaji wa magari. Sasa chukua nafasi na pata muda kidogo sikiliza na kuangalia umuhimu na namna invyofanya kazi. Karibuni Kyando Motors TV
zhlédnutí: 988

Video

KAZI ZA THERMOSTAT KWENYE MFUMO WA UPOOZAJI WA INJINI NA HASARA ZAKE KAMA UTAITOA
zhlédnutí 912Před 5 měsíci
#car #thermostat #automobile Thermostat ni switch inayotumia joto kufanya kazi ya kufunga na kufungua. Mafundi wengi wamekuwa wakitoa kwa kisingizio cha kwamba inatumika kwenye nchi za joto. Pata elimu yake kwa haraka.
NAMNA YA KUKAGUA MFUMO WA BREKI (HATUA KWA HATUA)
zhlédnutí 616Před 5 měsíci
#kyandotv #car #brake BREKI NI MFUMO WA KUDHIBITI MWENDO KASI WA CHOMBO CHA MOTO, KWAHIYO, ILI UWE SALAMA WEWE NA CHOMBO CHAKO PAMOJA NA WATUMIAJI WENGINE WA BARABARA, NI VYEMA UKAWEKA BREKI ZAKO KATIKA HALI USALAMA MUDA WOTE WA MATUMIZI YA GARI LAKO
KARIBU TUJIFUNZE NAMNA YA KUKAGUA DISC BRAKE KWENYE MFUMO WA BRAKE WA DISC ROTOR
zhlédnutí 786Před 6 měsíci
KWENKWENYE VYOMBO VYETU VYA MOTO, BREKI ZINA NAFASI KUBWA YA KUKUEPUSHA NA AJALI NA HATIMAYE KUOKOA MAISHA YAKO, YA WATUMIAJI WENGINE WA BARABARA PAMOJA NA CHOMBO CHAKO KWA UJUMLA. HATAHIVYO, LAZIMA UZITUNZE ILI ZIKUTUNZE - KARIBUNI
DONDOO ZA NAMNA YA KUENDESHA GARI KWA MASAFA MAREFU (LONG DRIVING TIPS)
zhlédnutí 789Před 6 měsíci
KUENDESHA GARI KWA MASAFA MAREFU KUNAHITAJI ELIMU MAALUMU ILI KUTUNZA USALAMA WAKO, CHOBO CHAKO NA MAZINGIRA KWA UJUMLA, KARIBU TUJIFUNZE KWA PAMOJA
TUJIFUNZE MATUMIZI SAHIHI YA DOUBLE ROUND-ABOUT (BARABARA YA MZUNGUKO YA NJIA MBILI)
zhlédnutí 1,9KPřed 7 měsíci
Kyando Motors TV inakuletea somo zuri la matumizi ya double round about ili kuepusha ajali na misongamano isiyo ya lazima. Karibuni
TUJIFUNZE MATUMIZI BORA YA BARABARA YA MZUNGUKO YA NJIA MOJA (SINGLE LANE ROUND ABOUT)
zhlédnutí 2,8KPřed 7 měsíci
Pata elimu ya matumizi bora ya barabara ya mzunguko (round about) ya njia moja ya kuingia na kutoka
TUJIFUNZE KUSOMA GEJI YA JOTO LA ENGINE (ENGINE TEMPERATURE GAUGE)
zhlédnutí 1,3KPřed 7 měsíci
Ni muhimu sana wakati wa kuendesha gari lako kufuatilia joto la injini na kufahamu kiwango chake na kuzuia kuchemka (engine overheat) na kusababisha uharibufu mkubwa. Karibuni sana
TUJIFUNZE NAMNA YA KUENDESHA GARI WAKATI WA USIKU
zhlédnutí 4,5KPřed 8 měsíci
TIPS FOR NIGHT DRIVE #kyandomotorstv #car #nightdrive Kujifunza jinsi ya kuendesha gari kwa usalama wakati wa masaa ya usiku kunaweza kuwa na faida nyingi. Miongoni mwa faida hizo ni uwezo wa kujikinga na hatari zinazoweza kutokea barabarani wakati wa giza. Kuelewa mbinu za kuona vizuri, kutumia taa kwa ufanisi, na kuwa makini zaidi kunaweza kusaidia kuzuia ajali. Pia, kujua namna ya kudhibiti ...
NAMNA YA KUTUNZA GARI LAKO WAKATI MVUA INANYESHA
zhlédnutí 922Před 8 měsíci
FAHAMU NAMNA YA KUTUNZA GARI WAKATI WA MAJIRA YA MVUA
JINSI YA KUENDESHA GARI WAKATI WA MVUA
zhlédnutí 3,9KPřed 8 měsíci
#cars #rain #driving Karibu kwenye video yetu mpya inayozungumzia mbinu bora za kuendesha gari wakati wa hali mbaya ya hewa, haswa wakati wa mvua! Kuendesha gari wakati wa mvua kunaweza kuwa changamoto, lakini katika video hii, tutakufunza hatua za kuchukua ili kuwa salama na kuwa na safari yenye utulivu.
MATUMIZI YA TAA YA OILI YA INJINI (ENGINE OIL LIGHT)
zhlédnutí 1,1KPřed 8 měsíci
JIFUNZE UMUHIMU WA TAA YA OILI YA INJINI ILI ULINDE INJINI YA GARI LAKO
NAMNA YA KUENDESHA GARI YENYE INJINI BARIDI (COLD ENGINE DRIVE)
zhlédnutí 1,4KPřed 8 měsíci
#cold #engine #car
TUNARUDI KWA NGUVU
zhlédnutí 108Před 8 měsíci
TEGEMEA ELIMU YA MAGARI NA USALAMA BARABARANI KILA WIKI SASA
USAFIRI WANGU
zhlédnutí 26KPřed 3 lety
JIFUNZE KUENDESHA GARI KWENYE MAKUTAN0
KYANDO MJ - IFAHAMU AIR CLEANER/FILTER YA INJINI YA GARI LAKO
zhlédnutí 5KPřed 3 lety
KYANDO MJ - IFAHAMU AIR CLEANER/FILTER YA INJINI YA GARI LAKO
ZIJUE ALAMA ZA USALAMA KWENYE GARI LAKO
zhlédnutí 74KPřed 3 lety
ZIJUE ALAMA ZA USALAMA KWENYE GARI LAKO
NAMNA YA KUSOMA NA KUTAMBUA MATUMIZI YA ALAMA ZA KWENYE DASHBOARD BY KYANDO MJ
zhlédnutí 45KPřed 4 lety
NAMNA YA KUSOMA NA KUTAMBUA MATUMIZI YA ALAMA ZA KWENYE DASHBOARD BY KYANDO MJ
UCHAGUZI WA GARI KWA KIGEZO CHA UPATIKANAJI WA SPARE PARTS BY KYANDO MJ
zhlédnutí 2,6KPřed 4 lety
UCHAGUZI WA GARI KWA KIGEZO CHA UPATIKANAJI WA SPARE PARTS BY KYANDO MJ
NAMNA YA KUCHAGUA GARI KWA KIGEZO CHA RANGI BY KYANDO MJ
zhlédnutí 10KPřed 4 lety
NAMNA YA KUCHAGUA GARI KWA KIGEZO CHA RANGI BY KYANDO MJ
UCHAGUZI WA GARI KWA KIGEZO CHA CC
zhlédnutí 38KPřed 4 lety
UCHAGUZI WA GARI KWA KIGEZO CHA CC
Usafiri Wangu TV
zhlédnutí 371Před 4 lety
Usafiri Wangu TV

Komentáře

  • @user-ii7bp1bx8o
    @user-ii7bp1bx8o Před 5 dny

    thanks for instructions ,god bless your heart🙏

  • @ringojunior-t1k
    @ringojunior-t1k Před 6 dny

    nawezaje kujua kwamba namba hii ni sahihi kwenye rejeta ya aina hii??

  • @NEXTDOORALLY
    @NEXTDOORALLY Před 7 dny

    Shukran natumaini wengii watapata kujifunza mamb mengii

  • @asenimanda9771
    @asenimanda9771 Před 8 dny

    Ticha Ally

  • @busiga.
    @busiga. Před 21 dnem

    Nikienda safari, nikipaki reserve tank huwa limeliwana coolant kwa nje, na taratibu ujazo huwa unapungua. Leakage huwa wapi na inasababishwa na nini? Hii haitaniletea madhara kwenye injini?

  • @agustinohinjo-zo9cb
    @agustinohinjo-zo9cb Před 26 dny

    Asante Mwl Ally kwa kutuelimisha

  • @juliemetanoia1650
    @juliemetanoia1650 Před 29 dny

    International instructor

  • @rajabumohamed5606
    @rajabumohamed5606 Před měsícem

    Mwalimu wetu Ally ni mtu na nusu asee🙏🙏🙏🙏🙏,,.

  • @rajabumohamed5606
    @rajabumohamed5606 Před měsícem

    Teacher kyandoo

  • @user-hy7op6tr8p
    @user-hy7op6tr8p Před měsícem

    Gari yngu yngu kuna wakati inawaka injini light ya manjano kwa mfano nikitembea zaid ya speed 80 lkn nikipunguza mwendo inaondoka. Naomba ushauri wko fundi

  • @petrohaonga4353
    @petrohaonga4353 Před měsícem

    Nazipenda kazi zako kaka

  • @stevenhassan269
    @stevenhassan269 Před 2 měsíci

    Video ina makelele

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani Před 2 měsíci

    Jamaa yuko vizuri saana tumtumie huyu kama nchi kwa mafunzo mtandao kwa ajili ya vijana wetu.

  • @victorkahangwa679
    @victorkahangwa679 Před 2 měsíci

    Ahsante sana Engineer Kyando

  • @user-xr7or6ts7y
    @user-xr7or6ts7y Před 2 měsíci

    Unaweza mzee

  • @jacquilinejustine7227
    @jacquilinejustine7227 Před 2 měsíci

    Je? Kama imewaka na nikaendelea kuendesha gari kwa siku mbili kuna shida?

  • @suleimaninassoro
    @suleimaninassoro Před 2 měsíci

    Safi sana ubalikiwe kiongozi kwa dalasa

  • @stancreezzy5500
    @stancreezzy5500 Před 2 měsíci

    Safi

  • @sebastiankatalle2732
    @sebastiankatalle2732 Před 2 měsíci

    Naomba namba

  • @abilahnamnungu1819
    @abilahnamnungu1819 Před 2 měsíci

    gali ndogo tutumie vifuniko namba ngapi?

    • @kyandotv1468
      @kyandotv1468 Před 2 měsíci

      soma namba ziliandikwa juu ya mfiniko husika. Hata injini ya za gari ndogo hazifanani/hazilingani

  • @gideongoodluck3176
    @gideongoodluck3176 Před 2 měsíci

    Gari yangu coolant ipo juu kidogo ya minimum kwenye reservoir tank.lakini nikitembea umbali kama wa km Tano maji yanajaa kwenye reservoir tank mpaka maxim mum je? Gari inakuwa na tatizo....nipo makete kata ya Matamba lakini gari haichemshi na milima ni mikari balaa

    • @kyandotv1468
      @kyandotv1468 Před 2 měsíci

      Huenda ukawa na tabia ya kuongeza maji kila asubuhi au kila unapowasha gari. Hatahivyo, sio dalili nzuri maji kujaa mpaka yamwagike. Mtafute fundi afanye ukaguzi wa kina

  • @filbertnyoni2352
    @filbertnyoni2352 Před 2 měsíci

    Shida ukipigiwa simu tuje kwenye workshop yako hutoi majibu sahihi,sasa unaongea matatizo tu msaada hutoi

    • @kyandotv1468
      @kyandotv1468 Před 2 měsíci

      Pole sana, naomba tuwasiliane mkuu. Huenda nilikuwa kwenye ratiba za mikoani

  • @mudimkagila5252
    @mudimkagila5252 Před 3 měsíci

    wewe kwangu umekuwa ni mwalimu wangu

  • @user-dh7yg6dl5e
    @user-dh7yg6dl5e Před 3 měsíci

    Yaan napata Elimu 😂kubwa naanza kuelewa ata sijui lini nitashika steringi ya gari 😅ila mpk kuja kuishika nimeshajua mengi 😅

  • @user-dh7yg6dl5e
    @user-dh7yg6dl5e Před 3 měsíci

    Asante sana baba yangu yaan hatimae nimepata mwalimu wa kunifundisha kuendesha gar hivi baba MTU kuja kwako kumfundisha kuendesha mpk KUJUA inachukua mda gan mpk MTU KUJUA kuendesha gar na kujua Sheria zote za balabalan samahani baba naomba kujua

    • @kyandotv1468
      @kyandotv1468 Před 2 měsíci

      Tafuta chuo kilichokaribu na tumia mafunzo haya kwenye kuongeza elimu yako

  • @IdrisJuma-xp4ru
    @IdrisJuma-xp4ru Před 3 měsíci

    Asante kwa elimu,na bado naendelea kujifunza kutoka kwenu

  • @YusuphJuma-li8wy
    @YusuphJuma-li8wy Před 3 měsíci

    Baba nikija NIT nakutafuta

  • @mariamuchechenga
    @mariamuchechenga Před 3 měsíci

    Sound Iko juu

    • @kyandotv1468
      @kyandotv1468 Před 2 měsíci

      Pole na samahani sana, tutarekebisha

  • @reginaldtarimo-kf1ye
    @reginaldtarimo-kf1ye Před 3 měsíci

    Barikiwa sana baba.

  • @alphoncengoza1433
    @alphoncengoza1433 Před 3 měsíci

    Nimekuelewa mkufumzi

  • @machanohaji9841
    @machanohaji9841 Před 4 měsíci

    Mm nataka nije unifunze kabisa ntalipia mafuta

  • @SHABANIMGOMI
    @SHABANIMGOMI Před 4 měsíci

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @treyvissy9854
    @treyvissy9854 Před 4 měsíci

    Asante sana Engineer

  • @mimosapudica1894
    @mimosapudica1894 Před 4 měsíci

    Elimu kubwa sana...🙏

  • @mimosapudica1894
    @mimosapudica1894 Před 4 měsíci

    Safi sana.. tunashukuru kwa darasa

    • @reginaldtarimo-kf1ye
      @reginaldtarimo-kf1ye Před 3 měsíci

      Ahsante sana baba kwa darasa la bure..ubarikiwe sana.

    • @kyandotv1468
      @kyandotv1468 Před 2 měsíci

      Karibu sana

    • @kyandotv1468
      @kyandotv1468 Před 2 měsíci

      Karibu sana

    • @mimosapudica1894
      @mimosapudica1894 Před 2 měsíci

      @@kyandotv1468 Tunalo group la Whatsapp ambalo tuko wadau na Wamiliki wa Magari..Nilikuwa naomba kama hutojali tukuunge huko ili tupate faida zaidi kutokana na changamoto wanazokutana nazo Wengine na pia itakuwa fursa nzuri kwako kujitanua na kupata Wafuasi. Natanguliza Shukran

  • @innocentswai6239
    @innocentswai6239 Před 4 měsíci

    Over drive button kweny Toyota vitz inapatikan uapnde gani muhandisi

    • @kyandotv1468
      @kyandotv1468 Před 2 měsíci

      nimekupata, nitafanya kipindi muda sio mrefu

  • @drmonasser1332
    @drmonasser1332 Před 4 měsíci

    Weka opt ya kudownload,, ili tuweze kupakua masomo yako for revising

  • @joeledson3862
    @joeledson3862 Před 5 měsíci

    Mm taainawaka nikipima oil IMO

    • @kyandotv1468
      @kyandotv1468 Před 4 měsíci

      inatakiwa kufanyiwa inspection kwenye lubrication system

  • @mbokaicon5507
    @mbokaicon5507 Před 5 měsíci

    Asante kwa elimu

  • @ahmedislam2828
    @ahmedislam2828 Před 5 měsíci

    Uko sawa sana mwalimu

  • @user-tk3sm8vn9m
    @user-tk3sm8vn9m Před 5 měsíci

    ✊🏿✊🏿

  • @user-uv2lf6yk4q
    @user-uv2lf6yk4q Před 5 měsíci

    Nimekupata vizuri engineer kyando

  • @elikiakyando2814
    @elikiakyando2814 Před 5 měsíci

    Tunakuelewa sana mkuu

  • @justineprims618
    @justineprims618 Před 5 měsíci

    ahasante muadisi

  • @aaqmagerq1e726
    @aaqmagerq1e726 Před 5 měsíci

    Asante sana engineer kwa somo zuri

  • @deuskalinga2449
    @deuskalinga2449 Před 5 měsíci

    Kazi nzuri Mr Kyando

  • @agustinohinjo-zo9cb
    @agustinohinjo-zo9cb Před 5 měsíci

    Big up teacher Ally nakupata vizur

  • @oswardbeatus8707
    @oswardbeatus8707 Před 5 měsíci

    Safi sana kwa somo ili

  • @elikiakyando2814
    @elikiakyando2814 Před 5 měsíci

    Tunakuelewa sana Engineer Mungu akubariki pamoja sana

  • @muhsinmuhsein4484
    @muhsinmuhsein4484 Před 5 měsíci

    Asante Engineer tunaelewa somo