CHAMANI ni tamthilia inayozunguka kueleza uongozi mbaya wa kiongozi. Beka Ruga anabeba uhusika wa kiongozi huyo na anaowaongoza wanalalamika juu ya uongozi wake #rejectfinancebill2024 #chamaniseries #jimbomedia
Mashallah, ilaa kuna baadh ya waigizaji waitaj mafunzo, sio kila party unatakiwa uongee na hasira, na kuna party niza hasira na wasiwe wenye kuonesha wana act, beka, dula, nyere, na mabinty wawil muko vizur wengine mwaitaj mafunzo zaid ilaa hongeren
Mimi Niwape Hongera Sana Tumepiga Hatua Kubwa Sana The Wy Kiswahili Kinapigwa Hapo Ndani kwakweli Tumepiga Hatua Kubwa Sana Hongereni Sana jimbo Media 🎉
Jimbo media, my school mates, Mohamed bujra from kibarani boarding kazi poa Sana Mungu akuzidishie bro afikishe mbali jimbo media, 😂😂😂yani nakumbukaga enzi zile tukiact drama n ukiigiza majuto#mama kumbu chapati amekusalimia
Mashallah, ilaa kuna baadh ya waigizaji waitaj mafunzo, sio kila party unatakiwa uongee na hasira, na kuna party niza hasira na wasiwe wenye kuonesha wana act, beka, dula, nyere, na mabinty wawil muko vizur wengine mwaitaj mafunzo zaid ilaa hongeren
Mnipe likes nimekaa sana hapa mpaka kiti kiko moto
Nachelewa lakni nafika like zangu ndugu 😂😂......yatatu ifike b4 bundles ziishe
Saa ngapi inatoka hiyo maana tunaisubir kwa hamu kubwa sana
The conversation between the two bussiness women in their "kibanda"was naturally perfect and on point🤗🥰good work♥️♥️♥️
Yah wapo vizuri sana 🥰
Wako vizry wallah
Chamani ana uwongozi wa ruto eeeh Beka Ruga umechukua mikoba ya ruto watesa wenzio 😂😂😂 dictator mwenyewe 😂😂🇲🇴🇲🇴🇲🇴
Beka uko vzr hongereni Wana jimbo media nyote 🎉🎉🎉❤
nyere ananimala😅😅we umutu ebu ukatuni😅😅😅nipeni likes zangu uku nikusubiri no 3
Ila chamani wenzako wanaogea kiswahili wote we n kidigo tu 😂😂😂😂😂😂😂chamani must go😂😂😂😂😂
Mashaallah vipaji viko .....uchamani una mambo kweli sio handzo ......Kibooo 😂😂😂
niwape pongezi wale wote walioshiriki katika tamtilia hii hakika mmeupiga mwingi💫💥💯💯
Bega Ruga wewe ni muigizaji mzuri MashaAllah
❤❤🎉 nasubir tym hazsongiii 😂
Mimi Niwape Hongera Sana Tumepiga Hatua Kubwa Sana The Wy Kiswahili Kinapigwa Hapo Ndani kwakweli Tumepiga Hatua Kubwa Sana Hongereni Sana jimbo Media 🎉
The character of beka is more convincing to continue watch more and more.
Kudos Jimbo Media
Well said bro @Madevu Films nime approve hii session 🎉❤🎉
Hii imeenda Reject Bill..safi sana
Kofia ya nyere ikakala avi nkawa 😂😂ikafinika sinia nzima..mpaka matso
We mwenye umutu au u cartoon
Wah mzigo tayari 🇰🇪
Kazi safi team jimbo. Its not over until its over. Tutafika sisi pia in sha Allah❤
Jamani nyere uko juuu tena sana
umeonaee🤣🤣aki ametengeza siku yangu vizuri🤣🤣🤣
Kazi nzuri allah awaendelezee vipaji vyenu
Mbona kungwiii
beka ruga umsheeenzi sana 🤣🤣🤣🤣 chamani arare kwa mikono salama!!!!....hahahahahahahahahahah!
Jaman mashallah mko fire🎉🎉🎉🎉
Beka zakayo🤣🤣🤣tax collector😂😂😂😂
Ma Sha Allah....mko chonjoo sana 😅😅 aki nimependa sana ya kwanza hadi na hii xx hehee bravoo Jimbo mko juuu
Asante sana chamani kwa maneno yako❤❤❤
shoka lake limeharibika sijui nimsaidie vipi.....akili kichwani
Jimbo media, my school mates, Mohamed bujra from kibarani boarding kazi poa Sana Mungu akuzidishie bro afikishe mbali jimbo media, 😂😂😂yani nakumbukaga enzi zile tukiact drama n ukiigiza majuto#mama kumbu chapati amekusalimia
Mchira is typing beka😂😂😂🎉❤ kazi nzuri bro beka
Kwa hiyo Beka n Nyere ndo wameshindwa n kiswahili 😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Congrats Wana Jimbo media❤
Imeweza ❤ kaz nzur sana👌
Ruga must go😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂chamani jamani mbavu zangu mm.kazi safi sana❤❤
Walai m mwenzenu nacheka tu kma mwehu flani ivi😅😅😅😅na hyo chamani beka,kibooooo,serikali inapinduliwa rero😂😂😂😂😂😂chezea chamani ww!!ni hakiyo chamani ye mwanache ko kumwaga jasho,richa uwe ukamwaga jasho mino che ndariripha ro denire tseeeee asiyugbwe!!😂😂😂😂😂
Congratulation jimbo media, i appreciate that👊👊👊
Kali sana
Asante sana chaman... Unaamba ebu uphie ndani kidogo..... Kula huyooo nyamayo iyo mwenyekiti
Wow nizuri Sana mungu awape nguvu zaidi na KAZI yenu
Mashaallah mashallah tabarakaallah..... Very interesting keep it up ❤
Hongereni sana nyote mob love 💞💞
❤❤❤ moive yenu tamu wallah
Mumeweza n mungu awape ubunifu zaidi much love from Australia 🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨
Kazi nzuri..nataka nijuenge na mimi
Npo naangalia tila na baby wake skwa kiss hlo🎉🎉
😂mpka akapoteza rada
@@RamaMwakuwanga😀😀😀
Wemwenyew ukatuni ebu umutu wee... nyere 😂😂eti kitambi cha gheri 😂😂😂😂
Hogereni sana jimbo media kazi yenu nzuri Allah awaongoze❤❤❤
kazi nzuri
Ye Nyere ananiphunga na yo kofiya tu,avi ikaipkwa gutuni mwenye achanya 😂😂
😂😂😂😂😂𝘯𝘮𝘦𝘤𝘩𝘦𝘬𝘢 𝘴𝘢𝘯𝘢
😂😂😂😂😂😂😂😂,nacheka adi sifai
😂😂chamani balaaa....ila mumeweza mashaallah jimbo media
Wako vizuri
Kazi safi
Jimbo media kazi nzuri sana hongera bro beka 😂😂😂😂😂
Ben on the camera, big team,big work🎉
Nawapenda nyote ❤❤❤
Nyere my former classmate pale mvindeni primary, kazi nzuri sana jimbo media🎉🎉
Congratulation watu wa kwetu Digoman nawa support sana💪💪💪👌👌
Kazi nzuri jimbo media 🎉🎉
Chamani must gooo😂😂😂
Nyere undaniolaga ambwa umutu ebu ukatuni😂😂😂
😂😂😂
Mmenipeleka nyumbani Leo🥰🥰🥰Asanteni nimeona kitaa changu Bujra❤❤❤
Mayo uchamani una mambo ❤❤❤🎉🎉
Angushs kitu😂😂❤❤
Niko maandamano lkn akili iko CZcams kusubiri Chamani
Mashaallah mashaallah maon mambo n mazr saii Allah awaogoze kw kaz yenu Inshallah 🙏🙏 love moro ❤❤❤❤
Nawapenda nyote mashaallah
Mayuga zo nyere😂😂😂
Nibobu malee😂
Nakukubali da ruhiya gulf kulikushinda
Hii serikali itashinda mwisho 😂😂😂haliii hiiii chamani kaphisaa😅😅😅
Wooow MashAllah kzi njury mnoo nimependa MashAllah mko juu❤❤❤
This is so Good
😂😂😂😂 wape nduru weee🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤ nawapenda bure tu kwa ajili ya Allah
Tamthilia safi Mashaallah....hongereni Jimbo media
Asanteni kwa mwendelezo ila Chamani jamani😅 waiting for the next episode ❤
M shabik mkubwa wa mganga nyere❤big Upo watu wangu
One thing is beka can act..bekaaa rugaaaa yuko swaaa banaaaaa
Nawapenda nyote
Kazi nzuri sana
Heheheee kitambi cha loan na doll muko juu 😂😂😂
MashaAllah, nice episode 👌
🎉🎉🎉beka
Serikal imenye dzkoni😅mpkwaza jamal jitira shemela chamani😅
Twende la nyumbani hili
Let's take it to the world
Kazi nzurii mashaallah 🎉❤❤❤❤
Tilalila ameshikwa kidevu nacho ameyatoa 😂😂😂😂😂
Episode 3 jaman nawapenda bure❤❤❤
😂😂😂😂 chamani kumbe ana upwiru😅😅
Good job
Ila beka jamani umeweza😂😂😂
Jamani chamani ana mambo kweli😅😅😅😅😅😅
Nakubali😂😂
Congratulations guys keep it up guys
Much love 😍
😂😂😂😂😂chamani keee pore
😂😂mganga akantsekeza eti wemwenye umutu ebu ukatuni we😂😂😂nimecheka yangu yote wallahi😅😅😅
😂😂😂 serikali haha beka jamani congrats 👏
🎉❤chamani ana tete