Unafikiri wachambuzi tu, hata sasa hivi tuna mashabiki uchwarwa kama wewe unavyozungumza, ujue hapo mna wachezaji wawili kutoka Zambia mmewasajiri, hao nao wanywa pombe za kienyeji (ulaka).?.
Wewe kakaangu usilie na wachambuzi wa bongo wanatumwa hao. Sisi hata hatuwasikilizi tena tumeshaziba masikio yetu na wala hawatushughulishi tena haswaaa kwa sababu ni wajinga
Mchezaji Bora mbona hajawai kupata tuzo ya uchezaji bora
Unafikiri wachambuzi tu, hata sasa hivi tuna mashabiki uchwarwa kama wewe unavyozungumza, ujue hapo mna wachezaji wawili kutoka Zambia mmewasajiri, hao nao wanywa pombe za kienyeji (ulaka).?.
Chama atajilazimisha kucheza hata kama atakuwa amechoka ili asidharauliwe na mashabiki wa yanga
Ule ukuta wa eliko ulivunjika?. Kwa hiyo sasa ukuta wa belin, haya bhana.
usiandukie na bado wino upo tusubiri tuone
Tatizo la bongo Kila mtu ni mchambuz ndio mana soka letu halifiki mbali
Kashindwa demands za Chama kumbuka
Atutaki malalamiko badae cjui wanajivunja
Wachambuzi nchii wanajizalilisha sana Kwa kupenda bahasha
Kabisa kabisa
Wewe kakaangu usilie na wachambuzi wa bongo wanatumwa hao.
Sisi hata hatuwasikilizi tena tumeshaziba masikio yetu na wala hawatushughulishi tena haswaaa kwa sababu ni wajinga
Kabsaaaa,wanafiki si wacham uzi