MZEE MASATU: YANGA ANAANZIA KAJAMBA NANI CLUB BINGWA !!! | KISAYANSI SIMBA YUPO GROUP STAGE.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 41

  • @DavidChristino
    @DavidChristino Před měsícem +4

    Mzee masatu shikamo mzee wangu

  • @mankamanka7415
    @mankamanka7415 Před měsícem +2

    ❤❤❤Simba nguvu moja❤❤❤

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le Před měsícem +9

    Yanga wanajifanya wakubwa kumbe wanaanzia hatua ya awali cku zote cmba atabakuwa cmba hawez kuwa paka japo wanafanana

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před měsícem +5

    SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Amne_ggg6
    @Amne_ggg6 Před měsícem

    Mzee Masatu nakukubali mno❤️❤️❤️

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 Před měsícem

    Mzee Masatu unajua utani hora sana

  • @WilliamCharles-iq8ym
    @WilliamCharles-iq8ym Před měsícem

    ww mzee,Chawa Sana.Tunawasubili tr 8.

  • @DanielChaula
    @DanielChaula Před měsícem +2

    Mkubwa anaonekana sio mbaka muulizane

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana Před měsícem

    Kweli matatu simba mzee si anachezea tu bakiza maneno mzee masatu

  • @RamadhanChembela-p9r
    @RamadhanChembela-p9r Před měsícem

    Kwenye kombe la luzaaa

  • @gladnessmichael2459
    @gladnessmichael2459 Před měsícem

    Unaota alinacha mzeeee unaongea kishabik poleeee sana

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 Před měsícem +1

    WACHEZAJI WAZINGULIWE KWA ALBADIRI ATAKAE JARIBU KUWAROGA AFE TU

  • @HassibuMvungi
    @HassibuMvungi Před měsícem

    Mzee masatu utatuharibia watabadilisha mganga hao

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib Před měsícem

    Hapo ndipo mpokosea ongelea timu Yako lpo kwenye kundi lakike yanga lpo champion llgi

  • @husseinchalamila2624
    @husseinchalamila2624 Před měsícem

    Simba atabak shilikisho, yanga ataanza awal kimataifa

  • @dahelahmad6331
    @dahelahmad6331 Před měsícem

    Nyie watangazaji hao wasemaji Watu wazimà wapewe wazee wenzao.
    Muwakilishi wa Wanainchi yupo Mzee Mpili.
    Hebu mualiki akumbane NAO hao wanaokaa ktk nyumba za kupanga

  • @AminaMsimbe
    @AminaMsimbe Před měsícem

    Masatu uko levo gani?au shirikisho

  • @abdulkheri7322
    @abdulkheri7322 Před měsícem

    Huyo masatu aombe sana kizazi chake kisafwate akili zake😢

    • @bone102
      @bone102 Před měsícem

      Haya tuambie Kati ya Simba na Yanga nani mkubwa CAF tupe na ushaidi ili tuone wewe na huyo mzee nan watoto wake wasifuate akili zake

  • @JenniferMjie
    @JenniferMjie Před měsícem

    Shabiki maandazi

  • @nasseraljahwri6310
    @nasseraljahwri6310 Před měsícem

    😂😂😂
    KAJAMBA NANI

    • @kolosii4351
      @kolosii4351 Před měsícem

      Tusi kubwa hilo, Injinia anasikia na Gamondi.

  • @seifmsabah4384
    @seifmsabah4384 Před měsícem

    Nikweli hatua ya awali ila sio luzer

  • @roberttagaya9098
    @roberttagaya9098 Před měsícem

    Mbona huyu mtangazaji ni kama vile anavi nasaba vya Lomalisa fc? Kwani anajaribu kuwa tetea wachezaji wa Timu Lomalisa fc kuhusu umri wao

  • @abdulomari4932
    @abdulomari4932 Před měsícem

    Huyu mzee akili kisoda

  • @AshimuMuhammad
    @AshimuMuhammad Před měsícem

    Yani watu hawajuagi tu ila kiukweli hatua za awali huku Kuna faida sana mechi 4 hz unaingiza mbinu vizur tu za kufanya makundi yawe Bora kwako sema watu wao wanaona km ujinga lkn ni faida sana

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Před měsícem

    Huyu mzee hua ndiye wakwanza kulalamika team ikianza kupoteza

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před měsícem

    Shirikisho 😂😂😂

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d Před měsícem

    Yanga ni ndogo hata wajaze mizee na Azam watapigwa kama Ngoma na hata wagosi wa kaya

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Před měsícem

    Masatu makina magumu tunajaribu kuroga majina yanapotea Sasa safar hii cjui tutafanyaje

  • @abdallahsaid4139
    @abdallahsaid4139 Před měsícem

    kajamba nani utopolo

  • @MauBonde
    @MauBonde Před měsícem

    Simba hata wakibebwa hawafiki popote kimataifa nakumbuka ligi ya mabingwa afrika walipitishwa hivyo hivyo lakini hata robo hawakifika zilikua mechi kadhaa robo nusu na fainali.

  • @user-vb6zv8ov8v
    @user-vb6zv8ov8v Před měsícem

    Wakati mwingine mambo mengine hata ukimpa mwehu anaweza kukupa jibu,Kolo ni mkubwa akiwa wapi? Huko lazima aonekane mkubwa yuko na nani huko,kweli timu iko kundi moja na Uhamiaji ya Zanzibar bado unatamba Masatu ni bado bikira huyo apelekwe jando

    • @nasseraljahwri6310
      @nasseraljahwri6310 Před měsícem

      Hii msg sijui umeandikiwa?? Chukua SM yako bro, msimamo wa Caf ranking Simba WA ngp Vs Chura?? Ukiachana na shirikisho 😂😂

    • @Khalidniya380
      @Khalidniya380 Před měsícem

      Simba kutofanya vizuri mwaka huu haimanishi kama Simba imekua mbovu hili ni jambo na msimu tuu

    • @athumanibakari8618
      @athumanibakari8618 Před měsícem

      Hata angekuwa club Bingwa asingeanzia Matopeni

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před měsícem

    Mzee simba ni mkubwa aliyedumaa. Miaka mingi harefuki, robo unacheza mara ngapi?? Halafu maneno yenu ndio yanayowaroga. Sasa msimu unaanza na mmeshaingia kwenye mfumo wa kuiongelea yanga. Endeleeni mimi yangu macho na masikio.

    • @johnmwanja4476
      @johnmwanja4476 Před měsícem

      Vyura acheni Nongwa...SImba mkubwa Utopolo ni KAJAMBA NANI😅