LSK yapinga uteuzi wa Faith Odhiambo katika jopokazi la kushughulikia deni la taifa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • Chama wanasheria nchini kimepinga uteuzi wa rais wake katika jopokazi la kushughulikia deni la taifa kikisema ni kinyume cha katiba na ubadhirifu wa fedha za umma. Haya yanajiri siku moja baada ya Rais William Ruto kubuni jopo hilo lenye wanachama 8 kushughulikia deni hilo la shilingi trilioni 10.4 kufuatia malalamishi ya umma kuhusu matumizi ya fedha hizo. Hatua hiyo ni pigo kuu kwa jopokazi hilo linalotarajiwa kuanza kazi na kutoa ripoti yake baada ya kipindi cha miezi mitatu. Ripota wetu Abdiaziz Hashim na taarifa hiyo kwa kina.
    Connect with KBC Online;
    Subscribe to our channel: t.ly/86BKN
    Follow us on Twitter: twitter.om/KBCChannel1
    Find us on Facebook: / kbcchannel1tv
    Check our website: www.kbc.co.ke/
    #kbcchannel1 #news #kbclive

Komentáře • 1