Video není dostupné.
Omlouváme se.

Rais Uhuru Kenyatta anatarajiwa kuwasili Kisumu hapo kesho

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 05. 2021
  • Matayarisho ya sherehe za Madaraka katika kaunti ya Kisumu zinaendelea kushika kasi, huku wakaazi wakitakiwa kufuatilia ratiba ya mtukio kutoka nyumbani ili kuzuia msambao wa virusi vya korona. Haya yanajiri huku usimamizi wa ikulu ukitoa tahadhari kuwa huenda rais akakosa kuzuru maeneo mengine ya nyanza kama ilivyoratibiwa kwa hatari ya Corona.

Komentáře • 9