Video není dostupné.
Omlouváme se.
Rais Uhuru Kenyatta anatarajiwa kuwasili Kisumu hapo kesho
Vložit
- čas přidán 28. 05. 2021
- Matayarisho ya sherehe za Madaraka katika kaunti ya Kisumu zinaendelea kushika kasi, huku wakaazi wakitakiwa kufuatilia ratiba ya mtukio kutoka nyumbani ili kuzuia msambao wa virusi vya korona. Haya yanajiri huku usimamizi wa ikulu ukitoa tahadhari kuwa huenda rais akakosa kuzuru maeneo mengine ya nyanza kama ilivyoratibiwa kwa hatari ya Corona.
I love kenya 🇰🇪
nyinyi kwani munalipwa na corona kila wakati corona hio ni ujinga akuna corona watu wajazana kwa vilabu mnasema corona kenya too too ndio corona inakuanga
I wonder too. They're always on corona
Kanze Dena amenenepa
Together as one watu wa Kisumu
Live
Covid 19 takataka msitubo!!!
Maybe Kisumu is not Kenya OR Uhuru is not The President of Kenya
Ata mie nko na hilo swali