KAULI YA SABAYA BAADA YA KUHUKUMIWA - "MAMA MWAMBIE ASIOGOPE, MUNGU YUPO KAZINI BADO"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • KAULI YA SABAYA BAADA YA KUHUKUMIWA - "MAMA MWAMBIE ASIOGOPE, MUNGU YUPO KAZINI BADO"
    MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake baada ya kukutwa na hatia ya unyang’anyi kwa kutumia silaha.
    Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama ya Arusha, Odira Amworo amesema kuwa ameridhika mashtaka dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake na kuwatia hatiani kosa unyang’anyi wa kutumia silaha.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Komentáře • 181

  • @trillhappybeautypoint9874

    Mungu ndia ajuaye kama kweli au si kweli

  • @mwitamsamba5911
    @mwitamsamba5911 Před 2 lety +2

    Sabaya pole mungu pa1 nawe

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před 2 lety +2

    Mwenyezi mungu mtetee Sabaya kwani wewe ndiye wajua kama alikosea au la.

  • @user-hl4rw9xe3u
    @user-hl4rw9xe3u Před 2 lety +17

    Mda nimwalimu yeye alikuwa anawafunga wengine sasa mungu amefanya mapinduzi kwake uvamia kwa mbowe nakumpa kesi ya ugaidi leo nawewe unaitwa mjerajera

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Před 2 lety +11

    Mwandishi namkubali sana anavyoripoti TAARIFA Kwa kujiamini na makini sana.

  • @abdulkhamis1170
    @abdulkhamis1170 Před 2 lety +5

    Pole kaka

  • @georginajohn8456
    @georginajohn8456 Před 2 lety +1

    Amina Mungu hawahi wala hachelewi na kwa Mungu hakuna dhambi kubwa wala ndogo machoni kwa Bwana Mungu humsamehe Mtu yoyote anae tubu na kuacha dhambi kikubwa ni kuwa na Imani tu ni kweli Mungu yupo kazini halali wala hasinzii kama kila jambo linapita na hili pia litapita

  • @Veni584
    @Veni584 Před 2 lety +9

    Ni kweli Mungu yupo bado

    • @mwahamedychilungu8981
      @mwahamedychilungu8981 Před 2 lety +1

      Nashetani yupo pia kama yeye alivyo fanyaga ushetani mbwa uyo

    • @kellyngogo3319
      @kellyngogo3319 Před 2 lety +1

      Kabisa. Alivyombaka yule mwanamuziki km wewe mzazi wa yule binti ni maumivu gani! Wanaficha kujenga heshima ya yule binti miaka 30 midogo

    • @kellyngogo3319
      @kellyngogo3319 Před 2 lety +1

      Kweli ushetani kaufanya hayo ndo majibu

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 Před 2 lety

      @@kellyngogo3319 bint gani

  • @felisterandrew8741
    @felisterandrew8741 Před 2 lety +18

    Mungu simama nae Umsamehe alipokosea 😭😭

  • @hamadeddy3046
    @hamadeddy3046 Před 2 lety +16

    Pole sana bro aisee utatoka tu binadamu c wema

  • @zachariahariohay359
    @zachariahariohay359 Před 2 lety +1

    Mungu akusimamia

  • @uwezowamunguutendaokazi3043

    MUNGU MKUU akusaidie sabaya. Amen.

  • @ozybizness3914
    @ozybizness3914 Před 2 lety +2

    Mungu ni mwema

  • @adamnoah4334
    @adamnoah4334 Před 2 lety +6

    Mungu ni wa wote.

  • @marrymenas
    @marrymenas Před 2 lety +12

    Keep up Sabaya, usikate tamaa! ❤

  • @eliudijastini645
    @eliudijastini645 Před 2 lety +4

    Duuuu himechi ninoma sana mpaka watu walio mkusudia wamefanikiwa sasa😭🙏

  • @glorykapenja9473
    @glorykapenja9473 Před 2 lety +11

    Mungu yupo kazini wala usijali sabaya yeye ndo hakimu wa kila kitu

    • @johnmwasilu7087
      @johnmwasilu7087 Před 2 lety

      Ndiyo maana Ameshamuhukumu miaka 30 jela

    • @williamkavishe397
      @williamkavishe397 Před 2 lety

      @@johnmwasilu7087 ungekuwa Ni wewe uliotendewa Kama waliotendewa usingeongea hivyo wacheni unafiki nyie

  • @norbertmbena5896
    @norbertmbena5896 Před 2 lety +6

    Utakuwa kiongozi hata huko uendako UONGOZI UKO NDANI YAKO
    Mungu akusaidie SABAYA

  • @blandinalukole5535
    @blandinalukole5535 Před 2 lety +3

    Sabaya Mungu ni wa wote hata wanaokutupia mawe wanakuona mchafu wao wananuka dhambi ila wamezipaka mafuta, endelea kumwamini Mungu na ni yeye rafiki wa kwel, jifunze kupitia Maguful alifanya vitu vingi vizuri lakini wanafiki wamemsaliti iweje wew? Endelea kumtumainia Mungu hata wakufunge maisha. Kuna mwimbo unasema Mungu huwatumia watu wake kumwaibisha shetani kwani wanapopita kwene Magumu humwaibisha shetani

  • @maryrichard9211
    @maryrichard9211 Před 2 lety +2

    Kumbe na yy anamtegemea Mungu!?

  • @nicksonihelmani407
    @nicksonihelmani407 Před 2 lety +4

    Lakni Kuna mafisadi wanaiba mamilioni yapesa wapo tu jamani

  • @sirizawa3360
    @sirizawa3360 Před 2 lety +2

    Mungu bado yupo kazini 🙏🙏🤐

  • @kassimukipingu5343
    @kassimukipingu5343 Před 2 lety +7

    Kesi kwa jinsi nilivyokua naifatilia nilikua naona hukumu ya sabaya ikimuelemea maana hata maswali aliokua akiulizwa na majibu yake nikasema ngoja nisiitangulie mahakama

  • @mtumishimathias7762
    @mtumishimathias7762 Před 2 lety +4

    Mungu Bado yupo kazini kweli ,Halali wala.hasinzii.

    • @abelsteven3189
      @abelsteven3189 Před 2 lety +1

      Hata watu alioumia walimtaja Mungu, hatujui ni nani anayelipa. Ila Mshahara wa dhambi ni mauti.

  • @zuleikha7691
    @zuleikha7691 Před 2 lety +1

    Mungu yupo kazini analipwa mshahara na nani

  • @ramadhanimkude5744
    @ramadhanimkude5744 Před 2 lety

    Mungu yupo kwa wote.

  • @geraldmakalala6091
    @geraldmakalala6091 Před 2 lety +1

    Mungu atakusaidia sana

  • @abdiabdi4299
    @abdiabdi4299 Před 2 lety

    Kweli mungu yuko kazini majambazi wenzake wote wataishia jela

  • @bamsnames149
    @bamsnames149 Před 2 lety +1

    IN SHA ALLAH

  • @michaelmoro4801
    @michaelmoro4801 Před 2 lety +1

    Amen

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Před 2 lety +5

    Mungu atamtetea,masikini mama yake

  • @furahasanga2534
    @furahasanga2534 Před 2 lety +2

    God at work.
    Nimeupenda msemo
    Wake Mungu anafanya.

  • @kellyngogo3319
    @kellyngogo3319 Před 2 lety +4

    Ukikata Rufaa sasa familia zilizoumizwa zitajitokeza. Wataomba faragha watoe ushahidi. Walikaa kimya kulinda heshima zao na watoto wao waliobakwa. Eti mimi Ni DC fungua alikolala huyo msanii ukambaka mtoto wa watu kisa DC!! Leo ndo unamtamka Mungu unamuonea Mungu alikupa cheo ukakitumia vibaya. Mungu hapendi. Ukikata rufaa miaka 90 jela

  • @lusitoally5623
    @lusitoally5623 Před 2 lety +7

    Mungu hayupo pamoja na wezi na wanyang'anyi

    • @fredrickmatiku7783
      @fredrickmatiku7783 Před 2 lety

      Mungu yupo na wanyonge sio magaidi na wanyang’anyi wako na mashetani sehem yao hela tu miaka 30

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 Před 2 lety

      Asiye ijua hii nchi atashangilia kifungo cha Sabaya.Lkn Mungu yupo kazini kweli kweli kwa matajiri wapitao kwenye migongo ya wanyonge.🙏🙏🙏

  • @reubenmobe5961
    @reubenmobe5961 Před 2 lety +2

    Mie siamin kifungo sabaya inaweza kuwa mbinu ili ionekane mbowe nae akifungwa waseme mbona sabaya alifungwa Kama wanavyo kwa lisu kuwa kuna wengi walishafanyiwa hivyo mmesahau deus Marya alifungwa baadae walimkuta kwenye kikao mie siiamin

  • @banjifesti7584
    @banjifesti7584 Před 2 lety +8

    Paulo na Sila waliomba milango ya gereza zikafunguka hata kwa sabaya zitafunguka

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Před 2 lety +10

    Watu waliokua wakisafirisha wa madini wameacha na wamerudi kazini kuendelea kuiba leo sabaya ana zalilishwa munguweeeee

    • @westonymwasanduki1423
      @westonymwasanduki1423 Před 2 lety +1

      Mna undugu??

    • @ziongate5464
      @ziongate5464 Před 2 lety +5

      Ni ajabu sana kwa nchi ya wala rushwa, Sabaya anapambana na genge la walio kuwa wakwepa kodi na watoa rushwa zidi ya mahakimu ndio matokeo hayo tunayo shuhudia leo

    • @halfanrangadim8764
      @halfanrangadim8764 Před 2 lety +1

      Mmekutana kikeni au kiumeni na huyo mfungwa? Ahahaaaah

    • @timboxlee919
      @timboxlee919 Před 2 lety +4

      Awamu ya sita ni mafisadi tu,tuliona kwa babu seya,iko siku tutapata rais mzarendo

    • @mwiganemwakajinga5368
      @mwiganemwakajinga5368 Před 2 lety +1

      @@ziongate5464 Yaani inaumiza na kuvunja moyo kiutendaji;Ila kweli Mungu yupo kazini bado.Siwezi sema katenda au hakutenda ila kamabinadamu nimeumia Sana japo sinaudugu nae.Siwezi kufurahia hilo kwasababu siijui kesho yangu.Mungu fundi.

  • @fredyemmanuel4303
    @fredyemmanuel4303 Před 2 lety +1

    Sabaya anajifariji lakini moyoni anamajonzi mzito sana

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce7672 Před 2 lety +3

    Pole sabaya...MUNGU bado kazini anashighurika na Maisha yetu nakuombea uzima.

    • @godmremi3558
      @godmremi3558 Před 2 lety

      JAPO WANASEMA HUJAFA HUJAUMBIKA LAKINI SABAYA ALILEWA MADARAKA MWACHE AVUNE ALICHOKIPANDA.

  • @tinaabdallah5631
    @tinaabdallah5631 Před 2 lety +5

    Nimeumia sana atakama ana mabaya lakini mkumbuke na mazuri yake jamani

  • @sunrisetv7364
    @sunrisetv7364 Před 2 lety +1

    Sina uhakika wa makosa juu yake. Sijui usahihi wala ubatili wa hukumu yake

  • @vintz338
    @vintz338 Před 2 lety +3

    Hili igizo hili daaaaaah Yan mtu anaepigwa miaka 30 haweZ kutabasam hivo anajua tu kinachoendelea

  • @lilianalphonce4413
    @lilianalphonce4413 Před 2 lety +1

    Czan kma atakaa iyo miaka 30🤔🤔 huenda akatoka kwa msamaha

  • @naalyhussen3253
    @naalyhussen3253 Před 2 lety

    Mhm!! . hamza alionekana gaid Na huyu nae ni nani maana alijiona mungu mtu sana hyu . dhurma mbaya sana mungu hua anailipa hapa hapa duniani kabla hujakufa.

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 Před 2 lety +1

    Najua hii Ni drama baadae utasikia alikata rufaa kaachiliwa huko huru..anatoka akishangiliwa..

  • @hellenmgungus2935
    @hellenmgungus2935 Před 2 lety

    Ndounajua kama mungu yupo kazini

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Před 2 lety +15

    LEO ARUSHA NA HAI, WAUZA NYAMA CHOMA, BIA NA VINYWAJI, WATAUZA SANA, WAHUDUMU MJIPANGE KILA KONA WATU WANAFURAHA SANA.

    • @mwasamiladldm7557
      @mwasamiladldm7557 Před 2 lety +12

      Eti eeeh! Uzeni kabisa lakini hii ni dunia sote tunapita tu.

    • @johnmwasilu7087
      @johnmwasilu7087 Před 2 lety

      @@mwasamiladldm7557 ni kweli usemayo ila Sabaya hakujua hilo alifikiri yeye ana MTU anamlinda hata kwa maovu yake

    • @stemarcely7493
      @stemarcely7493 Před 2 lety

      @@johnmwasilu7087 Kweli kabisa hapo ndo atambue hakuna alie juu ya sheria.

    • @christinachriss9231
      @christinachriss9231 Před 2 lety

      Sio huko 2

    • @gidionkadaraja1403
      @gidionkadaraja1403 Před 2 lety +6

      Watu hukuu tunahuzunikaa 2 hakunaa aliyefrahi wala nin

  • @peacesmart534
    @peacesmart534 Před 2 lety +3

    I hope ni hukumu ya kweli na sio iwe njia ya kumuondoa ktk macho ya jamii...Akafichwe huko mbali.

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před 2 lety +1

    Hamna kazi tu huyo sabaya yupo vizur

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 Před 2 lety +1

    MH !

  • @jonaspatrick2871
    @jonaspatrick2871 Před 2 lety +1

    Sasa kusiwe na malalamiko Mbowe akihukumiwa kifungo kama hiki.

  • @simaraphaellucas8469
    @simaraphaellucas8469 Před 2 lety +2

    Sabaya tulia 2025 utatoka zamu yawazarendo!

  • @hallin9561
    @hallin9561 Před 2 lety

    Kesi ya mbowe inapiga alarm ya taa nyekunduku

  • @sebastianmichael4031
    @sebastianmichael4031 Před 2 lety

    Mimi napita tuu.

  • @betitympeleta9697
    @betitympeleta9697 Před 2 lety

    Unamkumbuka mungu leo?

  • @jastinesamboto4674
    @jastinesamboto4674 Před 2 lety

    Mungu Yuko kazini kumtetea katika hujuma aliyofanya ila Mungu hakuwa kazini kuwatetea wale waliokuwa wakiumizwa sio? Mungu naye tumemfanya kama mnafiki mwenzetu Bora hatumwoni maana pengine angeshauawa kwa akili hizi

  • @salmaabduli700
    @salmaabduli700 Před 2 lety +1

    Yan mm ningesom nisinge hakuna kazi ya uwakim unamuukum mtu hata uwakik hun

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 Před 2 lety +1

    Safi sana,
    Bado fulani endelea kuchukua pesa za wasiojua kujieleza" ipo siku ntajitoa muhanga.

  • @bernardsamizi7289
    @bernardsamizi7289 Před 2 lety +4

    ACHA MUNGU AITWE MUNGU. KAMA SI MUNGU TUNGEKUWA WAPI????.KWELI KAZI YA MUNGU HAINA MAKOSA. ILIFIKA MAHALA WATU WAKAJIONA NI ZAIDI YA MUNGU.

    • @missmrs829
      @missmrs829 Před 2 lety

      Na wewe subiri ipo sikuyako wewe endelea kushadadia ufisadi wa samia

  • @ndeankandossi6335
    @ndeankandossi6335 Před 2 lety

    Haimtoshi miaka 30 aongezewe mtu mnyama sana

  • @abdallahabubakar688
    @abdallahabubakar688 Před 2 lety

    Eheee sawasawa sioiwe ina kulakwa walala hoi tu hata kwa viongozi wenye tamaa

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Před 2 lety +3

    Et Mungu yupo kazin bdo,ungekuwa unamjua Mungu asingefanya ya kukosa hofu yke shwain ww

  • @saeedally268
    @saeedally268 Před 2 lety +6

    Kweli kabisa tupo pamoja na sabaya hawa mashetani watahukumiwa na mungu japo wanatumia dola mafisadi wanaachiliwa sasa huyu rais hatufai kabisa hukumu ya huyu rais atatowa mungu sisi tunamshitakiya kwa mungu

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 Před 2 lety

      KUMBE HUYO HAKIMU NDIYO RAISI

    • @kellyngogo3319
      @kellyngogo3319 Před 2 lety

      Na wala haimpati. Mzazi wa binti aliyembaka pale hotel alipataje maumivu acheni hizo! Hayo ndiyo majibu yake

  • @joshuamwanilwa7562
    @joshuamwanilwa7562 Před 2 lety

    Mh! Kwel hi selikaki ni yawatu flan hv sasa tutakutana 2025

  • @meryevance6944
    @meryevance6944 Před 2 lety

    Mbona Ditopile alihua dreva teksi akushitakiwa akiwa Mbunge kipidi cha Kikwete hapo hupo mkono wa mkubwa tena na huyo ambae alikuwa ampendi Magufuli lkn k8la Jambo linamwisho

    • @sunrisetv7364
      @sunrisetv7364 Před 2 lety

      Wakati Ditopile anaua hakuwa mbunge. Alikuwa mkuu wa mkoa wa Tabora

  • @sanyengefundibatigeita

    Mungu akusaidie sabaya hii ni dunia tu

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 Před 2 lety +1

    MWENYEZI MUNGU ANAMPENDA KILA BINADAMU ILA TUACHE UJINGA

    • @felistermligo323
      @felistermligo323 Před 2 lety

      Sabaya jipe moyo kukaa miaka 30 jela maombia yetu yetu itakua miaka 3 nipo hapa mmi

  • @barakambasile2651
    @barakambasile2651 Před 2 lety

    Amebaki mbowe vulugu za sabaya mpaka makosa yote hayo ni mbowe yet apigwe20 tu

  • @zainabsaid9264
    @zainabsaid9264 Před 2 lety +2

    Pamoja Mandela alifugwa alipotoka kawa Rais

    • @sharifjuma1220
      @sharifjuma1220 Před 2 lety

      Kwani mandela alifungwa kwa kazulumu? Na ujambazi?
      Mfano uliotoa mushkeli.

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 Před 2 lety

      @@sharifjuma1220 Sabaya amepambana na mafisadi majizi. Ni heri awepo gerezani vinginevyo akiwa nje watamwuua. Hii Nchi ina wenyewe.

    • @sharifjuma1220
      @sharifjuma1220 Před 2 lety

      @@margarethsolomon9823 sasa unapapandaje na ufisadi kwa silaha na kuteka watu?
      Alikuwa anaunga Juhudi then akazidisha dozi akanogewa.
      Infact Lema alimueleza Magufuli sio Mungu. Bado bashite. Unakumbuka alipovamia cloud studios. Na yale ya 48 hour naona yamesita sikuhizi.
      Ama kweli Mkuu aliambukiza uchizi

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 Před 2 lety

      @@sharifjuma1220 Lema mwenyewe ni kidnapper, au hujui kazi alizokuwa anazifanya huko Namanga na marasta yake kichwani. Na kweye misokoto alikuwamo. Hivyo hisia zake haziwezi kuwa mbali kwa Sabaya kwamba alikuwa akitenda hayo. Time will tell.

    • @sharifjuma1220
      @sharifjuma1220 Před 2 lety

      @@margarethsolomon9823 lema mtekaji je zile clip za watu wanalalamika Sabaya kaingia kwenye Mahoteli. CCTV footage.
      Hawa wezi watu wengi kupanga. It must have been some fact.
      Kaunga Juhudi too much. Aliongeza na Juhudi zake. Nothing to do with corruption just a stupid boy. He was not alone. Wengi waliunga Juhudi.

  • @mtumishikakoyo4762
    @mtumishikakoyo4762 Před 2 lety +2

    Tafsiri ya kufungwa kwa sabaya ni kuwataka viongozi wengine kuongoza kwa uoga.
    Sabaya amekuwa mbuzi wa kafara,
    Alisema mahakani kwamba alikuwa akitelekeza maagizo ya mwenda zake.
    Sasa mtu anaetelekeza maagizo ya mkubwa wake kwa nini afe mwenyewe??
    Je mwendazake hakuwa na jopo la watendakzi pembeni yake??
    Mwenda zake hakuwa na mawaziri??
    Hakuwa na mkuu wa mawaziri??
    Hakuwa na makamu??
    Kama kweli sabaya alipewa maagizo na mwenda zake basi kuna angefunguka alivokuwa anatumiwa ingesaidia nchi.
    Lakini hapa kuna hukumu ya kuwapa waliyopo kazini kua na uoga wa kazi zao

    • @shayopaterini8678
      @shayopaterini8678 Před 2 lety

      Pamoja na kutekeleza majukumu ya mkuu wako wa kazi lazima ufuate sheria kuyatekeleza ndugu kama utakuwa mjinga basi yatakukuta

    • @wardaheluwa734
      @wardaheluwa734 Před 2 lety

      Kwanza hapo pakusema alitekeleza majukumu ya mwendazake ndipo alipokiri kuwa alifanya wengi wafungwa hutumwa kama alivyotumwa Sabaya ukipatikana na hatia pekeyako

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 Před 2 lety

      MUNGU anayaona yote. Wakwepa kodi wako kazini baada ya kumaliza kazi ya kumwuua aliyekuwa anajua siri zao. Miaka 20 ndani ya uwaziri, alijionea ufisadi mkubwa na kipindi hicho hakuwa na ubavu wa kupambania hayo. Baada ya kuwa na nafasi ya ubavu alitoa UHAI wake wa hali na mali na alijua watamwuua. Apumzike salama, na Sabaya awepo gerezani vinginevyo akiwa nje watamwuua.

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před 2 lety

    Uonevu mkubwa kwa watu wenye misomamo ya jpm

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před rokem

    Sabaya akitoka atakuwa mtu mwemaa sana

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před 2 lety

    Sheria ni msumeno

  • @meryevance6944
    @meryevance6944 Před 2 lety

    Huo niuonevu mbona makonda kafanya mambo mengi ya hatari lkn atujasikia kakamatwa

  • @ponsianmatimo681
    @ponsianmatimo681 Před 2 lety +2

    Hukum safiii na murua kabisa hiii yy aliyoyafanya leo mumesahau kawaachia watu maumiv mangap? Kaporomosha uchum wa watu wangap? Katenganish familia ngap na wapendwa wao! Acheni mungu aitwe mungu anajib kw wakat hawai wala hachelewiiii!!!!

    • @stardamian9385
      @stardamian9385 Před 2 lety

      Ni sahihi lakini Mungu wa wote haijalishi umekosa mara ngapi ukirudi kwake anakusamehe na kukupa thamani yako
      Huyo ndie Mungu naemfahamu

  • @selemanmwagike8785
    @selemanmwagike8785 Před 2 lety

    Mungu gan huyo shetan wewe

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před 2 lety +2

    SABAYA MUNGU YUPO SOON UTATOKA, WANAO FURAHIA VYAO VYAJA.

  • @enockkachembeho7425
    @enockkachembeho7425 Před 2 lety

    hata kama akikataa rufaa na akatoka cv ya kuwa mfungwa anayo

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Před 2 lety +1

    😭😭😭😭SABAYA mtumainie Mungu atakushindia serikali yetu mmhhhhhhhh

    • @oscarmushi1164
      @oscarmushi1164 Před 2 lety +1

      Acha unafiki

    • @kellyngogo3319
      @kellyngogo3319 Před 2 lety

      Angekubaka wewe au dada yako au mama yako usingeongea hivyo Sasa. Wa TZ acheni hizo hiyo hukumu halali yake

    • @stardamian9385
      @stardamian9385 Před 2 lety

      @@kellyngogo3319 sawa ila Mungu ni wa wote ukiludi kwake kwa uaminifu anakusamehe

  • @westonymwasanduki1423
    @westonymwasanduki1423 Před 2 lety +1

    Heeeee kumbe anamjua Mungu???

    • @lindambilinyi6253
      @lindambilinyi6253 Před 2 lety

      Akwende hko

    • @saeedally268
      @saeedally268 Před 2 lety +1

      Mafisadi wanaachiliwa huyu rais ana hasira na watu wa magufuli wengine keshawatowa uwaziri tena wachapa kazi anawekwa mtu kama makamba yote sisi tunamwachia mungu hawa viongozi wa sasa mungu awahukumu

  • @jeromemdoe6816
    @jeromemdoe6816 Před 2 lety

    Ya yeye s hamkuyajua,

  • @zwinaalhabsi664
    @zwinaalhabsi664 Před 2 lety +1

    Kama huyu baba hakufanya kosa wanamsingizia mungu hapigi kwa fimbo mungu atawaonesha malipo yake hapa hap duniani

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA Před 2 lety +1

    Wewe ni mkatili sana sabaya

  • @laurenceclarence6878
    @laurenceclarence6878 Před 2 lety

    Mungu yupo kazini ila ikumbukwe waliohukumu leo wao wamemaliza

  • @bakarinasa580
    @bakarinasa580 Před 2 lety +1

    MUNGU yupo kazin kwel na ndio kasmamia usawa ukafungwa,,jaman manung'uniko ya wengi ni Lana bora ww umefungwa wengne tunaskia wamekufa na ajal tu

  • @salmaabduli700
    @salmaabduli700 Před 2 lety

    Ss munav mfung hiy pesa mnapata au nyie makakim tambueni kuna mung naanaukum kushind nyie

  • @anethmtei2912
    @anethmtei2912 Před 2 lety

    Sabaya amemjua mungu tangu lini

  • @abdulwahababdulkadir9965

    Naskia ameelekea kukata rufaa,akishindwa nyonga kabisa muhuni tu uyu

    • @fridamdoe5845
      @fridamdoe5845 Před 2 lety

      Tena akafie mbele huko nashangaa wanaomhurumia na kuona eti amedhulumiwa kuhukumiwa Kwahiyo walitaka aendelee kunyanyasa watu acheni ujinga ametendewa haki sawa sawa na matendo yake

  • @rashidmohammed4887
    @rashidmohammed4887 Před 2 lety

    Kila mtu huvuna alichopanda

  • @froma3732
    @froma3732 Před 2 lety

    MUNGU YUPO NA ATAKUWEPO ALIKUWA AJUE HIVO KAMBLA HAJAFIKA HAPO ALIPO

  • @husseinmaula4361
    @husseinmaula4361 Před 2 lety +1

    Siku zote faida ya ubabe ndio hio

  • @petereck6647
    @petereck6647 Před 2 lety

    Akafieee mbali huyu jambaz

  • @shaphiasabani5760
    @shaphiasabani5760 Před 2 lety

    pumbavu zako ww uliokua unatesa watu kwasbab ya cheo chako alikua umejua mungu ayupo

  • @fadhilikavindi5385
    @fadhilikavindi5385 Před 2 lety

    Kwani ccm itatawala Mika 30 hatajaji mwenyewe pengine hatakuwa Jaji kwamda huo

  • @engzuberir.akilenza1764
    @engzuberir.akilenza1764 Před 2 lety +4

    Kuna comments nazisoma hata sielewi. Inamaana Kuna watu wanaridhishwa na mambo kubaka,kutesa,kudhulumi,kudhalilisha,na mengine mengi ya huyu jamaa.

  • @happymwanguo2521
    @happymwanguo2521 Před 2 lety

    Eti unajitetea,nilitumwa kufanya hivyo,hivi una akili kweli?unatumwa kuonea watu na wewe unafanya kweli,tujifunze ,akili za kuambia + na zako,popote ulipo tenda Haki,hata ukionewa ,Mungu anakutetea , na kukuinua,ukitaka kujiinua ulingane na Mungu ,hakikisha hutabaki salama,Mungu atakuaibisha mchana kweupeeeeeeee

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Před 2 lety +3

    Sabaya mungu yu pamoja na wewe,hii ni awamu ya mafisadi,,iko siku tutapata rais mzarendo,atakutoa sabaya,kama ilivyo kuwa kwa babu seya ,Rip JPM

    • @Zaburi-
      @Zaburi- Před 2 lety +2

      Mungu/MUNGU na sio mungu

    • @abelsteven3189
      @abelsteven3189 Před 2 lety +5

      Mbona amekiri kwamba amefanya sema tu alitumwa. Mshahara wa dhambi ni mauti. Amelaaniwa anayemtegemea mwanadamu.

    • @moturichacha7253
      @moturichacha7253 Před 2 lety

      Sabaya mtumainie Yehova kila wakati Kama Paulo na Sila Mungu atakutetea ndiye Hakimu wa kweli!.

  • @godfreymbuya2659
    @godfreymbuya2659 Před 2 lety

    Mbunge wa Arusha Lema alimuonya mapema kabisa kabla mambo hayajaaribika ,akawa mkali.Sasa ameacha mke na watoto wanalia.