Kuna lile bwege linaloitwa ukuta wa mavi lonaboa sana ikumbukwe ukuta wa mavi juz kasababisha penalty ya kizembe bahati mbaya fei toto alikosa jana kaonyesha uzembe kuutoa mpira ovyo na kupelekea kuchezwa kona na
Alisema Ubingwa ni Wetu Sasa anagombea nafasi ya pili Huyu kiumbe ni Kiroporopo Madunduka wanafurahi anapo Sema Kiroporopo wao Kocha Mgunda kapewa kaa la Moto je Fei anawahusu nini? Mbona anaruka Maswali
We kolo mkuu acha kuwadangaya Madunduka, moto uliosema Sasa umewaka vipi hapo, kumbe bado Kuna nafasi nyingine za juu, mnahaha mnaanza kukimbilia ufungaji Bora wa Feisal, poleni
Ubora uko wapi wewe mbona unajizima data akuna magoli mnayoyapata ya halali alafu wewe kweli chizi sasa kiatu Cha fei toto wewe kitakusaidia simba kweli mmedata mnatakiwa muombewe
Tulikuambia upunguze mbwembwe Hukusikia haya Sasa hata nafasi ya pili umekosa ,sema ukweli usiwadanganye wenzio timu inahitaji marekebisho makubwa sana Kila idara mpaka uongozi ,Kwa Sasa muende shirkisho mlitucheka sana ,zamu imefika kweni
Ulisema focus mojawapo ni kuungana na Feitoto kumpigania ili apate kiatu nafikiri ni malipo yake kwa kazi nzuri aliofanya kwenu.
Ishaisha hiyo. Manungu mpira umeisha
wachezaji wetu wamejituma lkn waache uchoyo wacheze as team sio kila mmoja kujitaftia sifa
Simbaaaas,iko vizuri tuleteeni wote tuliocheza bao hawatoki ,leteni Allhiral hawatokiiiii, 😢
Kumbe mnachezea bahati, ooo poleni sana.
bora ukasemee cost union kuliko apo bado miaka 2 tena ya mateso
Tatizo ww msemaji wasimba dishi limeyumba unaipa raana Tim yako pungua maneno unazalilika
Walipo shinda juzi kwa azam basi akaona wanaongoza lugi jamani!
Pole mzee hapa panauma hapa panawasha😂😂😂
Alisema ubingwa wao 😅😅😅😅
Vipi kiatu cha Fei si mnahamishia mbio zenu hukoo?
Mbona sauti imepoa kulikoni.tim Soo Bora acha kuwaaminisha mapampula hivyo
Hilo ndilo dunduka namba Moja zuzu hazimtoshi
DOMO HUWA LINAKUPONZA MAANA UNAONGEA SANA WAKATI TIMU HUNA,JANA MGUNDA KAKOSA NAZI ZA KUVUNJA HUKO KAGERA KAKUTA NDIZI TU
mpùuzi leo umehamia rasimi kuongelea nafasi ya 2 je ubingwa ulokuwa ukijind nayo?
Huyu jamaa kweli anawadanganya makolo
HILI LITIMU MPKA LINA KUKONDESHA AMEDI ALY UNAONGEA MPAKA MANENO YANA KUISHIA DAA HII SIMBA
Wewe ni k!!!!!
Tatizo hii Saboofa inaongea sana😂😂
Kama huyu ndiyo huyu hana hata akili ya kumpeleká msalani.Je hao mashabiki wa timu watakuwa matahira kabisa.Hovyo sana
ubora gani mulo nao sema siku mukiamka vizuri ila siku mukiamka vibaya uozo mtupu
Kuna lile bwege linaloitwa ukuta wa mavi lonaboa sana ikumbukwe ukuta wa mavi juz kasababisha penalty ya kizembe bahati mbaya fei toto alikosa jana kaonyesha uzembe kuutoa mpira ovyo na kupelekea kuchezwa kona na
Mlivowafungatu azam ukasema mnaitaka nafas ya kwanza leo Tena imekuw kuitafuta nafas ya pili🤣🤣🤣🤣
eti nafasi za juu. Zipi sasa?
Huyu anawapoteza makolo wenzake mbwe mbwe zote kwishinehi
Me ninamkubali sna mchome
Kuwafunga Azam na Mtibwa ndio MUKAJIONE MUKOBORA PUMBAFU ZAKO WW
Subiri nafasi yenu inayowahusu ya Tatu Kolo
Hadi uso umejikunja kama ngozi ya goti pole kufa na tai shingoni.
Simba wana kaba kwa macho tofauti na walipocheza na azam
Haina ubora ndio maana mzee wa kubwabwaja kapoa
Huyu Ahmad Aly anayo gundu. Simba tutafute msemaji mwingine mwenye parformans na mpira maana huyu ajui kitu.
❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂
Vipi bwana Ahmed kuhusu anenda ya kurudiana na YANGA? Hehehehe unatuchekesha Sana bhana,
Mbona mbwembwe leo huna,kagera bora kuliko kolo
Sidhan km upo sahihi sn lkn naàmin jamaa hakuna point anaongea zaidi yakubwabwaja
labda cost iwabebe vinginevyo hakuna kit hapo
Komesha kibelehe fyuuuu sura imevimba muone
ANGALIA ANAVOONGEA KINYONGE
Ww k c ulisema moto umewaka sasa imeku majivu kenge mlima wee
Ndumila fc nafasi ya pili sahau
kama umehamia kwa fei utakuja ssa
Hadi useme maji mma.
Mbaka useme ujasema bado
hyo tm itakuuwa hama
My wetu mbona umepoa hivo achakuropoka Simba mbovu
Comedy huyu yupo kwny ubora wake😂😂
Moira uwanjani Ahmed, punguza maneno ujitambue kuwa Simba ni klabu kubwa, tusiendekeze uswahili wako.
Wee unaacha kupambania timu unaongelea habari za Feisal kuchukua kiatu cha ufungaji bora kweli? Endelea
Kolo kama kolo tu
Makolo mkitaka kuchukua Kombe mpk hili shoger litoke hapo ndo linawaponza
Ahmed sabufa yanamtoka yasiyo chujwa bwege huyu.
Yan ww ni bwege kabisa ue unasema ukweli
Shost kapoa
Siuwa nasema simba kama mlevi😂😂😂😂
Hakuna timyu hapo
Mdomo unakuponza
Alisema Ubingwa ni Wetu
Sasa anagombea nafasi ya pili
Huyu kiumbe ni Kiroporopo
Madunduka wanafurahi anapo Sema Kiroporopo wao
Kocha Mgunda kapewa kaa la Moto je Fei anawahusu nini?
Mbona anaruka Maswali
Ivi mtani umekosa msemaji mpaka mumpe huyu jamaa?
We kolo mkuu acha kuwadangaya Madunduka, moto uliosema Sasa umewaka vipi hapo, kumbe bado Kuna nafasi nyingine za juu, mnahaha mnaanza kukimbilia ufungaji Bora wa Feisal, poleni
😂awakumbk Kama walisema wapo Moto saiv wanajisemexha et wamechezea nafas😂😂😂 wkt team mbovu
😂😂😂😂😂😂@@user-ch2it3qt5z
Ahmed ally ww danganya wjinga wenzako huo mdomo wako ndio unawaponza viongozi wako wewe nimpiga debe wa mangungu mpira unachezwa hazaraan wanachi ooyee😂
Ubora uko wapi wewe mbona unajizima data akuna magoli mnayoyapata ya halali alafu wewe kweli chizi sasa kiatu Cha fei toto wewe kitakusaidia simba kweli mmedata mnatakiwa muombewe
Tulikuambia upunguze mbwembwe Hukusikia haya Sasa hata nafasi ya pili umekosa ,sema ukweli usiwadanganye wenzio timu inahitaji marekebisho makubwa sana Kila idara mpaka uongozi ,Kwa Sasa muende shirkisho mlitucheka sana ,zamu imefika kweni
Upo sahihi sn
Kazi yako uchambuzi sio msemaji wa klabu
Kapu la magori limeenda wapi? Simba ni ile ile
Sio inahitaji nafasi 2 simba inahitaji Maombi zaidi kushiriki klabu bingwa Mwakani.....