INASIKITISHA: MKASA WA "JINI" ALIYEMUUA BODABODA/KISA MAPENZI (S02EP03-PART ONE)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 08. 2024
  • Ni kisa chenye utata wa mazingira ya utokeaji wake, hivyo wananchi na mashuhuda wanahusisha na nguvu za majini baada ya kijana Dereva boda boda, kujiingiza kwenye mahusiano na msichana asie mfahamu na mwisho akamuachia ujumbe wa Vitisho na kijana huyo kukutwa na umauti ndani ya siku chache......Hii ni MBANGA
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24news@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24Tz
    ⚫️ Facebook: @dar24news
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Matukio#Simulizizamaisha #Mbanga

Komentáře • 17

  • @user-dl3ep1ow3y
    @user-dl3ep1ow3y Před 10 měsíci

    ASSLAMALAKUM MY BROTHER FROM
    TZ I LOVE UR STORY MASHALLAH I AM LIVING IN 🇬🇧 LONDON UK. BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA .MY DUA ALWAYS WITH YOU AND UR MEDIA MBANGA REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧.. LONDON. I AM PROUD OF PEOPLE OF TZ. LOT OF DUA FROM BOTTOM OF MY HEART UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧.. LONDON WS. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @plastidiacasmiry2234
    @plastidiacasmiry2234 Před měsícem +1

    Hixo " umrnielewa sijui " zinanimalizia bando

  • @lucasgasper5235
    @lucasgasper5235 Před 2 lety +2

    Sasa mtu wa kuswali afu mzinzi

  • @jaydenkariuki6595
    @jaydenkariuki6595 Před 2 lety

    Dupa vipii broo mumebadilisha iyo sauti ya background rudisheni ile ya kitambo inafanya simulizi inakua tamu asante

  • @jamalabduly8871
    @jamalabduly8871 Před 2 lety

    Dah tumemis malumee yule jamaa nomaaa

  • @encernstudios3745
    @encernstudios3745 Před rokem

    Right camera Ya Dupa focus ipo kweny majani nyuma ukoo🤣🤣🤣🤣

  • @treyvissy9854
    @treyvissy9854 Před 2 lety +2

    Story mmeikata mwishon kabisa yaan

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Před 2 lety

    Yeah...🔥🔥🔥

  • @jaydenkariuki6595
    @jaydenkariuki6595 Před 2 lety

    Asante sanaa mzee baba

  • @marandimhirinyakara7546

    Pamojaa sanaa ndanii ya mbanga

  • @jacobtambaratambara6572

    Kaka Mimi na MKASA sijui tutaonana vip

  • @fatmamwanyangasi6498
    @fatmamwanyangasi6498 Před 2 lety

    Pamija mzee baba.....

  • @jaafarmanhekman
    @jaafarmanhekman Před rokem

    Daaah 😭 😢

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před 2 lety

    Twende kazii wazee WA mbanga Na mwanetu dupa WA mdupange

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 Před rokem

    Hahahahaha midubwasha ....😂😂😂😂

  • @kaifajuma6790
    @kaifajuma6790 Před 2 lety

    ungerusha hata mara mbili kwawiki kuliko hivi

  • @jumaseple1037
    @jumaseple1037 Před rokem

    Midude dude midubwaxha