HIKI NI KISA CHA MOCHWARI/ MAITI ILIKATAA/ USHIRIKINA MZITO.
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- #Simulizizamaisha #Mbanga #Dar24Media
MBANGA, nikipindi kinachokupa nafasi ya kujifunza mengi kuhusiana na maisha kwa kupitia simulizi za kweli za maisha ya watu,kipindi hiki kinaruka kila siku za jumamosi katika kila wiki..USIKOSE KUTAZAMA.
Yaah ALLAH cjui kesho yangu cjui nan atanisha cjui nan atanizika yaah ALAH nipe mwisho ulomwema
Namkubali Sana huyu mtangazaji ANAIJUA KAZI YAKE
Nimepanda babu anavyojieleza halafu na mtangazaji YUPO makini kusahihisha zaidi pale babu anapokuwa hajafananua zaidi Sana sana Global tv.
mwandishi jicho lako👀😍😍
Allah akbar. Kifo ni mawaidha .Allah atup mwisho mwema
DUH....
Huyu mzee ni wajina wangu kwa kila kitu kuanzia jina lake hadi la baba yake tofauti kabila tu.
Great interview.
Napenda kiswahili cha mzee Yusuf.
Sending you love from Nairobi Kenya 🇰🇪
Mtangazaji nimekupenda sana, unaongea vizuri sana
Maa shaa Allah brother Allah swt akuengeze kipaji .una talent and skills ya kuzaliwa.
Mzee Musa muda wa swala huu
Muwe mnavaa Gloves jamani huko Mortuary sio sehemu salama Sana 😔😔😔😔
Mzeee anaonekana Ana siri nyingi sana lakini n ngum kuzitoa...
Kumbe Ata nyinyi mume ona kama mimi? Mzae anasiri mingi sana
@@bilhaagutu9788 Alipaswa kuwa msiri ili Naye akifa aje kustiriwa.
Huyo babu ni mtu wa dini hawezi kutoa siri ya maiti kaba unavokaba lakini hasemi na hivo ndivo inavotakiwa maiti hakashifiwi
Subhanaallah Allah polen sna ndio changamoto za Kaz
Nilijuwa mwalimu kashasha
Mola atujalie mwisho mwema
Amin
Ameena🙏🙏
Amen
Kazi nzuri
Mtangazaji na mzee wote wanajitambua
Nice kbx 🇧🇮Who lives 🇹🇷. Niko na mm namkasa ila niko Ankara now
Ankara
Eheee
Ni adithie Mimi
Ni adithie Mimi 🤔
Istanbul nitafute
Mtangazaj unajikaza na uoga unao🤣
Mzee mussa njoo!
Umesikia hiyoo kama umesikia gonga like hapooo😁😂
😁😁😁
Anae muhoji ako vizuri
Pore sana babu
Mungu nipe musho mwema
Dah
Mbanga isipotee sana
Mtangazaji uko vzr Ila hiyo v hapo usoni unaonekana ukiwa na hasira hua sio v Tena hapo usoni naona hua ni w
Mashaallaah baba mungu akujariee🙏🙏🙏🙏😭😭😭❤️❤️
MTANGAZAJI UKO VIZURI.KOMAA UTAFIKA MBALI SANA
Mzee hataki kufunguka kuhusu chenga Moto
(VIDEO) MWANAUME aliyekimbiwa na mke wake baada ya kupata ajali mbaya/Bodaboda walitembea na mkewangu 👇👇👇👇.
czcams.com/video/_wlxc0hH9pU/video.html
Mtangazaji andaa maswali mpe.mda mtu afunguke sasa unauliza swali reeeefu umenikera hii interview but take as a challenge
kafanana na mwalim kashasha
Hhhhhhh afu kweli
Mwanzo nilijua ni yeye 🤗🤗
@@kweka14l35 😂
Duuh 😳
Hi
Kweli sinza kulikuwa mashamba nakumbuka
Ila usitaje aibu za mait
czcams.com/video/Ajc4dxxRLF0/video.html
Kayireme Bohoka
Mwisho kweli ni Magomeni lakini mpaka miaka ya 1960 70 sio 50
Room in
UYO MZEE NILIJUA KASHASHA KOPI LAITI
Umejua kufananisha
Good
Kwa ivo Maiti husikia
Sanaaaa isipokua hana uwezo wa kujibu,, na ndio maana tunaambiwa maiti hasemwi vibaya
@@raniy0262 gai it's so dangerous then coz he or she feels so bad if
@@raniy0262 hiyo ni kweli kabisa kwa dini yetu tunaamini hivyo na pia wanasayansi wanaamini hivyo maiti husikia.
Hyo n demons tu Wala sio chochote kile
Sasa kunyooka si ananyoka palepale anapokufaa!
Hapana,mtu akifa anakakamaaa miguu inajikunja pia mikono kwahyo lazima kuvinyoosha
Mjinga mbona hafunguki
Muache mzee aongee acha ufala wewe mtangazaji.issue ni mortuary sasa story za magomeni za nn.embu muwe na ethics za kazi gademmit
(VIDEO) MWANAUME aliyekimbiwa na mke wake baada ya kupata ajali mbaya/Bodaboda walitembea na mkewangu 👇👇👇👇.
czcams.com/video/_wlxc0hH9pU/video.html
(VIDEO) MWANAUME aliyekimbiwa na mke wake baada ya kupata ajali mbaya/Bodaboda walitembea na mkewangu 👇👇👇👇.
czcams.com/video/_wlxc0hH9pU/video.html