Jamani mumenibariki ila sijui nimacho yangu nimemuona kijana mmoja kwenye kwaya hii amesuka nywere sijaerewa naomba niereweshwe sijaerewa kuwa ni mdada au nimwanaume?@@rejeoicegospelchoir
Najua shetani kuzim kavurugwa kupitia huu wimbo,,ni moja ya wimbo mkal sana kwa Sasa Tz na ni moja ya kwaya inafanya vzr sn,kiufup mko vzr na mnaweza kabisaa Sina wivu naomba mpokee maua yenu
Hii nyimbo imeniganda hatari. Haitoki kichwani aisee. Wimbo mzuri sana ila anayeimbisha sauti yake imepoa vizuri inaninogesha wimbo Sanaa. Mbarikiwe sana
Tangu nimeanza kuusikiliza huu wimbo usiku wa saa tatu hadi sasa ni kama mara ya 70 upako mkubwa sana hata kabla mwaka uishe mimi nimejipatia my best song of the Year
This is beyond repeat mode.... I love this song its my testimony as i walk out of hospital with my baby after 5 days on oxygen. God healed her, all by grace. Glory to God most High
Nikisikiza huu wimbo najikuta moyo wangu unabubujika san kutokana na matendo makuu Mungu aliyo nitendea, ooooooh asante YESU kwa kwanipa neema wala haikuwa rahisi🙏🙏🙏
Ave listened to this song with my tears shedding 😢😢,,kweli ni neema this far God has been faithful "Ni neema ya Mungu😢😢😢,sio akili😢😢wala ujanja wangu😢😢...Very impartful😢😢😢
Kwa kweli ni neema ya mungu imenibeba kufika mahali nilipo. Mungu atukuzwe kwa huu wimbo mzuri n azidi kuwabariki watumishi wake kwa kujitolea kufanya kazi yake
It's my best song ever. God bless you, my sons and daughters. This is my church's choir, Mafinga, iringa Tanzania East Africa. We welcome all. When you visit in Tanzania.
Nitazama nyimbo zote humu CZcams zingine wamezipamba kwa kwenda baharini kupiga picha wengine wamevaa vizuri ila hawa wameimba rohoni mbarikiwe wote waimbaji humu mnaposhuti embu ingieni maombi
Asanteni sana, wimbo umenigusa sana. Nimepitia magumu nimevuka kwa Neema ya Mungu! Nilitupwa shimoni hawakujua Ninaye Simba wa Yuda. Barikiweni sana 🙏🏾
My song of the year and the whole life remain,ni neema ya Mungu,neema imeniweka mahal sikustahili,kuvunjwa moyo Kwa kiwango Cha juu,lakini neema ya Mungu ikanibeba mpk hapa nilipo,nashangaa,😭sina maneno mazuri ya kusema,ila hii neema imenibeba haswaa,Asante BABA Kwa neema Yako😭😭❤️💪💪
Huu wimbo mm nausikiliza kila siku unarudia rudia tu siku nzima hadi nakosana na wadogo zangu,,, ni mtamu sana be blessed,,,, hadi nimewapenda bure,,,,
I am among the one who repeated listening this song more than ten times..am Blessed through this song..👏👏
Ameen
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Concured with you❤
Jamani mumenibariki ila sijui nimacho yangu nimemuona kijana mmoja kwenye kwaya hii amesuka nywere sijaerewa naomba niereweshwe sijaerewa kuwa ni mdada au nimwanaume?@@rejeoicegospelchoir
Kwa wale wanashangaa 2023 tulivuka aje...ni neema ya Mungu.
Am blessed
Ameen
Nmewapenda bure Rejoice, huu wmbo umenigusa MUNGU awabariki na kuwainua kwa viwango vingine
Ameen
Yaani Vick neem Mungu aliyoweka ndani yako chulchumilia San huu kwa CK narudia 100
Ubarikiweee
Najua shetani kuzim kavurugwa kupitia huu wimbo,,ni moja ya wimbo mkal sana kwa Sasa Tz na ni moja ya kwaya inafanya vzr sn,kiufup mko vzr na mnaweza kabisaa Sina wivu naomba mpokee maua yenu
Ameen
Eti jaman wanauliza tumefanyaje ni Mungu tu 🙏🙏
Ubarikiwe
Wimbo huu umenigusa dada maana usiku wa kumkia jumapili hii ulikuwa mgumu sana kwangu,ata mimi nasema asante mungu
Hii nyimbo imeniganda hatari. Haitoki kichwani aisee. Wimbo mzuri sana ila anayeimbisha sauti yake imepoa vizuri inaninogesha wimbo Sanaa. Mbarikiwe sana
Ameen
Mnoo
My favourite song, Hongereni sana Nyimbo imenibariki sana.
Well done brethren God is the Lion ofJuda. A song with excellent content
Amen
I have repeated listening this song more than ten times, be blessed servant of God
Ameen
This song is awesome
Hongereni sana mmeimba vizuri sana kwa kweli ni Neema ya Mungu tu Hallelujah 🙏🙏
Amen
This is now pure gospel, wimbo unamiminika kiroho Zaidi, wimbo una upako,🇰🇪
Ameen
@@rejeoicegospelchoir ,,
Wimbo wangu kabisa sijielewi kabisa nimefikaje hapa nilipo Oooh hallelujah ❤
Ni neema tu"
Ni neema tu ya mwenyezi Mungu🙏
Amen
Victoria she's best all the time ♥️♥️
Ameen
Moja ya nyimbo bora zaidi kuwah kutokea. Nyimbo haichoshi kuirudia rudia hata mara 10. Mbarikiwe sana nyinyi watu
Ameen
Nabarikiwa sana na wimbo wa neema yangu
Tangu nimeanza kuusikiliza huu wimbo usiku wa saa tatu hadi sasa ni kama mara ya 70 upako mkubwa sana hata kabla mwaka uishe mimi nimejipatia my best song of the Year
Amen
Mko vizuri watumishi wa MUNGU 🎉🎉🎉🎉
Ubarikiwe
Hakika ni neema ya mungu mubarikiwe Sana nimewapenda Sana mungu awabariki
Amen
Dada ulie solo sauti yako nimeipenda bule mungu azid kukutunza awatunze na kwaya yt kwa ujumla❤❤❤
Amen
Jameni nyimbonzuri basi zaidi sauti jameni huyu mdadahuyu mubarikiwe❤
Nimekuwa mtu wa tano kucomment like zenu basi Mtumishi wa Mungu toka TEKU
Ameen
Mko sawa. Kwa sauti
This is beyond repeat mode.... I love this song its my testimony as i walk out of hospital with my baby after 5 days on oxygen. God healed her, all by grace. Glory to God most High
Amen, amen be blessed
Thank you very much my Sister your Gospel your voice
Nimekuwa mraibu miaka kumi na nne ni neema ya Mungu ni kapata uwezo kujitoa katika uraibu
Mungu abarki victoria❤
Amen
Mimi nasikia uwepo wa MUNGU
Mungu akubariki dada bado sauti yako imesimama vema kabisa unanikumbusha kwa EMMANUEL MGOGO🙏
Ameen
Sijawahi lala njaa😢😢😢😢ni neema ya mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Haleluyaa
Aksante sana chorale,ni neema tu ya mungu siyo ujanja wetu
Amen
Walipo tutupa shimoni ili tuliwe na Simba, kumbe tunaye Simba wa kabila la yuda amen. Wimbo huu unanibariki , kongole .
Ameen
Tunaishi Kwa neema yako sio ujanja wetu barikiwa dada
Nikisikiza huu wimbo najikuta moyo wangu unabubujika san kutokana na matendo makuu Mungu aliyo nitendea, ooooooh asante YESU kwa kwanipa neema wala haikuwa rahisi🙏🙏🙏
Amen
What a song 🤩
Be blessed
🙏 ni kweli kabisa ni neema ya Mungu, ubarikiwe sana dada neema
Kuna ufunuo mwengine kuna vitu mutu alio ipitia,na hapo ana watia wengine moyo😢 bwana akupe tenzi kama hizo
Ni neema ya Mungu...amen!
Ave listened to this song with my tears shedding 😢😢,,kweli ni neema this far God has been faithful "Ni neema ya Mungu😢😢😢,sio akili😢😢wala ujanja wangu😢😢...Very impartful😢😢😢
Ameen
❤ wow a nice song mulifanyaje
Amen
Mbarikiwe sana its amaizing. God bless u this song. Has changed. My. Spiritual. Growth🙏🙏
Wow ;Wimbo bora wa mwezi mungu awabariki kazi nzurii nimeusubiri sana hatimaye umetoka 🙌🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ameen
Kwa kweli ni neema ya mungu imenibeba kufika mahali nilipo. Mungu atukuzwe kwa huu wimbo mzuri n azidi kuwabariki watumishi wake kwa kujitolea kufanya kazi yake
Ameen
Mungu awabariki sana,victoria mwl Mungu azidi kukubariki karibu Arusha na rejoy.
Amen
Powerful worship,wow nice♥️👏
Ameen
God's grace is enough
Wimbo ulionirudisha Kwa Mungu...I had given up🙌
Ameen ameen
Amen. Kazi nzuri sana. barikiwa
Ameen
@@rejeoicegospelchoir Karibu
Nawapenda sana ndugu zangu,,, mmeupiga mwingi MUNGU awabariki sana. wimbo unabariki kila mtu BIG UP TO YOU.
Ameen
Wanaimba vzr na kucheza kwa adubu. MUNGU awabariki sana
Ameen
Aisee wimbi mzuri hatari mbarikiwe Wana wa Mungu
Amen
Amen hakika ni Neema ya Mungu,Barikiwa Sana
Amen
Mungu awabarki nyimbo bora kwa mwaka huku
Amen
Amaizing nd awesome
Thanks
Hongereni sanaa nimebarikiwa mnoo
Amen
Mpaka mwezi 8 huu no Neema ya mungu
I remember I time I had physiological jaundice,Mungu akaniokoa..
Ni neema tu"
It's my best song ever. God bless you, my sons and daughters. This is my church's choir, Mafinga, iringa Tanzania East Africa. We welcome all. When you visit in Tanzania.
Our Dady @juliusdonaldkikoti
Hii ndiyo ladha halisi ya nyimbo za injili tz ❤
Ubarikiwe
Nitazama nyimbo zote humu CZcams zingine wamezipamba kwa kwenda baharini kupiga picha wengine wamevaa vizuri ila hawa wameimba rohoni mbarikiwe wote waimbaji humu mnaposhuti embu ingieni maombi
Amen
Tunaye simba wa kabila la yuda wonderful massage indeed ❤
Ubarikiwe
All term stron wenye tunaenda nyumbn next let gather here hiii iwe wimbo wetu hpo Airport
Ameen
Mungu awabariki sana wapendwa,ujumbe umetulia sana kweli ni neema ya Mungu.
Ameen
Uwiii wimbo umegusa maisha yangu niliko Toka Hadi Sasa nilipo ni neeemaaa tu ya mungu
Amen
Amen Amen kazi nzuri, inatufanya tushukuru sana neema ya Mungu tu wala si kitu kingine
Ubarikiwee
Wimbo ulitungwa Kwa MAOMBI huu siyo Kwa akili tu Mungu awabariki sana
Amen
Ooooh wow this is the cospel always make me feel proud to my God ama Kwa hakika ni neema ya mungu
Amen, be blessed
Hakika ni neema ya Mungu mimi kuwepo leo. Zaburi 34:19-20. Glory to our mighty God
Ameen
Mungu akubariki zaidi dada victoria🙏
Ameen
Huu wimbo nmeutafta balaaa et saiz ndo naupata wawoooo kesho mungu nipe bahat kama ya Leo kama vip nitngeneze Hela
Ubarikiwe
Amen
Hakika tunae Simba wa kabila la yuda barikiwa sana
Mungu awbarik sana na barikiwa San mim
Amen
Mbarikiwe zaidi na zaidi wimbo huwa sichoki kuusikia 👏👏 unanitoa sehemu moja kwenda nyingine
Ameen
This is pure ministration . It is by God's grace.
Hongera kwenu waimbaji.
Amen
Excellent great song.
Npo zangu nasubiri saa sita for a new song 😊 Yesu achilie kibari zaidi
I feel very comforted when I hear this song, congratulations servants of God, be blessed🎉🎉🎉
Ameen
I dont stop listening to this song, pure testimony
Glory, glory, glory to almighty God. Amen, hallelujah. More grace. Greetings from Kenya 🇰🇪
Amen
Amen amen amen 🙏 🙌 👏
Mungu awabariki Sana watumishi wa Mungu.
Amen
Ni neema ya MUNGU tu napata tumaini tena
Oooooooh,kumbe ni weweeeeeeee...I was like hii sauti naijua..wewe ndiwe uliumba na mgogo wimbo wa "nitayasimulia"
Huu wimbo ni baraka saaana
Ameen
Sio Kwa akili zangu Yesu ni neema ya Mungu ❤❤❤❤
Asanteni sana, wimbo umenigusa sana. Nimepitia magumu nimevuka kwa Neema ya Mungu! Nilitupwa shimoni hawakujua Ninaye Simba wa Yuda. Barikiweni sana 🙏🏾
Amen ubarikiwe
This is my testimony haki ni neema ya Mungu tuu 🙏🙏🙏🙏be blessed my sister icant stop listening to this song
Ameen
My song of the year and the whole life remain,ni neema ya Mungu,neema imeniweka mahal sikustahili,kuvunjwa moyo Kwa kiwango Cha juu,lakini neema ya Mungu ikanibeba mpk hapa nilipo,nashangaa,😭sina maneno mazuri ya kusema,ila hii neema imenibeba haswaa,Asante BABA Kwa neema Yako😭😭❤️💪💪
Amen,amen
Hongeren na kazi ya Bwana
Ubarikiwe sanaaa
Wimbo unanigusa sana maisha yangu
Hii kwaya inaleta raha kuitazama,hasa huyo mwanaume mwenye rasta,
Imenibriki mnooo Mungu alinde san snaa
Ameen ameen
This song needs to be at million views jamani ,lete marafiki tubarikiwe sote
Hakika mi neema ya Mungu ituwezeshayo katika yote. Wimbo huu ni mzuri sana
Ubarikiwe
Hatujui tumevukaje ni neema kunawakati unapita lakini Bwana anatuvusha
Hakika
Asant mnaimba vizuli mungu awazidishie vipawa
Amen
What a nice song be blessed
Amen
Hakika nineema ya mungu🎉😅❤
Amen
Huu wimbo mm nausikiliza kila siku unarudia rudia tu siku nzima hadi nakosana na wadogo zangu,,, ni mtamu sana be blessed,,,, hadi nimewapenda bure,,,,
Amen
Mbarikiwe sana,na mmependeza
Amen