MAGUFULI ALIKUWA NABII ALIYOWAHI KUSEMA KUHUSU BANDARI YAMETOKEA MSIKILIZE INAUMA SANA
Vložit
- čas přidán 22. 09. 2023
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
CZcams : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Tena inauma sana baba utakumbukwa daima mungu akulaze mahali pema peponi amina
Yaani mm nimebaki kukulilia tu baba Mungu akupe pumziko la milele. Amina
Na ndiyo kisa cha kuiwawa na mara baada ya kifo wakakabidhi bandari kama ilivyokua lengo lao tngu miaka mingi.Maana hayati Makufuli alikua mwiiba kwao.
Najaribu kufikiri na kuwaza kuwa" hii speech hata Mama Samia anaiskiliza kweli...?
Mmmmmh
Jpm alikuwa nauwezo mkubwa wakugundua kila kitu
Sasa hivi baba hayati magufuli bandari zetu zinauzwa mama kaziuza zote kwa warsbu wenzie
Baba wa Tanzania husikii kuchoka kumsikiliza
Tangu uhuru tz iliwahi kupata rais mmoja tu magufuli
Na mwalimu Nyerere JK
@@josephlorri431 Hapana. Ni JPM.
Mwenyezi Mungu akulaze kwa Amani! Omuzirankende
Baba ungebaki saivi hata wale ambao hatuna kazi tungelipwa mishahara kama ulaya
Yaan huyu rais wa sasa anajifnya mtakatif kumbe ndan yke sio mtu mzur, maana anafnya vitu vya ajab na hata kipenz chetu magu ametolewa kwa makusud kisa alikua anatetea lasilimal za nchi
kwa akili yako unadhani hapo magufuli anamaanisha nini kama sio kutaka mfumo mbovu wa bandari ufumuliwe acha chuki
R.I.P kamanda wangu JPM kiukweli ulionyesha uzakendo wa Nchi yako mwenyezi Mungu akuongoze uko uliko ukweli unamuweka mtu huru sana😭😭😭
Mungu nakuomba maali pema peponi pamoja namapungufu yake yakibinadamu.lakini Kuna mahalo alikuwa anaenda Haki na alikuwa amedhamiria kulivusha taifa letu .uyu baba ilifika pahali ata taarifa ya abari ilikuwa inapendwa kuangalia nakula mtu wakubwa nawadogo .watu walikuwa wanapenda kuona Leo raisi atasema nini .alikuwa mtedaji kwel kwel ila basi imebaki stori mungu tupe viongoz wazalendo 👏
Miminiliposikia eti umefariki moyowangu haukukubali nilijipamoyo nakusemahapana itakuwa wamemteka lakini iposiku watakurudisha labda kunakitu wanachokitaka kutoka kwako sasaukiwapa watakuachia heee! Imekuwa tofauti siku,wiki,mwaka,nasasa imekuwa miaka basi nimezoea lakini moyo wangu haunyamaza kulilia baba wanaokusema kwamabaya wananiumiza sana nawalaniwe kwajina layesu kristo ipoisku iposiki,iposik
Alikuwa akiongea unapata raha sana
Kiongozi bora na imara mwenye maono, mipango mizuri na misimamo dhabiti kama alivyokuwa mzalendo wa kweli JPM anapatikana mara moja kwa karne moja, hawa wa sasa hivi ni vibaraka watiifu wa mabeberu wanaamini bila mabeberu hawawezi kufanya chochote ndio maana kila kitu wanawaza wawekezaji.
Wasingekuacha uendelee kuwa hai, ningekuwa mm nawaondoa viongozi wote nawaajiri makuli
Mungu baba usituache huyu ulitupatia kama zawadi na leo hayupo tumebaki kulia tu
Jpm alikuwa anatoa maagizo.leo mama hatoi maagizo yy kila kitu akiongea anasema kaangalieni
Eee MUNGU tunashukuru Kwa zawadi Hii uliyo wahi kutupatia wa Tanzania
Ahsante. Tutamuenzi milele
Pumzika kwa Amani Baba
Tutakukumbuka Kwa mengi yote uliyo yaongea tunayaona Sasa
Mhe DR Hayati Magufuli maneno yake yana ashiria unabii Watanzania akili zetu zina kumbukumbu ya yote aliyoyahubiri Mpendwa wetu Tuyarejee,tuyatafakari,na tuyatumie kama maono ili tusimame pamoja Ameni
Tulisha tengenezewa
Njia tuifuate
DUU!😭😭😭😭😭 R.I.P,
R.i.p Jpm.
Mungu akumzishe salama mkombozi wawatanzania ilaumetuacha yatima hatuna wakutunyamazisha baba tunaelelea kuumizwa nakutoneshwa kidonda tuchoumia pindi ulipoondoka baba inaumasanaaaaa!aaainama
Kwa sasa ndo mnaona maneno yake yanaishi? Kwa sasa tunamsikiliza mama samiah anafanya kazi nzuri tu . Mungu aendelee kumwongoza
Walio nyuma yako baba watakuwa na cha kujibu mbele za Mungu Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi amen
TANZANIA tulipoteza kiongozi mzalendo Rip rais wa watz
Kweli kama binadamu hawezi kukosa mapungufu KAZI zake zilikua nzuri
Chanzo cha uharibifu kilikuwa hapa
Daaa!! Mzee tutakukumbuk Sana sanA
tutakukumbuka daima,hakuna wa mfano wako,m," mungu akuweke mahala pema peponi" amina.
Asante sana Kusaga TV kwa kuweka hii.
Tutakukumbka milele
Amiri jeshi mwenyewe...hatatokea tena kama huo...rip mzee wetu
Leo wanasikiliza haya maneno ?
Tuta kukumbuka daima
Iwapo nikimuangalia ninalia alikua
Babayetu Mimi murundi alikua anatimiza malengo ya EAC mufano tulikua tukinyanyaswa napolisi njiani ilikua imeisha lakini kwasasa halishugulikiwe
Baba endelea kulala mahali pema
Mungu azidi kukubaliki lakini tunahitaji watu kama
Makufuli
Shujaa.kaondoka
Unwell unaishi milele rip jembe
Saivi ndiyo shida
Baba alinyoosha maneno hadi sio vizuri. Mama vipi?.
Mungu tunaomba tupe mwingine kama magufuli yani kungekuwa na kupiga kula nani atangulie mzee angekuwepo.
My beloved daddy we mic u Soo much! 😭😭
Makosa makubwa wabongo walimpa muislamu wa kike kuongoza nchi mama anatumiwa na kina kikeetu kufanya fasaad Aibu kwa waislamu
umesema ukweli
Kweli kabisa.
Makufuli❤ameua❤wengi❤wasionahatia❤kwa❤maslahi❤yake
Wataje ndugu, wakina nani hao? Au ndo chuki zimekujaa mpaka masikion
Album na ni yako wee mpigadil?
@@HenryAnatoly-jg3df Alimuua ndugu yako??!! Acha unafki unajisumbua bure jamaa bado anapendwa huwezi zuia😓
Ww kijana mbona unachuki binafsi Mungu ashuhulike nawe popote ulipo
Matako wewe kamuua mama yako.
We miss U.
Huyu makufuli ni zawadi kutoka Kwa mungu
RIP jpm
Dah ulinena bab naimenda hiyo
Ulisema tutakukumbuka leo yanatimia wewe ni zaidi ya nabii. Pumzika baba😮😮😮
Yaani tulishidwa kumuombea huyu mwamba alileta hali ya uchumi na heshima , saivi ovyo kabisa hakuna maajabu
Rais wangu ,kweli unissait kuwa rais ,pole saaana
Watanganyika mnaleta MAMBO YA UKABILA kuligawa Taifa la TANGANYIKA.
Tulijuwa watanzania wanatesekaRip baba jpm
Acha kabisa,pumzika baba kwa amani
Magu magufuli Jonn upumzike kwa Aman baba tunakulilia Kila siku tunakukumbuka pumzika baba.
Yaani nakukumbuka sana ww ulikuwa nabii wa waTanzania
Nimeliona li mbarawa jizi lipo hapo
Mi nasom comment tu😔
MUNGU atusaidie WA Tanzania
Kwasasa mpendwa wetu tunaumia sijui mwisho wamaumivu nirini sjui
R i p magu
Pumzika kwa amani
Uchafu wa Ccm wa bandari
EWE MUNGU MLAZE PEMA PEPONI AMIN,,UNGEKUEPO HADI SASA UMEME USINGEKATIKA KIJINGAJINGA KAMA SASA MIEZI MIWILI OKA MVUA ICHE KUNYESHA MGAO TAYARI WAZILI KALALA SIJUI KAMA RAIS ANAJUA UKWELI TANESCO JIPU HALIJATUMBULIWA TUNALALA GIZA TUNAKUMBUKA MWAMBA
Mwenzio hajawahi tumbua mtu hapo bandari
Alikuwa vizosana uyu laisi
Hao watu wanaocheka wanafahamu, wanaoskitika ndo hawafahamu. Rais Samia ungefanyia kazi hizi changamoto kuliko kuleta wagen,. Kama unashindwa kuadhibu watoto wako utawezaje kumuhadhibu mtoto wa jirani????????????????????????
Sasaivi bandali zetu zimeuzwa wamebakia mafisadi amna wanachokifanya
wamebaki wachumia tumbo ndo wanaongoza nchi
Tutakukumbuka
Alikuwa Nabii wa WAKRISTO maana kila mtu anajiita nabii Mungu gani aliyempa Unabii, kwenye kitabu gani kilichoandikwa kuwa amepewa Unabii ?
Unatutia chungu baba
Ee MUNGU uirehemu nchi yetu,viongozi wetu,sasa kama ni hivi tutampata wapi Kiongozi kama huyu
Waliua mtu tunashukuruu kwa kuwa walishindwa kumuua Bwana Mungu. Tulioumia tuzidi kumwomba mabaya yanamda wake.
Hotuba Kama hizi tuwekewe tuzisikilize kabla na baada ya taarifa ya habari kila mara
Kabisa
Samia piga kazi tuko na wewe watanzania.
waislamu ni funguo la kukosa
Tatizo myself waislamu rais akiwa mwislamu huwa mmepata nafasi ya kuonesha mabaya yenu mbona mlipomwuua JPM wakristu tuliiwaacha tu mmetuoona hatuna uwezo nanyi?
@@RoseKimishabhalemi-oz9bn achana na udini angalia uwezo wa kiongozi. Udini ni tofauti na utaifa sijui unanisoma
@@kwisa4899 brother unakosea sana speach ya Magu Haina udini ila Ina uzarendo pia utaifa. Achana na udini au ukabira
Pumzika baba tumekumis