MAGUFULI ALIKUWA NABII ALIYOWAHI KUSEMA KUHUSU BANDARI YAMETOKEA MSIKILIZE INAUMA SANA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 09. 2023
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    CZcams : www.youtube.com/@kusagatv6320...
    Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

Komentáře • 97

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 9 měsíci +9

    Tena inauma sana baba utakumbukwa daima mungu akulaze mahali pema peponi amina

  • @lilianvitus2488
    @lilianvitus2488 Před 9 měsíci +6

    Yaani mm nimebaki kukulilia tu baba Mungu akupe pumziko la milele. Amina

  • @felixmsale9244
    @felixmsale9244 Před 9 měsíci +7

    Na ndiyo kisa cha kuiwawa na mara baada ya kifo wakakabidhi bandari kama ilivyokua lengo lao tngu miaka mingi.Maana hayati Makufuli alikua mwiiba kwao.

  • @filipomatondo4040
    @filipomatondo4040 Před 9 měsíci +8

    Najaribu kufikiri na kuwaza kuwa" hii speech hata Mama Samia anaiskiliza kweli...?

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před 9 měsíci +7

    Jpm alikuwa nauwezo mkubwa wakugundua kila kitu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 9 měsíci +6

    Sasa hivi baba hayati magufuli bandari zetu zinauzwa mama kaziuza zote kwa warsbu wenzie

  • @mrdeniskomba6199
    @mrdeniskomba6199 Před 9 měsíci +5

    Baba wa Tanzania husikii kuchoka kumsikiliza

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před 9 měsíci +6

    Tangu uhuru tz iliwahi kupata rais mmoja tu magufuli

  • @sarahkadugu4367
    @sarahkadugu4367 Před 9 měsíci +3

    Mwenyezi Mungu akulaze kwa Amani! Omuzirankende

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před 9 měsíci +4

    Baba ungebaki saivi hata wale ambao hatuna kazi tungelipwa mishahara kama ulaya

  • @christoemmanuel8210
    @christoemmanuel8210 Před 9 měsíci +4

    Yaan huyu rais wa sasa anajifnya mtakatif kumbe ndan yke sio mtu mzur, maana anafnya vitu vya ajab na hata kipenz chetu magu ametolewa kwa makusud kisa alikua anatetea lasilimal za nchi

    • @Pharadge
      @Pharadge Před 9 měsíci

      kwa akili yako unadhani hapo magufuli anamaanisha nini kama sio kutaka mfumo mbovu wa bandari ufumuliwe acha chuki

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 Před 9 měsíci +10

    R.I.P kamanda wangu JPM kiukweli ulionyesha uzakendo wa Nchi yako mwenyezi Mungu akuongoze uko uliko ukweli unamuweka mtu huru sana😭😭😭

  • @TadeiMallya-lq4wk
    @TadeiMallya-lq4wk Před 9 měsíci +4

    Mungu nakuomba maali pema peponi pamoja namapungufu yake yakibinadamu.lakini Kuna mahalo alikuwa anaenda Haki na alikuwa amedhamiria kulivusha taifa letu .uyu baba ilifika pahali ata taarifa ya abari ilikuwa inapendwa kuangalia nakula mtu wakubwa nawadogo .watu walikuwa wanapenda kuona Leo raisi atasema nini .alikuwa mtedaji kwel kwel ila basi imebaki stori mungu tupe viongoz wazalendo 👏

    • @user-zd3ds6vt7u
      @user-zd3ds6vt7u Před 9 měsíci

      Miminiliposikia eti umefariki moyowangu haukukubali nilijipamoyo nakusemahapana itakuwa wamemteka lakini iposiku watakurudisha labda kunakitu wanachokitaka kutoka kwako sasaukiwapa watakuachia heee! Imekuwa tofauti siku,wiki,mwaka,nasasa imekuwa miaka basi nimezoea lakini moyo wangu haunyamaza kulilia baba wanaokusema kwamabaya wananiumiza sana nawalaniwe kwajina layesu kristo ipoisku iposiki,iposik

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před 9 měsíci +4

    Alikuwa akiongea unapata raha sana

  • @user-ql6hg7fy9p
    @user-ql6hg7fy9p Před 9 měsíci +4

    Kiongozi bora na imara mwenye maono, mipango mizuri na misimamo dhabiti kama alivyokuwa mzalendo wa kweli JPM anapatikana mara moja kwa karne moja, hawa wa sasa hivi ni vibaraka watiifu wa mabeberu wanaamini bila mabeberu hawawezi kufanya chochote ndio maana kila kitu wanawaza wawekezaji.

  • @amosdickson6318
    @amosdickson6318 Před 9 měsíci +3

    Wasingekuacha uendelee kuwa hai, ningekuwa mm nawaondoa viongozi wote nawaajiri makuli

  • @lilianvitus2488
    @lilianvitus2488 Před 9 měsíci +4

    Mungu baba usituache huyu ulitupatia kama zawadi na leo hayupo tumebaki kulia tu

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před 9 měsíci +3

    Jpm alikuwa anatoa maagizo.leo mama hatoi maagizo yy kila kitu akiongea anasema kaangalieni

  • @NgambilabalinziBaliguluk-os3ln
    @NgambilabalinziBaliguluk-os3ln Před 9 měsíci +4

    Eee MUNGU tunashukuru Kwa zawadi Hii uliyo wahi kutupatia wa Tanzania
    Ahsante. Tutamuenzi milele

  • @NgambilabalinziBaliguluk-os3ln
    @NgambilabalinziBaliguluk-os3ln Před 9 měsíci +3

    Pumzika kwa Amani Baba
    Tutakukumbuka Kwa mengi yote uliyo yaongea tunayaona Sasa

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 Před 9 měsíci +2

    Mhe DR Hayati Magufuli maneno yake yana ashiria unabii Watanzania akili zetu zina kumbukumbu ya yote aliyoyahubiri Mpendwa wetu Tuyarejee,tuyatafakari,na tuyatumie kama maono ili tusimame pamoja Ameni

  • @eliaskangabo779
    @eliaskangabo779 Před 9 měsíci +3

    Tulisha tengenezewa
    Njia tuifuate

  • @user-vp1zu3fb5w
    @user-vp1zu3fb5w Před 9 měsíci +3

    DUU!😭😭😭😭😭 R.I.P,

  • @user-qo2nf6vm7k
    @user-qo2nf6vm7k Před 9 měsíci +2

    R.i.p Jpm.

  • @user-zd3ds6vt7u
    @user-zd3ds6vt7u Před 9 měsíci

    Mungu akumzishe salama mkombozi wawatanzania ilaumetuacha yatima hatuna wakutunyamazisha baba tunaelelea kuumizwa nakutoneshwa kidonda tuchoumia pindi ulipoondoka baba inaumasanaaaaa!aaainama

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 Před 8 měsíci

    Kwa sasa ndo mnaona maneno yake yanaishi? Kwa sasa tunamsikiliza mama samiah anafanya kazi nzuri tu . Mungu aendelee kumwongoza

  • @RaphaelMatunguNdagambaniwe
    @RaphaelMatunguNdagambaniwe Před 9 měsíci

    Walio nyuma yako baba watakuwa na cha kujibu mbele za Mungu Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi amen

  • @edsonmasesa7966
    @edsonmasesa7966 Před 9 měsíci +1

    TANZANIA tulipoteza kiongozi mzalendo Rip rais wa watz

  • @BazirLukowo-vb4jb
    @BazirLukowo-vb4jb Před 9 měsíci +1

    Kweli kama binadamu hawezi kukosa mapungufu KAZI zake zilikua nzuri

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Před 9 měsíci +1

    Chanzo cha uharibifu kilikuwa hapa

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 Před 9 měsíci

    Daaa!! Mzee tutakukumbuk Sana sanA

  • @anoldamkumba3208
    @anoldamkumba3208 Před 9 měsíci

    tutakukumbuka daima,hakuna wa mfano wako,m," mungu akuweke mahala pema peponi" amina.

  • @milkajm4762
    @milkajm4762 Před 9 měsíci

    Asante sana Kusaga TV kwa kuweka hii.

  • @user-me3df8pt1t
    @user-me3df8pt1t Před 9 měsíci +2

    Tutakukumbka milele

  • @habiblalji8756
    @habiblalji8756 Před 9 měsíci

    Amiri jeshi mwenyewe...hatatokea tena kama huo...rip mzee wetu

  • @diltondilunga9915
    @diltondilunga9915 Před 9 měsíci +1

    Leo wanasikiliza haya maneno ?

  • @CairoBenny-dp4vg
    @CairoBenny-dp4vg Před 9 měsíci +1

    Tuta kukumbuka daima

  • @falesbanda7520
    @falesbanda7520 Před 9 měsíci

    Iwapo nikimuangalia ninalia alikua
    Babayetu Mimi murundi alikua anatimiza malengo ya EAC mufano tulikua tukinyanyaswa napolisi njiani ilikua imeisha lakini kwasasa halishugulikiwe
    Baba endelea kulala mahali pema
    Mungu azidi kukubaliki lakini tunahitaji watu kama
    Makufuli

  • @GoseMasika-wj7jq
    @GoseMasika-wj7jq Před 9 měsíci +1

    Shujaa.kaondoka

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy Před 8 měsíci

    Unwell unaishi milele rip jembe

  • @Emmanuel-oy6xj
    @Emmanuel-oy6xj Před 9 měsíci

    Saivi ndiyo shida

  • @majaysjrmtitu5300
    @majaysjrmtitu5300 Před 9 měsíci

    Baba alinyoosha maneno hadi sio vizuri. Mama vipi?.

  • @user-ef8pn2ut1y
    @user-ef8pn2ut1y Před 9 měsíci

    Mungu tunaomba tupe mwingine kama magufuli yani kungekuwa na kupiga kula nani atangulie mzee angekuwepo.

  • @gofreypilla5687
    @gofreypilla5687 Před 9 měsíci

    My beloved daddy we mic u Soo much! 😭😭

  • @mohamedali7544
    @mohamedali7544 Před 9 měsíci +1

    Makosa makubwa wabongo walimpa muislamu wa kike kuongoza nchi mama anatumiwa na kina kikeetu kufanya fasaad Aibu kwa waislamu

  • @MussaSuleiman-ui9fy
    @MussaSuleiman-ui9fy Před 9 měsíci +1

    Makufuli❤ameua❤wengi❤wasionahatia❤kwa❤maslahi❤yake

    • @HenryAnatoly-jg3df
      @HenryAnatoly-jg3df Před 9 měsíci

      Wataje ndugu, wakina nani hao? Au ndo chuki zimekujaa mpaka masikion

    • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
      @RoseKimishabhalemi-oz9bn Před 9 měsíci

      Album na ni yako wee mpigadil?

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před 9 měsíci +1

      @@HenryAnatoly-jg3df Alimuua ndugu yako??!! Acha unafki unajisumbua bure jamaa bado anapendwa huwezi zuia😓

    • @magrethlubimbi4055
      @magrethlubimbi4055 Před 9 měsíci

      Ww kijana mbona unachuki binafsi Mungu ashuhulike nawe popote ulipo

    • @omaryyusuph7877
      @omaryyusuph7877 Před 9 měsíci

      Matako wewe kamuua mama yako.

  • @aaroneu07
    @aaroneu07 Před 9 měsíci

    We miss U.

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Před 8 měsíci

    Huyu makufuli ni zawadi kutoka Kwa mungu

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 Před 9 měsíci

    RIP jpm

  • @user-bj6bv9xp4f
    @user-bj6bv9xp4f Před 8 měsíci

    Dah ulinena bab naimenda hiyo

  • @BeathaChambo
    @BeathaChambo Před 8 měsíci

    Ulisema tutakukumbuka leo yanatimia wewe ni zaidi ya nabii. Pumzika baba😮😮😮

  • @Emmanuel-oy6xj
    @Emmanuel-oy6xj Před 9 měsíci

    Yaani tulishidwa kumuombea huyu mwamba alileta hali ya uchumi na heshima , saivi ovyo kabisa hakuna maajabu

  • @kusemmanuel2211
    @kusemmanuel2211 Před 9 měsíci

    Rais wangu ,kweli unissait kuwa rais ,pole saaana

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před 9 měsíci

    Watanganyika mnaleta MAMBO YA UKABILA kuligawa Taifa la TANGANYIKA.

  • @user-po1ho7jp2g
    @user-po1ho7jp2g Před 9 měsíci

    Tulijuwa watanzania wanatesekaRip baba jpm

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 Před 9 měsíci

    Acha kabisa,pumzika baba kwa amani

  • @MathaMponela-yn2cm
    @MathaMponela-yn2cm Před 9 měsíci

    Magu magufuli Jonn upumzike kwa Aman baba tunakulilia Kila siku tunakukumbuka pumzika baba.

  • @magrethlubimbi4055
    @magrethlubimbi4055 Před 9 měsíci

    Yaani nakukumbuka sana ww ulikuwa nabii wa waTanzania

  • @magidachimija5599
    @magidachimija5599 Před 9 měsíci

    Nimeliona li mbarawa jizi lipo hapo

  • @masheyosteven9149
    @masheyosteven9149 Před 8 měsíci

    Mi nasom comment tu😔

  • @ShautielyOsiani-my1oe
    @ShautielyOsiani-my1oe Před 9 měsíci

    MUNGU atusaidie WA Tanzania

  • @erickrichard1843
    @erickrichard1843 Před 9 měsíci

    Kwasasa mpendwa wetu tunaumia sijui mwisho wamaumivu nirini sjui

  • @emmanuelruben3690
    @emmanuelruben3690 Před 9 měsíci

    R i p magu

  • @DeusiSetivin-ls9uz
    @DeusiSetivin-ls9uz Před 9 měsíci

    Pumzika kwa amani

  • @Antiqueqwerty-ko9ey
    @Antiqueqwerty-ko9ey Před 9 měsíci

    Uchafu wa Ccm wa bandari

  • @hajimrinda4044
    @hajimrinda4044 Před 9 měsíci

    EWE MUNGU MLAZE PEMA PEPONI AMIN,,UNGEKUEPO HADI SASA UMEME USINGEKATIKA KIJINGAJINGA KAMA SASA MIEZI MIWILI OKA MVUA ICHE KUNYESHA MGAO TAYARI WAZILI KALALA SIJUI KAMA RAIS ANAJUA UKWELI TANESCO JIPU HALIJATUMBULIWA TUNALALA GIZA TUNAKUMBUKA MWAMBA

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před 9 měsíci

    Mwenzio hajawahi tumbua mtu hapo bandari

  • @user-lm3tx3rb9o
    @user-lm3tx3rb9o Před 9 měsíci

    Alikuwa vizosana uyu laisi

  • @YasintaKazori-jw9ip
    @YasintaKazori-jw9ip Před 9 měsíci

    Hao watu wanaocheka wanafahamu, wanaoskitika ndo hawafahamu. Rais Samia ungefanyia kazi hizi changamoto kuliko kuleta wagen,. Kama unashindwa kuadhibu watoto wako utawezaje kumuhadhibu mtoto wa jirani????????????????????????

  • @nizwaoman8378
    @nizwaoman8378 Před 9 měsíci

    Sasaivi bandali zetu zimeuzwa wamebakia mafisadi amna wanachokifanya

  • @BarakaElnest-ox7pb
    @BarakaElnest-ox7pb Před 9 měsíci

    wamebaki wachumia tumbo ndo wanaongoza nchi

  • @jeremiahmwasomola1252
    @jeremiahmwasomola1252 Před 9 měsíci

    Tutakukumbuka

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před 9 měsíci

    Alikuwa Nabii wa WAKRISTO maana kila mtu anajiita nabii Mungu gani aliyempa Unabii, kwenye kitabu gani kilichoandikwa kuwa amepewa Unabii ?

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před 9 měsíci

    Unatutia chungu baba

  • @yakobokakuni-jm2un
    @yakobokakuni-jm2un Před 9 měsíci

    Ee MUNGU uirehemu nchi yetu,viongozi wetu,sasa kama ni hivi tutampata wapi Kiongozi kama huyu

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn Před 9 měsíci +1

    Waliua mtu tunashukuruu kwa kuwa walishindwa kumuua Bwana Mungu. Tulioumia tuzidi kumwomba mabaya yanamda wake.

  • @SofiaMvungi-zu5tg
    @SofiaMvungi-zu5tg Před 9 měsíci

    Hotuba Kama hizi tuwekewe tuzisikilize kabla na baada ya taarifa ya habari kila mara

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 9 měsíci

    Samia piga kazi tuko na wewe watanzania.

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Před 9 měsíci

      waislamu ni funguo la kukosa

    • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
      @RoseKimishabhalemi-oz9bn Před 9 měsíci

      Tatizo myself waislamu rais akiwa mwislamu huwa mmepata nafasi ya kuonesha mabaya yenu mbona mlipomwuua JPM wakristu tuliiwaacha tu mmetuoona hatuna uwezo nanyi?

    • @user-fb6dh6sz2g
      @user-fb6dh6sz2g Před 9 měsíci

      ​@@RoseKimishabhalemi-oz9bn achana na udini angalia uwezo wa kiongozi. Udini ni tofauti na utaifa sijui unanisoma

    • @user-fb6dh6sz2g
      @user-fb6dh6sz2g Před 9 měsíci

      ​@@kwisa4899 brother unakosea sana speach ya Magu Haina udini ila Ina uzarendo pia utaifa. Achana na udini au ukabira

  • @MathaMponela-yn2cm
    @MathaMponela-yn2cm Před 9 měsíci

    Pumzika baba tumekumis