MAGUFULI Amlipua MBOWE - “TUMEMPA GARI, AMENIFANYIA VITIMBWI, NILIPATA SHIDA SANA”

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 10. 2020
  • MAGUFULI Amlipua MBOWE - “TUMEMPA GARI, AMENIFANYIA VITIMBWI, NILIPATA SHIDA SANA”
    MGOMBEA urais (CCM) Dkt John Magufuli, amefanya mkutano wa kampeni katika jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro, kuomba kura kwa wananchi ili waweze kumpa tena miaka mitano ya kuwa rais wa Tanzania...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 320

  • @kareemsukri3256
    @kareemsukri3256 Před 3 lety +32

    I'm from Kenya bt this is real president we admired tano tena kwake

    • @angelanaftael7965
      @angelanaftael7965 Před 3 lety +2

      Thank you our neighbour Kenya thank you for appreciating our lovely President.tunampenda mnooo jamani

    • @imanimbwaga7005
      @imanimbwaga7005 Před 3 lety +1

      Kenyan take him make him a seed for kenyani

  • @mnegaamina6085
    @mnegaamina6085 Před 3 lety +35

    Leo wanajaa viwanjani korona hawaitaji ila bungen wanasema korona waambie ccm hoyeee

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi7430 Před 3 lety +17

    Hakuna upinzani wa kweli Tanzania, ila kuna wachumia tumbo tu.

  • @mathewvalerian792
    @mathewvalerian792 Před 3 lety +22

    Pamoja sana mkuu, tupo nyuma yako. Na ww ndiye rais wetu. Mungu akubariki.

  • @barackramathan4871
    @barackramathan4871 Před 3 lety +22

    hii ina itwa aku anzae mmalize halibu baba magu na kuaminia

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před 3 lety +38

    MAGUFULI KAZI YA MIKONO YAKO ITAKUFUATA ITAKUPIGIA KURA UTAKUA MWENYE HERI NA BARAKA TELE

    • @stevenmaketa8051
      @stevenmaketa8051 Před 3 lety +1

      Oyyoooooo maneno mazito saana nakupnda saana raisi kura ntakupa asante

    • @jambia4515
      @jambia4515 Před 3 lety

      😍

    • @Canndyg-kt9
      @Canndyg-kt9 Před 3 lety

      Hakika, na tayari kazi ya mikono yake imempigia kura

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 Před 3 lety +20

    Mbowee akapumzike hana jipya ametuona sisi uku hai ni maboya. Time is over my friend.

  • @ruthaloyce1012
    @ruthaloyce1012 Před 3 lety +24

    Baba wewe Mungu akutanguliye tu, mitano mingine tunakupa wewe! Ccm oyeeee!

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Před 3 lety +13

    Rais wetu wa Tanzania yetu ni John Pombe Joseph Magufuli miaka 5 Mingine

  • @PastorsTz
    @PastorsTz Před 3 lety +6

    MAGUFURI MUNGU AKUREHEMU SANA SANA..MANENO HAYA HAYATAKUWA YABURE KIZAZI HATA VIZAZI..MUNGU AKUOKOE SANA KWA KAZI HII..WEWE NI RAISI KWELI...

  • @festondenga4253
    @festondenga4253 Před 3 lety +21

    Kwa hotuba hii Mungu akuzidishie magufuli na akubariki sana wewe

  • @mathewvalerian792
    @mathewvalerian792 Před 3 lety +17

    Mkuu piga kazi usiogope CCM ndio mpango mzima.

  • @charlesmataba8344
    @charlesmataba8344 Před 3 lety +13

    Mh Raisi kutoka nje ya Bunge ilikua kisingizio cha COVID19 lakin ukweli ni kwamba walikua wameishiwa hoja tena hawajui kipi wafanye

  • @sifabahati2759
    @sifabahati2759 Před 3 lety +5

    Natamani kuwa mtanzania tariki hii 28/ 10 /2020 ninge weka ndani sauti 10000000 ili baba Magufuli aone njisi navyo mpenda hatakama me sio wa tz

  • @ramadhanmasolwa4869
    @ramadhanmasolwa4869 Před 3 lety +32

    Wachane Kuna mwingine alisema watu wanakufa Kama nzinge alfu leo hii anagombea urais

    • @trophainamagogwa9991
      @trophainamagogwa9991 Před 3 lety +2

      Hahaha kasahau pesa sabuni ya Roho

    • @joelnaja9935
      @joelnaja9935 Před 3 lety +4

      Mpk ni ajabu kbsa hao hao waliombeza JPM et ni mshamba hajui mambo ya kisayansi et anayapleka kiroho, wakazusha kuwa watu wanazikwa usiku lkn leo hao waongo na wanafiki matapeli ndio tuwachague kweli?
      Akili ni nywele!

    • @LosiokiSomoire
      @LosiokiSomoire Před 3 lety +1

      Nyie yaani hamsahau...hao ni wahuni

    • @user-un3df1sl2h
      @user-un3df1sl2h Před 3 lety

      Chama kimeshakufa,haende akajinywee tu falu jonh

  • @thobiasndichaye4861
    @thobiasndichaye4861 Před 3 lety +23

    Lazima nikuchague

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Před 3 lety +5

    Hai muamke achaneni na siasa za mihemko lazima tuamke usingizini

  • @ramadhanimahongole8764
    @ramadhanimahongole8764 Před 3 lety +4

    Utasikia Maendeleo hayana chama ila kiongozi bora atapatikana ccm 😆😆😆😆😆😂😂

  • @josetarimo1768
    @josetarimo1768 Před 3 lety +17

    Poa mungu simama na mwenye haki

  • @commonwealthofkentucky5452

    Ccm wanaeleza sera safi sana....sio kuwasema watu

  • @fatmarashid1843
    @fatmarashid1843 Před 3 lety +18

    Magu hatukuangushi
    Tunakupenda sana
    Lisu anapenda kutafuna yeye ameze tuu
    Hatumtaki

  • @professamuddy5407
    @professamuddy5407 Před 3 lety +1

    Mimi naona kiongozi mzuri na mwema huwa na busara, huwa mpole akikosolewa, huwa si mbinafsi, hapendi chuki, hupenda kuunganisha jamii bila kujali hali zao wala ukabila wao wala vyama vyao, hupenda kushirikiana na watu haswa maskini! Hupenda kutafuta ushauri kabla ya kuamua jambo nk. Sasa sijui viongozi wenye sifa hizo njema hapa nchini kwetu wapo au hawapo!!? ALLAH Atuongoze aaamiiinn.

  • @amigodossantos4129
    @amigodossantos4129 Před 3 lety +3

    It's because of Magufuli we are free during corona disease. We should be grateful

    • @priscambwambo1030
      @priscambwambo1030 Před 3 lety

      MUNGU WETU AMETUHURUMIA JUU YA CORONA .HATA KWENYE BIBLIA TUKISOMA TUNAONA JUU YA WAFALME WANCHI. MFALME AKIWA MNYENYEKEVU NA MCHA MUNGU. MUNGU ANAIPONYA NCHI.!

    • @kuntukuntu3424
      @kuntukuntu3424 Před 3 lety +1

      Maaavi Ya Kuku..

  • @rashidiwhite4709
    @rashidiwhite4709 Před 3 lety +7

    Ndioo unapokosea baba hapo tu huk uu vijijiinii panado kidongee tsh,50/= ujuee hiloo watu wa halii ya chinii tunaumiaaa.

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 Před 3 lety +2

      Aliyetengeneza panadol nayeye pia anatafuta pesa badirika ndugu hii Dunia mungu aliiumba hivyo lazima jasho la mikono yako litumike kwa njia hiyo yamatumizi hakuna vya bure mungu hapendi

    • @LosiokiSomoire
      @LosiokiSomoire Před 3 lety +2

      Jamani Rashidi, shilingi 50 ndio ya chini sana, ikipunguzwa itakuwa hela ngapi? Anatengeneza atatoa kwa hela ngapi?

    • @kundaellyimo7523
      @kundaellyimo7523 Před 3 lety +1

      Wewe ndiyo walewale sh 500 una vidonge 10 ukivimaliza haujapona inabidi ukalazwe tu

    • @nicethamanonga5855
      @nicethamanonga5855 Před 3 lety

      Watu wanapenda vya bure at a ukiwekewa chakula mdomoni utasema umezeshwe.

    • @mohamedpesambili9460
      @mohamedpesambili9460 Před 3 lety

      @@nicethamanonga5855 atakuambia chakula chako kibaya au kichungu😂😂😂😂

  • @danielmkama4636
    @danielmkama4636 Před 3 lety +13

    Mhe mbowe kwa hii hotuba una Kazi kwa wana hai

  • @benedictoshadrack2573
    @benedictoshadrack2573 Před 3 lety +6

    Nilisikia kuwa maendeleo hayana chama au nilielewa vibaya jamani

    • @rosetreffert6727
      @rosetreffert6727 Před 3 lety +5

      Ndo hivyo!kama unapiga kila kitu utasaidikaje!mbowe anajifanya mwamba yatamshinda soon

    • @shamimushittindi1418
      @shamimushittindi1418 Před 3 lety +1

      Rose umejibu vzr

    • @trophainamagogwa9991
      @trophainamagogwa9991 Před 3 lety +3

      Ndiyo, kama Raisi mtu mzuri mchague tu ila wa chini lazima aendane na Baba

    • @LosiokiSomoire
      @LosiokiSomoire Před 3 lety +2

      Maendeleo hayana Chama, ila chama ni lazima ili kuteua viongozi wenye mwelekeo fulani. Lakini hospitali ikijengwa, wanachama wote kutoka vyama tofauti hufaidi. Vyama vingine vina mwelekeo/ilani potovu.

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Před 11 měsíci +1

    ndiomaana umekufa mapema kwa kujua tz umerithi kutoka kwa baba yako au mama yako mungu akupereke motoni ameni

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Před 3 lety +6

    Baba Magufuli Mungu wako ni mkuu sana kamba za wasiohaki hazitakupata Mungu akulinde sana.

  • @barakamgina6630
    @barakamgina6630 Před 3 lety +2

    SUPER PRESDAAA

  • @yassinm69
    @yassinm69 Před 3 lety +2

    Magu katumwa na mungu long live magu

  • @amosimassyaga7476
    @amosimassyaga7476 Před 3 lety +3

    Viva. Magufuli

  • @mbegambega9705
    @mbegambega9705 Před 3 lety +4

    Ila magu hata sisi tupo Mwanza kata ya luchelele lakini maji ni tizi sana ndoo moja mia 50 wakati tupo kandokando ya ziwa Sasa unavyosema maji yanatoka ziwa vikitoria kwenda tabora shinyanga napata ugummm kukuelewa na hapo usagara tu maji hamna jamani .na diwani ni cc mbuge ccm Sasa napata utata sana muda mwingine kukuelewa

    • @mbegambega9705
      @mbegambega9705 Před 3 lety

      Ndooo 500 sio 50

    • @LosiokiSomoire
      @LosiokiSomoire Před 3 lety

      Ndio maana anahitaji miaka 5 tena. Maendeleo ya taifa hayamaliziki siku moja. Muda huu lazima mfikiwe

    • @zilpamatiko1712
      @zilpamatiko1712 Před 3 lety

      Pole kama ni karibu na ziwa kachote ziwani. Magu oyeeee

    • @akilimalimali253
      @akilimalimali253 Před 3 lety

      @@LosiokiSomoire miaka 60 ya Uhuru tar 28 tuna jambo letu

  • @imanimbwaga7005
    @imanimbwaga7005 Před 3 lety +1

    Ndiyo maana uliharibu mali zake

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 Před 3 lety +6

    Ndo wajiongeze wasipo jiongeza achana nao sie kwetu maji mlangon

  • @martinmnzava9053
    @martinmnzava9053 Před 3 lety +6

    Poleni watu wa jimbo LA Hai. Muligeuzwa mbuzi wa krismass.

  • @henrymatebe1492
    @henrymatebe1492 Před 3 lety +1

    Kwani vipengele vya Democratic nini moja wapo si ni kukosoa ? Kipi cha ajabu ? Watu wanawakosoa hadi wazazi wao pale wanapokosea wewe ni nani usikosolewe ?

  • @stellakutta6513
    @stellakutta6513 Před 3 lety +1

    Rais wetu Magufuli wa Tanzania. Na mgombea wetu wa Urais Tena wa Urais Tanzania. Mimi napenda Sana kusema kuwa; Mungu amekubariki na amekujalia kukupa hekima ; maarifa na akili zuri. Asante sana; Mimi nakushukuru Sana. Kwani huko alikikutoa; Mwenyezi Mungu. Alijuakabisa fika kazi zako kea Watazania; ni kuwaletea maendeo ya kweli na kuwatoa ndani ya ufukara ambao ulikuwa unawakera kwa muda marefu ; na hawakujua ni Nini Cha kuifanya ili kutoka a na Hali hiyo Kazi ya mikono yako ni nguvu za kipekee kwani imewaletea watanzania manufaa makubwa ya kimaendelekwa WaTanzania wot kuwa ujumla. Magufuli Oyeee! Kura zote jamani na tumpe Baba yetu Magufuli na Wabunge na wadiwadi ccm juu a juu zaidi. Mimi kwa jina langu ni Stella. Nami nimeamua mwenyewe binafsi kuzungumza na Mwenyezi Mungu Jehoval. Kwa maombi ya kufunga kwa siku tati kabla ya siku ya kupiga kura ya tarehe l28/10/2020. Kura zote WaTanzania wenzangu ni kumpigia Magufuli na Wabunge na Madiwani wa ccm ili Rais wetu Magufuli kuweza kurahishia kazi zake alizozifanya Tena kuwa kipindi Cha miaka mitano Tena kea WaTanzania. Ccm ndiyo jibu letu kea kuelekeza kura zetu. Kama WaTanzania tulifunga na Mungu akatuondolea corona. Na hata hivi Tena kuwa kufunga kuombea uchaguzi wetu Tanzania kumwombea Rais wetu Magufuli ili spare ushindi. Mungu ni yule yule. Atasikia matakwa yetu na kumpata Tena Magufuli kwa kura nyingi Sana ili WaTanzania tuzidi kusonga mbele. Kama Kuna wengine ambao wataniunga Mimi mkono ngani ya siku tati kabla ya kupiga kura kwa maombi rasimi ya kuomba kura kwa akili yake pomona na viongozi wake ndani ya ccm. Basi Mimi nitashukuru na kumshukuru Mungu. Kwni imeadikwa kuwa. Mkono wa Mungu si mfupi hata usikufikia. Na sikio lake si Zito Hata asisikie. Na kwa njia hii. Basi Mungu atasikia maombi yetu na Sala na dua zetu Magufuli atashinda kura ni kwa wingi mno na uchaguzi itakuwa wa huuru na amani kwa wananchi wa Tanzania. Mungu bariki Tanzania na watu wake. Amina.

  • @jambia4515
    @jambia4515 Před 3 lety +1

    Hongera sana mh Magufuli piga kazi

  • @vanesaalberto8479
    @vanesaalberto8479 Před 3 lety +6

    Mbowe kazi anayo

  • @piushappyness226
    @piushappyness226 Před 3 lety +2

    Jpm atatawala tena Hadi kieleweke

  • @wapancraswapancras6955
    @wapancraswapancras6955 Před 3 lety +1

    Sio kwamba maendeleo hayana chama au

  • @iddseleman5065
    @iddseleman5065 Před 3 lety +3

    Kz ipo

  • @rwandaafrika6173
    @rwandaafrika6173 Před 3 lety

    Watanzania wote Ulimwengu Umoja ni ngunvu Rais J.P Magufuli baba wawanyonge Ubarikiwe Amen 💪♥️💪

  • @lidyamathayo8343
    @lidyamathayo8343 Před 3 lety

    Mbona Kodi Ni zetu na viongozi wote Ni ndugu,mbona kwenye kodi hakuna Chama ,ila Kodi zetu ndo zinanunua magari?

  • @priencedamdoek508
    @priencedamdoek508 Před 3 lety +4

    Kupata maendeleo hadi uwe na connection
    No connection no service

    • @trophainamagogwa9991
      @trophainamagogwa9991 Před 3 lety

      Hasa

    • @LosiokiSomoire
      @LosiokiSomoire Před 3 lety +1

      Hujakosea, raisi anashughulikia watu zaidi ya milioni 50+.
      Ndio maana kuna wawakilishi kwa Wadi na bunge, hao ndio hutafuta connection kwani rasilimali hazitoshi. Mwakilishi akipoteza miaka 5 kwa kupinga maendeleo, connection anapoteza

    • @africanboy6921
      @africanboy6921 Před 3 lety +1

      Kuleta maendeleo ni razima sio ombi,pesa zinazotumiwa kuleta maendeleo zinatokana na kodi zao,atuwaombi mlete maendeleo ila ni razima,chuki,chuki,za nini?kutoka nje sio lazima kuwe na sababu

    • @trophainamagogwa9991
      @trophainamagogwa9991 Před 3 lety

      @@africanboy6921 ni lazima wangapi walipita Ikulu na Hawakuleta,?uliwaweka wapi mbona hatujasikia uliyemfungulia kesi??kila mtu ana roho yake kama Baba yako anakupenda pengine jirani hakupendi hivyo aliyeshika kilindi ndiye mwenye kisu

    • @mohamedpesambili9460
      @mohamedpesambili9460 Před 3 lety

      Hata msaada lazma uombe

  • @dianamaro3445
    @dianamaro3445 Před 3 lety +1

    Hakuna kitu

  • @estermichael1322
    @estermichael1322 Před 3 lety

    Ndo mjiongeze Wana Hai sisi kwetu Sasa maji tunaoga bomba la mvuwa na umeme Sasa tunakunywa maji baridi huko kijijini Hospital tumepata na tunatibiwa Wana Hai jiongezeni

  • @dicksonmatulile1523
    @dicksonmatulile1523 Před 3 lety +4

    Mboe sasa pumzika tulikuamini sasa basi

    • @zilpamatiko1712
      @zilpamatiko1712 Před 3 lety +1

      Asante hii ndo akili ya mtu mzima

    • @roymarquiz8567
      @roymarquiz8567 Před 3 lety

      mnazingua mbaya hamjui tu uyu magufuli analazimisha watu wachague ccm tu ili awe mungu mtu maana ccm awatomwambia kitu yy ndio raisi na mwenyekiti mzee mnafiki sana anasema mbowe rafiki yake lakini miaka yake mitano yy kamuandamiza kaharibu biashara zake kwa nguvu akataka kuua upnzani awe ka mfalme bado mnataka kumchagua kweli daa inasikitisha sana

    • @roymarquiz8567
      @roymarquiz8567 Před 3 lety

      mnaambiwa lissu ni kibaraka wa wazungu lakn magufuli kwa miaka mitano tu kapandisha deni la taifa mara mbili kuliko raisi yoyote kazima bunge lisionekane ili watu wasijue afu tunakuja kuambiwa tupo uchumi wa kati sasa umetusaidia nn daa uyu mzee kwaninavo muona akichaguliwa tena hata kubali lazima alazimishe awe raisi miaka kumi mingine

  • @johnawe2194
    @johnawe2194 Před 3 lety

    Jaman kwan rais kaz anafanya kwa vyama au kwa watanzania sielewi??.

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před 3 lety

    JPM leo hii wanamyanyasa subaya JPM tunasikitika sana Tanzania yetu ulioicha kwa sasa wamekusaliti JPM baba yetu 😭😭😭😭

  • @patrickkansonso4506
    @patrickkansonso4506 Před 3 lety +1

    Political

  • @jeremiahmollel3855
    @jeremiahmollel3855 Před 3 lety

    Hizo ni pesa za watanzania waliomchagua ndio zimenununiwa hizo gari

  • @stevenmeshack467
    @stevenmeshack467 Před 3 lety +1

    Naomba uwendeleee mpaka 2030

  • @maximemasinga9504
    @maximemasinga9504 Před rokem

    Limebak likabur t mung ni mungu c ulilfanya ww n mungu jitu mamae

  • @pastormatthewamabamba8990

    Magufuri tumekuwelewa baba wataifa la Tanzania, akunamwengine niwewe tu!! Umepewa mwaka mingine 5.Mungu anakuwa upande wa wenye haki, Mungu akuongezee siku nyingi zakuishi.

  • @charlesmataba8344
    @charlesmataba8344 Před 3 lety +1

    Mbowe Bunge Goodbye

  • @professamuddy5407
    @professamuddy5407 Před 3 lety

    Kama kweli mboe ni Rafiki yako kweli kama ni mzalendo basi ni kumuita na kumuelekeza sio kushawishi wananchi wamuone mbaya! Mbona nchi nyingine walifunga shughuli zao viwanda vilifungwa na hawakulaumiwa!!

  • @dianamaro3445
    @dianamaro3445 Před 3 lety +1

    Kila siku unasema maendeleo hayana chama ugumu unatoka wapi

    • @LosiokiSomoire
      @LosiokiSomoire Před 3 lety

      Hayana Chama, lakini, utamfanya vipi mbunge ambaye amebadilisha malengo ya uongozi na kuzua mazihara tu, ukichaguliwa wakilisha wapiga kura sio kukimbia bunge

    • @barikilinus5274
      @barikilinus5274 Před 3 lety

      Tafsiri ya hy kauli ni pana na chukulia anamwambia anaye ng'ang'ana na chama pinzani ahamie chama tawala kuunga juhudi jitihada zake badala ya kukomaa na chama kinacho mcheleweshea maendeleo yake mwenyewe kwa kupinga kila jambo.

  • @mkabesamaashao6805
    @mkabesamaashao6805 Před 3 lety

    Hayo maji Arisha mbona hatuoni jmn sisi tengeru tunashida ya maji

  • @mariavianeypeter2991
    @mariavianeypeter2991 Před 3 lety +4

    Wanaompinga Raisi wetu wana shida, Magufuli baba songa mbele. Tatizo mtu anakuwa mbunge haangalii wananchi wake, hata viongozi wa ngazi za chini hawawajibiki baadhi ya sehemu, mvua ikinyesha madaraja ndo usisema na magari hapiti, Baba mitano mingine ila tusaidie huku vijijn hamna maji pia

    • @professamuddy5407
      @professamuddy5407 Před 3 lety

      Sasa ikiwa bungeni mswaada haukupitishwa wewe unataka afanyeje!!? Na pia kuwa mpinzani kwani ni tatizo mbona viongozi wengi tuu wa CCM hawapeleki maendeleo kwenye majimbo yao ! Na pesa wanapata!!?

    • @mariavianeypeter2991
      @mariavianeypeter2991 Před 3 lety

      @@professamuddy5407 ndo shida yaan

  • @daudpaulo2867
    @daudpaulo2867 Před rokem

    Kwani akuwai kua na gar Mzee ulikua msengenyaji

  • @jamesswai6583
    @jamesswai6583 Před 3 lety +4

    Mbowe oyee!

  • @orgeneslema9464
    @orgeneslema9464 Před 3 lety +1

    Uchaguzi ni raha sana. Yaani wa TZ tunashushwa wote kuwa omba omba . Is this the future of TZ we want really?

  • @imanimbwaga7005
    @imanimbwaga7005 Před 3 lety

    Yaani kama saizi wewe ni raisi umefungwa mikono? Je akiwa raisi yeye

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před 3 lety

    JPM mama samia kasha pitisha chanjo 😭😭

  • @petercat7417
    @petercat7417 Před 3 lety

    Zile pesa ambazo angeomba zipo? Na Kama hazipo zimeenda wapi?na huko zilikoenda zimefanya nn?

  • @elianko8575
    @elianko8575 Před 3 lety

    Auna jipia wew

  • @philesongella1700
    @philesongella1700 Před 3 lety

    Maendeleo hayana chama mzee acha kuhaha kuua upinzani Mr president

  • @emanuelinno631
    @emanuelinno631 Před 3 lety

    Huna sera

  • @andrewmwangonda6704
    @andrewmwangonda6704 Před 3 lety +1

    Gari kapewa kwa mujibu wa katiba yetu sio hisani lile

  • @evansmlalo4049
    @evansmlalo4049 Před 3 lety +2

    Wachaga mmefilisika kisiasa mnawekaje Wamasai kuwaongoza warudi makwao. Gari ni haki yake maana ni kiongizi na pia mlipa kodi.

  • @ramakisasa8944
    @ramakisasa8944 Před 3 lety

    Uweni"upinzani Mbaki wenyewe"ili mtuibiye vizuri ninaamini hayo"magari ni kodi"za walalahoi huo ni ubaguzi tunaupigiya makofii

    • @morandraymond8602
      @morandraymond8602 Před 3 lety

      sasa kiongozi tumempa gari alafu corona imengia anakimbia huyo anafaa kweli baba kuikimbia familia yake wakati wa ziki we unaona anafaa kuwa tena baba wa familia tuliambiwa tufungiwe ndani mara rais kajificha chato sijuwi ipo kenya kwaiyo hawafai kutuongoza kiongozi anakuwa mstali wa mbele kwenye tatizo siyo kukimbia

  • @petersgodwin7200
    @petersgodwin7200 Před 3 lety

    Mkuu umepotosha kidogo,hela sio ccm bali niza walipa kodi

  • @ronnie1425
    @ronnie1425 Před 3 lety +1

    Amepewa gari na sisi siyo wewe

  • @ramadhanimahongole8764

    Ubaguzi tu majimbo ya upinzani hampeleki maendeleo ya CCM mnapeleka kanakwamba wapinzani hawatoi kodi

  • @rev.josephatmagori7209

    Sema kweli mtumishi wa Mungu!

  • @elianifaaluka4790
    @elianifaaluka4790 Před 3 lety +3

    Mungu peke yake ndio atasimama na Mboe we mwanadamu tu mwenye haki ataishi kwa Imani kushindwa kwake labda Mungu awe ameenda safari lakini kama tupo na kweli Mungu andika maumivu

    • @eyumededu2948
      @eyumededu2948 Před 3 lety +1

      Sijui mko na akili gani mnahitaji msaada ila hamkosekani tararibu mtaelewa

    • @kasindejonathan978
      @kasindejonathan978 Před 3 lety +1

      @@eyumededu2948 kweli hawakosekani hao hata Kama unalipa Kodi inatoka kwa mgao Kama mbunge hajasema shida Rais au waziri atajuaje shida za hai bila mbunge kusema ?? Ila SEMA wabunge na madiwani wachache wachumia tumbo wanalipa lawama serikali ndo maana Rais anaamua kutembea na kutatua matatizo palepale mwenyewe

    • @eyumededu2948
      @eyumededu2948 Před 3 lety

      @@kasindejonathan978 huwa nasema kama mtu anafuatilia nchi yake kipindi cha kampeni hawezi elewa kitu atabebwa na upepo wa Lissu

    • @mangeleoporod2704
      @mangeleoporod2704 Před 3 lety

      @@kasindejonathan978 umeongea kitu cha ukwel hapo kwatumbo jamn

    • @zilpamatiko1712
      @zilpamatiko1712 Před 3 lety

      Sasa ndo mtamwona Mungu akienda safari na alishaenda mboye yuko peke yake

  • @hegatz2263
    @hegatz2263 Před 3 lety

    Habari ndugu yangu unaesoma hii comment naomba unisaidie kusubscribe account yangu kwa kugusa picha yangu Apo juu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 new project coming soon

  • @linuspapiasmanywele3414

    Maneno Matamu Saaaana

  • @emanueldalali7184
    @emanueldalali7184 Před 3 lety +2

    Wasema kwenda bungeni kuna korona leo wakusanya watu hawakumbuki korona hilo ni kipimo cha kiongozi bora wanahai Mbowe hafai kabisa kuwa kiongozi

  • @salumjonas7636
    @salumjonas7636 Před 3 lety

    TANZANIA bila Upinzani mzee haufiki popote, Watanzania wanajua hilo, juhudi zako za kuuondoa Upinzani umefeli ulivyoanza, Bila upinzani hata Magu usingekuwa rais wetu, angekuwa Lowasa, koo nashauri IMARISHA upinzani kwa faida siyako Rais bali ya Watanzania wote, hatuwezi kuwa na Tanzania ambayo kila nafasi ni SISIEMU haitatufaa hatufaa hata kidogo

    • @professamuddy5407
      @professamuddy5407 Před 3 lety

      Ndugu ni sahihi kabisa ulichoongea ikiwa wote ni CCM wakikosea nani atakaekuwa jasiri kumkosoa mwenzake!!? Wakati wengine waliiba pesa za walipa kodi hadi leo hawakuchukuliwa hatua yeyote ile na CCM wote wanalijua hilo! Ila wangefanya viongozi wa upinzani naona taarifa ingekuwa magazeti yote kwamba wapinzani ni wezi!! Ila hawa Ccm hawafungwi!!

  • @maritinjacobo1771
    @maritinjacobo1771 Před 3 lety +2

    Sisi tungeona hayo yakutoka nje kupitia television ip ilorusha bunge live?. Magu leo unaongea uloandikiwa wakat siyo kawaida, ama kweli Magu ukimsikia lissu unatepeta Sana

  • @estermtitu7205
    @estermtitu7205 Před 3 lety +5

    Mfumo wa vyama vingi ni katiba

  • @yasintmushi8249
    @yasintmushi8249 Před 3 lety +3

    ndo maana hata shule za hai hazikupewa fedha za elimu bure kukosa mbunge wa ccm

    • @mosimba467
      @mosimba467 Před 3 lety

      Wewe mbona liongo sana

    • @trophainamagogwa9991
      @trophainamagogwa9991 Před 3 lety

      Utampaje mtoto wa jirani wakati wanao wanalala njaa??

    • @LosiokiSomoire
      @LosiokiSomoire Před 3 lety

      Hakuwepo bungeni kuwatetea wanaHai, ikadhaniwa wako sawa

    • @priscambunda1552
      @priscambunda1552 Před 3 lety +1

      Danganyweni muchague wabunge wote wa ccm mtajua hamjui mwenzenu anapambana wabaki wenyewe ili wazidi kufanya madudu cos wapinzani wanawabana na wanafichua maovu yao Sasa nyie shabikieni ndio mtaelewa baada ya uchaguzi kwamba alikua na nia gani.

    • @jimmyjammasmunuo5125
      @jimmyjammasmunuo5125 Před 3 lety

      C maendeleo hayana chama ujue mm apo cwaelewi swala lamaendeleo na chama linatoka wap

  • @zainachiwanga9153
    @zainachiwanga9153 Před 3 lety

    Upo sahihi Magu korona ziiii

  • @barakacrispin9600
    @barakacrispin9600 Před 3 lety

    Hongera sana JPM

  • @user-qv2hj9rc3f
    @user-qv2hj9rc3f Před 3 lety

    Mmh

  • @elianifaaluka4790
    @elianifaaluka4790 Před 3 lety +2

    Hawadanganyiki hao ni wakizazi kipya

  • @twevegodfrey8
    @twevegodfrey8 Před 3 lety +2

    Mbona kwenye connection hatujaona maendeleo mfano jimboni kwetu mafinga mji

  • @bonnymakuke7758
    @bonnymakuke7758 Před 3 lety +4

    Yani uyu kauli sake ndo zitamwangusha tarehe28 na tutakushugulikia kweli kwel kama sisi wa bunda ndo tutakuonyesha hasira tulizo nazo

    • @eyumededu2948
      @eyumededu2948 Před 3 lety +2

      Anaongea ukweli

    • @hassanbwire9033
      @hassanbwire9033 Před 3 lety +1

      Bunda si mna ester bulaya? Pambaneni nae

    • @rashidmohd115
      @rashidmohd115 Před 3 lety +1

      @@eyumededu2948 ana hasira na mbowe'' tu uyo mzee''' ww' tathimimi Mali za mbowe'' alizonyanganywa tu utaelewa

    • @eyumededu2948
      @eyumededu2948 Před 3 lety +2

      @@rashidmohd115 mkimuwaza JPM kwa jinsi mnavomuwaza mtazidi kumchukia ila taratibu mtamuelewa

    • @evansokemwa6587
      @evansokemwa6587 Před 3 lety +3

      wewe fanya ivyo lakini sisi wana bunda tuko na mzee tena atapita asubuhi na mapema wanabunda hooeee!!!.

  • @pastorcarolicarlostokunmbo826

    Rais ni magufuli kwa miaka 10 ijayo

  • @nicodemusngwala2079
    @nicodemusngwala2079 Před 3 lety +3

    Acha hila ...ndugu ....

  • @glorialaizer9450
    @glorialaizer9450 Před 3 lety

    Hutaki nyama vingine sio.

  • @lenardimagida5330
    @lenardimagida5330 Před 3 lety

    Umeongea vema Mzee, kama wana hai watarudia makosa shauri yao.

  • @julianamasanja8301
    @julianamasanja8301 Před 3 lety

    Ccm oyeeeeeeeeeee Magufuli no 1

  • @barakafinda491
    @barakafinda491 Před 3 lety

    wapiga waelewe

  • @damianmorishokimti6298

    CCM acheni kuwaongopea watz kila miaka ccm mpo madarakani tangu 77 hayo matazo ya maji niyakila miaka mbona mnatufanya kama watz ni mazezeta kwa maneno makali yasio na maendleo ya jamii kiukweli ccm mmelisahau taifa na wanachi wake mmekuwa ni washutuma kila siku ccm mmekuwa ni wakulaumu bila kujali na kusukuma maendeleo ya wanachi ccm kubwa mnalo lifanya ni uongo madhambi ya kuliibia taifa kuifuga rushwa uzembe ubahirifu ulio kithiri ktk serekali za CCM ccm inashindwa kuijenga nchi bali ccm viongozi wake mmebaki kujitajirisha binafsi mijitu mingi ndani ya serekali inanenepa kwa rushwa na ufisadi ulio wa madhambi kwa taifa hili lilo jaa rushwa hakuna haki kwa watu wa maisha ya chini ktk nchi iliyo huru hii ni dhambi kwa utawala wa ccm hamuoni hayo jeshi limejaa rushwa mahakama imelindima kwa rushwa mahospital rushaw maji na umeme hauja mfikia kila mtanzania wanafunzi bado wamjazana ktk vyumba vya shule za msingi huduma za jamii ni hoi taaban vijijini wilayani bado kuna magofu alio yaacha mkoloni ila la ajabu watu wakuu wa serekali watawala na maofisa kwa ufisadi uliopo ktk miaka ya utawala wa ccm unawaona watu hao walivyo endelea kimaisha yao binafsi na mafamiilia yao wanaishi kifalme maisha ya kifahari matajiri wao na familia zao ila masikini maisha ya mtz yanazidi kuwa duni kwa kuwa serekali ya ccm inawajali hao walio ktk nyadhifa mbalil mbali nchi zima wao wanajali wizi wizi kila kukicha rushwa rushwa kila kukicha uzembe na ubathirifu ndio kama muongozo wa utendaji ktk nchi nzima ila tu hayo ipo siku mtalipa kuna mijitu kwa rushwa wiki tu ukimpa akipewa sehem amesha kuwa tajiri yani serekali ya ccm ni ukipewa nafasi basi uuanze kuvuna mapesa na hili watz wanalijua wote aibu dhambi kuzaa Au kuishi ktk familia hizo zote mnajiona ni matajiri mnaisji kifahari ila mnakula usaha ulio oza mnakula jasho la mkulima na mfanyakazi mnakunywa vilio vya masikini wa taz mtambue wote mnao jaza magunia ya fedha ktk sehem mlizopo mnadhambi za mileleie hamsameheki daima mnaliibia taifa mnawaibia watz zaidi milion60 mna laana kubwa kwa rushwa hizo na mtambue mtalipa tu hata kwa vizazi vyenu vya 20 historia ipo kumbumbu zipo kila anae jaza na ajaze tu kwa kuwa mnafikiria taz n8 lnchi ya kifalme kwamba ccm itaitawala taz milele ipo siku hamtasikilizwa mtazomewa nchi nzima kwa kutuongopea eti ni nchi ya amani huku mkielea ktk utajiri na kuwaacha walio wengi wakiwa hata maji safi ya kunywa ni taabu kulala ni taabu kula ni taabu huduma za afya ni taabu huduma za mkulima na mvuvi na mfanya vi uchuuzi mfanyakazi wa kima cha chini wote ni taaabu maisha ya maumivu kila siku ila nyie watawala ndani ya maisha yenu ni raha tu mna magari na watumishi wa kila jambo watoto wenu wanasoma katilka mashule bora duniani hamjui tatizo la maji na umeme ni nini maana yake hamuoni kama mahospita ya kiserekali na mahakanini vituo vya polisi magereza kumejaa uonevu hakuna haki kote huko na hayo yote ni ya mtu masikini mtaz wa chini alafu mnasimama majukwaani mnatuletea hadithi za juma na roza hamzungumzii uozo wa miundo ya uongozi hamtuambii ni lini rushwa Tanzania itakuwa mwisho kwa mtu wa hali ya chini ni lini usumbufu na ukiritimba utatokomezwa mtaz wa hali ya chini nae avune uhuru wa kuwa ktk nchi huru na ya amani ole wenu ccm

    • @professamuddy5407
      @professamuddy5407 Před 3 lety

      Spich ni sahihi kabisa ndugu watu walivuna pesa za walipa kodi hadi wengine wakasema million 10 ni pesa ya mboga tuu lakini wala hawakuhukumiwa kwakuwa ni wa CCM ila wangekuwa wapinzani wagefunguliwa kesi hadi wananchi wangeambiwa hawa ni wezi. Gawaneni tu kodi zetu hakuna tabu ila haki ya mtu hailiwi ipo siku mutailipa tu kwenye mahakama ya kweli ya MUUMBA WETU MTUKUKUFU .

  • @mwitamanyingamwitamarwa2110

    Zeroo breini is speek

    • @mwitamanyingamwitamarwa2110
      @mwitamanyingamwitamarwa2110 Před 3 lety

      Acheni hii nchi miaka 50 ccm imetuchosha acha ipumuzike hata wamezeeka akili mungu wetu tusaidie kuwaondoa hawa mashetani wamengangania vya kutosha acha nguvu yako ishuke itusaidie tunakushukuru yesu amina

    • @benedictoryona4504
      @benedictoryona4504 Před 3 lety

      Wew ndo zero brain,Ndo manaa badoo unaishii kwa mama ako mpkaaa leo

    • @benmbughi8426
      @benmbughi8426 Před 3 lety

      @@mwitamanyingamwitamarwa2110 acha kukaa kwa kakayako,tafta vyako binafsi utakomboka,sawa boy!!kutumia smart fone ya shemwako ndo madhara yanayokukuta

    • @benmbughi8426
      @benmbughi8426 Před 3 lety +1

      Kingereza chenywe kama kinakusumbua, u nonsense idioty!!we love MAGU

  • @sylvesterjose3286
    @sylvesterjose3286 Před 3 lety +1

    Gari la mbunge anaonewa na Rai's! Mmh, hii haijaingia akilini. Nijuavyo Mimi mbunge hukopeshwa kwa kudhaminiwa na serikali kwa dhamana ya sifa na kazi yake ya ubunge. Kama ndio hivyo hakuna sababu ya kumsimanga, maana fedha ya mkopo wa gari si ya MTU fulani bali yatokana na Kodi zetu wananchi.

    • @evansokemwa6587
      @evansokemwa6587 Před 3 lety

      wewe cjakuelewa mzee vile anamanisha huko mbali na maneno

    • @sylvesterjose3286
      @sylvesterjose3286 Před 3 lety

      @@evansokemwa6587 Ahsante

    • @LosiokiSomoire
      @LosiokiSomoire Před 3 lety +1

      Mzee anamaanisha kapewa gari kwa kuwa na sifa ya kiongozi wa upinzani. Badala kutumia nafasi hiyo kushauri serikali, anakimbia bunge

    • @sylvesterjose3286
      @sylvesterjose3286 Před 3 lety +1

      @@LosiokiSomoire Ahsante nimekuelewa, anakimbia na gari.

    • @LosiokiSomoire
      @LosiokiSomoire Před 3 lety

      @@sylvesterjose3286 Karibu sana. Kumbuka tarehe 28/10 uchague amani na maendeleo.

  • @prospermilliter3630
    @prospermilliter3630 Před 3 lety

    M