TAHARUKI ; VIJANA 2 WACHOMWA MOTO NA PIKPIKI YAO KWA KUIBA SIMU KALOLENI ARUSHA
Vložit
- čas přidán 10. 07. 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
CZcams : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Ingekuwa hivi na kwa mashoga ingekuwa poa sana
Huyo Fei toto anafanya nn hapo muda wa mazoez saiv😂😂😂 Kam umemuona Fei kulia GONGA like
😂😂😂
😂😂 6:12
😅😅😅😅
Jmn kwa kwel anafanana nae😂
Umenikumbusha kifo cha baba mdogo wangu walimpiga nyundo siku wameshikwa wanachomwa moto ndo wakasema wao ndo wamemuua 😢😢😢 tokea 2010 nlikuwa mdogo ila sitasahau kamwe
🤡
Why did they burn him for
Mwizi kuchomwa moto sio jambo jema, kwa mujibu wa sheria za dini wala katiba ya nchi, wanaowachoma moto wezi watambue wanamkosea Mungu na ni kosa kwa sheria ya nchi.
_Allah atuwafiqishe na atuepushie mabaya_.
Lakini dini inasema kisasi ni haki.Haijalishi kinalipwa vipi.Mwizi akiiba ukimkamata unaua tu,ukimchelewesha anakuua wewe.
So what did bible said about thieves?
Some people are not really thevies they just be lying on people
Daah!hata kama ni wizi wa kiasi gani lakini siyo kwa kumchoma moto mtu mwenye nafsi kama yako na nyama kama yako.
Hebu tuwe tunasoma maandiko ya neno la Mungu au kufika ibadani kanisani au msikitini😢😢😢
hakuna mtu anataka kuhukumu iau kushabikia ila watu wanamaumivu mwizi akiingia ndani mwako anaweza akakwambia lala na mwanao na watu wengi wamishapitia maumivu hayo wote tuliopitia maumivu hayo tunajua hata kama niwazazi ukiwapele kk a polisi kama wameeda kozi wakirudi ndio kwanza wanazidi ndio maana watu wanachukua Shelia mkononi
Binti yangu aliporwa kwa simu kwa njia hii lkn kuuwa mtu haifai
Subhannallah kumbukeni hukumu ya Allah wala hamjafanya vizuri
Wewe UJAWAI kutwa na hao jamaa ukizingua wana kugeuza bucha
Hayajakukuta
Wewe ni mwizi nawewe Nini 😅 pole
Allah yup wakat hao wanarudisha maisha nyuma
@@MasouHusein Usiombe wakuweke kati utajuta
Hili swala sio picha nzuri
siyo picha nzuri wakati wao wanaua watu nawawaibia pia pumbafu zao niwa kaangwe kabisa ngoja siku uibiwe ndo utaona umuhimu wa kuwachoma na kuwakaangaa.
Hamjui TU Arusha wanavyotusumbua hawa wezi jmn
Wewe haujaibiwa ndio mana unaongea hivo
Je crois vraiment que l'Afrique est un continent maudit
Naomba na wanaolawiti na kubaka watoto pia watieni moto pia
Tufunge sana na kumuomba MUNGU hii dunia inakoelekea ni pabaya sana😢😢 "Ee Mwenyezi MUNGU nakuomba uniepushie katika kizazi changu na cha dada zangu na wadogo zangu isikubwe na roho za uwizi na nyingine mbaya zikae mbali nasi katika jina la yesu kristo Amen😔🙏🏾
Ameen
Tabia ya kuiba inataka tunawachoma sio kufunga 😅Wewe kwani unachakula
Amen
@Thekumbuka hujui ksho yakobaddie419
Duh watanzania mmefikia hapo nawengine mnaingia kanisani na misikitini duh kweli hii si haki😢😢😢
Ipo siku Kila mtu atalipa sawa sawa na ujira wake
Yaani rabb tunusuru na vizazi vyetu wafuate amri yako ya rabb
Aamiyn Aamiyn Aamiyn
Allāhumma amiin 🤲
Jamani! jamani! Hebu tuache kuchukua hukumu mikononi. Hebu fikiria huyo ni mwanao! Tuwakamate na kuwaadhibu sio kuua. Kama wizi tuwaue wale wanaotuibia mabilioni jamani.Mungu uturehemu
Hayajakukuta pole maana Mimi mwizi siwezi mtetea mwizi akikukamata anakuua wewe kabla ya wewe kumuwahi elewa hili
Hawajakuzuru
@@user-ey5mv1yz3skabisa
Kawaulize wanao vamiwa na kukatwakatwa na hawa wezi.. yani mi nasapiti wangechinjwa kwanza ndo wachomwe@sophiemsuya6507
We hujui kitu kaa kimya
Co nzuri sheria zipo
Wew ushawahi kuibiwa au kujeruhiwa na mwizi???
WEWE DADA WAMEJARIBU LAKINI AWAJAIBA HAYO MAKOSA
Kila mwanamke anae sapoti kitondo hicho, kwanza anatakiwa ambukuke kua anatumbo la uzazi hawezi jua aliyo wazaa/atazaa nani,Maana huyu MUNGU waajabu sana
Acha tu simu gharama ngano,Mungu wangu angempa adhabu nyingine
Nimemshangaa huyo mwanamke mwenzangu.😰
Nikuulize swali..?? unampenda mwizi...?
@@user-kn8pw7vk4e hakuna anaependa kuzaa kibaya kila mwanamke anapenda kuwa na kizazi chema
@@user-kn8pw7vk4ekama wewe ni mzazi huwezi kujua kesho ya watoto tena inaonekana watu wahiyo mji hawana imani
Mm wachomwee au wachinjwee kama kuku ndio furaha yangu ..kazi iendeleee
Yaraby tunusuru na ndugu na family zetu 😢😢waepushe wadg zangu na tamaa za dunia yasijewakuta haya
Tumuombe SANA MUNGU ATUSAIDIE MAANA shetani yupo kutesq watu dhambi yoyote ni mbaya ni shida tumuludie MUNGU TU
Wachomwe kabisa hao vibaka walimkaba brother angu wakamkata kichwani hajapona hadi Leo 😢
Pole dear
@@elizabethclement1017 Asante mpenzi
ni hao
Hao ni wezi hata waret zao zimeonekana zina nyembe ni za nini heri wafe tu
AYO MAUAJI UWEZI UKAMCHOMA BINADAMU MWENZIO
ivi wewe hujawahi kuibiwa kumbe
@@officialEly-i7s Vitu vinapatikana lakini roho uwezi kuipata hikitoka
Jaman sio haki kwakweli mwachukua sheria mkononi msiwapige wapeleke polisi walipe tu so vzr
Acha wachomwe moto kwani wakipelekwa police wanaachiwa safi sana
Wewe. Ujawaikuibiwa sio nyokosana wewe. Acha wachomwemoto pumbavuzako au bwanako
Hujawahi ibiwa ndio maana huwez jua maumiv
Unaongea tu sio haki kwakua hujakaa arusha nahujakutana naonusiku wanaeza kukuua wewe hao
Wewe mama wewe unazaa wewe haya maneno unayoyazungumza tema mate chini mdada una roho ngumu hivo unashinikiza Kabisa wachomwe moto je kama Ni mtoto wako sikia hivo hivo asije akawa mtoto wako siku moja
Aisee kama wameiba kweli, kuchomwa ni haki yao ila kama hawajaiba. Ni mbaya sana kumdhuru asie na kosa. Tatizo wezi huweza kuharibu maisha ya raia mwema kuanzia mtegemewa mpaka wategemezi. Wezi ni wabaya sana katika jamii...
Dah, popote pale anapothibitika mwizi kwakweli auwawe TU, afe! Sina hamu nao
@@samuelmanunu1543Great
True❤❤
Ila tuendako kwa hali ilivyo usalama utakuwa mdogo sana sababu nchi haijaweka mazingira mazuri ya watu kujitafutia.
Watu wengi wanatelekeza familia hivyo tunazalisha kizazi cha hatari na ndoa nyingi zinaporomoka
Jamani vijana fanyeni Kazi ,achane kuwachoma moto.nidhambi
Nani kawatuma waibie watu?...
Jamani vijana wamrudie Mungu
Subhanallah hamjamaliza safari nanyie 😢
Wezi baya fanya kaz
Hii iamie dar kwakweli nimeipenda acha wachomwemoto
Kama ni wizi jamani mge wapeleka polisi sio kuwaunguza ila Alie waunguza mungu anamuona iposiku iyo damu ailiyo itokomeza itamlilia atokaa afanyikiwe leo kwako kesho kwako wataunguzwa na watoto wenu usitoe ukumu jamani msinge waunguza mungu awalahani
They should introduce this in south Africa so that they'll learn a lesson
Nimeogopa mimi... kuna wezi wamevaa suti,wanatembelea vx na kulindwa na askari wetu..rejea ripoti ya CAG.. mbuga,bandari,migodi,mashamba zimeondoka
Huo mchezo wa kunyakulia watu simu umezidi watieni adabu ya kutosha iwe funzo kwa wengine
Nikweli wizi wanarejesha nyuma ila tusiwauwe Tena kwa kuwachoma moto mungu kakataza ata sisimizi ucmuazbu kwa moto mwenye haki ya kumchoma moto kiumbe ni yeye peke yke adha wa jallah kwaiyo tuacheni hayo mambo vyombo vya Sheria vpo
Bora hawa wezi kaz nzuri kulio mashoga
Inasikitisha sana , Africa kweli moto, mtu mweusi ni kiumbe hatari sana kialisi ni watu wenye nguvu kimwili vichwani kweupe na wenye ugonjwa wakuwashwa hasira , Mungu haniepushe kuishi katika Africa
ila nyie lliioshuudia pia mna moto wenu jmn,,, this is not right , yaan dhambi mliochoma na kushuudia alooo tubuni😢
Hii so sawa kabisa
Waliochukua sheria mkononi wachukuliwe hatua. Magereza na police vipo kwa ajili ya kujenga maadili kwa waovu kama hao wezi walitakiwa kufungwa na sio kuuliwa
Hujawahi kuibiwa wewe kaaa kimya
@@verobecamfipa8655 nimewai ibiwa sana vitu.. ikiwemo simu. ila mauaji kama hayo ni ya kukuemea sio kuchekelea! waovu wakirekebishwa wanakua wema!
@@noahchepe8036 jela watatoka ila kuwakaanga ndo fundisho kwa wengine wataogopa kidg sababu watajua wakishikwa tu watafanywa ndafu
Wakati wao wanaiba na kuuwa watu hakuna shida sivyo
@@jeffrymutisomwololo7075 😂😂
Asiye na dhambi awe wa kwanza kumchoma moto.Wenye dhambi wanamchoma mwenye dhambi mwenzao.Mngekuwa mmeokoka msingeweza kuwachoma moto,mngemwachia MUNGU na SHERIA.
Hujawai ibiwa wewe
Mkanyaga mafuta ww!!
Kabisaaa
Ujawai pigwa panga ww
@@bernardmushi4869 Nina makovu ya Kudumu ya mapanga kwenye mkono kazi ya panya road,,,, nikikuta wanapigwa Mimi naenda kuchinja shingo
Kama hujawahi kukwapuliwa utawahurumia ila kama yakikukuta utaona wamestahili mavuno hayo.
😭😭😭 Inaumiza Sana Aiseeeh Kuchoma Mtuu Jaama
Yaani...wasingewachoma.kila mtu ana dhambi
Kwa msiyojua arusha mtawaonea huruma lakini nataka niwaambie Hawa vijana ni hatari mno.hata ukijisalimisha panga au pisipisi inakuhusu.
Na hapa ni katikati ya Jiji hilo
Kisa sim tuu jamani mbona wakatili hivyo jamani akuna asiye na thambi 😢
Hi from Kenya here
How are you
Hata Dar nilikwapuliwa mwaka jana maeneo ya Uwanja wa taifa pale
Kwa kweli hata Dar siku amekamatwa mtu sijui itakuwaje
Akina Mama poleni sana...Akina Mama raundi hii Mmezaa!!!!!
Moto ni wa allah tu jaman hiyo co hukumu ipaswayo kwa mwizi wallah mwogopeni mungu japo wezi wanakera sana na wanaumiza mno ila hii hapana
Alaf mmama mwenye kizazi na unawatoto unashabikia wauwawe we mama una watoto kumbuka na hujajua hatima yao😢
Choma moto majizi hayo kwanini wasifanye kazi sheria sheria mbona wanapo iba hawakumbuki sheria mkitaka kuchoma pterori nitawanunulia njoeni tarime
HAKUNA DINI YOYOTE WALA SHERIA YA NCHI YOYOTE INAYOSEMA MTU AKIIBA ACHOMWE MOTO,NYIE MLIOCHOMA NDIO WABAYA ZAIDI MBELE YA ALLAH
Kabisaa
Allah Allah NINI wewe uyo Allah kakuumba lkn ata kuchoma moto sasa kama yeye Ana kuchoma na kakuumba mm nakuoneaje huruma
@@simonlukiko2850 kama umeona huna imani wew ni kafiri kaa kimya una roho mbaya sna
Hayajakukuta ndo mana unawaonea uruma.
Siku yakikukuta ndioutajua
ndugu yakikukuta utaelewa @mimi nilinusulika kufa na aooo
La haula walakuwata ila billah hasbunallah waneemal wakel
Inauma ukiona mtoto wa mwenzako akichomwa inauma kwel lkn sio watu jmn
Sio nzuri sheria zipo
Subhaana llah mnajichukulia hukumu allahu
Kumbukeni na nyie pia mtalipwa
Daah asani nyambulet Kaisha
Kwani Ni mwizi kweli?
Alimpigaga mume wangu ngumi ya mdomo akatema jino Hadi Leo anapengo alifungwa miezi sita Ila faini mume wangu alimsamehe na alivyoambiwa kafariki ameishia kusema tu "hapa duniani usimtendee mwenzao ubaya."
Alimpigaga mume wangu ngumi ya mdomo akatema jino Hadi Leo anapengo alifungwa miezi sita Ila faini mume wangu alimsamehe na alivyoambiwa kafariki ameishia kusema tu "hapa duniani usimtendee mwenzao ubaya."
Sawa dada achomwe moto ....je ingekuwa n mtoto wako ......vitu vingne amuen lakn mfikirie kwanza hamjafanya poaaaaaaaaaa😢😢
Yaani may God forgive you ..hukumu ni ya Mungu sio ya mwanadamu...kile mlikifanya sio vizuri kabisaa
Mngekuwa mnahasira kali kwel mngekuwa mnawachoma na mafida wanaoiba mabilion ya pesa
People need to change thinking backwards.
Jeshi letu la polisi kuna cha kujifunza kutoka kwa walalamikaji, inaonesha watu wamechoshwa na matukio ya wizi,, ukweli ni kwamba si sahii kujichukulia sheria mkononi pia waandishi wa habari na wote tunaokimbilia kurekodi ni vizuri kukimbilia kutoa taarfa polisi,,,,kutoa uhai wa mtu si jambo la kushabikia maana kuna wakati wachomaji tunafanya makosa makubwa zaidi ya hayo mbele za Mungu. Askali jitaidini kwa kushirikiana na wanainchi kuzuia marukio kabla hayajetendeka na wanaostaili vifungo wapewe
Polisi na Mahakama
Jaman jaman vijana waaache wizi 😢wanarudisha watu nyuma Sana sasa hao niwale waliowah kuibiwa hasira Sana Napo inauma
Very nice
Mungu wa Mbinguni atuokoe vijana. Siwajui lkn inauma mno, tusichome watu moto, ni kitendo kibaya
Na ww wataka uwemwizi au
Hongera piga hao wezi wakufe
Dah😢mm nilishawah kuibiwa nawiz vitu ndan Ila wanarudisha watu nyuma Sana
Daaaah mungu atusaidie tu na vijana wetu
Safi sana wezi wana ludisha nyuma maendeleo
Dah imani hatuna nyoyon yarrab kwann waja wako wanaingilia kaz yako ya allah😢😢unatoa roho ya mwenzio kikatili
Ngoja wachomwe tu juzi nimekabwa hapa dar kinyerezi na jamaa aliyenibeba kama boda boda na kunijeruhi sanaa so nikiona wenye pikipiki wanachomwa moto wachomwe maana nao wakitukamata wanatuumiza pia.
Duuuh kuna wat wana roho ngum aisee na wengine wamama hapo wana watoti
Mungu aturehemu sana, 😢😢 tumekuwa wepesi sana kuhukumu !! Haijalishi mtu kakosea namna gani kuua ni dhambi. Hakika Mungu atuondolee laana hii
Huyo aliye vaa sweta jegundu ni rafkiyangu sana hata mwezi wa 3 alikuja kunisalimia pindi niko mzali
Subuhana lahha
Mungu turehemu sisi na uzao wetu
Daaaah kisa simu ndo mtoe roho ya binadam mwenzao!!!! Mungu tusaidie
Nipependa sana ❤
Jamani mkiwakamata wafunge jela mbona sisi polisi waliua ndugu yangu hatukuwa homa acheni uzamani
Polisi wanafanya kazi kwa uadirifu tunapowapelekea wahalifu jaman SI vyema kuchukua Sheria mkononi
Msihukumu watu anapaswa kutoa hukum ya moto ni mungu tu😭😭😭kwan nyie tangu mzaliwe hamjawah kukosea
😢😢Jesus. I don't support stealing but really. ooh my God
Sometimes people don't even steal they just lie on people he look like a police man
YAANI KWA SISI TUNAOMJUA HASAN TUNAHUZUNIKA NA KUSIKITIKA SANA HASAN AMEKUFA KWA MATESO MAKALI NA UCHUNGU KWELI HAKIKA MWENYEZI MUNGU ATUREHEMU NA ATUONGOZE WOTE TULIOBAKI HAI IBILISI SHETANI HAFAI
Hii sio sawa
Mwenyez mungu hawasamee wote mliotenda ivyo
Very very good
😢😢😢😢😢 mingingewalipiaa iyoo siim wallah je kayako akicomwaa😢😢😢
wewe s unaongea tu hujawah kuibiwa
So sad no one is perfect 😔😔😭😭
Dah mtihani
Mukowalozi sana
So sad😢
apakah tidak ada hukum yang berlaku di sana hingga menghakimi sesama manusia?
saya lihat ini sesuatu yang tidak manusiawi
Woooooiiii!!! Wangeshtakiwa Tu Washikwe Wafungwe Maisha Badala Ya Wao Kuchomwa 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Ndio vizuri yaani mpk Arusha wajifunze wanajifanya wadudu sana yaani ifike hatua unatembea hata saa nane za usiku
Dah! Aised
Vuta picha mwanao ndio anachomw so vizur tumludie mungu jmni khaaa ukumu n ya mungu tuu binadamu huna ukumu ya kumzidi mungu.sheria zipo zimewekwa kwa ajir ya haki za binadamu msichukue sheria mkononi hujui kesh yako
Mungu wangu
Chamcng wasichome moto mtu asie nahatia wawe nauhakika kua kweli kaiba
Kazi,zipo nyingi za kufanya
Wanatukosesha amani Sana hao tatu mzuka asubuh tunatembea kwa mashaka
Kwa kibaka ambae hana huruma ni sawa lakini watu wamechoka kuibiwa ni lazima waibe tu
Tubuni kwa Maana ufalme wa Mungu umekaribia nikweli wameiba na nyie mliowachoma moto msipotubu Jehanamu inawasubiri ,Ipo siku ujumbe huu mtaukumbuka mkiwa motoni
Wanadamu Mrudieni Mungu
Dawa yao hiyo
Dada kinywa chako kitamke ata mema usifurahie mabaya ya mwenzako omba pendo la mungu liingie ndani ya moyo ila usih 6:58 ukum 7:14 7:14 7:13 u 6:32 6:48 6:41 utakuja kuhukumiwa 6:29
Nyie mnaocoment mnajifanya mna huruma hamjawahi kukutana na tatu mzuka na msiombe wanakuchoma visu au wanakuua