TAHARUKI ; VIJANA 2 WACHOMWA MOTO NA PIKPIKI YAO KWA KUIBA SIMU KALOLENI ARUSHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 07. 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    CZcams : www.youtube.com/@kusagatv6320...
    Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

Komentáře • 779

  • @harrymakongwa1147
    @harrymakongwa1147 Před 18 dny +4

    Ingekuwa hivi na kwa mashoga ingekuwa poa sana

  • @winfredngaeje6969
    @winfredngaeje6969 Před 20 dny +10

    Huyo Fei toto anafanya nn hapo muda wa mazoez saiv😂😂😂 Kam umemuona Fei kulia GONGA like

  • @rizikisam6481
    @rizikisam6481 Před 22 dny +18

    Umenikumbusha kifo cha baba mdogo wangu walimpiga nyundo siku wameshikwa wanachomwa moto ndo wakasema wao ndo wamemuua 😢😢😢 tokea 2010 nlikuwa mdogo ila sitasahau kamwe

  • @KhubaybuMuhammad
    @KhubaybuMuhammad Před 20 dny +9

    Mwizi kuchomwa moto sio jambo jema, kwa mujibu wa sheria za dini wala katiba ya nchi, wanaowachoma moto wezi watambue wanamkosea Mungu na ni kosa kwa sheria ya nchi.
    _Allah atuwafiqishe na atuepushie mabaya_.

    • @lukomanomaliki5442
      @lukomanomaliki5442 Před 17 dny

      Lakini dini inasema kisasi ni haki.Haijalishi kinalipwa vipi.Mwizi akiiba ukimkamata unaua tu,ukimchelewesha anakuua wewe.

    • @user-uc1pd1tc2x
      @user-uc1pd1tc2x Před 15 dny

      So what did bible said about thieves?

    • @ZaharaImole
      @ZaharaImole Před 8 dny

      Some people are not really thevies they just be lying on people

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 Před 22 dny +7

    Daah!hata kama ni wizi wa kiasi gani lakini siyo kwa kumchoma moto mtu mwenye nafsi kama yako na nyama kama yako.
    Hebu tuwe tunasoma maandiko ya neno la Mungu au kufika ibadani kanisani au msikitini😢😢😢

    • @roseyohana3500
      @roseyohana3500 Před 19 dny +1

      hakuna mtu anataka kuhukumu iau kushabikia ila watu wanamaumivu mwizi akiingia ndani mwako anaweza akakwambia lala na mwanao na watu wengi wamishapitia maumivu hayo wote tuliopitia maumivu hayo tunajua hata kama niwazazi ukiwapele kk a polisi kama wameeda kozi wakirudi ndio kwanza wanazidi ndio maana watu wanachukua Shelia mkononi

  • @karimambosanga4290
    @karimambosanga4290 Před 22 dny +7

    Binti yangu aliporwa kwa simu kwa njia hii lkn kuuwa mtu haifai

  • @MasouHusein
    @MasouHusein Před 24 dny +79

    Subhannallah kumbukeni hukumu ya Allah wala hamjafanya vizuri

  • @ElibarikiRaphael
    @ElibarikiRaphael Před 22 dny +39

    Hili swala sio picha nzuri

    • @JohnChedego
      @JohnChedego Před 19 dny +3

      siyo picha nzuri wakati wao wanaua watu nawawaibia pia pumbafu zao niwa kaangwe kabisa ngoja siku uibiwe ndo utaona umuhimu wa kuwachoma na kuwakaangaa.

    • @CatherineMwakibinga-gi1kp
      @CatherineMwakibinga-gi1kp Před 19 dny +1

      Hamjui TU Arusha wanavyotusumbua hawa wezi jmn

    • @fredrickomondi9307
      @fredrickomondi9307 Před 18 dny

      Wewe haujaibiwa ndio mana unaongea hivo

    • @user-ph9gs2lx3m
      @user-ph9gs2lx3m Před 2 dny

      Je crois vraiment que l'Afrique est un continent maudit

  • @MaryamRashid-zd6gl
    @MaryamRashid-zd6gl Před 22 dny +6

    Naomba na wanaolawiti na kubaka watoto pia watieni moto pia

  • @MariamCalyx-ju7jv
    @MariamCalyx-ju7jv Před 22 dny +25

    Tufunge sana na kumuomba MUNGU hii dunia inakoelekea ni pabaya sana😢😢 "Ee Mwenyezi MUNGU nakuomba uniepushie katika kizazi changu na cha dada zangu na wadogo zangu isikubwe na roho za uwizi na nyingine mbaya zikae mbali nasi katika jina la yesu kristo Amen😔🙏🏾

  • @antonyiyona5937
    @antonyiyona5937 Před 20 dny +11

    Duh watanzania mmefikia hapo nawengine mnaingia kanisani na misikitini duh kweli hii si haki😢😢😢

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo Před 22 dny +20

    Yaani rabb tunusuru na vizazi vyetu wafuate amri yako ya rabb

  • @sophiemsuya6507
    @sophiemsuya6507 Před 24 dny +48

    Jamani! jamani! Hebu tuache kuchukua hukumu mikononi. Hebu fikiria huyo ni mwanao! Tuwakamate na kuwaadhibu sio kuua. Kama wizi tuwaue wale wanaotuibia mabilioni jamani.Mungu uturehemu

    • @user-ey5mv1yz3s
      @user-ey5mv1yz3s Před 24 dny +12

      Hayajakukuta pole maana Mimi mwizi siwezi mtetea mwizi akikukamata anakuua wewe kabla ya wewe kumuwahi elewa hili

    • @dallasmusic6465
      @dallasmusic6465 Před 24 dny +3

      Hawajakuzuru

    • @pendo8082
      @pendo8082 Před 24 dny

      ​@@user-ey5mv1yz3skabisa

    • @exodusKaitira
      @exodusKaitira Před 23 dny

      Kawaulize wanao vamiwa na kukatwakatwa na hawa wezi.. yani mi nasapiti wangechinjwa kwanza ndo wachomwe@sophiemsuya6507

    • @user-xm5xg1tt6d
      @user-xm5xg1tt6d Před 23 dny +2

      We hujui kitu kaa kimya

  • @EstherYoram
    @EstherYoram Před 23 dny +10

    Co nzuri sheria zipo

    • @raajtz8073
      @raajtz8073 Před 13 dny

      Wew ushawahi kuibiwa au kujeruhiwa na mwizi???

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Před 24 dny +9

    WEWE DADA WAMEJARIBU LAKINI AWAJAIBA HAYO MAKOSA

  • @SharaunFrancis-dj1tw
    @SharaunFrancis-dj1tw Před 23 dny +40

    Kila mwanamke anae sapoti kitondo hicho, kwanza anatakiwa ambukuke kua anatumbo la uzazi hawezi jua aliyo wazaa/atazaa nani,Maana huyu MUNGU waajabu sana

    • @Namtumbo
      @Namtumbo Před 22 dny +1

      Acha tu simu gharama ngano,Mungu wangu angempa adhabu nyingine

    • @shakilamasoud2983
      @shakilamasoud2983 Před 21 dnem +1

      Nimemshangaa huyo mwanamke mwenzangu.😰

    • @user-kn8pw7vk4e
      @user-kn8pw7vk4e Před 21 dnem

      Nikuulize swali..?? unampenda mwizi...?

    • @SharaunFrancis-dj1tw
      @SharaunFrancis-dj1tw Před 21 dnem

      @@user-kn8pw7vk4e hakuna anaependa kuzaa kibaya kila mwanamke anapenda kuwa na kizazi chema

    • @user-bi9pn1pm8z
      @user-bi9pn1pm8z Před 21 dnem +1

      ​@@user-kn8pw7vk4ekama wewe ni mzazi huwezi kujua kesho ya watoto tena inaonekana watu wahiyo mji hawana imani

  • @isaiahisaac7240
    @isaiahisaac7240 Před 8 dny +1

    Mm wachomwee au wachinjwee kama kuku ndio furaha yangu ..kazi iendeleee

  • @user-rh5iy3ei3g
    @user-rh5iy3ei3g Před 24 dny +19

    Yaraby tunusuru na ndugu na family zetu 😢😢waepushe wadg zangu na tamaa za dunia yasijewakuta haya

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 Před 23 dny

      Tumuombe SANA MUNGU ATUSAIDIE MAANA shetani yupo kutesq watu dhambi yoyote ni mbaya ni shida tumuludie MUNGU TU

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 24 dny +22

    Wachomwe kabisa hao vibaka walimkaba brother angu wakamkata kichwani hajapona hadi Leo 😢

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Před 24 dny +11

    AYO MAUAJI UWEZI UKAMCHOMA BINADAMU MWENZIO

    • @officialEly-i7s
      @officialEly-i7s Před 20 dny

      ivi wewe hujawahi kuibiwa kumbe

    • @KingBuddah-nx3ui
      @KingBuddah-nx3ui Před 20 dny +1

      @@officialEly-i7s Vitu vinapatikana lakini roho uwezi kuipata hikitoka

  • @user-tm5ls1ml6d
    @user-tm5ls1ml6d Před 24 dny +18

    Jaman sio haki kwakweli mwachukua sheria mkononi msiwapige wapeleke polisi walipe tu so vzr

    • @christaoman8890
      @christaoman8890 Před 24 dny +3

      Acha wachomwe moto kwani wakipelekwa police wanaachiwa safi sana

    • @morjanoman5181
      @morjanoman5181 Před 24 dny +3

      Wewe. Ujawaikuibiwa sio nyokosana wewe. Acha wachomwemoto pumbavuzako au bwanako

    • @naomikisaba5785
      @naomikisaba5785 Před 24 dny +2

      Hujawahi ibiwa ndio maana huwez jua maumiv

    • @ramadhanishabani807
      @ramadhanishabani807 Před 23 dny +2

      Unaongea tu sio haki kwakua hujakaa arusha nahujakutana naonusiku wanaeza kukuua wewe hao

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 Před 22 dny

      Wewe mama wewe unazaa wewe haya maneno unayoyazungumza tema mate chini mdada una roho ngumu hivo unashinikiza Kabisa wachomwe moto je kama Ni mtoto wako sikia hivo hivo asije akawa mtoto wako siku moja

  • @user-hm9ir7yz4z
    @user-hm9ir7yz4z Před 22 dny +29

    Aisee kama wameiba kweli, kuchomwa ni haki yao ila kama hawajaiba. Ni mbaya sana kumdhuru asie na kosa. Tatizo wezi huweza kuharibu maisha ya raia mwema kuanzia mtegemewa mpaka wategemezi. Wezi ni wabaya sana katika jamii...

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 Před 23 dny +3

    Ila tuendako kwa hali ilivyo usalama utakuwa mdogo sana sababu nchi haijaweka mazingira mazuri ya watu kujitafutia.
    Watu wengi wanatelekeza familia hivyo tunazalisha kizazi cha hatari na ndoa nyingi zinaporomoka

  • @monicaisuja8917
    @monicaisuja8917 Před 24 dny +21

    Jamani vijana fanyeni Kazi ,achane kuwachoma moto.nidhambi

  • @MohamedyOmary-cv6gk
    @MohamedyOmary-cv6gk Před 24 dny +26

    Jamani vijana wamrudie Mungu

  • @khumayraabdulla96
    @khumayraabdulla96 Před 24 dny +8

    Subhanallah hamjamaliza safari nanyie 😢

  • @shukurually8769
    @shukurually8769 Před 24 dny +14

    Hii iamie dar kwakweli nimeipenda acha wachomwemoto

  • @user-nr8tn4ew3t
    @user-nr8tn4ew3t Před 3 dny +1

    Kama ni wizi jamani mge wapeleka polisi sio kuwaunguza ila Alie waunguza mungu anamuona iposiku iyo damu ailiyo itokomeza itamlilia atokaa afanyikiwe leo kwako kesho kwako wataunguzwa na watoto wenu usitoe ukumu jamani msinge waunguza mungu awalahani

  • @osevekimberly2688
    @osevekimberly2688 Před 20 dny +4

    They should introduce this in south Africa so that they'll learn a lesson

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 24 dny +2

    Nimeogopa mimi... kuna wezi wamevaa suti,wanatembelea vx na kulindwa na askari wetu..rejea ripoti ya CAG.. mbuga,bandari,migodi,mashamba zimeondoka

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb Před 21 dnem +2

    Huo mchezo wa kunyakulia watu simu umezidi watieni adabu ya kutosha iwe funzo kwa wengine

  • @eddyderrickmail66
    @eddyderrickmail66 Před 21 dnem +1

    Nikweli wizi wanarejesha nyuma ila tusiwauwe Tena kwa kuwachoma moto mungu kakataza ata sisimizi ucmuazbu kwa moto mwenye haki ya kumchoma moto kiumbe ni yeye peke yke adha wa jallah kwaiyo tuacheni hayo mambo vyombo vya Sheria vpo

  • @bahatikengese744
    @bahatikengese744 Před 18 dny +1

    Bora hawa wezi kaz nzuri kulio mashoga

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před 20 dny

    Inasikitisha sana , Africa kweli moto, mtu mweusi ni kiumbe hatari sana kialisi ni watu wenye nguvu kimwili vichwani kweupe na wenye ugonjwa wakuwashwa hasira , Mungu haniepushe kuishi katika Africa

  • @gloriajoseph9098
    @gloriajoseph9098 Před 23 dny +2

    ila nyie lliioshuudia pia mna moto wenu jmn,,, this is not right , yaan dhambi mliochoma na kushuudia alooo tubuni😢

  • @DavidMwaipopo
    @DavidMwaipopo Před 20 dny +1

    Hii so sawa kabisa

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 Před 20 dny +4

    Waliochukua sheria mkononi wachukuliwe hatua. Magereza na police vipo kwa ajili ya kujenga maadili kwa waovu kama hao wezi walitakiwa kufungwa na sio kuuliwa

    • @verobecamfipa8655
      @verobecamfipa8655 Před 20 dny +1

      Hujawahi kuibiwa wewe kaaa kimya

    • @noahchepe8036
      @noahchepe8036 Před 20 dny +1

      @@verobecamfipa8655 nimewai ibiwa sana vitu.. ikiwemo simu. ila mauaji kama hayo ni ya kukuemea sio kuchekelea! waovu wakirekebishwa wanakua wema!

    • @JohnChedego
      @JohnChedego Před 19 dny

      @@noahchepe8036 jela watatoka ila kuwakaanga ndo fundisho kwa wengine wataogopa kidg sababu watajua wakishikwa tu watafanywa ndafu

    • @jeffrymutisomwololo7075
      @jeffrymutisomwololo7075 Před 18 dny +1

      Wakati wao wanaiba na kuuwa watu hakuna shida sivyo

    • @noahchepe8036
      @noahchepe8036 Před 18 dny

      @@jeffrymutisomwololo7075 😂😂

  • @bernardmushi4869
    @bernardmushi4869 Před 24 dny +23

    Asiye na dhambi awe wa kwanza kumchoma moto.Wenye dhambi wanamchoma mwenye dhambi mwenzao.Mngekuwa mmeokoka msingeweza kuwachoma moto,mngemwachia MUNGU na SHERIA.

    • @vibetz9991
      @vibetz9991 Před 24 dny +2

      Hujawai ibiwa wewe

    • @jolitabukabengwe3070
      @jolitabukabengwe3070 Před 24 dny

      Mkanyaga mafuta ww!!

    • @PennyLuis
      @PennyLuis Před 23 dny

      Kabisaaa

    • @Khmediy3241
      @Khmediy3241 Před 23 dny

      Ujawai pigwa panga ww

    • @vibetz9991
      @vibetz9991 Před 23 dny +1

      @@bernardmushi4869 Nina makovu ya Kudumu ya mapanga kwenye mkono kazi ya panya road,,,, nikikuta wanapigwa Mimi naenda kuchinja shingo

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Před 22 dny +2

    Kama hujawahi kukwapuliwa utawahurumia ila kama yakikukuta utaona wamestahili mavuno hayo.

  • @Teddyzhukenya01
    @Teddyzhukenya01 Před 20 dny +1

    😭😭😭 Inaumiza Sana Aiseeeh Kuchoma Mtuu Jaama

    • @hyacintagugu7
      @hyacintagugu7 Před 20 dny

      Yaani...wasingewachoma.kila mtu ana dhambi

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 Před 23 dny +1

    Kwa msiyojua arusha mtawaonea huruma lakini nataka niwaambie Hawa vijana ni hatari mno.hata ukijisalimisha panga au pisipisi inakuhusu.
    Na hapa ni katikati ya Jiji hilo

  • @Godelivanana
    @Godelivanana Před 23 dny +3

    Kisa sim tuu jamani mbona wakatili hivyo jamani akuna asiye na thambi 😢

  • @ev.emmanuelkawema2493
    @ev.emmanuelkawema2493 Před 23 dny +1

    Hata Dar nilikwapuliwa mwaka jana maeneo ya Uwanja wa taifa pale
    Kwa kweli hata Dar siku amekamatwa mtu sijui itakuwaje

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 Před 22 dny +1

    Akina Mama poleni sana...Akina Mama raundi hii Mmezaa!!!!!

  • @aishakimaro2795
    @aishakimaro2795 Před 23 dny +1

    Moto ni wa allah tu jaman hiyo co hukumu ipaswayo kwa mwizi wallah mwogopeni mungu japo wezi wanakera sana na wanaumiza mno ila hii hapana

  • @happinessmadaraka3127
    @happinessmadaraka3127 Před 19 dny +1

    Alaf mmama mwenye kizazi na unawatoto unashabikia wauwawe we mama una watoto kumbuka na hujajua hatima yao😢

  • @marwajoseph8060
    @marwajoseph8060 Před 22 dny +1

    Choma moto majizi hayo kwanini wasifanye kazi sheria sheria mbona wanapo iba hawakumbuki sheria mkitaka kuchoma pterori nitawanunulia njoeni tarime

  • @abduwahabi7019
    @abduwahabi7019 Před 24 dny +15

    HAKUNA DINI YOYOTE WALA SHERIA YA NCHI YOYOTE INAYOSEMA MTU AKIIBA ACHOMWE MOTO,NYIE MLIOCHOMA NDIO WABAYA ZAIDI MBELE YA ALLAH

    • @jinikisirani7928
      @jinikisirani7928 Před 24 dny +1

      Kabisaa

    • @simonlukiko2850
      @simonlukiko2850 Před 23 dny

      Allah Allah NINI wewe uyo Allah kakuumba lkn ata kuchoma moto sasa kama yeye Ana kuchoma na kakuumba mm nakuoneaje huruma

    • @africa7479
      @africa7479 Před 23 dny

      ​@@simonlukiko2850 kama umeona huna imani wew ni kafiri kaa kimya una roho mbaya sna

    • @michaelfrenkline3429
      @michaelfrenkline3429 Před 22 dny

      Hayajakukuta ndo mana unawaonea uruma.
      Siku yakikukuta ndioutajua

    • @johnnsembele4401
      @johnnsembele4401 Před 22 dny

      ndugu yakikukuta utaelewa @mimi nilinusulika kufa na aooo

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Před 23 dny +1

    La haula walakuwata ila billah hasbunallah waneemal wakel

  • @shebbyelphonce8514
    @shebbyelphonce8514 Před 22 dny +2

    Inauma ukiona mtoto wa mwenzako akichomwa inauma kwel lkn sio watu jmn

  • @RoseMwaksese
    @RoseMwaksese Před 19 dny

    Sio nzuri sheria zipo

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo Před 22 dny +1

    Subhaana llah mnajichukulia hukumu allahu
    Kumbukeni na nyie pia mtalipwa

  • @user-ui5xc6sb5m
    @user-ui5xc6sb5m Před 24 dny +3

    Daah asani nyambulet Kaisha

    • @yasintajoseph7495
      @yasintajoseph7495 Před 24 dny

      Kwani Ni mwizi kweli?

    • @Umu-khansaa.
      @Umu-khansaa. Před 22 dny

      Alimpigaga mume wangu ngumi ya mdomo akatema jino Hadi Leo anapengo alifungwa miezi sita Ila faini mume wangu alimsamehe na alivyoambiwa kafariki ameishia kusema tu "hapa duniani usimtendee mwenzao ubaya."

    • @Umu-khansaa.
      @Umu-khansaa. Před 22 dny

      Alimpigaga mume wangu ngumi ya mdomo akatema jino Hadi Leo anapengo alifungwa miezi sita Ila faini mume wangu alimsamehe na alivyoambiwa kafariki ameishia kusema tu "hapa duniani usimtendee mwenzao ubaya."

  • @puritymwaka5036
    @puritymwaka5036 Před 23 dny +1

    Sawa dada achomwe moto ....je ingekuwa n mtoto wako ......vitu vingne amuen lakn mfikirie kwanza hamjafanya poaaaaaaaaaa😢😢

  • @rosemary1163
    @rosemary1163 Před 18 dny +1

    Yaani may God forgive you ..hukumu ni ya Mungu sio ya mwanadamu...kile mlikifanya sio vizuri kabisaa

  • @oswardmsigwa5728
    @oswardmsigwa5728 Před 24 dny +2

    Mngekuwa mnahasira kali kwel mngekuwa mnawachoma na mafida wanaoiba mabilion ya pesa

  • @ruphersonkiirii9254
    @ruphersonkiirii9254 Před 5 dny

    People need to change thinking backwards.

  • @richardsule4454
    @richardsule4454 Před 24 dny +1

    Jeshi letu la polisi kuna cha kujifunza kutoka kwa walalamikaji, inaonesha watu wamechoshwa na matukio ya wizi,, ukweli ni kwamba si sahii kujichukulia sheria mkononi pia waandishi wa habari na wote tunaokimbilia kurekodi ni vizuri kukimbilia kutoa taarfa polisi,,,,kutoa uhai wa mtu si jambo la kushabikia maana kuna wakati wachomaji tunafanya makosa makubwa zaidi ya hayo mbele za Mungu. Askali jitaidini kwa kushirikiana na wanainchi kuzuia marukio kabla hayajetendeka na wanaostaili vifungo wapewe

  • @Naju645
    @Naju645 Před 23 dny +1

    Jaman jaman vijana waaache wizi 😢wanarudisha watu nyuma Sana sasa hao niwale waliowah kuibiwa hasira Sana Napo inauma

  • @SaruniChristophersabaya
    @SaruniChristophersabaya Před 22 dny +7

    Very nice

  • @jeremiahwillson363
    @jeremiahwillson363 Před 20 dny +1

    Mungu wa Mbinguni atuokoe vijana. Siwajui lkn inauma mno, tusichome watu moto, ni kitendo kibaya

  • @johnadera3247
    @johnadera3247 Před 20 dny

    Hongera piga hao wezi wakufe

  • @Naju645
    @Naju645 Před 23 dny +1

    Dah😢mm nilishawah kuibiwa nawiz vitu ndan Ila wanarudisha watu nyuma Sana

  • @FaisalBaluchi
    @FaisalBaluchi Před 24 dny

    Daaaah mungu atusaidie tu na vijana wetu

  • @user-vf8mw6eu9w
    @user-vf8mw6eu9w Před 15 dny

    Safi sana wezi wana ludisha nyuma maendeleo

  • @ghhyhh7591
    @ghhyhh7591 Před 19 dny

    Dah imani hatuna nyoyon yarrab kwann waja wako wanaingilia kaz yako ya allah😢😢unatoa roho ya mwenzio kikatili

  • @KajokaTanzania
    @KajokaTanzania Před 21 dnem

    Ngoja wachomwe tu juzi nimekabwa hapa dar kinyerezi na jamaa aliyenibeba kama boda boda na kunijeruhi sanaa so nikiona wenye pikipiki wanachomwa moto wachomwe maana nao wakitukamata wanatuumiza pia.

  • @JudithKimaro-fw6dd
    @JudithKimaro-fw6dd Před 22 dny +2

    Duuuh kuna wat wana roho ngum aisee na wengine wamama hapo wana watoti

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 Před 24 dny

    Mungu aturehemu sana, 😢😢 tumekuwa wepesi sana kuhukumu !! Haijalishi mtu kakosea namna gani kuua ni dhambi. Hakika Mungu atuondolee laana hii

  • @SharaunFrancis-dj1tw
    @SharaunFrancis-dj1tw Před 23 dny +1

    Huyo aliye vaa sweta jegundu ni rafkiyangu sana hata mwezi wa 3 alikuja kunisalimia pindi niko mzali

  • @user-db1uy6hv9q
    @user-db1uy6hv9q Před 23 dny +1

    Subuhana lahha

  • @cristinajeremiah2450
    @cristinajeremiah2450 Před 24 dny +1

    Mungu turehemu sisi na uzao wetu

  • @dunstankihaa2383
    @dunstankihaa2383 Před 24 dny

    Daaaah kisa simu ndo mtoe roho ya binadam mwenzao!!!! Mungu tusaidie

  • @AminaAbuku
    @AminaAbuku Před 23 dny +3

    Nipependa sana ❤

  • @ipepeetube449
    @ipepeetube449 Před 23 dny +1

    Jamani mkiwakamata wafunge jela mbona sisi polisi waliua ndugu yangu hatukuwa homa acheni uzamani

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman Před 23 dny +1

    Polisi wanafanya kazi kwa uadirifu tunapowapelekea wahalifu jaman SI vyema kuchukua Sheria mkononi

  • @user-ld1ji6nu1g
    @user-ld1ji6nu1g Před 23 dny +1

    Msihukumu watu anapaswa kutoa hukum ya moto ni mungu tu😭😭😭kwan nyie tangu mzaliwe hamjawah kukosea

  • @evalynewanjiru9685
    @evalynewanjiru9685 Před 9 dny

    😢😢Jesus. I don't support stealing but really. ooh my God

    • @ZaharaImole
      @ZaharaImole Před 8 dny

      Sometimes people don't even steal they just lie on people he look like a police man

  • @MonicaTimotheo
    @MonicaTimotheo Před 20 dny +1

    YAANI KWA SISI TUNAOMJUA HASAN TUNAHUZUNIKA NA KUSIKITIKA SANA HASAN AMEKUFA KWA MATESO MAKALI NA UCHUNGU KWELI HAKIKA MWENYEZI MUNGU ATUREHEMU NA ATUONGOZE WOTE TULIOBAKI HAI IBILISI SHETANI HAFAI

  • @paulmaganga9700
    @paulmaganga9700 Před 23 dny +1

    Hii sio sawa

  • @AdamSabugo-t2p
    @AdamSabugo-t2p Před 21 dnem

    Mwenyez mungu hawasamee wote mliotenda ivyo

  • @danielhassan392
    @danielhassan392 Před 21 dnem

    Very very good

  • @nduwimanahafsa4611
    @nduwimanahafsa4611 Před 22 dny +1

    😢😢😢😢😢 mingingewalipiaa iyoo siim wallah je kayako akicomwaa😢😢😢

  • @lilianakeya9868
    @lilianakeya9868 Před 18 dny

    So sad no one is perfect 😔😔😭😭

  • @kassimmambo2279
    @kassimmambo2279 Před 24 dny +2

    Dah mtihani

  • @user-uf7oh5eu4v
    @user-uf7oh5eu4v Před 20 dny +1

    So sad😢

  • @dailyviral96
    @dailyviral96 Před 7 dny +1

    apakah tidak ada hukum yang berlaku di sana hingga menghakimi sesama manusia?

    • @dailyviral96
      @dailyviral96 Před 7 dny

      saya lihat ini sesuatu yang tidak manusiawi

  • @user-xj1qz8oy5s
    @user-xj1qz8oy5s Před 18 dny

    Woooooiiii!!! Wangeshtakiwa Tu Washikwe Wafungwe Maisha Badala Ya Wao Kuchomwa 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @user-fc7vm5lk7u
    @user-fc7vm5lk7u Před 21 dnem

    Ndio vizuri yaani mpk Arusha wajifunze wanajifanya wadudu sana yaani ifike hatua unatembea hata saa nane za usiku

  • @chuchemugob944
    @chuchemugob944 Před 20 dny

    Dah! Aised

  • @MwajumaSalimu-l9e
    @MwajumaSalimu-l9e Před 15 dny

    Vuta picha mwanao ndio anachomw so vizur tumludie mungu jmni khaaa ukumu n ya mungu tuu binadamu huna ukumu ya kumzidi mungu.sheria zipo zimewekwa kwa ajir ya haki za binadamu msichukue sheria mkononi hujui kesh yako

  • @irenemlay9769
    @irenemlay9769 Před 24 dny +2

    Mungu wangu

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 Před 23 dny +1

    Chamcng wasichome moto mtu asie nahatia wawe nauhakika kua kweli kaiba

  • @EdenMcharo
    @EdenMcharo Před 24 dny +1

    Kazi,zipo nyingi za kufanya

  • @user-vt4vd5rh8u
    @user-vt4vd5rh8u Před 22 dny +2

    Wanatukosesha amani Sana hao tatu mzuka asubuh tunatembea kwa mashaka

  • @lucygwande-jf2cu
    @lucygwande-jf2cu Před 22 dny +1

    Kwa kibaka ambae hana huruma ni sawa lakini watu wamechoka kuibiwa ni lazima waibe tu

  • @InjiliyaUfalmetv
    @InjiliyaUfalmetv Před 20 dny

    Tubuni kwa Maana ufalme wa Mungu umekaribia nikweli wameiba na nyie mliowachoma moto msipotubu Jehanamu inawasubiri ,Ipo siku ujumbe huu mtaukumbuka mkiwa motoni
    Wanadamu Mrudieni Mungu

  • @chidrashid3797
    @chidrashid3797 Před 24 dny +3

    Dawa yao hiyo

  • @IsabelaMhagama-eu9fr
    @IsabelaMhagama-eu9fr Před 17 dny

    Dada kinywa chako kitamke ata mema usifurahie mabaya ya mwenzako omba pendo la mungu liingie ndani ya moyo ila usih 6:58 ukum 7:14 7:14 7:13 u 6:32 6:48 6:41 utakuja kuhukumiwa 6:29

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d Před 23 dny +1

    Nyie mnaocoment mnajifanya mna huruma hamjawahi kukutana na tatu mzuka na msiombe wanakuchoma visu au wanakuua