Yaraby usitujaalie dunia kua ndio mapnz kwet yarabby tujaalie tuipe mgong dunia na mamb yke ispokua tujaalie tuipambe akhera ytu ili tukapte saada hko yaumul-Qiyama ishallah 😘😘❤
Alhamdulillah twamshukuru Mwenyezi Mgu kwa kutujaalia kuwa na ndugu katika dini ya kiislamu kama wewe na wengine kwa kutuongoza kidini na yanayo tufaa katika dunya.
MashaAllah Allah akuzidishie umri mrefu wenye afya furaha uzima na baraka tele uzidi kutupa daaawa ,akuepushe na kila hasad na akujaalie Pepo ya Firdaus pamoja na waislam wote Amiin
Mashallah mwenyezi Mungu akuzidishie nguvu na hekma yakutupatia mawaidha na tuweze kujiepusha na tamaa ya mambo ya dunia.Alhamdhullah....Allah is great
Jazzaka allahu ghaira sheikh wetu hakika nimefaidika na mawaidha haya na m/mungu atutilie WEPES aaaamin kila penye zito soteee a aaaamin yaa rabbal alaaamin.
Sheikh Othman anasoma Qur’an kwa sauti mzuri sana - MaashaaAllah Tabaarakallaah. I wish tungenufaika na record zake za tarteel. Qiraa’a ya Sheikh Othman kwa sauti yake mzuri itapatia watu shifaa, sakeena na utulivu InshaaAllah
Allah akupe umri mrefu na akuzidishie elimu ili uzidili kutuelimisha na kutufumbua pale tulipokuwa hatuoni tuione na kuikimbilia pepo ya milele isiyo na karaha allah tujaalie mwisho mwema wa maisha yetu,muepushe shekhe wetu na misukosuko ya dunia.
mwenyezi mungu akuzidishie hekma, akuzidishie imani na elimu uzidi kutujuza yalio bora maana kuna saa nikikusikiliza najaribu kufanya mazuri zaidi. mungu akuweke inshalaalah
Allah atujaliee maishaa marefu yenye baraka ndani yakee na atujaliee maisha mafupi kama hayana baraka ndani yakee ilii tusiweze kumuasi Allah (s.w) maaana Allah ni mwingine wa kusamehe na ni mwenye ghadhab kwa walee ambao watakao muasi maaan ni mjuzi wa kuadhibu adhabu nzitooo.... Rabana atina fidunya hasanat Wafil agheratul hasana Wakina adhaba naar Allahumaa ajirna minanar saalimin
NAPENDA SANA KUFUATILIA MAWAIDHA YA SHEIKH OTHMAN MAALIM . ANA UFASAHA MKUBWA KATIKA UTOAJI WA MAWAIDHA......NIMEIPENDA HARAKATI YA CHANNEL HII NA IMENITIA MOTISHA WAKUFUNGUA CHANNEL YANGU ILI KULINGANIA UMMAH JUU YA TAWHEED NA MAFUNZO MENGI YA DINI YA ALLAH NI ONGEZA MIMI NA KILA MJA KATIKA NJIA YA HAKI AMEEN
MaashaaAllah sheikh Othman Maalim Allah akupe umri mrefu wenye kheri na wewe tuzidi kufaidika na elmu yako InshaaAllah
Yaraby usitujaalie dunia kua ndio mapnz kwet yarabby tujaalie tuipe mgong dunia na mamb yke ispokua tujaalie tuipambe akhera ytu ili tukapte saada hko yaumul-Qiyama ishallah 😘😘❤
Mimi mkristo lakini napenda mawaidha yako sana, unahubiri vizuri tena polepole naelewa kila kitu. Mwenyezi mungu akubariki
Jackie chao ubarikiwe pia wewe unaesikiza maneno ya mungu
Allah akujaalie nawe uwe mwiislam
Mashallah Allah atuongoze kila penye kheri zake amin yaarabii
Allah akujaalie na ww pia Upate kuwa mwislam InshaAllah Allah kariim
mungu akupe uri
Alhamdulillah twamshukuru Mwenyezi Mgu kwa kutujaalia kuwa na ndugu katika dini ya kiislamu kama wewe na wengine kwa kutuongoza kidini na yanayo tufaa katika dunya.
MashaAllah Allah akuzidishie umri mrefu wenye afya furaha uzima na baraka tele uzidi kutupa daaawa ,akuepushe na kila hasad na akujaalie Pepo ya Firdaus pamoja na waislam wote Amiin
Alhamndulillah 🙏🙏🙏dawa zako huwa zinanikosha roho sana mwalim wangu♥️♥️♥️💖Allah akupe kila la kheri🙏
Mashallah mwenyezi Mungu akuzidishie nguvu na hekma yakutupatia mawaidha na tuweze kujiepusha na tamaa ya mambo ya dunia.Alhamdhullah....Allah is great
Subhallah Allah atujenge imani ya kuipenda ahera nakuipuza dunia kama mtume na maswahaba zake amin
Kiukwel Allah akulipe sheikh wetu ujumbe umefika na tutaufanyia kazi 👏
Hewe Allah we2 ulie umba mbingu na dunia twakuomba u2samee mazambi y2 nau2elekeze njia njema ameen
Jazzaka allahu ghaira sheikh wetu hakika nimefaidika na mawaidha haya na m/mungu atutilie WEPES aaaamin kila penye zito soteee a aaaamin yaa rabbal alaaamin.
Sheikh Othman anasoma Qur’an kwa sauti mzuri sana - MaashaaAllah Tabaarakallaah. I wish tungenufaika na record zake za tarteel. Qiraa’a ya Sheikh Othman kwa sauti yake mzuri itapatia watu shifaa, sakeena na utulivu InshaaAllah
Mashaallah Allah akuweke maalim upate kutujuza zaidi inshaallah
Mashallah mungu akulinde shehe wetu
Allah akulipe kila la kheri, kwakuzitibu nafsi zetu na akujaalie uhai mrefu. amin.
Allah akujaliye uingie Jannatul firdaus Inshaa Allah na jamii yote ya Islam Inshaa Allah
Amiiin
Unanifaa sana sheikh wangu naomba ALLAH akulipe kheil
tunakuomba Allah umlinde shekh wetu
Mashaallah allah akuongozee katka kl htajio lako kwa kututoa katka kizaa ktuleta katka mwangaa alhamdulillah
ALLAH(S.W) AKUIFADHI SHEKHE OTHMAN MAALIM
Masha Allah,Mwenyezi Mungu akulipe kila la kheiri Shukran.
Allahu atuogoze yaa Rabbi tukinai ya dunia😢😢😢
Ehhh Mwenyezi Mungu Tujalie Tusiipende Dunia Nakukuikumbatia
yarabii atujalie nasi tuwe wenye kuiweka dunia kiganjan na sio mioyoon
Mashaallah
Saidi Shebuge
Amin
Amin
Jaaazakaallahu ghaira sheikh wetu kwa duaa na m/mungu atujaalie tuwe wenye kuipa mgongo dunia
Allah akupe umri mref shekh tuizidi kujifunza kupitia kwako inshallah.
Omar Kipwasa @amin thuma amin
mashaa allah
Asallam alaykum warahmatullah wabarakatuh
Aaaamin
Ff
Hongera sana Maalim Mwenyezi akujalie miaka na hekema Nyingi maana hata mm mnaoniita kafiri nafuatilia mawaidha ya Maalim
Masha allah .Allah akupe afya njema na umri mrefu
Allah akujalie Sheikh OTHMAN MAALIM,Unatufundsha wengi kupitia daawa zako,ALLAH akupe maisha marefu uzidi kutuelimishaaa.....AMEEEEN
alhamdulih mwenyezi akujalie umri mwema mafundisho yako mazuri
Allah anakupa kila kitu bro, kwanza msuli wa sula, then hekima na busara...love you.
Sheikh Othman May Allah grant you janatul Firdaus.
Amin
Baraka za Allah zikushukie sheikh othmqn
Mashallah kwa kutupatia dawaa nimejifunza mengi kutoka kwako Yallah akuzidishie afya njema in sha'Allah
Allah akupe umri mrefu na akuzidishie elimu ili uzidili kutuelimisha na kutufumbua pale tulipokuwa hatuoni tuione na kuikimbilia pepo ya milele isiyo na karaha allah tujaalie mwisho mwema wa maisha yetu,muepushe shekhe wetu na misukosuko ya dunia.
Mola wetu mlezi atuwongoze waislam wote, inshallah Na atijaliye mwisho mwema, aniongoze🙏🙏🙏
Marshallah Allah atukinaishe nafisi zetu na duni turejee kwake tukiwa wasafi inshallah
Jazakallahu kheir sheikh uthman
You deliver Nice daawa sheikh Othman maalim,ilike so much and so much to listen,so God will bless you and us to be in straight way
Mashaallah Allah akuhifadh duniani na akhera
MashaAllah mashaAllah may Allah give Sheike OTHMAN MAALIM long life to give as good mwaitha
Inshallha
E! m/ jaalia wazazi wangu mawili,mimi na wote wanipendao.
Maaaaaashaaallah jaman Allah akuzidishie na akufanyie wepes mambo ykoo
Shukran shekhe Othuman
Mungu akujalie mwisho mwema
eellah nijaalieniwe mwenyekuiweka dunia kiganjani mwang nasi moyoni mwang inshallah
Maashaa Shukran sana Shekh kwakweli tunapata faida kubwa Alhamdulillaah Allah azidi kukupa Afya njema ili utupe zaidi nzaid
Ameen thumma Ameen
Mwenyezi mungu atujalie mwisho mwemaaah
آللهم آمين يا رب العالمين 🌹🌹❤❤
Allah tujalie mwisho mwema.
@@nuriakimori769 assalaam aleikum warhamatullah
Daawa nzuri sheikh, Mwenyezi Mungu atujalie iwe niwenyekusikia na kufuata. In sha Allah
Allah akupe maisha marefu na afya njema ili uzidi kutupa ma waidha na mafuzo in sha Allah
MashaAllah tabaraka Allah Mwenye ezi Mungu atuongoze njia iliyonyooka
Mungu atatjlie tuwe ni wenye kushka mema lnshAllah shkrn othmn mashAllah tabaraka Allah
Mashaallah xhekhe
MashaAllah
Alima Alima
Mashaallah shukrani sana ostazi wetu
Alhamdulillah Mola Akujaalie kila la kher hapa na kesho Akhera,,,,Aameen
Qqqqqqq1q1qqqqqq1
Amina
@@hadijabakari3248 m m
MashaAllah MashaAllah shekh shkran sanaa Allah akuzidishie mri uzidi kutuelezea n kutukumbusha yalio mema InshaAllah ❤
Inshallah Allah naomba umpe hidaya shekh wetu azid kutupa elm nampenda shekh othuman kwaajili ya allah❤
mashaalh shehe othomani maalimu Allah akupe umre mrefu kutufikishia dawa warming AMIN
tunashukuru kwa dua zuri
Farida 9922 sawa
Allah Allah
Hello mzima ww
mwenyezi mungu akuzidishie hekma, akuzidishie imani na elimu uzidi kutujuza yalio bora maana kuna saa nikikusikiliza najaribu kufanya mazuri zaidi. mungu akuweke inshalaalah
mungu tupe mwisho mwema amina
Erfgdyuo
Mashallah
Mansha Allah sheikh Allah akuzidishie hekma, akuzidishie pia elimu na sisi tuzidi kufaidika, n'a pia nakuyakia kila la kheri
Mashaallah Allah akujalie heri umri mrefu wenye afya njema na mwisho mwema nakupenda kwa ajili ya Allah
Yaarabbi, tujaalie tuzidi kutenda mema ili tuipate pepo.
Baraka lwahu fiyk sheikh Allah akujaz Elim badal allahum zidyn elm waruzukn fahm
Allah akuongozee baraka wew nasi pia tuweze kutii kile Allah alichotuagiza
God bless your work Sheikh and may He lead us all straight.
J ccccccvccvvvg
shukran sheikh Othman maalimu allah akupe ujira duniani na akhera allah atupe mwisho mwema inshallah atujaalie mlango mwema wa pepon alfirdauos
masha aallah sheikh wetu mungu akupe maisha malefu
mashaallah ...jazaka Allah kheri kwa darsa lako zuri kutuelimisha...Allah akujalie kila l khri hapa duniani na akhera inshaallah
Allah akupe umri Sheikh wangu Hakika umenitoa mbali mawaidha yako hutuliza moyo wangu nakupenda kwa ajiri ya Allah
Allah akupe umri mrefu na wenye afya njema
Mashaallah Mashaallah lov u of Allah shekh OTHMAN.MAALIM
Allah akujaaalie mwisho mwema nasi atujaalie mwisho ulio mwema
Ma sha Allah tunapenda dawaaa zako
Allah atuepushe na matamanio ya dunia
ameen
Hanuna Rashid amin yaallah sote
mashallah
Hanuna Rashid Allahumma Aamyn
Fatihu
نعم
Allah akujalie umri mrefu wenye kheri na mwisho mwema
mashaallah tabarakalaah shekh mungu akubariki
Shukran xna kwa darsa zako nzuri Yaa ALLAH tujaalie tusiwe miongoni mwa wenye kuipenda dunia inshaallah,,, ni saidaa
Alla,Akupe,wepesi,Wakilakitu
Mashaaallah Allah akupe uhai ili tuzid kufaidika dunia na akhera
Maa sha allah,,mungu akuhifadhi na hasd fitna chuki za majini maishaitwani na bin adamu
Yaaa rabbiy tujalie mwisho mwema, ammin
mashAllah may Allah bless you sheikh I like your mawaidha
Maanshaa Allah
Hapo alikuwa Burundi karibu tena sheikh Allah akupe kila la kheri Shukraan saana Allah atukubaliie dua zetu aamiin
ma Shaa Allaah sheikh, Allah akujaaliye kila la kheri na akupe pepoo kubwa
ALLAHUMMA LA TAJ'AL DUNYA AKBAR HAMANA
Inshallah, mola akupe umri mrefu, tuzidy kunufaika sisi Na kizazi kijacho, Na mungu wetu mlezi, aniongoze Mimi Na waislam wote, duniani.🙏🙏🙏🙏
ManshaAllah asnt kwamawaidha mazur
Napenda mawaidha zako sana sheikh ..MashaAllah
Alhamdulillah mawaidha mubashara allah atuafikishe tuwe wenye kuipamgongo dunia
Mwenyezi mungu akupe umri mrefu ishaallah
Hawa wasanii wanatuharibia vyeo kwenye kazi zetu kweli shekh watu Othman Mwaalm.
Allah atujaliee maishaa marefu yenye baraka ndani yakee na atujaliee maisha mafupi kama hayana baraka ndani yakee ilii tusiweze kumuasi Allah (s.w) maaana Allah ni mwingine wa kusamehe na ni mwenye ghadhab kwa walee ambao watakao muasi maaan ni mjuzi wa kuadhibu adhabu nzitooo....
Rabana atina fidunya hasanat
Wafil agheratul hasana
Wakina adhaba naar
Allahumaa ajirna minanar saalimin
Allah atuepushe na matamanio ya dunia nani tupo 2020
tupo kaka biidhnillahi
اللهم لا تجعل الدنيا اكبر همنا 🙏
mashallah yarab tujaalie tuwe miongoni mwa wenye kusikiliza yaliomema, na mkinge sheh wetu na mitihan ya kidunia ,tuende peponi pamojaa inshallah
Masha Allah mola akuweke huzidi kutupa darsa
MashaAllah shekh Allah atujaalie tusiwe ni wenye kuipenda dunia tukasahau akhera
ALLAH awazidishie na awape mahulama waliopo umri mrefu.na waliotuacha wape janatul firdaus Ameen.
Mashallah mungu akuweke miaka mingi na afya njema shekh wetu kipenzi inshallah
Allah akujaalie pepo sote tuliosikiliza pamoja na shekh wetu
Allah akulipe kheri na akupe umri mrefu wenye kheri nawe "Amin"
emwenyez mung naomb unipe mwisho mwema wahp duniani nakesho akhell
mashaa allah allah akujalie uzima uendelee kutupa dawaa
Allah akupe mwisho mwema Shekh othman
Mwenyezi Mungu atujalie mwisho mwema
Amiiyn Rabb'ill Allah Amiiyn
Ameen yarab
Shehe kwali unacho kisema ni kweli
Mashallah Allah akupe umri mrefu uzid kutupa elimu ...
Aami sote pia inshallah
NAPENDA SANA KUFUATILIA MAWAIDHA YA SHEIKH OTHMAN MAALIM . ANA UFASAHA MKUBWA KATIKA UTOAJI WA MAWAIDHA......NIMEIPENDA HARAKATI YA CHANNEL HII NA IMENITIA MOTISHA WAKUFUNGUA CHANNEL YANGU ILI KULINGANIA UMMAH JUU YA TAWHEED NA MAFUNZO MENGI YA DINI YA ALLAH NI ONGEZA MIMI NA KILA MJA KATIKA NJIA YA HAKI AMEEN
mungu atujalie tuwe watu wenye kupata mwisho mwema
jazakallahu kheir ALLAH akulipe jannatul firdaus
Mima Mkassy amn amn
walaih
Mashaallah nice mawaidha may Allah bless you inshaallah
Mashallah
Shukran Allah akujalie kher in shaa Allah
Mashaallah ujumbe mzur na Mwenyez atuepushe na kuipenda dunia kuliko akhera yetu