Mashaallah shekhe wetu mwenyezi mungu akujalie akupe umri mrefu na kisha akukinge na shari za hasidi pindi anapo husudu na akupe upeo mkubwa zaid hakika tunajifunz mengi kutka kwako mwenyez akuingiz katka pepo ya daraja za juu inshallah ☝☝☝☝👆🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Jazaqallahu kheri sheikhe Mwenyezi mungu awarahamu wazazi wangu na WA wenzangu Awajaalie jannatul firdaus. Allah awaongoze watoto wetu Watushike Kwa iman.. Ameen. Yaarab twakuomba tujaalie husnul khatma Inda maut.
Mashaallah asante she wetu kwaukumbusho kweli inauma tumeharibikabsana kimaadili yakuwaheshom wazazi wetu Allah atujaze Iman kupitia darsa Hili Allah akujalie umry mref uzid kutukumbusha mema zaid😭😭🤲
shukran sheikh mwenyzmung akuzidishie ilmu yeny manufaa na akujaalie mwisho mwema na mafikio yako yawe pepon inshaallah wallah l-'adhim napenda sana kukuckiliza
ALLAH atujaalie wazazi wetu wenye Siha njema,na wale wazazi WALIO tangulia mbele ya haki Allah awafanyie wepesi katika makaburi yao INSHALLAH.shukran sheikh
asalamalekum shekh mwenyezimungu hakujali shahada kablalimahuti ww na familia yako akujalie afya hakuhondoshe deni hakuhondo she kibri marathi na ss nafamilia zetu ameen
Malim uthuman Allah akulipe kila la kheri na afya njema na akuzidishiye umri murefu ili uzidishe kuilimisha wa islam tupate kuwujuwa uislam inshaallah
Masha allah allah akuzidishie elimu na akulipe pepo ya firdaus amin
Allah awajaalie wazazi wetu wawe watu wa pepono inshallah na m/mungu ajalie kupitia wao tuende pepono InshaAllah
Amiiin
🇰🇪Nakupenda Sheikh uthman kwa ajili ya Allah(s.w.t)..Mwenyezi Mungu akuhifadhi leo na kesho akhera.aamin
Allah Awarehemu Wazazi wetu na Awajaalie makaburi yao yawe mabustani ya peponi, pia Allah Atufishe tukiwa waislamu wenye mwisho mema.
Subhana552h makosa ninyi nyi sijui niko nani
Assalam aleikum
Amiin
As A
Ww
❤
AMEEN AMEEN YAA RABBIL AALLAH AMEEN 😢😢😢
Ya Rabbil wanusuru wazazi wetu walioko mbele za khaki kwa mwezi huu mtukufu wa Ramadhan 🙏
Sheikh othman maalim nakupenda kwaajili ya allah
Shukurani shekhe kwa ukumbusho Allha azidi kukupa afya njema lnshallha lnshallha allha amrehemu mama angu amen
Asalamu alkum shukran sana umeongea ukweli kabisa subuhanaallah mungu atusamehe awaongoze watoto wetu inshallah
Jazakallah heri ,Allah akupe afya na uzima uzidi kutuelimisha shekh
Mwenyezimungu akulipe kwa sababu ya kutukumbusha shehe wangu inshaalaa
Masha Allah , jazakallahu khayra.
ALLAH!!!!!!!!!!! AKBAR.
MAASHA ALLAH, BISMILLAH, TABARAKALLAH.
shukraan sheikh maalim ALLAH akulipe kheri duniani na akhera Amiin
jazakallah
mashaaalla
Mwa Jay vipi bwana
ALLAH, awarehemu wazazi wangu wote, roho zao ziwe peponi, na akulinde na hapa duniani na kesho akhera, Amin Amin Amin.
Maa Shaw Allah
Amiin yaa rabbal a'alamiin
Inshaallah
@@ramadhanomar5143 l
ALLAH awazidishie wazazi wote walio hai umri mrefu na walotangulia mbele za hazi Mola awasamehe makosa Yao
Mashaa Allah Allah akuzidishea jazzaka Allah kheri
Ma Shaa Allah,Mola akuhifadhi maalim weru
Wlhi mungu akupeleke janatulfardows na uwe rafiki na nabi Mohamed scw na ashaba wake ya rabii
Mashaallah shekhe wetu mwenyezi mungu akujalie akupe umri mrefu na kisha akukinge na shari za hasidi pindi anapo husudu na akupe upeo mkubwa zaid hakika tunajifunz mengi kutka kwako mwenyez akuingiz katka pepo ya daraja za juu inshallah ☝☝☝☝👆🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Allah akupe kheiri dunia na akhera
Jazaqallahu kheri sheikhe
Mwenyezi mungu awarahamu wazazi wangu na WA wenzangu
Awajaalie jannatul firdaus.
Allah awaongoze watoto wetu
Watushike Kwa iman..
Ameen.
Yaarab twakuomba tujaalie husnul khatma Inda maut.
MashaAllah Ustadh wote nawaona Izudin Nawapenda kwaajili yake Allah🧡🧡🧡
Allah akujaze kila lakheri shekh Maalim
SHUKRAN SANA maalim huwa napendaga sana mawaidha yako kwakweli
Mashaallah asante she wetu kwaukumbusho kweli inauma tumeharibikabsana kimaadili yakuwaheshom wazazi wetu Allah atujaze Iman kupitia darsa Hili Allah akujalie umry mref uzid kutukumbusha mema zaid😭😭🤲
JazakAllahukheir.........Allah akuhifadhi sheikh
MASHA'ALLAH Sheikh Othuman maalim....ALLAH akupe mwisho mwema
Adui yetu mfukala
Adui yetu I ufukhala
Napenda sana mawaidha yako shekhe maali
shukran sheikh mwenyzmung akuzidishie ilmu yeny manufaa na akujaalie mwisho mwema na mafikio yako yawe pepon inshaallah wallah l-'adhim napenda sana kukuckiliza
Amin
Mashaala asante kwa kutujuza alla akupe mwisho mwema naheri za hapa dunian na huko ahera
Shukurkani sh othuman
Jazakallah khery othman maaalim,,,,,huwaga nkuita fundi.......unajua sana......yarrah wape shifaaaa wazaz wng wawily
Allah akulipe kher duniani na kesho akhera
Mashaallah mwenyezi mungu akujalie Kilalaher kwa mawaidha manzur
mashalla mungu akubariki shehnakupenda sana nungua akupe umri mrefu
Allah awarehem wazaz wetu wawil
Amiin
Wallahi khuta yaniliza,baba yangu amekufa October 24 2020,Allah akubali shada yake,sai najuwa umuhimu ya wazazi wawili
Mungu ampee jannatul fardows babayo
Jazakhaallah kheir sheikh Kwa elimu kwa kutujuza, Allah akuzidishe na akulipe Kwa kheir ya kazi yako
Mwenyenzi mungu amungize baba yangu Pepo ya firdaus amiin
Mashalah umetoa neno la maana sana
Mashallah Mungu akupejaz kila ya kheri na akuepushie ya shari yarbbi
Shukran jazakkah llah
mungu akujalie afya njema upate kutuelemisha umat.muhamad
mashaallah shukra kwa ukumbusho Allah akujaze kher ishallah
Amiin yaa rabbal a'alamiin
Inshallah Allah akulipe kheri shehe na ajaalie haya yawe ktk mizan mema yaumul kiyama
Subhana Allah
abdalla mohamed
Naa Akhy!
maneno mazito yatupasa kuzingatia shukran shekhe
maashallha shiekh allha akupe maisha marefu yenye Kheli na Baraka Amin
Ila.mm naelewa sana mawaidha yako sheikh Allah akujazie zaidi
Sanaaa
Mashaallah shekh othuman allah akupe mwisho mwemaa
Amin YaRabbi
Aamin amin amin
Mashaallah maneno matamu wallah Allah akuhfadh sheikh Othmn ila na nyie huko nyuma tulienibasii mnatushuhulisha bhnaaa
Mashallah Allah akuĺipe
ALLAH AWAREHEMU WAZAZI WETU,NA AWAONGOZE WATOTO WETU WAEZE KUZIPTA RADHI ZETU NA ZA ALLAH,JAZAKALLAH KHEIR SHEIKH OTHMAN.
Aameen Aameen @da Fatma babaz
Fatma babaz allahawarehemuwazazi
Ej
@@mumkmamy5186 Shukraan
Amin
Allah akupe umri mrefu
Masha Allah tabarakallah mawaidha mazuri Sanaa Allah awahifadhi nyote in Sha Allah awasahilishie katika elmu zetu
ALLAH atujaalie wazazi wetu wenye Siha njema,na wale wazazi WALIO tangulia mbele ya haki Allah awafanyie wepesi katika makaburi yao INSHALLAH.shukran sheikh
asalamalekum shekh mwenyezimungu hakujali shahada kablalimahuti ww na familia yako akujalie afya hakuhondoshe deni hakuhondo she kibri marathi na ss nafamilia zetu ameen
Mashaalah zaakum llah khair
Shukrqn Sheikh Allah akubsrik
Jazaka Allah kheri. ❤️❤️❤️
Allah akupe uhai mrefu ostadhi.asante sana kwa mawidha ya leo
Amiin yaa rabbal a'alamiin
@@muhammadkipangatv2674 e
Nimetuma. . M
ameni ameni amlazepema peponi baba yangu
Pantaleo Epimaki
Aamin
Jazakallah'ukher Allah akulinde na akuongozee umri tupate faida nyingi tunakupenda shekh maalim othuman unabadilisha maisha yetu
Sanaaaaa
Mashaa Allah
Ndugizangu naomba namba ya osiman nna maswa liyangu muhim NA pitiya mengi lakini alihamdulilahi
Allah Akup maish mrefu Shkh Osthmn mwalim ili uzid kutuelimisha
Ma sha Allah sheikhe!!!
MaashaAllah
Mashaallah mung amrehemu baba angu na ampe pepo na Alobakia ampe mwisho mwema na atujalie tuipate pepo kupitia wao yaarabi
Swabakta mashallah
Mtihani mkubwa allh atujujaalie vizazi vyema na mashallh shekhe wetu allh akulinde na maadui naakupe afyanjema wewe nakizazi chako
Asalam aleikum ndungu zangu wa kubwa NA wadogo mungu awa hifadhi NA kila jami isilam
alhhh akujalie mwisho mwema......
allah atakulipa insha allah !kwa mafunzo. huna mikiki ktk hotuba zako, mtu aweza kusikiliza mwanzo mwisho pasi kuchoka
MashaAllah Jazakallah kher
MashaAllah TabarakahAllah
Mashallah tabarakallah
Baraka allah findunia Wal akhera wajanatul frdaus
GROUP LA MAWAIDHA YA KIISLAMU t.me/MawaidhaYAkiislamu
Jazaka Allahe Kher
Allahumma amiiin Yarabb 🤲
Allah awajalie wazazi wetu inshallah
Alhamdulilah rabialamin nmepata kitu ktk moyo wng nmejikuta nmeshida...
Ewe mola wangu mjalie mama yangu,. Umuhepushe ña Azabu ya khabri, sheke, pia naomba mungu Atujalie mwisho mwema,
Jazakaallah khairay
Brother Adil TwahirMola akubarikie maisha yako akupe killa la kheri Nampenda sana Sheikh OthmanSijawahi kumwona in personanaishi Zanzibar?
A Believer naam
A Believer
jazaka Allah kheri!
MashaAllah💖
ماشا ء الله تبارك الله ♥️
اللهم صلي وسلم وبارك على سيدنا ونبينا وحبيبنا وشفيعنا وطب قلوبنا محمد وعلى اله وصحبه اجمعينnakupenda kwaajili ya anllah ❤🙌🙌
Mashaallah
Masha allah tabarraka rahmani yaarabi akujaze khery
Amiin
Shukran mbna sheikh izuuddin hatulii
Haha
Marshall ah shekhe mngu akupe umri mrefu upate kutoongoza
MashallAh maalim othuman
Alhamdu llillah.
MASHAALLAH VOUS ÊTES LE MEILLEUR SHEIKH.QU"ALLAH VOUS PROTÈGE ET VOUS DONNE UNE LONGUE VIE PLEIN DE BONHEUR ET DE COURAGE.AMEEN
Mm simjui niko nani ndio kasumbuka nime vunjika moyo
Alhamdulilah
Sasa niwewe ni michael
Mashaallah barak llah fiq rabii ghufriliwaliwalidayiy kamarabayan saghira shukuran lak ya shekhe othuman maalim m
Mwenyezimung akulipe kher fiiduniay waliakher yarabii
Alhamdulillah
Asalaam alyekum
Allah akujaalie ilmu yenye manyfaa duniani na kesho akhera
Subhanallah
Maashaallah
Jazakallah Allah akuongeze her uzidi kutupatia dawa inshaalla"
Mashallah jazakallahu kheir
Amiin