Nakupenda kuliko maisha yangu kwa ajili ya Alla shekh wangu 😢😢 Yaa Alla tujaalie pepo wajawako na shekhe wetu Shekhe Othman Maalim tukawe wote Jannat firdaus Muhammad rasululla akawe ndio jiranietu Inshaalla 🤲🤲
Alhamdulillahi RabilaAlamina shukran ya RabilaAlamina Mola ajalye safari iLio bardani wasalama! Shukran Jazeelan jazak Allah khayri 🌺 🌹 karibu te naaaaaaa🌻🌻😭😭😭😭🙏🤲🙏Mola akupe umli mrefu wenye khayri na barka teli gutokan kwa ya Razaq akuraisishie kwakirajambo akiweka usahali kwa Chochte ukifanyacho kije nichema ln shaa Allah myaka hio urudi tena 🇧🇮 ❣️💞💞💞💞💞💞
Maasha Allah sheikh Othman na ma sheikh wetu wote Mwenyezi Mgu awatangulie kwa kila hatua munayopiga,awape umri,uzima na afya njema muendelee na kutupa madarsa ya kutangaza mambo ya kheir kila kitongoji In shaa Allah 🤲🏽🤲🏽🤲🏽
ما أحلى الكلام Ni maneno matamu na mazuri yalioje Sheikh Allah akuhifadhi ,akujaalie daawa yako iwe ya ikhlaas na akuzidishie ilimu tupate kufaidika na Allah awahifadhi Waalimu na Mashekhe wote wa kiislamu na waislamu wote kwani العلماء ورثة الانبياء...
ما أحلى الكلام Ni maneno matamu na mazuri yalioje Allah Akuhifadhi Sheikh na akujaalie daawa yako iwe ya ikhlaas tuzidi kufaidika na darsa zako tukiwa popote pale na Allah awahifadhi waalimu wetu na masheikh wote wa kiislamu kwani- العلماء ورثة الانبياء
MashaAllah sheikh mawaidha yko ni dawa kubwa kwa wengi Allah akupe kheri na urudi salama nyumbani MashaAllah toka niwe mdogo nilipenda ata niolewa Na ww kwa hakika busara Na imani yako ya dini. Naomba tuelewa kitu kimoja nilichopenda kwa usitadhi ni hakima vijana Siku Hz atuna imani ya dini busara nidhamu naomba vijana tubadilike tuwe watu kma sheikh anatufuza mengi tuwe vijana Wa imani ya dini InshaAllah sheikh wee ni mfano wakuingwe MashaAllah
Mashaallah nikweli kabisa sheikh wetu hyu amejaaliwa hekma na busara na pia amelelewa katika mikono salama ndomana yuko Ivo tumuombee Kwa Allah amjaalie afya na umri mrefu azidi kutuelimisha hakika hyu sheikh nampenda Sana kwaajili ya Allah
Shekhe othmani mungu akupe uhai mrefu
Inshallah very soon i like Muslim teaching, mola nifanyie wepesi! .
Allah akuweke katika kundi hili in shaa Allah
Ameena karibu ktk dini ya kiislam Emmanuel
Aamin
@@mbaroukkhamis7519 tfyyfygytfftgt
@@mbaroukkhamis7519 p
Nakupenda kuliko maisha yangu kwa ajili ya Alla shekh wangu 😢😢 Yaa Alla tujaalie pepo wajawako na shekhe wetu Shekhe Othman Maalim tukawe wote Jannat firdaus Muhammad rasululla akawe ndio jiranietu Inshaalla 🤲🤲
Allahuma amen
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😘🙏🙏🙏
Allahuma amin
Aamina yaa rabby
Alahumma ameen👏👏
sheikh mungu amekujaalia hekma sana
Niombeeni mungu anijaalie katika umri wangu Mara moja nimlete othman maalim, kijijini kwetu kwa uwezo wake Allah, nampenda Sana kwa ajili y Allah
Aamyn, Allah akuwezeshe
Allaah Akuhefadhi sheikh othman maalim.uzidi kutufunguwa nyoyoo zetuu.na kutoka ujingani.
Inshaallah
Nami ni miongon mwa wa2 wanaomfatilia sana basi Allah akujalie ufikie malengo
Inshallah Allah atakuwesha na me inshallah Allah aniwezeshe nimlete mtaani kwetu.
Allah akufanyie wepes na imani yako
Allah atakupa unachokihitaji
mashaa Allah, shekh wetu wew ni mfasaha Wa lugha unaeleweka Sana , Allah akupe mwsho mwema.
dah Allah nijalie unikutanishe nae uyu othman maalim peponi insha Allah🤲🏻
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😘
vp fatma taraweh unaiweza
Amin Allahumma Amin
Inshaallah, allahumma aamin
Namshukuru Mungu, Nawashukuru Wazazi wangu kwa Uislamu wangu, Mungu awaangazie Pepo huko mbele za haki, InshaAllah.
Masha Allah....Allah akulipe kila la kheri sheikh Othman Maalim
ASALAM ALAYKUM NAMUOMBEYA SHEKH OTHUMAN MAALIM KILA LA KHERI
ALLAH AMPE
Maalim Outhman Allah akupe janat firdaus
Aamin
Amin
Mashaallah mungu akuzidishie bikhair Qi raat .
Shukran maalim Allah akulipe kheir zaid...🙏
MashaAllah Allah akupe umri mrefu amiin sheikh wetu
Allah azidi kukupa afya njema sheikh wetu uzidi kutupa daawa
Asiah Mariam 🙏🙏Allah amjaalie maisha marefu
MashaAllah Allah akulipe kila lenye kheri Sheikh Othman Maalim, na atujaalie na sisi tuwe wenye kuyafanyia kazi maamrisho yake inshaAllah.
Alhamdulillahi RabilaAlamina shukran ya RabilaAlamina Mola ajalye safari iLio bardani wasalama! Shukran Jazeelan jazak Allah khayri 🌺 🌹 karibu te naaaaaaa🌻🌻😭😭😭😭🙏🤲🙏Mola akupe umli mrefu wenye khayri na barka teli gutokan kwa ya Razaq akuraisishie kwakirajambo akiweka usahali kwa Chochte ukifanyacho kije nichema ln shaa Allah myaka hio urudi tena 🇧🇮 ❣️💞💞💞💞💞💞
Abdul Ally Mohamed mungu akuzidishie kila jema
Masha alla
Mola Amjaalie Nuru Hadi khatam yake,,, Mola Amfikishe Salama yaa Rabb
Alhumma Ameena yaRabbi alAAalameena 🙏
Allah akuhifadhi sheih wetu safari njema fiamanillah
Amiin
Ameen Ya Rabbin
Amiin Yarrab
MashaAllah. Kila la kheri. Allah baarikk 🙌🏽👏🏼💐
Alla amuhifadh shekhe watu akufikishe salm allahuma ameen
Anaenda wapi Allah atakujalia kilalakheir
amiin
Mashallah mashallah tunakupenda shekhe wetu othman unatupa dawaaa
Amin Thumma Amin Allah akujaalie kila lo kuwa na kher na akujaalie mwisho mwema na umri mrefu
Maa Shaa Allah
Allah azidi kukusimamia katika harakati za Kiislam Sheikh Othman Maalim
MashaAlah sheikh jazak Allah
Amina Jafari bb c
Amina Jafari hu
G
Amina Jafari
Nakutakia kila la kheri katika safari yako sheikh wetu mpendwa Allah akufikishe salama insha'Allah.
Nakukubali
Maasha Allah sheikh Othman na ma sheikh wetu wote Mwenyezi Mgu awatangulie kwa kila hatua munayopiga,awape umri,uzima na afya njema muendelee na kutupa madarsa ya kutangaza mambo ya kheir kila kitongoji In shaa Allah 🤲🏽🤲🏽🤲🏽
Amiin yarabi
Ameen yaa Rabbil Alamiin 🤲🏼
Ameen Ya Rabbin
ما أحلى الكلام Ni maneno matamu na mazuri yalioje Sheikh Allah akuhifadhi ,akujaalie daawa yako iwe ya ikhlaas na akuzidishie ilimu tupate kufaidika na Allah awahifadhi Waalimu na Mashekhe wote wa kiislamu na waislamu wote kwani العلماء ورثة الانبياء...
@@user-ss8mc3jv7e Amiin ya Rabbil Allamin shukraan jazzakah Allahu kheir kaka nimekuelewa
Maashaallah allah ampe maisha marefu ili tuzidi kunufaka na darasa za oth. Maalim
Allah akufanyie wepesi inshaallah shekh othmani
ما أحلى الكلام Ni maneno matamu na mazuri yalioje Allah Akuhifadhi Sheikh na akujaalie daawa yako iwe ya ikhlaas tuzidi kufaidika na darsa zako tukiwa popote pale na Allah awahifadhi waalimu wetu na masheikh wote wa kiislamu kwani- العلماء ورثة الانبياء
mashaAllah nampenda huyu sheikh Othman kwa ajili ya Allah s.w.t sijui ntamuona vp
JAZAQALLAHU KHEIR shekh wetu
Maashallah shekh nimejifunza kitu kuwa na msimamo ktk iman unakher kubwa aliedanganywa kakosa ngamia na mtume wetu kashindwa kumuamin
Allah akulipe mema sheikh wetu na akujaalie mwisho mwema amiin
Na kwetu pia
Allahumma amiin
Mashaallah allahuma barik llana kheir
Allah tujaarie huruma 😪🙏
mashallah jazak allah kher
Mwenyezi Mungu akulipe mema Shekh wetu na akuongoze kwenye safari ulionayo.
Masha allah
Masha Allah Allah Amzidishie kheri Shekhe Othmani
Allah akuhifadhi shekhe wetuu
Kumbe.ukoburundu.manshaalah
Mashaallah
MashaAllah mwenyezi mungu akulipe kila la kheyri nakuzidishie umri uzidi kutuelimisha inshaAllah
Usiseme inshaaAllah sema ameen
Masha Allah mwenye ezi mngu akujaliye kila lakheri na afya njema utupe faida zaidi na tuweze kufuwata
Ma sha Allah Rahman ya shekh Allah akupe umri mrefu wallah
Allah.akibar.allah.agupe.umur.mulefu
Shukran kila lakher ktk safari yako inshallah
nakushukuru kwa ukarimu wako,ALLAH akupe nema kweli? kweli?
Allah Akbar sheikh Mimi pia huota ivyo... naeza ota nimeongea na mtu labda na iyo siku nikiamka lazima nitaongea nae...
Masha Allah, Mungu akupe malipo mema sheikh wetu na akupe mwisho in sha Allah.Binafsi huwa nafarijika Kwa mawaidha yako
MashAllah mabruck
Mwenyezi Mungu akulipe kila lilojema sheikh wetu Othman Maalim.
Jazakallah khairah shekh Othman Maalimu
Jaaazakaallahu ghaira sheikh wetu kwa ukumbusho
Amina Twalib vn
Allah Akbar,nimestafidi Sana maasha Allah
I love you shekh othman maalim
Mashaallah mashaallah 👏👏💞💞💖
Mashkura sheikh jazakAllah kheri
MASHALLAH ALLAH AKUPE MAISHA MAREFU INSHALLAH
Mwenyezimungu anakuona sheigh Othman maalim kwakazikubwa unayoifanya ktk njiayake alotuhusiasisi wajawake tufuate alhamdulillah rabbil_ aalamin Allah akuhifadhi sheigh Othman umekua kioo ktk uislam mashallah
barakallahu ya sheikh
Mawaidha mazur..Islam ni njia ilionyooka
Allha atujalie mwisho mwema ishallha
Allah akufanyie wepes ktk umri wako wote
Jazakallahu kheir.
Swadakta ....mola awe nawe ..leona kesho kwa Elimubuliyojaliwa....napenda kusikiliza ..mawaidha...yako...maashaall?
Jazakallahulkheir
Jazakallah kher
Mashaallah allah akupe umri mrefu uzidi kutuongoza
Shukraan shedhe Mungu akulipe kilaladheri amiin
Shekh uthumani nakupenda kwa ajili ya Allah
MashaAllah mwenyzimungu..amjaalie kheri sheh othman maalim..tangu udogoni mwangu namsikiliza sheh maalim..😢 Allah akulipe ujira mwema..nasisi tunaoangalia nakufatalia darsa zake.. Allah barikk
Subhanah Allah. Allah Akbarr!
Jazakh Allah heir Shaikh
Baraka Allahu fikum
💓💓💓💓💓Mashaalh
Amiin amiin thumma amiin
ماشاءاللہ......... جزاك اللهُ یا شیخ
Shukran wajazaka llahu heri
Mashallah darasa ntuzur Allah akulipe kheri
MashaAllah
Kumbe pia Burundi Wanaongea kiswahili kizuri kabisa
MashaAllah sheikh mawaidha yko ni dawa kubwa kwa wengi Allah akupe kheri na urudi salama nyumbani MashaAllah toka niwe mdogo nilipenda ata niolewa Na ww kwa hakika busara Na imani yako ya dini.
Naomba tuelewa kitu kimoja nilichopenda kwa usitadhi ni hakima vijana Siku Hz atuna imani ya dini busara nidhamu naomba vijana tubadilike tuwe watu kma sheikh anatufuza mengi tuwe vijana Wa imani ya dini InshaAllah sheikh wee ni mfano wakuingwe MashaAllah
Maashallah hukuchelewa pita ktk madrasa yake vjn wake Wana Hekma Kama Sheikh
Mashaallah nikweli kabisa sheikh wetu hyu amejaaliwa hekma na busara na pia amelelewa katika mikono salama ndomana yuko Ivo tumuombee Kwa Allah amjaalie afya na umri mrefu azidi kutuelimisha hakika hyu sheikh nampenda Sana kwaajili ya Allah
Ni natafuta Mke mwema we Uko wapi kwani
0687777137
Mashaallah shekhe napenda mawaidha yako hayanishi ham wallah
Allah iyaafik sheykh
Allah akujaze kheri akuifadhi akupe maisha malefu sheikh Othoman❤🙏🙏🙏💖💞💗💕🥰
Mashallah tbarakaalrhman
لا تسلك
Walaikum salam warahmatullah wabarakatuhu 🌹
Sheikh tunafurahi kwa kuitambua na kuifata Sunnah ya kueka ndevu ya Mtume s.a.w
Mashallah Allah awabariki
MashaAllah TabarakaAllah Sheikh.
Mwenyez mungu akujalie jaanna shekhe othuman maalim
Amin
🤲MASHAALLAH THABARAKALLAH!
Alhamdulillah Allah akupe afya njema na kheri
Sauda wa Muscat .Shekhe mawaidha yako mtu uchoki kusikiliza waly
kweli kabisa ukhty sauda hata sisi huku italy yaani hatuyachoki wallah
@@Pedeshee01 manshaallah
Kweli Kabisa hayakuchokeshi Mola atupe usikivu na kuyatekeleza
Hakika wallahi..Mashallah
Amina
Shukran sheikh wetu barrak allahu feek allah akupe upright twawila uzidi kutunufaisha biidhnillah
Jazzaqa llahu kheir Sheikh othman
Halima Ramadan p.
Mashallah
swadakta ya sheikh
MashaAllah shukran Jazila
Abdul Ally Mohamed from salawe
Allahumma amiiin yarab napenda Sana mawaidha ya shekhe othuman yanasisimua inshallah
MaashaaAllah