Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Nimebarikiwa sana Naomba kuna sehemu saitu ilipotea rundia tena naomba kurudia tena. Watching from kenya.
Jamaaaniii,,,nimebarikiwa saana na somo hili,, MUNGU atusaidie🙏
Mungu wa baraka zoote awazidishie. Naomba mchungaji fanya translation hasa wa vitabu, kwa mfano, tumaini la vizazi vyote nanjia salama kwa kingereza , utakua umesaidia wengi kuvifahamu kwa urahisi.
Somo zuri sana Pastor Mbaga!!!Mafundi mitambo wametuangusha
Mungu wangu nifundishe unyenyekevu unaostahili mbele yako.
Ubarikiwe Sana pastor
mafundi wa mitambi tafadhali ninawaomba muwe makini chakula kama hiki sisahihi tukikose kabisa nawaomba kwa unyenyekevu muwe makini🙏
Amina Pr. Ubarikiwe
Amina, ubarikiwe na Bwana.
Barikiwa
Waaauh Amen thanks for the word pastor
Amina
Amina mchungaji nabalikiwa Sana jinsi mungu anavyokutumia balikiwa saana
Ubarikiwe pastor nafurahi utalamu wako kwa kanisa
MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU NDIO OMBI LANGU KILA SIKU JUU YAKO. KINGINE MAFUNDI MITAMBO WAKO WANA TUTESA SAUTI MBAYA TUNSKOSA UHONDO WA NENO
Op
Tujitaid kuwaombe pia mafund mitando ubarkiwe unapofanya hvyo kwa uaminifu kwa lengo la Mungu kutukuzwa tu
AMEN AMEN nime barikiwa kwakweli
Mungu akubariki sana pastor Mbaga
Mafundi mitambo Leo SIJABRIKIWA KABISA LEO MAFUNDI MITAMBO WAMENITESA ROHO
Yah hata mm hapa na ngangana kupata mafundisho
Amen, Mchungaji, nahitaji vitabu vyako Pastor na jumapili ya wiki hii nakuja dodoma , je navipataje?
Aminaa mtu wa Mungu barkiwa sana
Amen
Somo nzuri lakini sauti kuelekea meisho ni mbaya
HILO LA KIUCHUMI HILO HILO HILO UMENIGUSA NDIO KILIO CHANGU KWA MUNGU NIMTUMIKIE ILI NISIPO TOA HELA YAKE ANISUTE
Mafundi wa mitambo tafathalini naomba mue makini. Sauti ilipotea katikati ya mahubiri
Ameni
Hongera sana..Nazidi kunufaika na mafundisho nikiwa Saudi Arabia
Amen 🙏 Pastor
Amina , mchungaji umeniongezea kitu rohoni mwangu
Mungu akubariki mbag
Amen amen amen.fundi wa mitambo wamekuangusha kiasi.
😂😂😂
AMEN mchungaji wa MUNGU
Hallelujah! Hallelujah! Hallelujah!
Pastor mbanga unanitia moyo,sana katka Maputo yang mungu akubariki sana. Naamin IPO siku ya kuinuliwa
Mchungaji barikiwa amina
Eimen.nimbee.na.mimi.
ameni
🙏🙏🙏
pasta nlikuwa nahitaji kitabu cha kujibiwa maombi
MUNGU WETU NI NIMWEMA
Ameen
Amina mtumishi
pr mbaga hakika mnguanakutumia kuwafariji wariowarikata tamaa hubilihi lilinarifungua tusaivi nilikua naria nanimechoka ndani yanafsiyangu
Mungu akufariiji
@@MahubiriPrMmbaga amina mpakasasa ninayofaraja kubwa
Ntumie namba zako tukutane inbox
🙏AMEN
Mm cna la kusema
Naomba namba yako Niko na prayer request kwa hajili ya mpendwa nina imani kuna suluhu, nikujulishe tafathali
Tunapata shida kukusikia jamani mitambo tatizo
Ewaaaah!!!
Natiwa moyo na neno hili
Mchungaji naweza pata contacts zako?
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
Amina mchungaji ubarikiwe sana
Nahitaji kubarikiwa nipate kipaji angalau hata robo yako nimejitoa moyo tyr ila nabanwa namzingira nakazi iniliyonayo naomba niombeni niweze kuwa mchungaji Njia hii niliyonayo natafakali hainifikishi nitaiacha nakuenda kusoma niweze kuchukua nafasi
Mungu akupe hekima ya kujua amekuita kuwa nani na fikie malengo yake
Arsante mpendwa!
Amina sana pr
Mungu apewe ,...
@@racethepaluku644 sifa
Nimebarikiwa sana Naomba kuna sehemu saitu ilipotea rundia tena naomba kurudia tena. Watching from kenya.
Jamaaaniii,,,nimebarikiwa saana na somo hili,, MUNGU atusaidie🙏
Mungu wa baraka zoote awazidishie. Naomba mchungaji fanya translation hasa wa vitabu, kwa mfano, tumaini la vizazi vyote nanjia salama kwa kingereza , utakua umesaidia wengi kuvifahamu kwa urahisi.
Somo zuri sana Pastor Mbaga!!!
Mafundi mitambo wametuangusha
Mungu wangu nifundishe unyenyekevu unaostahili mbele yako.
Ubarikiwe Sana pastor
mafundi wa mitambi tafadhali ninawaomba muwe makini chakula kama hiki sisahihi tukikose kabisa nawaomba kwa unyenyekevu muwe makini🙏
Amina Pr. Ubarikiwe
Amina, ubarikiwe na Bwana.
Barikiwa
Waaauh Amen thanks for the word pastor
Amina
Amina mchungaji nabalikiwa Sana jinsi mungu anavyokutumia balikiwa saana
Ubarikiwe pastor nafurahi utalamu wako kwa kanisa
MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU NDIO OMBI LANGU KILA SIKU JUU YAKO. KINGINE MAFUNDI MITAMBO WAKO WANA TUTESA SAUTI MBAYA TUNSKOSA UHONDO WA NENO
Op
Tujitaid kuwaombe pia mafund mitando ubarkiwe unapofanya hvyo kwa uaminifu kwa lengo la Mungu kutukuzwa tu
AMEN AMEN nime barikiwa kwakweli
Mungu akubariki sana pastor Mbaga
Mafundi mitambo Leo SIJABRIKIWA KABISA LEO MAFUNDI MITAMBO WAMENITESA ROHO
Yah hata mm hapa na ngangana kupata mafundisho
Amen, Mchungaji, nahitaji vitabu vyako Pastor na jumapili ya wiki hii nakuja dodoma , je navipataje?
Aminaa mtu wa Mungu barkiwa sana
Amen
Somo nzuri lakini sauti kuelekea meisho ni mbaya
HILO LA KIUCHUMI HILO HILO HILO UMENIGUSA NDIO KILIO CHANGU KWA MUNGU NIMTUMIKIE ILI NISIPO TOA HELA YAKE ANISUTE
Mafundi wa mitambo tafathalini naomba mue makini. Sauti ilipotea katikati ya mahubiri
Ameni
Hongera sana..
Nazidi kunufaika na mafundisho nikiwa Saudi Arabia
Amen 🙏 Pastor
Amina , mchungaji umeniongezea kitu rohoni mwangu
Mungu akubariki mbag
Amen amen amen.fundi wa mitambo wamekuangusha kiasi.
😂😂😂
AMEN mchungaji wa MUNGU
Hallelujah! Hallelujah! Hallelujah!
Pastor mbanga unanitia moyo,sana katka Maputo yang mungu akubariki sana. Naamin IPO siku ya kuinuliwa
Mchungaji barikiwa amina
Eimen.nimbee.na.mimi.
ameni
🙏🙏🙏
pasta nlikuwa nahitaji kitabu cha kujibiwa maombi
MUNGU WETU NI NIMWEMA
Ameen
Amina mtumishi
Amina mtumishi
pr mbaga hakika mnguanakutumia kuwafariji wariowarikata tamaa hubilihi lilinarifungua tusaivi nilikua naria nanimechoka ndani yanafsiyangu
Mungu akufariiji
@@MahubiriPrMmbaga amina mpakasasa ninayofaraja kubwa
Ntumie namba zako tukutane inbox
🙏AMEN
Mm cna la kusema
Naomba namba yako Niko na prayer request kwa hajili ya mpendwa nina imani kuna suluhu, nikujulishe tafathali
Tunapata shida kukusikia jamani mitambo tatizo
Ewaaaah!!!
Natiwa moyo na neno hili
Mchungaji naweza pata contacts zako?
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
Amina mchungaji ubarikiwe sana
Nahitaji kubarikiwa nipate kipaji angalau hata robo yako nimejitoa moyo tyr ila nabanwa namzingira nakazi iniliyonayo naomba niombeni niweze kuwa mchungaji Njia hii niliyonayo natafakali hainifikishi nitaiacha nakuenda kusoma niweze kuchukua nafasi
Mungu akupe hekima ya kujua amekuita kuwa nani na fikie malengo yake
Arsante mpendwa!
Amina
Amen
Amina
Amina
Amina sana pr
Amen
Amina
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amina
Amina
Amina
Mungu apewe ,...
@@racethepaluku644 sifa