Askofu pamoja na kuwa mtumishi wa Mungu. Wewe ni mzalendo mwenye uchungu wa nchi ya kondoo ulizopewa na Yesu kuchunga. Ubarikiwe sana tuko pamoja Yoshua wa TZ
Askofu mwamakula,, Mungu na awatangulie kuliokoa Taifa hili ambalo ni kimbilio la wakimbizi toka nchi mbali mbali , bado ninaimani kuwa Mungu wetu hatatuacha sisi na vizazi vyetu tuwe watumwa ktk ardhi yetu,, ooh Yeova yawe,, tuokoe mikononi mwa hawa wajanja wachache wanaotaka kutupeleka sisi na watoto wetu utumwani tena, kwani nimeomba ktk jina kuu la mwana wa Mungu alie hai, Yesu Kristo, Amen,,
Nimekuelewa sana Baba Askofu Mungu akupe maisha marefu zaidi.. pia kwakua shabiki mwenzangu wa mnyama mkali simba na man.. Hahaha eti mama kawazodoa utopolo..
Mbowe yuko. Sahihi. Kama kweli samia ana nia nzuri na tanganyika kwanini bandari zao hajaziweka kwenye mkataba Huo. why bandari za tanganyika peke . Manayake Samia anatapanya ya mali za tanganyika kwa masilahi yake na wanzimbar wake. Hatutakubali watanganyika tuamuke.. Hatutakubali . Bandari zetu kuchuliwa na warabu.
Kama watanzania Tanzania tumeshindwa kuendesha bandari ni sawa na kusema kuwa hatuna uwezo wa kuongoza nchi.Pia viongozi wetu wa kisiasa na taasisi za serikali ni dhaifu
Mkataba ambao una mwanzo lakini hauna mwisho, na unakabidhi yote yaliyomo ndani yake kwa ufalme wa DPW, ni hatari sana,utahitaji mjadala mrefu wa kina kati ya watu wa nchi hizi bila kificho! Asante sana Baba Askofu Mwamakula kwa kuisimamia kweli na haki za watu wa Mungu unayemtumikia. Mungu akubariki,akulinde uingiapo na utokapo.
Mungu akubariki asikofu Mwamakula Kwa kutetea uhai na Uhuru WA taifa la Tanzania. Hapa serikali iliyopo madarakani inaliuza Taifa la Tanzania biala hata aibu na kumega Taifa kuwa liwe Tanganyika iwe utumwani milele na Zanzibar iwe huru na wanaohusika hapa ( Raisi na waziri ) wanatoka Zanzibar, aibu kubwa!!!
Askofu hongera sana kwa jinsi unavyojipambanua katika majukumu yako ya kiaskofu. Kwa kweli kuna la kujifunza kwako hasa vijana wenye malengo ya kuwa viongozi wa nchi hii.
Hayo anayo yasema Baba askofu ni kweli waafrica walikuwa wanauza ndugu zao Kwa Pasig vikombe na shanga nk ndilo tujue mtu.mweusi akili huwa hatuna fikra nzuri mwisho utakuta tumepigwa kila mara na wapo mbele kueleza kuwa ni Sawa hiyo ndio akili.
Kwa uzito wa jambo hili na jinsi lilivyopokelewa na wananchi kwa hisia hasi na kwa kuwa unalazimisha hata serikali zijazo kuridhi mkataba huu, basi kuna haja na umhimu mkubwa serikali kupanuwa mjadala kiasi cha kutosha na muda wa kutosha ili kuondoa sintofahamu ambao tayari umeukumba taifa kwa sasa.
Mtumishi ubarikiwe na Mungu kwa maelekezo yako mazuri kiukweli tumesikia hata tumesikia wabunge wakisema hatuwezi kupinga mipanga ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wenyekiti wa Ccm. Chochote anacholeta Rais wao ni kupitisha tu.Shida kubwa mno.
Mama yetu samia kua makini na jambo ili linakwenda kuligawa taifa tena kwa kiasi kikubwa ilijambo liachwe kabisa bora wateja waondoke wasishushie mizigo kwetu lakini muda ukifika tutaboresha watarudi.
Ahsante Askofu wahasio sikia hili hawajui tuendaka jambo hili linaitaji busara sana na maono ya juu sana naomba waTanzania kutafakali na kujua mambo na kuona mifano iliyopo na iliyopita
Maaskofu wengine mko wapi mmeficha vichwa mchangani wakati nchi inauzwa mtakuja kumwambia Nini Mungu chakula Cha watoto watanganyika kinauzwa namgeni kwa wageni
Askofu wewe ni Mzalendo wa kweli na Muungwana sana lakini pia una mapenzi ya kweli kwa watanzania. Mjadala wako ni nuru kwa watanzania. Mwandishi wewe umeiva kwa sababu maswali yako yamegusa maeneo yote ambayo yatawaongoza Watanzania katika kupanua mijadala yao!!!
Hao Marais waliopita kutoka bara waliokuwa wakifanya maamuzi makubwa kuhusu Zanzibar mlikuwa wapi mpaka Nyerere alifikia kumfukuza KAZI rais aliyechaguliwa kihalali na wazanzibari.
Huo mkataba haujakaa vizuri utatuumiza watanzania kizazi na kizazi,vitu vingine tungeendelea kuvisimamia sisi wenyewe watanzania,please please watanzania hilo jambo linaonekana ni jepesi kwa watu wanaokubali huo mkataba lakini baada ya kuanza kufanya kazi hao ndipo tutakapo anza kuona tofauti,kabla ya maamuzi tufikili maratatu tatu.
Askofu nakuelewa kuhusu raisi na wazir kutoka Zanzibar sio tatizo lkn nikionacho mm ni huu mpango sio wa Leo ni wa miaka kadhaa iliopita ilikuwa inatafuta upenyo wa kuingilia, Hawa watu huwa hawakurupuki hata huyu mama mnamuonea tu yeye kalikuta Ila wametumia udhaifu uliopo kujipengeza , weka akilin hlo utaniambia miaka 10 ijayo inshallah
Hayo ni maneno ya Kiongozi wa Dini tunayotaka kuyasikia sisi Watanzania hasa katika wakati huu mgumu. Tungependa pia kusikia kauli kama hizi kutoka TEC, CCT na BAKWATA. Haina maana kuwa na Viongozi wa Dini waoga ambao hata yanapotokea mambo mazito kama haya, wao wanajificha uvunguni.
Nimemsikia Dr slaa akisema!! Haojamaa wa dp world ndio walio chukua loliondo na waliahidi mambo mengi na manufaa Kwa Wana nchi!! Lakini Hadi Leo hakuna Cha maama!! Watu wanateseka tu!! Mnajua Hilo!!
Baba Askofu Mwamakula, wewe ni kichwa haswa. Nimekusikiliza maelezo yako na majibu yako. Una akili saana. Huogopi upumbavu wa baadhi ya machawa wa serikali hii ya ma CCM. Songa mbele tuko nyuma yako. Sio maandamano tutakayofanya hata ikibidi kupigana mubashara.
Hiyo nchi inamaliziwa kuuzwa tu maana ishauzwa zaman..hata tuseme vip madamu wachumia tumbo washakodolea macho manoti hawawez kubadli msimamo wao..tushauza tunasubir manoti tule bataaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Bunge siyo tu halina uhalali wakuongelea au kugawa mali za nchi kwa Waarabu,ila tu ni Bunge la Wasio na akili timamu,wala rushwa,halafu wajue wanavunja usalama wa nchi.
Askofu nimekuelewa sana.umeongea point muhimu sana.kwanini bunge limepewa siku moja tu? Wkt wao walianza mwaka Jana mwezi wa pili wakaja mwaka Jana mwezi wa kumi.Lkn wabunge wanaambiwa walijadili kwa siku moja tu.Lkn kwanini tunaambiwa mkataba hautavunjika hata tukitofautiana? Yote hiyo inatosha kutupa wasi wasi mwingi.
Jaman tuwe Makin tunakuja kuwapa Kaz kubwa watoto wetu kizaz kijacho, tunaandaa kuja kutawaliwa , ninyi mtaona sawa kwa Sasa lkn watu Hawa zipo agenda za Siri kutawala nchi maskin ,
Nionavyo Mimi kukodisha siyo vibaya kwani ni biashara ya kutuingizia mapato,mapato ambayo yamekuwa yakipotea kutokana na wizi.ubadhirifu na ufisadi pale bandarini wizi ukiendeshwa na watanzania wenzetu tuliowaamini kukusanya mapato kwa manufaa ya wengi, jamani kuna SGR na miradi mingine itakamilika vipi?
Kwanini mambo yaanze kufanyika kabla ya kusaini mkataba, kwa maana iyo kinacho fanyika nikitaka kusafisha njia ya mkataba wakati tayari wamesha saini wanatafuta namna ya kuwaingiza hao watu
Unadhani hapajulikani? Ondoa shaka, panajulikana sana. Ila ujue tu, huwezi jificha mwenyewe, ILA MWENYEZI MUNGU AWEZA KUMFICHA MTU WAKE dhidi ya madhara ya MAADUI.
HONGERA SANA MTUMISHI WA MUNGU ALIYE HAI. HUOGOPI KUSEMA UKWELI. KAMA NA WENGINE WANGESIMAMA KUTETEA KUDAI KATIBA MPYA NA TUME HURU HAYA YASINGALITOKEA. MUNGU UKO WAPI???TUHURUMIE KONDOO WAKO.
Askofu pamoja na kuwa mtumishi wa Mungu. Wewe ni mzalendo mwenye uchungu wa nchi ya kondoo ulizopewa na Yesu kuchunga. Ubarikiwe sana tuko pamoja Yoshua wa TZ
Kunapokuwa na Goliath Mungu huwa amekwisha kumuandaa Daudi. Big Up Askofu........
Askofu mwamakula,, Mungu na awatangulie kuliokoa Taifa hili ambalo ni kimbilio la wakimbizi toka nchi mbali mbali , bado ninaimani kuwa Mungu wetu hatatuacha sisi na vizazi vyetu tuwe watumwa ktk ardhi yetu,, ooh Yeova yawe,, tuokoe mikononi mwa hawa wajanja wachache wanaotaka kutupeleka sisi na watoto wetu utumwani tena, kwani nimeomba ktk jina kuu la mwana wa Mungu alie hai, Yesu Kristo, Amen,,
Amen ❤
Sijaona nchi duniani inakodisha kitega uchumi viongozi nawao wamechoka kuongoza,kwahito wanaleta siasa za ubabaishaji kwa mwenye Enzi Mungu sio mbali.
Misri Angola south Africa Southampton
Nimekuelewa sana Baba Askofu Mungu akupe maisha marefu zaidi.. pia kwakua shabiki mwenzangu wa mnyama mkali simba na man..
Hahaha eti mama kawazodoa utopolo..
Nimeipenda taarifa yako uko vizuri
Mbowe yuko. Sahihi. Kama kweli samia ana nia nzuri na tanganyika kwanini bandari zao hajaziweka kwenye mkataba Huo. why bandari za tanganyika peke . Manayake Samia anatapanya ya mali za tanganyika kwa masilahi yake na wanzimbar wake. Hatutakubali watanganyika tuamuke.. Hatutakubali . Bandari zetu kuchuliwa na warabu.
Iv nikwer kabisa watanzania zaid ya milioni30 wasomi wameshindwa kwendesha Bandali Kwer jpm umelala Baba
Ehe Watanzania milioni 60 na kujitawala miaka 62 bado hatuna watu wa kuendesha vitu vyetu, nakumbuka Net Group Solution na City water
Kama watanzania Tanzania tumeshindwa kuendesha bandari ni sawa na kusema kuwa hatuna uwezo wa kuongoza nchi.Pia viongozi wetu wa kisiasa na taasisi za serikali ni dhaifu
Tuzidi kuomba
Hongera sana kwa maelezo ya ufafanuzi wa mambo magumu kwa lugha rahisi kueleweka.
Mkataba ambao una mwanzo lakini hauna mwisho, na unakabidhi yote yaliyomo ndani yake kwa ufalme wa DPW, ni hatari sana,utahitaji mjadala mrefu wa kina kati ya watu wa nchi hizi bila kificho! Asante sana Baba Askofu Mwamakula kwa kuisimamia kweli na haki za watu wa Mungu unayemtumikia. Mungu akubariki,akulinde uingiapo na utokapo.
NI KAMA KITUMBUWA KIMEINGIA MCHANGA BUSARA KUBWA ZINAHITAJIKA!
SIO KWELI HAWA WAZEE WANAPOTOSHA HEBU TUTUMIE AKILI ZETU TUSOME
Askofu msomi asante sana! unachambua mambo vizuri sana!
Well said our Bishop
Ndugai aliona nchi ikiuzwa lakini mama akalijua Hilo limeonekana. Ikabidi ang, atuke. MAANDAMANO NI MUHIMU Kama limishindikana. NDIO NDIO NDIO
Askofu umesoma sana, sana, UBARIKIWE MTUMISHI WA MUNGU
My school colleague, you really said it. That's reality.
Barikiwa sana Askofu mwenye kufikiri kwa kina atakuelewa.
Asikofu yuko sahihi. Hongera sana unawafumbua akili watu wasio fahamu miktaba. Na mikataba mingi ya unyonyaji.
Wisdom mungu amewapa viongozi wa dini,be blessed always
Mungu akubariki asikofu Mwamakula Kwa kutetea uhai na Uhuru WA taifa la Tanzania. Hapa serikali iliyopo madarakani inaliuza Taifa la Tanzania biala hata aibu na kumega Taifa kuwa liwe Tanganyika iwe utumwani milele na Zanzibar iwe huru na wanaohusika hapa ( Raisi na waziri ) wanatoka Zanzibar, aibu kubwa!!!
Loliondo ni United Republic of arab
Excellent explanations.
Askofu hongera sana kwa jinsi unavyojipambanua katika majukumu yako ya kiaskofu. Kwa kweli kuna la kujifunza kwako hasa vijana wenye malengo ya kuwa viongozi wa nchi hii.
Mwamakula mungu akubaliki sana
Sina lakusema kwa interview hii.
Mmetisha. Mungu awabarikini nyote. Salute .
Viva Askofu mwamakula
Uko vizuri
Hakika baba askofu uko vzr watanzani tunakuombea upate kutuongoza kiroho na kitaifa endelea kutupa elimu kwan leo naelewa kitu hapo
International pure pastor!!!!!!!
kweli mjadala mkubwa unahitajika mambo yasifanyike haraka haraka hivyo
Big up mtangazaji.Uko vizur sana
Amina Baba
Nashukuru sana
🎉🎉Kwa mwamakula❤
Upo vzr pastor
Mwandishi umejitahidi sana kuhoji.
Nashangaa sana watanzania wanaotetea kuuzwa bandari za nchi yetu serkali ina nia mbaya katika hili jaman watu wesoma lakini wanafanya mambo ya ajabu
Hayo anayo yasema Baba askofu ni kweli waafrica walikuwa wanauza ndugu zao Kwa Pasig vikombe na shanga nk ndilo tujue mtu.mweusi akili huwa hatuna fikra nzuri mwisho utakuta tumepigwa kila mara na wapo mbele kueleza kuwa ni Sawa hiyo ndio akili.
Kwa uzito wa jambo hili na jinsi lilivyopokelewa na wananchi kwa hisia hasi na kwa kuwa unalazimisha hata serikali zijazo kuridhi mkataba huu, basi kuna haja na umhimu mkubwa serikali kupanuwa mjadala kiasi cha kutosha na muda wa kutosha ili kuondoa sintofahamu ambao tayari umeukumba taifa kwa sasa.
🎉Kwa mwanahabari huyo
Mtumishi ubarikiwe na Mungu kwa maelekezo yako mazuri kiukweli tumesikia hata tumesikia wabunge wakisema hatuwezi kupinga mipanga ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wenyekiti wa Ccm. Chochote anacholeta Rais wao ni kupitisha tu.Shida kubwa mno.
Daaa mungu aingile jambo hili Yan wabunge mnapewa hongo kupitisha jAmbo zito la kitaifa
Mtangazaji yupo smart sana kuunganisha content ya kuuliza maswali! Kwangu mm ni mtangazaji bora!!
Mama yetu samia kua makini na jambo ili linakwenda kuligawa taifa tena kwa kiasi kikubwa ilijambo liachwe kabisa bora wateja waondoke wasishushie mizigo kwetu lakini muda ukifika tutaboresha watarudi.
Askofu upo vizuri,wew ni mzalendo wa kweli tupo nyuma yenu mtuokoe tusirudi utumwani
Askofu Mwamaluka ni Mwungwana kweli; hakika Askofu huyu ni Mtu wa Mungu, Nabii wetu leo. Tumpokee hasa. Tumpokee ..
Ahsante Askofu wahasio sikia hili hawajui tuendaka jambo hili linaitaji busara sana na maono ya juu sana naomba waTanzania kutafakali na kujua mambo na kuona mifano iliyopo na iliyopita
PONGEZI SANA KWAKO,ASKOFU EMMAUS MWAMAKULA....KWA UFAFANUZI....MZURI SANA.
-TUMEKUELEWA...
🎉🎉 safiiii
Baba Askofu Mwamakula 'mtu' saana aisee...
Maaskofu wengine mko wapi mmeficha vichwa mchangani wakati nchi inauzwa mtakuja kumwambia Nini Mungu chakula Cha watoto watanganyika kinauzwa namgeni kwa wageni
wanaogopa kukosa sadaka maana kondoo wengi ni manyumbu wa ccm
Askofu wewe ni Mzalendo wa kweli na Muungwana sana lakini pia una mapenzi ya kweli kwa watanzania. Mjadala wako ni nuru kwa watanzania. Mwandishi wewe umeiva kwa sababu maswali yako yamegusa maeneo yote ambayo yatawaongoza Watanzania katika kupanua mijadala yao!!!
Hogera sana baba Askofu uiombee na uishauri serikali kuhushu haya yanayoendelea
Hongera askofu barikiwa sana sana
Nakuelewa Askof
Nilikuwa sijaelewa Sasa nimeelewa mtumishi Mhimu Tuombe Mungu atusaidie taifa letu lisirudi utumwani tuwe na mwafaka mwema
MUNGU Ametupa akili za kujetetea Wenyewe Amka chukua silaha Upiganie haki yako uliyo pewa na MUNGU
Ndomaana wamewang'ang'ania akina halima mdee ili ionekane vyama vyote vilihusika kupitisha mkataba.
Kabisa
Suala hili liwe ni mjadala wa kitaifa.Kwa mtanzania yeyote mwenye akili timamu should never accept this at all.Hata one single moment.
Hili halikubariki ni wabunge ccm waliowengi ndio wanakubali
Askofu Uko vizuri.
KWA MAMBO HAYA NI BORA MUUNGANO UVUNJIKE ILI KILA UPANDE UJADILI MALI ZAKE KULIKO WAZANZIBAR KUFANYA MAAMUZI MAKUBWA JUU YA TANGANYIKA..
Kweli kabisa
Ni kweli tuwatimue Hawa wanatuuza mchana kabisa.. hawatufai...
Hao Marais waliopita kutoka bara waliokuwa wakifanya maamuzi makubwa kuhusu Zanzibar mlikuwa wapi mpaka Nyerere alifikia kumfukuza KAZI rais aliyechaguliwa kihalali na wazanzibari.
@@isakhamisi8923 mlikuwa wapi nyie?? Mpaka Raisi wenu anafutwa kazi??? Acheni kulala..
@@isakhamisi8923 Isa Khamis,asante kwa kuupiga msumari pahala pake
Huyu mama nadhani aliingia ktk siasa kwa.nia hovu na Tanganyika.
Mwafrica sio kabisa Sisi mpaka leo bado hatujabadiluka wazungu wakifanya mkutano wa Belin Germany mpaka leo wakiungali hawajakosea Sisi vulu vulu
NDUGU RAIDHANI UPO VIZURI SANA KEEP UP .... SONGESHA
Tungeomba mungu akupe nguvu ujadili mambo ya kiroho zaidi. Kwa sababu sio fani yako na ndo maana, huwezi kueleza kudumaa kwa bandari zetu
Kumbuka huyo ni raia wa Tz anayo haki ya kutoa ushauri hakuna kosa kisheria
Huo mkataba haujakaa vizuri utatuumiza watanzania kizazi na kizazi,vitu vingine tungeendelea kuvisimamia sisi wenyewe watanzania,please please watanzania hilo jambo linaonekana ni jepesi kwa watu wanaokubali huo mkataba lakini baada ya kuanza kufanya kazi hao ndipo tutakapo anza kuona tofauti,kabla ya maamuzi tufikili maratatu tatu.
Ni kweli linagawa watanzania maana hili halijasumbua Zanzibar mkataba huu unaiuza Tanganyika kabisaaa
KWA SASA HATUNA VIONGOZI WENYE UCHUNGU NA INCHI YETU TUNAWAPA WAARABU ALAFU TUNALIA HAKUNA AJIRA KUKOSA RAIS SAHIHI NDIO SHIDA..
Tanzania tuamke usngizini tunapigwa ccm hawana jema hatakidogo
Askofu nakuelewa kuhusu raisi na wazir kutoka Zanzibar sio tatizo lkn nikionacho mm ni huu mpango sio wa Leo ni wa miaka kadhaa iliopita ilikuwa inatafuta upenyo wa kuingilia, Hawa watu huwa hawakurupuki hata huyu mama mnamuonea tu yeye kalikuta Ila wametumia udhaifu uliopo kujipengeza , weka akilin hlo utaniambia miaka 10 ijayo inshallah
Miaka 1800 kabla ya Kristu Askofu ikae sawa hapo
Apriciate poster mamakula
Nchi.hii.kiongozi.wa.dini.wewe.tu.askofu.mwamkula.wengine.mna.mnaongozwa.na.matumbo.yenu.subilini.mfe.mtamjua.mungu.hataki.utapeli
You are just afool juma magoma tatzo elimu Yako itakua chini sana
Tunataka tuungane tuitoe ccm madarakani
Wewe ndoo kiongozi wa dini ambaye umesema ukweli,na si wengine waliolisagia jambo hiloo maana uccm unawasumbua.
Hasante sana Askofu kwa kutuelimisha kuhusu mikatabs tangu enzi za Biblia mwika karibu 2000 iliyopita.
Sulwiman na Lebanon ni zaidi ya miaka elfu mbili iliyopita yaani kabla hata Yesu kristo hajaja duniani. Mikataba ni vifungo ukikosea umeumia.
Its very sad & shameful too
Hayo ni maneno ya Kiongozi wa Dini tunayotaka kuyasikia sisi Watanzania hasa katika wakati huu mgumu. Tungependa pia kusikia kauli kama hizi kutoka TEC, CCT na BAKWATA.
Haina maana kuwa na Viongozi wa Dini waoga ambao hata yanapotokea mambo mazito kama haya, wao wanajificha uvunguni.
TEC hawataki Charles kitima alishasema ye hakubarian nalo na ndio kiongozi wa dini wa kwanza kuuukataa huo mkataba
Nyie si mlisema hamuezi kuwacha Wazanzibar kujitawala wenyewe kwasababu wataleta waarabu kurudisha utumwa ..nahao mnao wauzia bandar sio waarabu naona mnakula matapishi yenu wenyewe..achen utapeli wa kisiasa semen ukweli kwann hamtaki kuwaachia Wazanzibar wajitawale wenye walaf yie..
Nimemsikia Dr slaa akisema!! Haojamaa wa dp world ndio walio chukua loliondo na waliahidi mambo mengi na manufaa Kwa Wana nchi!! Lakini Hadi Leo hakuna Cha maama!! Watu wanateseka tu!! Mnajua Hilo!!
Hivi aliyeuza loliondo, alikuwa nani ??
Viongozi.wa.dini.wajanja.wanajua.kuhubili.sadaka.aka.matoleo.fungu.kumi.mambo.makubwa.ya.nchi.kimya.mungu.anasubili.
Baba Askofu Mwamakula, wewe ni kichwa haswa. Nimekusikiliza maelezo yako na majibu yako. Una akili saana. Huogopi upumbavu wa baadhi ya machawa wa serikali hii ya ma CCM. Songa mbele tuko nyuma yako. Sio maandamano tutakayofanya hata ikibidi kupigana mubashara.
Askofu watoe usingizini ndiyo bandari inaondoka hivyo nakwanini harakaharaka hivyo? sinchi niyetuwote navizazi vyeti...
Hiyo nchi inamaliziwa kuuzwa tu maana ishauzwa zaman..hata tuseme vip madamu wachumia tumbo washakodolea macho manoti hawawez kubadli msimamo wao..tushauza tunasubir manoti tule bataaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Bunge siyo tu halina uhalali wakuongelea au kugawa mali za nchi kwa Waarabu,ila tu ni Bunge la Wasio na akili timamu,wala rushwa,halafu wajue wanavunja usalama wa nchi.
Ni kweli uwezi kujirusha kwenye kisima usicho weza kutoka.
.......na huku kwetu mikataba ya chifu Mangungo wa Msowero na Wajerumani....na mingeneyo iliyoleta tutawaliwe na wageni....!!!
Ni lini wabunge wa upinzani wamekwamisha MKATABA/HOJA ulioletwa na CCM??
Askofu nimekuelewa sana.umeongea point muhimu sana.kwanini bunge limepewa siku moja tu? Wkt wao walianza mwaka Jana mwezi wa pili wakaja mwaka Jana mwezi wa kumi.Lkn wabunge wanaambiwa walijadili kwa siku moja tu.Lkn kwanini tunaambiwa mkataba hautavunjika hata tukitofautiana? Yote hiyo inatosha kutupa wasi wasi mwingi.
Jaman tuwe Makin tunakuja kuwapa Kaz kubwa watoto wetu kizaz kijacho, tunaandaa kuja kutawaliwa , ninyi mtaona sawa kwa Sasa lkn watu Hawa zipo agenda za Siri kutawala nchi maskin ,
Ila kwenye kumshauri Maalim seif kujiunga na CCM kwenye serikali ya umoja wa kitaifa hapo ulifeli.
Legitimacy
Legitimacy
Legitimacy
Nionavyo Mimi kukodisha siyo vibaya kwani ni biashara ya kutuingizia mapato,mapato ambayo yamekuwa yakipotea kutokana na wizi.ubadhirifu na ufisadi pale bandarini wizi ukiendeshwa na watanzania wenzetu tuliowaamini kukusanya mapato kwa manufaa ya wengi, jamani kuna SGR na miradi mingine itakamilika vipi?
Kwakweli leo nimekuelewa
Huyu Mzee anaakili nyingi sana
Mimi nashangaa sana bunge linakubaliana harakaharaka kuuza Inchi kirahisi hivi. Sisi wanainchi hatuna makubarianona warabu ila tunauzwa tu.
Hivi kupambana na umasikini ni kuingia kwenye mikataba na wazungu au waarabu umasikini huu utaisha lini jamani?
Kwanza ninawasiwasi wabunge wengi wamepewa Chao au wanatafuta ubunge wa kupewa
Yamezoea kupewa ubunge bure majizi haya
Kwanini mambo yaanze kufanyika kabla ya kusaini mkataba, kwa maana iyo kinacho fanyika nikitaka kusafisha njia ya mkataba wakati tayari wamesha saini wanatafuta namna ya kuwaingiza hao watu
hawa waarabu washenz kweli yani wanataka mkataba wa kupewa bandari miaka isio julikana hata miaka elfu 20
Acha uongo wewe Padri
Mngemsikiliza vizuri muelewe
Waandishi wa habari mkoje?
Mnataja mpaka sehemu anapoisho huyu mtumishi mnamtakia nn?
Unadhani hapajulikani? Ondoa shaka, panajulikana sana. Ila ujue tu, huwezi jificha mwenyewe, ILA MWENYEZI MUNGU AWEZA KUMFICHA MTU WAKE dhidi ya madhara ya MAADUI.
Sante mtumish
HONGERA SANA MTUMISHI WA MUNGU ALIYE HAI. HUOGOPI KUSEMA UKWELI. KAMA NA WENGINE WANGESIMAMA KUTETEA KUDAI KATIBA MPYA NA TUME HURU HAYA YASINGALITOKEA. MUNGU UKO WAPI???TUHURUMIE KONDOO WAKO.
Hapa ndio nakubali kama
Magufuli alikua jiwe kweli kweli
Hatishwi wala hatishiki
Aliyasema hayo wakati wa uhai wake