ASKOFU MWAMAKULA AINGILIA KATI SAKATA LA UKODISHWAJI BANDARI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 06. 2023
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►CZcams: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Komentáře • 263

  • @bonifacemorro6153
    @bonifacemorro6153 Před rokem +1

    Askofu pamoja na kuwa mtumishi wa Mungu. Wewe ni mzalendo mwenye uchungu wa nchi ya kondoo ulizopewa na Yesu kuchunga. Ubarikiwe sana tuko pamoja Yoshua wa TZ

  • @goodluckkombe994
    @goodluckkombe994 Před rokem +6

    Kunapokuwa na Goliath Mungu huwa amekwisha kumuandaa Daudi. Big Up Askofu........

  • @ChristinaBoaz-ny9pl
    @ChristinaBoaz-ny9pl Před rokem +1

    Askofu mwamakula,, Mungu na awatangulie kuliokoa Taifa hili ambalo ni kimbilio la wakimbizi toka nchi mbali mbali , bado ninaimani kuwa Mungu wetu hatatuacha sisi na vizazi vyetu tuwe watumwa ktk ardhi yetu,, ooh Yeova yawe,, tuokoe mikononi mwa hawa wajanja wachache wanaotaka kutupeleka sisi na watoto wetu utumwani tena, kwani nimeomba ktk jina kuu la mwana wa Mungu alie hai, Yesu Kristo, Amen,,

  • @mohamedrajab6652
    @mohamedrajab6652 Před rokem +6

    Sijaona nchi duniani inakodisha kitega uchumi viongozi nawao wamechoka kuongoza,kwahito wanaleta siasa za ubabaishaji kwa mwenye Enzi Mungu sio mbali.

  • @sethkivuyo3342
    @sethkivuyo3342 Před rokem +1

    Nimekuelewa sana Baba Askofu Mungu akupe maisha marefu zaidi.. pia kwakua shabiki mwenzangu wa mnyama mkali simba na man..
    Hahaha eti mama kawazodoa utopolo..

  • @user-cd9re4wt2b
    @user-cd9re4wt2b Před rokem +1

    Nimeipenda taarifa yako uko vizuri

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před rokem +6

    Mbowe yuko. Sahihi. Kama kweli samia ana nia nzuri na tanganyika kwanini bandari zao hajaziweka kwenye mkataba Huo. why bandari za tanganyika peke . Manayake Samia anatapanya ya mali za tanganyika kwa masilahi yake na wanzimbar wake. Hatutakubali watanganyika tuamuke.. Hatutakubali . Bandari zetu kuchuliwa na warabu.

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 Před rokem +6

    Iv nikwer kabisa watanzania zaid ya milioni30 wasomi wameshindwa kwendesha Bandali Kwer jpm umelala Baba

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 Před rokem

      Ehe Watanzania milioni 60 na kujitawala miaka 62 bado hatuna watu wa kuendesha vitu vyetu, nakumbuka Net Group Solution na City water

    • @severinkinunda5269
      @severinkinunda5269 Před rokem

      Kama watanzania Tanzania tumeshindwa kuendesha bandari ni sawa na kusema kuwa hatuna uwezo wa kuongoza nchi.Pia viongozi wetu wa kisiasa na taasisi za serikali ni dhaifu

    • @user-le1mo8ru7u
      @user-le1mo8ru7u Před rokem

      Tuzidi kuomba

  • @cosmasmilanzi7117
    @cosmasmilanzi7117 Před rokem +4

    Hongera sana kwa maelezo ya ufafanuzi wa mambo magumu kwa lugha rahisi kueleweka.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před rokem +3

    Mkataba ambao una mwanzo lakini hauna mwisho, na unakabidhi yote yaliyomo ndani yake kwa ufalme wa DPW, ni hatari sana,utahitaji mjadala mrefu wa kina kati ya watu wa nchi hizi bila kificho! Asante sana Baba Askofu Mwamakula kwa kuisimamia kweli na haki za watu wa Mungu unayemtumikia. Mungu akubariki,akulinde uingiapo na utokapo.

    • @matukutajuma156
      @matukutajuma156 Před rokem

      NI KAMA KITUMBUWA KIMEINGIA MCHANGA BUSARA KUBWA ZINAHITAJIKA!

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 Před rokem

      SIO KWELI HAWA WAZEE WANAPOTOSHA HEBU TUTUMIE AKILI ZETU TUSOME

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay Před rokem +2

    Askofu msomi asante sana! unachambua mambo vizuri sana!

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před rokem +3

    Well said our Bishop

  • @mboneamsuya
    @mboneamsuya Před rokem +2

    Ndugai aliona nchi ikiuzwa lakini mama akalijua Hilo limeonekana. Ikabidi ang, atuke. MAANDAMANO NI MUHIMU Kama limishindikana. NDIO NDIO NDIO

  • @mwamakaassely2260
    @mwamakaassely2260 Před rokem +2

    Askofu umesoma sana, sana, UBARIKIWE MTUMISHI WA MUNGU

  • @educationchannel-zs7fr
    @educationchannel-zs7fr Před rokem +1

    My school colleague, you really said it. That's reality.

  • @ramadhanmsonge9960
    @ramadhanmsonge9960 Před rokem +3

    Barikiwa sana Askofu mwenye kufikiri kwa kina atakuelewa.

  • @user-ek6wo5jr8k
    @user-ek6wo5jr8k Před rokem +2

    Asikofu yuko sahihi. Hongera sana unawafumbua akili watu wasio fahamu miktaba. Na mikataba mingi ya unyonyaji.

  • @beddaathanas3150
    @beddaathanas3150 Před rokem +1

    Wisdom mungu amewapa viongozi wa dini,be blessed always

  • @mufundegemwakalonge3987
    @mufundegemwakalonge3987 Před rokem +3

    Mungu akubariki asikofu Mwamakula Kwa kutetea uhai na Uhuru WA taifa la Tanzania. Hapa serikali iliyopo madarakani inaliuza Taifa la Tanzania biala hata aibu na kumega Taifa kuwa liwe Tanganyika iwe utumwani milele na Zanzibar iwe huru na wanaohusika hapa ( Raisi na waziri ) wanatoka Zanzibar, aibu kubwa!!!

  • @ysmasalu
    @ysmasalu Před rokem +2

    Excellent explanations.

  • @loitushulyamat2738
    @loitushulyamat2738 Před rokem +2

    Askofu hongera sana kwa jinsi unavyojipambanua katika majukumu yako ya kiaskofu. Kwa kweli kuna la kujifunza kwako hasa vijana wenye malengo ya kuwa viongozi wa nchi hii.

  • @makalasamweli9570
    @makalasamweli9570 Před rokem +1

    Mwamakula mungu akubaliki sana

  • @daudimazengo7772
    @daudimazengo7772 Před rokem

    Sina lakusema kwa interview hii.
    Mmetisha. Mungu awabarikini nyote. Salute .

  • @lubangompyalimi8922
    @lubangompyalimi8922 Před rokem +1

    Viva Askofu mwamakula
    Uko vizuri

  • @zawadsamba7027
    @zawadsamba7027 Před rokem +1

    Hakika baba askofu uko vzr watanzani tunakuombea upate kutuongoza kiroho na kitaifa endelea kutupa elimu kwan leo naelewa kitu hapo

  • @dynamicmwakibinga4371
    @dynamicmwakibinga4371 Před rokem +1

    International pure pastor!!!!!!!

  • @henrymyinga9295
    @henrymyinga9295 Před rokem +5

    kweli mjadala mkubwa unahitajika mambo yasifanyike haraka haraka hivyo

  • @mnerostationeries1113
    @mnerostationeries1113 Před rokem +2

    Big up mtangazaji.Uko vizur sana

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Před rokem

    Amina Baba

  • @user-fj7rz6fw3x
    @user-fj7rz6fw3x Před rokem

    Nashukuru sana

  • @eliakanyika4921
    @eliakanyika4921 Před rokem +1

    🎉🎉Kwa mwamakula❤

  • @sidengole2067
    @sidengole2067 Před rokem

    Upo vzr pastor

  • @kennedykaduma9104
    @kennedykaduma9104 Před rokem +1

    Mwandishi umejitahidi sana kuhoji.

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Před rokem +1

    Nashangaa sana watanzania wanaotetea kuuzwa bandari za nchi yetu serkali ina nia mbaya katika hili jaman watu wesoma lakini wanafanya mambo ya ajabu

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před rokem +3

    Hayo anayo yasema Baba askofu ni kweli waafrica walikuwa wanauza ndugu zao Kwa Pasig vikombe na shanga nk ndilo tujue mtu.mweusi akili huwa hatuna fikra nzuri mwisho utakuta tumepigwa kila mara na wapo mbele kueleza kuwa ni Sawa hiyo ndio akili.

  • @loitushulyamat2738
    @loitushulyamat2738 Před rokem +2

    Kwa uzito wa jambo hili na jinsi lilivyopokelewa na wananchi kwa hisia hasi na kwa kuwa unalazimisha hata serikali zijazo kuridhi mkataba huu, basi kuna haja na umhimu mkubwa serikali kupanuwa mjadala kiasi cha kutosha na muda wa kutosha ili kuondoa sintofahamu ambao tayari umeukumba taifa kwa sasa.

  • @eliakanyika4921
    @eliakanyika4921 Před rokem +2

    🎉Kwa mwanahabari huyo

  • @pastorybahinyuye4876
    @pastorybahinyuye4876 Před rokem +2

    Mtumishi ubarikiwe na Mungu kwa maelekezo yako mazuri kiukweli tumesikia hata tumesikia wabunge wakisema hatuwezi kupinga mipanga ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wenyekiti wa Ccm. Chochote anacholeta Rais wao ni kupitisha tu.Shida kubwa mno.

  • @user-hh4lb6nj2d
    @user-hh4lb6nj2d Před rokem

    Daaa mungu aingile jambo hili Yan wabunge mnapewa hongo kupitisha jAmbo zito la kitaifa

  • @clevermngao7565
    @clevermngao7565 Před rokem

    Mtangazaji yupo smart sana kuunganisha content ya kuuliza maswali! Kwangu mm ni mtangazaji bora!!

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 Před rokem +1

    Mama yetu samia kua makini na jambo ili linakwenda kuligawa taifa tena kwa kiasi kikubwa ilijambo liachwe kabisa bora wateja waondoke wasishushie mizigo kwetu lakini muda ukifika tutaboresha watarudi.

  • @chrispinedward6356
    @chrispinedward6356 Před rokem +1

    Askofu upo vizuri,wew ni mzalendo wa kweli tupo nyuma yenu mtuokoe tusirudi utumwani

  • @deomajiji1789
    @deomajiji1789 Před rokem +1

    Askofu Mwamaluka ni Mwungwana kweli; hakika Askofu huyu ni Mtu wa Mungu, Nabii wetu leo. Tumpokee hasa. Tumpokee ..

    • @innocentedmund3105
      @innocentedmund3105 Před rokem

      Ahsante Askofu wahasio sikia hili hawajui tuendaka jambo hili linaitaji busara sana na maono ya juu sana naomba waTanzania kutafakali na kujua mambo na kuona mifano iliyopo na iliyopita

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 Před rokem +1

    PONGEZI SANA KWAKO,ASKOFU EMMAUS MWAMAKULA....KWA UFAFANUZI....MZURI SANA.
    -TUMEKUELEWA...

  • @user-rg6kr2vj8f
    @user-rg6kr2vj8f Před rokem

    🎉🎉 safiiii

  • @raidhanimohamedi2709
    @raidhanimohamedi2709 Před rokem +1

    Baba Askofu Mwamakula 'mtu' saana aisee...

  • @philimonndinadyo2120
    @philimonndinadyo2120 Před rokem +2

    Maaskofu wengine mko wapi mmeficha vichwa mchangani wakati nchi inauzwa mtakuja kumwambia Nini Mungu chakula Cha watoto watanganyika kinauzwa namgeni kwa wageni

  • @majidukalugendo4738
    @majidukalugendo4738 Před rokem +2

    Askofu wewe ni Mzalendo wa kweli na Muungwana sana lakini pia una mapenzi ya kweli kwa watanzania. Mjadala wako ni nuru kwa watanzania. Mwandishi wewe umeiva kwa sababu maswali yako yamegusa maeneo yote ambayo yatawaongoza Watanzania katika kupanua mijadala yao!!!

  • @peterkirway276
    @peterkirway276 Před rokem

    Hogera sana baba Askofu uiombee na uishauri serikali kuhushu haya yanayoendelea

  • @lilianvitus2488
    @lilianvitus2488 Před rokem

    Hongera askofu barikiwa sana sana

  • @christopherkanyalakc8941

    Nakuelewa Askof

  • @user-uq7rm4uk3q
    @user-uq7rm4uk3q Před rokem +1

    Nilikuwa sijaelewa Sasa nimeelewa mtumishi Mhimu Tuombe Mungu atusaidie taifa letu lisirudi utumwani tuwe na mwafaka mwema

    • @user-cz7bd9tc5k
      @user-cz7bd9tc5k Před rokem

      MUNGU Ametupa akili za kujetetea Wenyewe Amka chukua silaha Upiganie haki yako uliyo pewa na MUNGU

  • @mafurumatijo8803
    @mafurumatijo8803 Před rokem +3

    Ndomaana wamewang'ang'ania akina halima mdee ili ionekane vyama vyote vilihusika kupitisha mkataba.

  • @juliussilvestar8988
    @juliussilvestar8988 Před rokem +2

    Suala hili liwe ni mjadala wa kitaifa.Kwa mtanzania yeyote mwenye akili timamu should never accept this at all.Hata one single moment.

    • @user-oz1pp1ck2m
      @user-oz1pp1ck2m Před rokem

      Hili halikubariki ni wabunge ccm waliowengi ndio wanakubali

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před rokem +1

    Askofu Uko vizuri.

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 Před rokem +17

    KWA MAMBO HAYA NI BORA MUUNGANO UVUNJIKE ILI KILA UPANDE UJADILI MALI ZAKE KULIKO WAZANZIBAR KUFANYA MAAMUZI MAKUBWA JUU YA TANGANYIKA..

    • @bosslilyg4390
      @bosslilyg4390 Před rokem +2

      Kweli kabisa

    • @festohaule9716
      @festohaule9716 Před rokem +3

      Ni kweli tuwatimue Hawa wanatuuza mchana kabisa.. hawatufai...

    • @isakhamisi8923
      @isakhamisi8923 Před rokem +1

      Hao Marais waliopita kutoka bara waliokuwa wakifanya maamuzi makubwa kuhusu Zanzibar mlikuwa wapi mpaka Nyerere alifikia kumfukuza KAZI rais aliyechaguliwa kihalali na wazanzibari.

    • @festohaule9716
      @festohaule9716 Před rokem +1

      @@isakhamisi8923 mlikuwa wapi nyie?? Mpaka Raisi wenu anafutwa kazi??? Acheni kulala..

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Před rokem

      @@isakhamisi8923 Isa Khamis,asante kwa kuupiga msumari pahala pake

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před rokem +1

    Huyu mama nadhani aliingia ktk siasa kwa.nia hovu na Tanganyika.

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před rokem +1

    Mwafrica sio kabisa Sisi mpaka leo bado hatujabadiluka wazungu wakifanya mkutano wa Belin Germany mpaka leo wakiungali hawajakosea Sisi vulu vulu

  • @dazinaagust5231
    @dazinaagust5231 Před rokem

    NDUGU RAIDHANI UPO VIZURI SANA KEEP UP .... SONGESHA

  • @ulayaz
    @ulayaz Před rokem

    Tungeomba mungu akupe nguvu ujadili mambo ya kiroho zaidi. Kwa sababu sio fani yako na ndo maana, huwezi kueleza kudumaa kwa bandari zetu

    • @godfreymwamaso2424
      @godfreymwamaso2424 Před rokem

      Kumbuka huyo ni raia wa Tz anayo haki ya kutoa ushauri hakuna kosa kisheria

  • @enockkibona7522
    @enockkibona7522 Před rokem

    Huo mkataba haujakaa vizuri utatuumiza watanzania kizazi na kizazi,vitu vingine tungeendelea kuvisimamia sisi wenyewe watanzania,please please watanzania hilo jambo linaonekana ni jepesi kwa watu wanaokubali huo mkataba lakini baada ya kuanza kufanya kazi hao ndipo tutakapo anza kuona tofauti,kabla ya maamuzi tufikili maratatu tatu.

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Před rokem

    Ni kweli linagawa watanzania maana hili halijasumbua Zanzibar mkataba huu unaiuza Tanganyika kabisaaa

  • @bishopmosesmagadula7572
    @bishopmosesmagadula7572 Před rokem +1

    KWA SASA HATUNA VIONGOZI WENYE UCHUNGU NA INCHI YETU TUNAWAPA WAARABU ALAFU TUNALIA HAKUNA AJIRA KUKOSA RAIS SAHIHI NDIO SHIDA..

  • @barakamwamasage-hy2jo
    @barakamwamasage-hy2jo Před rokem +2

    Tanzania tuamke usngizini tunapigwa ccm hawana jema hatakidogo

  • @jeremiatitus4414
    @jeremiatitus4414 Před rokem

    Askofu nakuelewa kuhusu raisi na wazir kutoka Zanzibar sio tatizo lkn nikionacho mm ni huu mpango sio wa Leo ni wa miaka kadhaa iliopita ilikuwa inatafuta upenyo wa kuingilia, Hawa watu huwa hawakurupuki hata huyu mama mnamuonea tu yeye kalikuta Ila wametumia udhaifu uliopo kujipengeza , weka akilin hlo utaniambia miaka 10 ijayo inshallah

  • @Fingolee
    @Fingolee Před rokem

    Miaka 1800 kabla ya Kristu Askofu ikae sawa hapo

  • @jumayussuf6786
    @jumayussuf6786 Před rokem +1

    Apriciate poster mamakula

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Před rokem +1

    Nchi.hii.kiongozi.wa.dini.wewe.tu.askofu.mwamkula.wengine.mna.mnaongozwa.na.matumbo.yenu.subilini.mfe.mtamjua.mungu.hataki.utapeli

    • @benson20301
      @benson20301 Před rokem

      You are just afool juma magoma tatzo elimu Yako itakua chini sana

    • @benson20301
      @benson20301 Před rokem

      Tunataka tuungane tuitoe ccm madarakani

  • @odilomwemeziernest646

    Wewe ndoo kiongozi wa dini ambaye umesema ukweli,na si wengine waliolisagia jambo hiloo maana uccm unawasumbua.

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 Před rokem

    Hasante sana Askofu kwa kutuelimisha kuhusu mikatabs tangu enzi za Biblia mwika karibu 2000 iliyopita.

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 Před rokem

      Sulwiman na Lebanon ni zaidi ya miaka elfu mbili iliyopita yaani kabla hata Yesu kristo hajaja duniani. Mikataba ni vifungo ukikosea umeumia.

  • @donathtarimo7221
    @donathtarimo7221 Před rokem

    Its very sad & shameful too

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 Před rokem +1

    Hayo ni maneno ya Kiongozi wa Dini tunayotaka kuyasikia sisi Watanzania hasa katika wakati huu mgumu. Tungependa pia kusikia kauli kama hizi kutoka TEC, CCT na BAKWATA.
    Haina maana kuwa na Viongozi wa Dini waoga ambao hata yanapotokea mambo mazito kama haya, wao wanajificha uvunguni.

    • @bsmonline8482
      @bsmonline8482 Před rokem

      TEC hawataki Charles kitima alishasema ye hakubarian nalo na ndio kiongozi wa dini wa kwanza kuuukataa huo mkataba

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867 Před rokem

    Nyie si mlisema hamuezi kuwacha Wazanzibar kujitawala wenyewe kwasababu wataleta waarabu kurudisha utumwa ..nahao mnao wauzia bandar sio waarabu naona mnakula matapishi yenu wenyewe..achen utapeli wa kisiasa semen ukweli kwann hamtaki kuwaachia Wazanzibar wajitawale wenye walaf yie..

  • @willydugilo3258
    @willydugilo3258 Před rokem +1

    Nimemsikia Dr slaa akisema!! Haojamaa wa dp world ndio walio chukua loliondo na waliahidi mambo mengi na manufaa Kwa Wana nchi!! Lakini Hadi Leo hakuna Cha maama!! Watu wanateseka tu!! Mnajua Hilo!!

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Před rokem +1

    Viongozi.wa.dini.wajanja.wanajua.kuhubili.sadaka.aka.matoleo.fungu.kumi.mambo.makubwa.ya.nchi.kimya.mungu.anasubili.

  • @solomonnanguni2688
    @solomonnanguni2688 Před rokem +1

    Baba Askofu Mwamakula, wewe ni kichwa haswa. Nimekusikiliza maelezo yako na majibu yako. Una akili saana. Huogopi upumbavu wa baadhi ya machawa wa serikali hii ya ma CCM. Songa mbele tuko nyuma yako. Sio maandamano tutakayofanya hata ikibidi kupigana mubashara.

  • @charlesgasper-wo9hc
    @charlesgasper-wo9hc Před rokem +1

    Askofu watoe usingizini ndiyo bandari inaondoka hivyo nakwanini harakaharaka hivyo? sinchi niyetuwote navizazi vyeti...

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867 Před rokem

    Hiyo nchi inamaliziwa kuuzwa tu maana ishauzwa zaman..hata tuseme vip madamu wachumia tumbo washakodolea macho manoti hawawez kubadli msimamo wao..tushauza tunasubir manoti tule bataaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @karimmveyange2558
    @karimmveyange2558 Před rokem

    Bunge siyo tu halina uhalali wakuongelea au kugawa mali za nchi kwa Waarabu,ila tu ni Bunge la Wasio na akili timamu,wala rushwa,halafu wajue wanavunja usalama wa nchi.

  • @CremenceKavishe-rv1xg

    Ni kweli uwezi kujirusha kwenye kisima usicho weza kutoka.

  • @ephraimkalanje7105
    @ephraimkalanje7105 Před rokem

    .......na huku kwetu mikataba ya chifu Mangungo wa Msowero na Wajerumani....na mingeneyo iliyoleta tutawaliwe na wageni....!!!

  • @franciscomasungulwa3575

    Ni lini wabunge wa upinzani wamekwamisha MKATABA/HOJA ulioletwa na CCM??

  • @RobertGwelela
    @RobertGwelela Před rokem

    Askofu nimekuelewa sana.umeongea point muhimu sana.kwanini bunge limepewa siku moja tu? Wkt wao walianza mwaka Jana mwezi wa pili wakaja mwaka Jana mwezi wa kumi.Lkn wabunge wanaambiwa walijadili kwa siku moja tu.Lkn kwanini tunaambiwa mkataba hautavunjika hata tukitofautiana? Yote hiyo inatosha kutupa wasi wasi mwingi.

  • @jeremiatitus4414
    @jeremiatitus4414 Před rokem

    Jaman tuwe Makin tunakuja kuwapa Kaz kubwa watoto wetu kizaz kijacho, tunaandaa kuja kutawaliwa , ninyi mtaona sawa kwa Sasa lkn watu Hawa zipo agenda za Siri kutawala nchi maskin ,

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy95 Před rokem

    Ila kwenye kumshauri Maalim seif kujiunga na CCM kwenye serikali ya umoja wa kitaifa hapo ulifeli.

  • @joshualaitei1633
    @joshualaitei1633 Před rokem

    Legitimacy
    Legitimacy
    Legitimacy

  • @kassimjigge4727
    @kassimjigge4727 Před rokem

    Nionavyo Mimi kukodisha siyo vibaya kwani ni biashara ya kutuingizia mapato,mapato ambayo yamekuwa yakipotea kutokana na wizi.ubadhirifu na ufisadi pale bandarini wizi ukiendeshwa na watanzania wenzetu tuliowaamini kukusanya mapato kwa manufaa ya wengi, jamani kuna SGR na miradi mingine itakamilika vipi?

  • @fadhilikavindi4998
    @fadhilikavindi4998 Před rokem +1

    Kwakweli leo nimekuelewa

  • @eliakanyika4921
    @eliakanyika4921 Před rokem

    Huyu Mzee anaakili nyingi sana

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před rokem

    Mimi nashangaa sana bunge linakubaliana harakaharaka kuuza Inchi kirahisi hivi. Sisi wanainchi hatuna makubarianona warabu ila tunauzwa tu.

  • @honestmsigwa920
    @honestmsigwa920 Před rokem

    Hivi kupambana na umasikini ni kuingia kwenye mikataba na wazungu au waarabu umasikini huu utaisha lini jamani?

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 Před rokem +1

    Kwanza ninawasiwasi wabunge wengi wamepewa Chao au wanatafuta ubunge wa kupewa

  • @latipharamadhani7576
    @latipharamadhani7576 Před rokem

    Kwanini mambo yaanze kufanyika kabla ya kusaini mkataba, kwa maana iyo kinacho fanyika nikitaka kusafisha njia ya mkataba wakati tayari wamesha saini wanatafuta namna ya kuwaingiza hao watu

  • @valentinetesha8536
    @valentinetesha8536 Před rokem

    hawa waarabu washenz kweli yani wanataka mkataba wa kupewa bandari miaka isio julikana hata miaka elfu 20

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 Před rokem +1

    Acha uongo wewe Padri

  • @pamelamauki4209
    @pamelamauki4209 Před rokem

    Mngemsikiliza vizuri muelewe

  • @dismasmtui965
    @dismasmtui965 Před rokem +1

    Waandishi wa habari mkoje?
    Mnataja mpaka sehemu anapoisho huyu mtumishi mnamtakia nn?

    • @josephrutta6834
      @josephrutta6834 Před rokem

      Unadhani hapajulikani? Ondoa shaka, panajulikana sana. Ila ujue tu, huwezi jificha mwenyewe, ILA MWENYEZI MUNGU AWEZA KUMFICHA MTU WAKE dhidi ya madhara ya MAADUI.

  • @JacobMorogoro-is7kj
    @JacobMorogoro-is7kj Před rokem

    Sante mtumish

  • @benardsamizi-qo4yp
    @benardsamizi-qo4yp Před rokem

    HONGERA SANA MTUMISHI WA MUNGU ALIYE HAI. HUOGOPI KUSEMA UKWELI. KAMA NA WENGINE WANGESIMAMA KUTETEA KUDAI KATIBA MPYA NA TUME HURU HAYA YASINGALITOKEA. MUNGU UKO WAPI???TUHURUMIE KONDOO WAKO.

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 Před rokem

    Hapa ndio nakubali kama
    Magufuli alikua jiwe kweli kweli
    Hatishwi wala hatishiki
    Aliyasema hayo wakati wa uhai wake