GEAH HABIBU AFUNGUKA MAKUBWA KUHUSU MWIJAKU, UGUMU WA KUFANYA NAE KAZI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024

Komentáře • 42

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 Před rokem +5

    Wow kumbe ndugu nimefurahi kusikia ivyo

  • @hamidahamis4537
    @hamidahamis4537 Před rokem +3

    Nyie wandishi acheni unafiki zai yupo vizuri Sana Tena sanaaaa uwa nashika mbavi zangu kwajili ya uchekeshaji wa zai

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 Před rokem +6

    Kumbe ndugu mashaallah 🥰

  • @azizaabeid2055
    @azizaabeid2055 Před rokem +2

    Hongera zai Yani nyie waandishi ni wambea mno kwa kweli ebu jaribuni kuepuka maswali ya kizembe mtu kashakwambia haelewi na akumbuki kilichoandika Bado unahoji wakati huyo mwijaku mwenyewe yupo mnajua kutafuta fitna nimekupenda Bure gea hukutaka ufisadi

    • @ashuraomar4935
      @ashuraomar4935 Před rokem

      Hada huyu mwandishi wa Mbango tv wa kike kwanza hajui hata kuuli@a maswali na wala hajui kingereza utamsikia akisema neno la kingereza wee utazima tv kabisaa then mshamba hajui kuvaa anavaa kama msagaji na mkombanishi sana kwenye kuuliza maswali yake ni ya fitna looo Bongo hakuna waandishi kabisaa

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před rokem +2

    Mashaallah Zai anastahili sifa mie nilianza kumsikia kwny radio

  • @BobMikwara
    @BobMikwara Před rokem +3

    Anapambana sana Dada kuuliza maswali ya kinafik kufitinisha.. Alafu maskini huwaga hana bahati kupata majibu anayotarajia. Endelea kupambana mdogo. Ukikomaa utaacha maswali ya kizembe😂😂😂😂

  • @pendobaharia5598
    @pendobaharia5598 Před rokem +1

    Kumbe ndugu 😍😍😍

  • @sofina157
    @sofina157 Před rokem

    Mungu akuweke dada Kwa kumsogeza kuwa juu zai

  • @stelamwakatulile2455
    @stelamwakatulile2455 Před rokem +2

    Mimi mwenyewe nampenda sana zai

  • @irakozeaisha3308
    @irakozeaisha3308 Před rokem

    Mashaallah kumbe mwee ni ndugu

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před rokem +2

    Jaman mpk raha ndio maana mnaongea sn mastry ya zai anachekesha sn kwa raha zetu zai kiboko jaman

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 Před rokem +12

    Gea kwa mbali kama shishibaby Yan shilole

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747 Před rokem

    Kweli kabisa Gea. Ngumu kufanya kazi na mwijaku..

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před rokem +1

    Love you Gea

  • @abednego3876
    @abednego3876 Před rokem +3

    Wachekeshaj wakike ndo kina nan mm namjua zai tu bn

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du Před rokem +4

    Ndomana mme fanana sana

  • @norascoseggere9181
    @norascoseggere9181 Před rokem

    Naomba namba ya huyu Dada geah habibu,nina shida yakijamii tafadhali

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před 9 měsíci

    Ooh kumbe ni ddko

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před rokem +3

    Kheee kumbe geah na zai ni ndugu ?! Makubwa ndo nimejua Leo

  • @gaspamgasa2366
    @gaspamgasa2366 Před rokem

    Ka geah kazuri jmn

  • @evaristmrope
    @evaristmrope Před rokem +1

    Sio heshima yako amkia wewe ndugu mtangazaji 🤣🤣🤣

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba7085 Před rokem +1

    Mmefanana hata hivyoo

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 Před rokem

    Mtangazaji mbea

  • @ramajuma4063
    @ramajuma4063 Před rokem +1

    Mwandishi please

  • @ttss7716
    @ttss7716 Před rokem

    Tanzania mko vizuri me dadangu uchekesha watu mpaka mazishini me ata siendi nae pahali 😆😆😆😆

  • @jedidahbintidaudi8241

    lakini kweli Geah na Zai wanafanana

  • @madaraka5290
    @madaraka5290 Před rokem +1

    Zai anastahili hiyo tuzo

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před rokem

    Asaiv ni wakati wa zai hao wakila black pass sijui nan walikuwa kipindi hk

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Před rokem

    Mtu huziba paa lake, mpeni kazi Zai nae

  • @mustaphasegeja1712
    @mustaphasegeja1712 Před rokem

    Gea Habib

  • @Official83640
    @Official83640 Před rokem

    Hivi blackpass na Zai utawafananisha ww hebu muweke mwingine huyo hamuwezi Zai ww Zai kitu kingine kwanza hatumii nguvu nyingi kwenye kuongea na mkavu acha kabisa

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před rokem

    Mtangazaji acha umbea

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před rokem

    Zai kama zai

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Před rokem

    🔥🔥🔥🔥

  • @abrahambirech4187
    @abrahambirech4187 Před rokem +2

    Uliza maswali ya Msingi mwandishi

  • @mariamunika6239
    @mariamunika6239 Před rokem

    Nilihisi ivyo kiukweli

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Před rokem

    sasa mambo ya mwijaku. yamefikaje?