Hongera zai Yani nyie waandishi ni wambea mno kwa kweli ebu jaribuni kuepuka maswali ya kizembe mtu kashakwambia haelewi na akumbuki kilichoandika Bado unahoji wakati huyo mwijaku mwenyewe yupo mnajua kutafuta fitna nimekupenda Bure gea hukutaka ufisadi
Hada huyu mwandishi wa Mbango tv wa kike kwanza hajui hata kuuli@a maswali na wala hajui kingereza utamsikia akisema neno la kingereza wee utazima tv kabisaa then mshamba hajui kuvaa anavaa kama msagaji na mkombanishi sana kwenye kuuliza maswali yake ni ya fitna looo Bongo hakuna waandishi kabisaa
Anapambana sana Dada kuuliza maswali ya kinafik kufitinisha.. Alafu maskini huwaga hana bahati kupata majibu anayotarajia. Endelea kupambana mdogo. Ukikomaa utaacha maswali ya kizembe😂😂😂😂
Hivi blackpass na Zai utawafananisha ww hebu muweke mwingine huyo hamuwezi Zai ww Zai kitu kingine kwanza hatumii nguvu nyingi kwenye kuongea na mkavu acha kabisa
Wow kumbe ndugu nimefurahi kusikia ivyo
Nyie wandishi acheni unafiki zai yupo vizuri Sana Tena sanaaaa uwa nashika mbavi zangu kwajili ya uchekeshaji wa zai
Kumbe ndugu mashaallah 🥰
Hongera zai Yani nyie waandishi ni wambea mno kwa kweli ebu jaribuni kuepuka maswali ya kizembe mtu kashakwambia haelewi na akumbuki kilichoandika Bado unahoji wakati huyo mwijaku mwenyewe yupo mnajua kutafuta fitna nimekupenda Bure gea hukutaka ufisadi
Hada huyu mwandishi wa Mbango tv wa kike kwanza hajui hata kuuli@a maswali na wala hajui kingereza utamsikia akisema neno la kingereza wee utazima tv kabisaa then mshamba hajui kuvaa anavaa kama msagaji na mkombanishi sana kwenye kuuliza maswali yake ni ya fitna looo Bongo hakuna waandishi kabisaa
Mashaallah Zai anastahili sifa mie nilianza kumsikia kwny radio
Anapambana sana Dada kuuliza maswali ya kinafik kufitinisha.. Alafu maskini huwaga hana bahati kupata majibu anayotarajia. Endelea kupambana mdogo. Ukikomaa utaacha maswali ya kizembe😂😂😂😂
Kumbe ndugu 😍😍😍
Mungu akuweke dada Kwa kumsogeza kuwa juu zai
Mimi mwenyewe nampenda sana zai
Mashaallah kumbe mwee ni ndugu
Jaman mpk raha ndio maana mnaongea sn mastry ya zai anachekesha sn kwa raha zetu zai kiboko jaman
Gea kwa mbali kama shishibaby Yan shilole
Kweli kabisa
Kweli
Kweli kabisa Gea. Ngumu kufanya kazi na mwijaku..
Love you Gea
Wachekeshaj wakike ndo kina nan mm namjua zai tu bn
Ndomana mme fanana sana
Ndugu yake mtoto wa baba yake mkubwa
Naomba namba ya huyu Dada geah habibu,nina shida yakijamii tafadhali
Ooh kumbe ni ddko
Kheee kumbe geah na zai ni ndugu ?! Makubwa ndo nimejua Leo
Hata mie
Ka geah kazuri jmn
Sio heshima yako amkia wewe ndugu mtangazaji 🤣🤣🤣
Mmefanana hata hivyoo
Mtangazaji mbea
Mwandishi please
Tanzania mko vizuri me dadangu uchekesha watu mpaka mazishini me ata siendi nae pahali 😆😆😆😆
lakini kweli Geah na Zai wanafanana
Zai anastahili hiyo tuzo
Asaiv ni wakati wa zai hao wakila black pass sijui nan walikuwa kipindi hk
Mtu huziba paa lake, mpeni kazi Zai nae
Gea Habib
Hivi blackpass na Zai utawafananisha ww hebu muweke mwingine huyo hamuwezi Zai ww Zai kitu kingine kwanza hatumii nguvu nyingi kwenye kuongea na mkavu acha kabisa
Mtangazaji acha umbea
Zai kama zai
🔥🔥🔥🔥
Uliza maswali ya Msingi mwandishi
Nilihisi ivyo kiukweli
sasa mambo ya mwijaku. yamefikaje?