MWIJAKU ABANANISHWA NA DAHUU, GEAH ISHU YA KUPEWA GARI NA MKEWE, TAZAMA AKIJITETEA ATOBOA SIRI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 199

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 Před rokem +3

    Hongera Mwijaku mwanaume mwenye kujiamini 👍👍👍

  • @methuselamarco7108
    @methuselamarco7108 Před 2 lety +1

    Asante dadaangu umeliumbua lipumbavuu hiloo

  • @Official83640
    @Official83640 Před 2 lety +5

    Asante Da Huu umeweka ukweli halisi hakuna kuficha. Hizo hela za Royal Tours aseme tu ukweli sio kudanya umma

  • @dogojahman9381
    @dogojahman9381 Před 2 lety +7

    Uyo mwamba waga namkubali sana yeye na Levo 💪💪💪💪💪💪 maisha niku pambana kwa kila njia mna jua kuzi saka saana

  • @mesikamesika3008
    @mesikamesika3008 Před 2 lety +6

    Elimu bila kujitambuwa ni adhabu ya kichwa. Huyu bwana hekima hana wala hofu ya mungu. Vijana tupambane maisha ni fumbo

  • @hdggu6792
    @hdggu6792 Před 2 lety +10

    Huyu baba muongo jamani midevu kama striwaya😂😂😂

  • @rahima928
    @rahima928 Před 2 lety +8

    Gari amepewa na silence ocean ya biashara yeye na baba levo yani uonyeshe upendo sehemu nyingine baada ya familia yake eti akupe gari unajitia sheikh unasema daimond na rayvan wanatembea na wanawake wakristo wakati wako umeshindwa kumbadilisha dini wala jina

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 Před 2 lety +6

    Chama la wana
    WATOTO✔️
    NYUMBA ✔️
    GARI✔️
    SIMU✔️
    😂😂😂 unamuita mpaka mkeo, mme wangu 🤗🤗
    👏👏👏👏

  • @liciouscharles3370
    @liciouscharles3370 Před 2 lety +5

    Da geah mzuri

  • @allenudindo3803
    @allenudindo3803 Před 2 lety +5

    fresh sana mwijaku,sifa za mwanamke wako ni kitu kikubwa sana ,upendo 🌹

  • @josephmateru8892
    @josephmateru8892 Před 2 lety +9

    Nimewapenda bure mmeongea ukweli mwijaku mpigaji cna na vijana wanachulia vtu simple cna

  • @nyamkamawanjara29
    @nyamkamawanjara29 Před 2 lety +3

    ila mwijaku usife sasa ivi mungu akuweke tunacheka sana juuu yako,

  • @KamstheMixologist
    @KamstheMixologist Před 2 lety +5

    Mwijaku we love you from Congo 🇨🇩

  • @deotvonline2776
    @deotvonline2776 Před 2 lety +11

    Kama umemuelewa mwijaku kaamua kujinunulia gari ili kumkumbusha Mama Samia amkumbuke kwa kujipendekeza kwake gonga like hapa🤣🤣🤣🤣😂😂

  • @saleheheda4537
    @saleheheda4537 Před 2 lety +1

    Mwajaku Chawa mwenye Akili nyingi

  • @mariamally1244
    @mariamally1244 Před 2 lety +1

    Muongo mwijaku

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 Před 2 lety +3

    😀😁😂 ananifurahisha sana Mwijaku mambo yake

  • @almachiusemmanuel9506
    @almachiusemmanuel9506 Před 2 lety +1

    Mwijaku uko sahihi mkuu

  • @abdulnaseerabdulhakeem9302

    " Et mme wangu,aaah mke wangu" 😁😁😁😁😁

    • @samatarabdullahi8083
      @samatarabdullahi8083 Před 2 lety

      Safi mwijaku.Napenda sana wewe uko mwongea wazi.Salamu kutoka Somalia.

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba9089 Před 2 lety +5

    🤣🤣🤣 mwijaku mtambo sana ana utoto mwingi sana

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety +1

    *Da huu* Umetisha, wallah nimecheka 😀😀😀😀

  • @sophiamumbe888
    @sophiamumbe888 Před rokem

    Hiyo gari kanunuwa mwenyewe mwijaku wewe unapenda sana sifa na kubwiiru

  • @SaidSaid-ef8md
    @SaidSaid-ef8md Před 2 lety

    Mwijaku we unajua kufurahisha binaadam big up bro me uo uso wako ndo unanifurahisha yani unaonesha kabisaa km unaongea unachojiskia tu kuongea. 😀😀😀👍

  • @lelarubea6405
    @lelarubea6405 Před 2 lety +5

    Mwijaku muongo amenunua mwenyewe anataka kuonesha amenunua,aliona akionesha mwenyewe watu watamchamba kwasababu anasema watu kila siku

  • @shamsishaaban6695
    @shamsishaaban6695 Před 2 lety +1

    Husna safi sana huo ndio ukweli

  • @francismwacha253
    @francismwacha253 Před 2 lety +1

    Gea ni mweupe pee😁

  • @najuf8021
    @najuf8021 Před 2 lety +4

    Hela ya mwijaku nagar kaenda kununua yeye mwenyewe kampa mkewe apate kuongelewa

  • @aminakazogolo2229
    @aminakazogolo2229 Před 2 lety +3

    Nmecheka🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏽

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 Před 2 lety

    Napendaga mwijaku,akipambambanishwa na baba levo

  • @charlottempangala3881
    @charlottempangala3881 Před 2 lety +1

    Hivi mwijaku yuko sawa kweli???

  • @chieframadhani4976
    @chieframadhani4976 Před 2 lety

    Mwijajo ni mbishi aliesoma aiseeeeee

  • @jamesobedy3940
    @jamesobedy3940 Před 2 lety +1

    Kumbe wanakujua wenzio 😂😂😂
    Muongo hivyo 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @kimingowameno4068
    @kimingowameno4068 Před 2 lety +2

    Duuu jamaa Ana macho makavu huyu hahahahaha

  • @zuberikamote2078
    @zuberikamote2078 Před 2 lety +1

    Mwijaku muongoo,😂😂😂Anasutwaa jamniii😂😂

  • @ramadhankanoun3007
    @ramadhankanoun3007 Před 2 lety

    Jicho kwa da Geah kwa Mwijaku daaaah🤣🤣🤣🤣🤣limenichekesha sana

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 Před 2 lety +6

    Mwijaku si alisema yeye nitajiri ana hela kumshinda daimond sasa Leo Hana hela vipi? Alafu ana deal na beti za WCB na matangazo mengine kaona haya kusema kanunua yeye watu watamponda gari ya rahisi angalau angenunua gari ya milion 60 kwasababu yeye anasifa kukosoa watu

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 Před 2 lety

      Kumbe hata babalevo pia yuko na hela kumshinda🤣

  • @rukkynassor2279
    @rukkynassor2279 Před 2 lety +1

    Hapo wasema kweli

  • @fadymoses4994
    @fadymoses4994 Před 2 lety +2

    Mwjaku 🙌🙌😂😂

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Před 2 lety +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Nicheke mie watazania acheni Kuishi maisha ya kujisifu tunajuwa mnavyotaka maisha feck

  • @barracksgabriell9152
    @barracksgabriell9152 Před 2 lety +1

    Kwenye leo tena kasema milioni 18 hapa anakomaa 22

  • @nesto3587
    @nesto3587 Před 2 lety +1

    Namsubiria babalevo anajibie maswal hayo😂😂🤣😂

  • @magynzioka1122
    @magynzioka1122 Před 2 lety +1

    Mwijaku unawafanya wanaume wezio wajione kama awaoa wanawake saiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mwijaku msifie Hadi upokonywe

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 Před 2 lety

    mwijaku nimekupenda sababu unamsaport Konde

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 Před 2 lety +2

    Mwijaku wewe umepewa hela ya royo ya mazaaa bana wacha kutuzengua wewe😅

  • @simulizi2632
    @simulizi2632 Před 2 lety +4

    Mwijaku maneno ya uongo na kujiamini kwake ukisikia yanaumiza 🙋🏾‍♂️😖

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 Před 2 lety

    Kazi kwelii kwelii

  • @felistersmejumaa5188
    @felistersmejumaa5188 Před 2 lety

    Eti wanamkopa 🤣🤣 halooo mwijaku

  • @majaliwakinyonyi1006
    @majaliwakinyonyi1006 Před 2 lety +1

    Anawadanganya iyo nimilion 8000.000

  • @stn4873
    @stn4873 Před 2 lety +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bwana Mwinjaaaaaaa!!!!

  • @vickykapama8386
    @vickykapama8386 Před 2 lety

    😃🤣🤣🤣🤣 kha Mwijaku atafika Mbinguni amechoka sana kwa UONGO ANAVYOUPIGA🥲🥲

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 Před 2 lety +2

    Wabongo kweli wanafi yaani mke kumpa zawadi mumewe nyie kinawauma nini jamani wivu mbaya ongera sana mwijaku

    • @ayubukedimundi3221
      @ayubukedimundi3221 Před 2 lety

      Sio kwamba wivu..... Mwijaku kaona akisema kanunua Gari bovu ivyo Gari kama nyumba kama box wakina baba levo watamcheka kaona asingizie mke wake

    • @maryamdunga3896
      @maryamdunga3896 Před 2 lety

      Wanaushamba

  • @betrackjasson6698
    @betrackjasson6698 Před 2 lety

    Nimeskia iyo kauli ya million tano ya yule kaka kumbe mbwa tu

  • @rizoibrahimovich8217
    @rizoibrahimovich8217 Před 2 lety +3

    Siku akija kuachwa atakufa Kama paka alokula sumu

  • @bernadyahimba4279
    @bernadyahimba4279 Před 2 lety +1

    Kumbe bajaji ilikuwa ya kwake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @realramjen3270
    @realramjen3270 Před 2 lety

    Kanunua mwenyewe

  • @emmanuelemmanuel3047
    @emmanuelemmanuel3047 Před 2 lety

    mke wangu wanamkopa

  • @lelarubea6405
    @lelarubea6405 Před 2 lety +8

    Sasa lazima uje uoneshe mtandaoni mambo ya gari,kazi kupenda kusema wenzako kumbe nawewe unapenda kujionesha huna lolote

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Před 2 lety

    Jomba Mwijaku Leo unasutwa makavu live 🤣🤣🤣🤣

  • @aishambagi7371
    @aishambagi7371 Před rokem

    Mwongo mkubwa

  • @ayubukedimundi3221
    @ayubukedimundi3221 Před 2 lety +1

    Mwijaku ndio kanunua Gari kama box hahaha hahahahaha kaona aibu kusema kanunua yeye a naona haibu

  • @innat04
    @innat04 Před 2 lety

    maneno mengi mpaka umetoboa siri mwisho ukasema 'nimenunua kwa Jasho langu' 😆 Mwijaku wewe!!!

  • @wasalimie11
    @wasalimie11 Před 2 lety

    laki tano kenya haitoshi hata week kwa mtu mmoja 21000ksh

  • @allykota8355
    @allykota8355 Před 2 lety

    Kapewa na Mama anatangaza movie

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 Před 2 lety +1

    🤣🤣nacheka kama mazuri

  • @shabansalee4924
    @shabansalee4924 Před 2 lety +3

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 dume zima linafurahiya kupewa gali na mkewe kama kaongwa anakupumbaza uyo mkeo aya kunasiku atakuzawadia na mume mwingine na umpokeeee na utangazee kama unavo ropoka asaivi

  • @yahyamkone5601
    @yahyamkone5601 Před 2 lety

    Mmesema kweli tuache mitandao

  • @mwanajumamohammed6327
    @mwanajumamohammed6327 Před 2 lety

    Fumbo kwa mama samia

  • @felistersmejumaa5188
    @felistersmejumaa5188 Před 2 lety

    🤣🤣🤣🤣 Kazi ipo hapo kwa Mwijaku

  • @jailoschahe9124
    @jailoschahe9124 Před 2 lety

    Unamshugulikia vizuri iyo ndo zawadi ya kumshugulikia vizur

  • @laizerlekisongo1216
    @laizerlekisongo1216 Před 2 lety

    Dada nimekuelewaaaa
    Yan na ile bajaji nimekuelewaaa

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 Před 2 lety

    Mhh km unaoa Kwa sababu ya ivyo Kuna mapenzi ya dhati kwr hp 🤔🤷🏾‍♂️

  • @mwombekimartin4761
    @mwombekimartin4761 Před 2 lety

    Aya bwan

  • @universitylink
    @universitylink Před rokem

    Huyu jamaa watu wengi hawamuelewi ni comedian watu wanafikiri viingine

  • @shaniashani7026
    @shaniashani7026 Před 2 lety

    Da huu ❤

  • @mwajabukapemba5458
    @mwajabukapemba5458 Před 2 lety

    Mpende mkeo Mwijaku sifa kwa mwanamke bwana

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 Před 2 lety

    😃

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Před 2 lety

    Daah jomba jomba mwijaku kampeni ya wanaume huko bongo muanze kuogongwa magar na kununuliwa vitu kama zote, jamani nchi wanawake mmeachiwa muanze kununulia wanaume magari 😂😂😂😂😂🏃🏿🏃🏿

  • @zenamwasekaga7460
    @zenamwasekaga7460 Před 2 lety

    😄😄😄😄😄😄Mwijaku nyie🙌

  • @pendoanzigar3172
    @pendoanzigar3172 Před 2 lety

    Alivyo mkavu Sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @khalossalim3723
    @khalossalim3723 Před 2 lety +1

    Mwijaku mkavu 😂😂😂😂😂😂

  • @melcksedeki1012
    @melcksedeki1012 Před 2 lety

    Mwajuma choko tu

  • @robinhomesuza8906
    @robinhomesuza8906 Před 2 lety +1

    ilo Gali au jini mjini

  • @hadhhji228
    @hadhhji228 Před 2 lety

    Mwinjakuu hiyo ni alfad

  • @lillianbarongo2807
    @lillianbarongo2807 Před 2 lety +1

    Mwijaku 😂😂😂

  • @irenebeddah6524
    @irenebeddah6524 Před 2 lety

    mmempa makavu. nimependa

  • @MikiGermany210
    @MikiGermany210 Před 2 lety

    Mwijaku leo kapowa kumbe yupo na bosi wake, katupiga gari kanunua mwenyewe, alafu wenzake wakionesha magari yeye analaumu oooh ushamba kumbe na wewe ndio yale yale

  • @Zenny89
    @Zenny89 Před 2 lety

    Kha!! Lexus??😳🤣🤣🤣

  • @aminakazogolo2229
    @aminakazogolo2229 Před 2 lety +2

    Geah🤣🤣🤣🤣🤣

  • @kingmartin4924
    @kingmartin4924 Před 2 lety

    Hiyo bei sjui umeijuaje naakati hujanunua wewe?😁😁

  • @simiyioninkwaya9291
    @simiyioninkwaya9291 Před 2 lety

    Umesema ukweli dada yagu

  • @mosesgatsinzi7308
    @mosesgatsinzi7308 Před 2 lety

    Haha Yaani Tanzanians nawapenda tu sana

  • @rizoibrahimovich8217
    @rizoibrahimovich8217 Před 2 lety +2

    Mwijaku ni MNAFIKI,muongo Sana mshenzi

  • @kagwilengaiza2050
    @kagwilengaiza2050 Před 2 lety +2

    Mambo ya kishamba sana sana

  • @shamssaid2892
    @shamssaid2892 Před 2 lety

    Gea umeshikika🤣🤣🤣

  • @monicaalute3143
    @monicaalute3143 Před 2 lety

    Me tunakaa watatu na laki 5 hainitoshi jmn 😭😭😭

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 Před 2 lety

    Hiyo logo la lexus iko wapi?🤣

  • @fidelekahezi5175
    @fidelekahezi5175 Před 2 lety

    😂😂😂😂🤣tuma mtambua sasa

  • @aishambagi7371
    @aishambagi7371 Před rokem

    Chizi

  • @aishambagi7371
    @aishambagi7371 Před rokem

    Chizi hilo

  • @mzeewa6999
    @mzeewa6999 Před 2 lety +5

    katika majinga duniani we lijinga ,ushamba wakiume unamdomo mtoto , wakulelewa unajisifu misifa mingine upumbavu

    • @capteinchuimchafu7894
      @capteinchuimchafu7894 Před 2 lety

      Mwijaku atakuwa msenge si bure mamaaee zake

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Před 2 lety

      @@capteinchuimchafu7894 😄😄😄mbona hili nalisikia sana eti