Gari amepewa na silence ocean ya biashara yeye na baba levo yani uonyeshe upendo sehemu nyingine baada ya familia yake eti akupe gari unajitia sheikh unasema daimond na rayvan wanatembea na wanawake wakristo wakati wako umeshindwa kumbadilisha dini wala jina
Mwijaku si alisema yeye nitajiri ana hela kumshinda daimond sasa Leo Hana hela vipi? Alafu ana deal na beti za WCB na matangazo mengine kaona haya kusema kanunua yeye watu watamponda gari ya rahisi angalau angenunua gari ya milion 60 kwasababu yeye anasifa kukosoa watu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 dume zima linafurahiya kupewa gali na mkewe kama kaongwa anakupumbaza uyo mkeo aya kunasiku atakuzawadia na mume mwingine na umpokeeee na utangazee kama unavo ropoka asaivi
Daah jomba jomba mwijaku kampeni ya wanaume huko bongo muanze kuogongwa magar na kununuliwa vitu kama zote, jamani nchi wanawake mmeachiwa muanze kununulia wanaume magari 😂😂😂😂😂🏃🏿🏃🏿
Hongera Mwijaku mwanaume mwenye kujiamini 👍👍👍
Asante dadaangu umeliumbua lipumbavuu hiloo
Asante Da Huu umeweka ukweli halisi hakuna kuficha. Hizo hela za Royal Tours aseme tu ukweli sio kudanya umma
Uyo mwamba waga namkubali sana yeye na Levo 💪💪💪💪💪💪 maisha niku pambana kwa kila njia mna jua kuzi saka saana
Me too
Elimu bila kujitambuwa ni adhabu ya kichwa. Huyu bwana hekima hana wala hofu ya mungu. Vijana tupambane maisha ni fumbo
Huyu baba muongo jamani midevu kama striwaya😂😂😂
Yahni
Gari amepewa na silence ocean ya biashara yeye na baba levo yani uonyeshe upendo sehemu nyingine baada ya familia yake eti akupe gari unajitia sheikh unasema daimond na rayvan wanatembea na wanawake wakristo wakati wako umeshindwa kumbadilisha dini wala jina
Chama la wana
WATOTO✔️
NYUMBA ✔️
GARI✔️
SIMU✔️
😂😂😂 unamuita mpaka mkeo, mme wangu 🤗🤗
👏👏👏👏
Da geah mzuri
fresh sana mwijaku,sifa za mwanamke wako ni kitu kikubwa sana ,upendo 🌹
Nimewapenda bure mmeongea ukweli mwijaku mpigaji cna na vijana wanachulia vtu simple cna
ila mwijaku usife sasa ivi mungu akuweke tunacheka sana juuu yako,
Mwijaku we love you from Congo 🇨🇩
Kama umemuelewa mwijaku kaamua kujinunulia gari ili kumkumbusha Mama Samia amkumbuke kwa kujipendekeza kwake gonga like hapa🤣🤣🤣🤣😂😂
Mwajaku Chawa mwenye Akili nyingi
Muongo mwijaku
😀😁😂 ananifurahisha sana Mwijaku mambo yake
Napenda sana vituko vyake 😀😀😀 mwijaku khaaaa😀😀😀
Mwijaku uko sahihi mkuu
" Et mme wangu,aaah mke wangu" 😁😁😁😁😁
Safi mwijaku.Napenda sana wewe uko mwongea wazi.Salamu kutoka Somalia.
🤣🤣🤣 mwijaku mtambo sana ana utoto mwingi sana
*Da huu* Umetisha, wallah nimecheka 😀😀😀😀
Hiyo gari kanunuwa mwenyewe mwijaku wewe unapenda sana sifa na kubwiiru
Mwijaku we unajua kufurahisha binaadam big up bro me uo uso wako ndo unanifurahisha yani unaonesha kabisaa km unaongea unachojiskia tu kuongea. 😀😀😀👍
Mwijaku muongo amenunua mwenyewe anataka kuonesha amenunua,aliona akionesha mwenyewe watu watamchamba kwasababu anasema watu kila siku
Husna safi sana huo ndio ukweli
Gea ni mweupe pee😁
Hela ya mwijaku nagar kaenda kununua yeye mwenyewe kampa mkewe apate kuongelewa
Nmecheka🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏽
Napendaga mwijaku,akipambambanishwa na baba levo
Hivi mwijaku yuko sawa kweli???
Mwijajo ni mbishi aliesoma aiseeeeee
Kumbe wanakujua wenzio 😂😂😂
Muongo hivyo 😂😂😂😂😂😂😂😂
Duuu jamaa Ana macho makavu huyu hahahahaha
Mwijaku muongoo,😂😂😂Anasutwaa jamniii😂😂
Jicho kwa da Geah kwa Mwijaku daaaah🤣🤣🤣🤣🤣limenichekesha sana
Mwijaku si alisema yeye nitajiri ana hela kumshinda daimond sasa Leo Hana hela vipi? Alafu ana deal na beti za WCB na matangazo mengine kaona haya kusema kanunua yeye watu watamponda gari ya rahisi angalau angenunua gari ya milion 60 kwasababu yeye anasifa kukosoa watu
Kumbe hata babalevo pia yuko na hela kumshinda🤣
Hapo wasema kweli
Mwjaku 🙌🙌😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Nicheke mie watazania acheni Kuishi maisha ya kujisifu tunajuwa mnavyotaka maisha feck
Kwenye leo tena kasema milioni 18 hapa anakomaa 22
Namsubiria babalevo anajibie maswal hayo😂😂🤣😂
Mwijaku unawafanya wanaume wezio wajione kama awaoa wanawake saiii😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mwijaku msifie Hadi upokonywe
Mimi nataka niwe chawa wako
mwijaku nimekupenda sababu unamsaport Konde
Mwijaku wewe umepewa hela ya royo ya mazaaa bana wacha kutuzengua wewe😅
Mwijaku maneno ya uongo na kujiamini kwake ukisikia yanaumiza 🙋🏾♂️😖
Jitu Kama hili siyo la kuliiga fala
Kazi kwelii kwelii
Eti wanamkopa 🤣🤣 halooo mwijaku
Anawadanganya iyo nimilion 8000.000
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bwana Mwinjaaaaaaa!!!!
😂😂😂😂🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
😃🤣🤣🤣🤣 kha Mwijaku atafika Mbinguni amechoka sana kwa UONGO ANAVYOUPIGA🥲🥲
Wabongo kweli wanafi yaani mke kumpa zawadi mumewe nyie kinawauma nini jamani wivu mbaya ongera sana mwijaku
Sio kwamba wivu..... Mwijaku kaona akisema kanunua Gari bovu ivyo Gari kama nyumba kama box wakina baba levo watamcheka kaona asingizie mke wake
Wanaushamba
Nimeskia iyo kauli ya million tano ya yule kaka kumbe mbwa tu
Siku akija kuachwa atakufa Kama paka alokula sumu
Kumbe bajaji ilikuwa ya kwake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kanunua mwenyewe
mke wangu wanamkopa
Sasa lazima uje uoneshe mtandaoni mambo ya gari,kazi kupenda kusema wenzako kumbe nawewe unapenda kujionesha huna lolote
Kakojoe ulali lela..
Kabisa akojoe alale kweli
Na wewe km unalo onyesha 🤸🏻♂️🤸🏻♂️🤸🏻♂️
Jomba Mwijaku Leo unasutwa makavu live 🤣🤣🤣🤣
Mwongo mkubwa
Mwijaku ndio kanunua Gari kama box hahaha hahahahaha kaona aibu kusema kanunua yeye a naona haibu
maneno mengi mpaka umetoboa siri mwisho ukasema 'nimenunua kwa Jasho langu' 😆 Mwijaku wewe!!!
laki tano kenya haitoshi hata week kwa mtu mmoja 21000ksh
Kapewa na Mama anatangaza movie
🤣🤣nacheka kama mazuri
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 dume zima linafurahiya kupewa gali na mkewe kama kaongwa anakupumbaza uyo mkeo aya kunasiku atakuzawadia na mume mwingine na umpokeeee na utangazee kama unavo ropoka asaivi
Nimecheka 😂
Mmesema kweli tuache mitandao
Fumbo kwa mama samia
🤣🤣🤣🤣 Kazi ipo hapo kwa Mwijaku
Unamshugulikia vizuri iyo ndo zawadi ya kumshugulikia vizur
Dada nimekuelewaaaa
Yan na ile bajaji nimekuelewaaa
Mhh km unaoa Kwa sababu ya ivyo Kuna mapenzi ya dhati kwr hp 🤔🤷🏾♂️
Aya bwan
Huyu jamaa watu wengi hawamuelewi ni comedian watu wanafikiri viingine
Da huu ❤
Mpende mkeo Mwijaku sifa kwa mwanamke bwana
😃
Daah jomba jomba mwijaku kampeni ya wanaume huko bongo muanze kuogongwa magar na kununuliwa vitu kama zote, jamani nchi wanawake mmeachiwa muanze kununulia wanaume magari 😂😂😂😂😂🏃🏿🏃🏿
😄😄😄😄😄😄Mwijaku nyie🙌
Alivyo mkavu Sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwijaku mkavu 😂😂😂😂😂😂
Mwajuma choko tu
ilo Gali au jini mjini
Mwinjakuu hiyo ni alfad
Mwijaku 😂😂😂
mmempa makavu. nimependa
Mwijaku leo kapowa kumbe yupo na bosi wake, katupiga gari kanunua mwenyewe, alafu wenzake wakionesha magari yeye analaumu oooh ushamba kumbe na wewe ndio yale yale
Kha!! Lexus??😳🤣🤣🤣
Geah🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo bei sjui umeijuaje naakati hujanunua wewe?😁😁
Umesema ukweli dada yagu
Haha Yaani Tanzanians nawapenda tu sana
Mwijaku ni MNAFIKI,muongo Sana mshenzi
Mambo ya kishamba sana sana
Gea umeshikika🤣🤣🤣
Me tunakaa watatu na laki 5 hainitoshi jmn 😭😭😭
Hiyo logo la lexus iko wapi?🤣
😂😂😂😂🤣tuma mtambua sasa
Chizi
Chizi hilo
katika majinga duniani we lijinga ,ushamba wakiume unamdomo mtoto , wakulelewa unajisifu misifa mingine upumbavu
Mwijaku atakuwa msenge si bure mamaaee zake
@@capteinchuimchafu7894 😄😄😄mbona hili nalisikia sana eti