TAZAMA UTAJIRI WA ARISTOTE KWENYE FAHARI YA NYUMBA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024

Komentáře • 14

  • @righitkileo
    @righitkileo Před 8 měsíci +1

    ❤❤❤hiii ndo kali kuzid ile mwafulan❤❤❤Aristote baba❤❤❤❤umeua❤❤❤

  • @julianaharrison4356
    @julianaharrison4356 Před 8 měsíci +2

    Hilo neno mimi napenda eneo kubwa nilivyoona nyumba ya Mwijaku nikasema angejenga nyumba ktk eneo kubwa ingependeza sana

  • @chachajulius4481
    @chachajulius4481 Před 8 měsíci +1

    Safi Sana kaka nyumba Ina eneo la kutosha

  • @salhaomar5382
    @salhaomar5382 Před rokem +4

    Hongera zako

  • @happylynguya3464
    @happylynguya3464 Před rokem +7

    Nyieeee kuna watu wanaakili jamani, amejenga wapi? Labda alinunua heka moja kwa shilingi milioni moja, natamani nijue mtaa ambao amejenga na kumiliki heka mbili na nusu.

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Před rokem +2

    😂😂😂😂 Aristoteee❤❤

  • @AdrianoStephen
    @AdrianoStephen Před 7 měsíci

    Ni Hela za uproduza au uproduza ni kivuli tuuuu ila mungu ndioo anajua ukweli wako kanyaga twende alistote

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 Před 7 měsíci

    Arstotee hongera Sana ❤❤❤❤

  • @Bossbebe05
    @Bossbebe05 Před 8 měsíci +1

    Ramani ya nyumbani kama hii inagarimu sh ngapi mpaka nyumba kukamilika please