Matajiri wawili wa Tanzania waonyeshana Jeuri ya Pesa, Shabiby Vs Gsm

Sdílet
Vložit

Komentáře • 173

  • @joramkimario9321
    @joramkimario9321 Před 2 lety +26

    Ukitaka kuanza kununua lako ukiwaomba ushauri utasikia biashara ngumuuu.

  • @alenimgaya3889
    @alenimgaya3889 Před 2 lety +18

    Kama wote wamelipa kodi inayostahili hakuna shida tatizo litakuja kama watakuwa wemefanya ukwepaji Kodi inayostahili hapo watanufaika wao tu nasio wananchi kama wamefanya hvyo nawapongeza kiukweli mana hizo niajira pia kwavijana.

    • @karasuyazidi8547
      @karasuyazidi8547 Před 2 lety +3

      Pole sana kwani hapo wakiajiriwa madereva na wasaidizi je wananchi hawanufaiki mambo ya Kodi we hayakuhusu ukitaka kujua nenda sehemu husika ukaulizie je wamelipa Kodi ofisi ipo wazi

    • @godwinrespiqus4153
      @godwinrespiqus4153 Před 2 lety +1

      Sasa we Kodi inakuhusu Nini ..

    • @norbertmuze8891
      @norbertmuze8891 Před 2 lety

      Acha wivu

    • @fatumaomary6110
      @fatumaomary6110 Před rokem

      Aka kajamaa kana wivu kweli si kodi hautuhusu watu wakipata ajira inatosha rohoo mbay tu

    • @kelvincharles4998
      @kelvincharles4998 Před rokem

      Kodi ikilipwa kihalali mzee biashara inafungwa, ikifungwa watu wanakosa ajira, muwekezaji anawekenza nje ya Nchi, na hiyo kodi inaweza ikakusanywa na miradi ya mandeleo isifanyike 👌

  • @catchall9364
    @catchall9364 Před 2 lety +14

    Mungu awabariki, anampa amtakaye.

  • @bahatibahati5217
    @bahatibahati5217 Před 2 lety +15

    Mungu awabaliki mungu aendelee kuwaongezeea zaidi NAMI kwangu ikawe hivi siku moja

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 Před 2 lety +19

    Wabongo wivu unawasumbua mwenzio akipata muombee dua

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 Před 2 lety

      Wabongo tuna akili za kimasikini hatupendi kuona mtu kafanikiwa

    • @jabirjabir4652
      @jabirjabir4652 Před rokem

      Hatulijui hilo

  • @fadhilikyandofadhilikyando5666

    Hongera zao nas tutapata zetu siku moja

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 Před rokem +1

    GSM vs SHABIBY ni sawa na kulinganisha na SIMBA SC vs GWAMBINA FC

  • @machakayohana9200
    @machakayohana9200 Před 2 lety +5

    shabby ametisha GSM ana viduku

  • @godfreychitanda2031
    @godfreychitanda2031 Před rokem +1

    Wezi tu hao, hao wote waarabu na marafiki zao ni viongozi wetu, wanaipiga saana nchi yetu wakisaidiana na wastaafu na waliopo madarakani, tunajua yoote

    • @godfreychitanda2031
      @godfreychitanda2031 Před rokem

      Ujinga na upuuzi kujadili utajir wa watu na kuwaona kama miungu watu, ungejua usingeweza kutupia mtandaoni Mambo kama haya, watu wanadhulumiwa sheikh WANGU,

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před 2 lety +4

    Mungu awabariki zaidi .

  • @yunusimchala9306
    @yunusimchala9306 Před 2 lety +9

    Huyu GSM ANAZALISHA AJIRA KWA WATZ KWANI MADEREVA WATAPATA AJIRA NA UKIMCHUKIA GSM SAWA NA KUMCHUKIA MUNGU WAKO MAANA HUMPA AMTAKAE

    • @chambambuga5587
      @chambambuga5587 Před 2 lety +1

      Kwani shabbiby anazalisha ajira kwa wakongo, ushabiki mpaka kwenye mambo ya kijamii. Hakuna asiyezalisha ajira kwa WATANZANIA

    • @hasaniabdalah6148
      @hasaniabdalah6148 Před 2 lety +1

      Usiende mbali huko mungu ni mungu hafananishwi tuwaheshimu waliopewa na mungu ila tusiwafananishe na mungu

    • @glorychiwala2892
      @glorychiwala2892 Před 2 lety +1

      Usimlinganishe na Mungu utachapwa wewe

  • @amisichigwiye5945
    @amisichigwiye5945 Před 2 lety +2

    Salute kwao

  • @jumanassoro1552
    @jumanassoro1552 Před rokem +1

    Wasafilishaji wa tanzanight na madawa ya kulevya

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 Před 2 lety +9

    Ndiyo.maana unasikia sgr kuanza inapigwa danadana tarehe, wakubwa tayari wameshaleta mabasi na malori yao

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 Před 2 lety

      SGR ilitakiwa ikamilike 2019 wala sio danadana

    • @abineljoab1813
      @abineljoab1813 Před 2 lety

      Nakuunga mkongo

    • @karasuyazidi8547
      @karasuyazidi8547 Před 2 lety

      Sasa sgr inahusiana nini na mtu kuagiza gari zake akili yako ya umasikini ndo inakupa tabu

  • @jumaally2469
    @jumaally2469 Před 2 lety +8

    Magufuli ayupo acha wez watanue GSM a.k.a mzee wa msoga ccm oyeeee

    • @jostamzxkaole3113
      @jostamzxkaole3113 Před 2 lety

      😂😂

    • @edgarnandonde48
      @edgarnandonde48 Před 2 lety

      kumbeee

    • @karasuyazidi8547
      @karasuyazidi8547 Před 2 lety

      Usichokijua hao hawajaanza leo kuagiza magari hata wakati magu yupo yaliingia mengi tu usichokijua siku zote kila mtu Mungu kamjaria uwezo wake we una uwezo wa kuwaza matajiri wezi wenzako wanamiliki pesa we endelea kulia huku CZcams

    • @jumaally2469
      @jumaally2469 Před 2 lety

      @@karasuyazidi8547 Wakubwa wakiongea vitu vikubwa ww kaa kmyaa wkt wako bado huna ulijualo wamekimbia kwao yemen ww unajua hilo

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 Před rokem

    Inshallah mwenyezi Mungu nasi atatupa

  • @sophiasamwel3374
    @sophiasamwel3374 Před 2 lety +8

    Lakini kifo ni kimoja wote tunakaa kimya

  • @aishanassoro8326
    @aishanassoro8326 Před 2 lety +1

    Izo Gali mbona kipindi Cha magu hazikununuliwa hivi izo zitakuahazijalipia ushuru

  • @fatmaalwiy7651
    @fatmaalwiy7651 Před rokem +2

    Mashaa llah

  • @ikulunimahalipatakatifu7642

    Safi sana

  • @maimunashaban9538
    @maimunashaban9538 Před 2 lety +4

    Hongera sana bos wetu

  • @justinemathias5987
    @justinemathias5987 Před 2 lety

    yes ikwo

  • @suleymanimuhamadi1842

    Ukiuliza hawa wote ni waislam ,lkn je wameufanyia nn uislam wao , uhalisia uko hivi ( Kile ulichokitoa au ulichokitumia ndio chako ) Allah awajaalie wawe mfano kwenye dini pia

  • @geraldkbona5595
    @geraldkbona5595 Před rokem

    acga kufananisha gsm na vitu vya ajabu ajabu wew

  • @fatmaalwiy7651
    @fatmaalwiy7651 Před rokem

    Allah awazidishie

  • @hezronpeterhongoli9060
    @hezronpeterhongoli9060 Před 2 lety +1

    Hata kidonda kikiwa kipyae utasifia ila kilianza toa usaa utaazatangaza donda hili bwana haliponi,,🔥

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 Před 2 lety

    GSM ni noma Aisee

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 Před 2 lety +5

    Wameanza tena. Enzi za mzee wetu Magu huu ujinga wa kutambishiana mali haukuwepo, tuliheshimiana kwa kuwa sote ni binadamu. RIP Magu

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 Před 2 lety +4

      Acha akili za kimasikini

    • @selemaniselemani7014
      @selemaniselemani7014 Před 2 lety +1

      Akili za kimasikini kama mtu mali yake kaipata kwa uhalali kuna shida gani? Kama huna tulia ,

    • @joellipunge729
      @joellipunge729 Před 2 lety

      Ulimbukeni Tajiri Bakhresa Hana mda huo.

    • @edinawilliam2943
      @edinawilliam2943 Před 2 lety +1

      Wako sawa tu kuliko.wangeshindana kuonga

    • @isacktesha6659
      @isacktesha6659 Před 2 lety +1

      Tafuta hela uheshimike ,acha utoto na mawazo ya kifukara

  • @rashidsultan619
    @rashidsultan619 Před rokem +1

    Anunue Volvo Kama anauwezo

  • @kasimally5651
    @kasimally5651 Před rokem

    Shabib zinazunguka stand zinaingia na kutoka so zinaonekana nyingi gsm shida

  • @comfortmunuo5545
    @comfortmunuo5545 Před 2 lety

    Kweli ila ingekuwa scania ningestuka

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 Před 2 lety +1

    Duh gsm hatarii

  • @pioustrevol3468
    @pioustrevol3468 Před 2 lety

    Apoooh tajir n mmoja tyu

  • @man9daclassic91
    @man9daclassic91 Před 2 lety +2

    Shabiby ni zaidi

    • @lucasmhagama8166
      @lucasmhagama8166 Před rokem

      Hakuna anayejua nani zaidi kwa sababu hujui

    • @Tatafati-uk8vy
      @Tatafati-uk8vy Před rokem

      Anaejua aliomjalia kuwa zaidi kama umeumia yy kuwanacho kafie mbele

  • @johngyunda3094
    @johngyunda3094 Před 2 lety +3

    BM lazma ukimbizwe saiv

  • @samwelimbise5208
    @samwelimbise5208 Před rokem

    Daaa kwel

  • @nassoronassoro-pc4zp
    @nassoronassoro-pc4zp Před rokem

    Saa kaka.umatisha

  • @saumsaum1916
    @saumsaum1916 Před rokem +1

    Kila kitu kinabaki hapa duniani

    • @Tatafati-uk8vy
      @Tatafati-uk8vy Před rokem

      Unaonekana usha umia Allah ndio kishambarikia tena hata kama kilakitu kitabaki hapa hapa duniani hata nguo zako pia hutazikwa nazo zitabaki

  • @hamisjuma7573
    @hamisjuma7573 Před 2 lety +1

    Bwana awatie nguvu

  • @mrmeshack
    @mrmeshack Před 2 lety +4

    Daah kweli Tanzania kuna wenye vyao

    • @nardhismhagama6266
      @nardhismhagama6266 Před rokem

      Uwaulize hell wametowa wapi mwaka. 67 azimio la Arusha 81 uhujumu uchumi wao wametowa wapi hela mwanamboka iko wapi tango kwacha Tanganyika makampuno ya uchukuzi yoooote yamefilisika mpaka na shilika landege lilifilisika ngoja tuone maana bwana kulikuwa na Scandinavia kiswere the big mayai swaibu ng'olika no charenj fresh yashamba labda sisi wengine hatuna akili

    • @fakiisaidy
      @fakiisaidy Před rokem

      Hali ngumu hali ngumu dadeki, wewe ndio huna pesa.

  • @nardhismhagama6266
    @nardhismhagama6266 Před rokem

    Ndio kwa maana reli inachelewa

  • @tabithatayarcharles4563

    Hey

  • @Tee-King
    @Tee-King Před 2 lety +1

    Jeuri ya pesa au wa2 wanafanya kaz?!!

  • @jonimarwa597
    @jonimarwa597 Před rokem

    Huu ubabe ukitoka kwao na kwetu sisi wa hali ya chini tunaanzwa kutishiwa

  • @pioustrevol3468
    @pioustrevol3468 Před 2 lety

    Hukutakiwa kucompare hao watu wawili

  • @bonnymbatha8429
    @bonnymbatha8429 Před 2 lety

    Huku Town au kijijini, infant nawashangaa am from Kenya

    • @karasuyazidi8547
      @karasuyazidi8547 Před 2 lety

      Pole sana unateseka

    • @joivon3038
      @joivon3038 Před rokem

      Huko n njee ya mji ndo stendi za bus zilipo unapajua dar we pqlivo na foleni uje uweke stendi mjini au unashangaa ujinga

  • @hamisikisoma2742
    @hamisikisoma2742 Před 2 lety +1

    Ukisikia tunalamba asali ndiyo huku maana hizo Ndinga za GSM Barambara ya darajan kigamboni kama walipita kw kulipa kivuko basi pesa chafu imeachwa pale getini

  • @privatusjohanes1410
    @privatusjohanes1410 Před 2 lety

    GSM Akasome, Apo afui dafu🐱🐱🐱🐱🐱

  • @sashoright8213
    @sashoright8213 Před 2 lety

    Ela znazochangwa pale kwa kuingilia zijenge pembezon kwa ilo jengo kutazid kunoga

  • @saidjumanne3999
    @saidjumanne3999 Před 2 lety

    Thomas seleman

  • @stephensapp8375
    @stephensapp8375 Před 2 lety

    Hivi Mabasi Na Njaa Kipi Bora

  • @marwambagi8796
    @marwambagi8796 Před 2 lety

    Kampuni iko mkoa gani

  • @noahnsubc1666
    @noahnsubc1666 Před rokem

    Una maliza Mb kuangalia magari ya wenzako akat huna hata ist acha upuuzi wew wenzako washatoboa kazi kubishana tu

  • @beatricempinga8224
    @beatricempinga8224 Před 2 lety +2

    Km Yana vyoo, ugonjwa wa UTI utapamba moto.

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha3422 Před rokem

    Vyote hivyo vitakwisha.! Kifo kitatawala na kujivuna. Mali ya hujuma na wizi.

  • @sashoright8213
    @sashoright8213 Před 2 lety

    Hii ndege Sasa Kama kwel is gar zipo bongo tumepiga hatua💞💞😂

  • @salumuhamisimjelajelamadib9315

    Tajiri wengi hanunui kesho magari wakopa kwa wachina baresa ndio tajiri alinunua Volvo kesho 100

  • @salomemahenge5900
    @salomemahenge5900 Před 2 lety

    Bosi wa dar yanga afiric

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Před 2 lety +1

    Madeni tuu hayo mariba yasikushitueni

  • @emmanuels.shigela9108
    @emmanuels.shigela9108 Před 2 lety

    Naiomba contact yako kaka

  • @josephsamuel7088
    @josephsamuel7088 Před rokem

    Enzi za uhujumu na upigaji zinerudi

  • @selemaniselemani7014
    @selemaniselemani7014 Před 2 lety

    Magari mazuri ndani baada ya mwezi kama daladala

  • @petermuriithi9480
    @petermuriithi9480 Před rokem

    ,ukichiba funika tumbo,tena wañao kula nà uma hawajui wala kwa vidole huchomeka ,wanazema hawatumii akili

  • @joshualaitei6275
    @joshualaitei6275 Před 2 lety

    Kwa hiyo barabara zinazojengwa kwa Kodi zetu wanamiliki wao wenyewe
    Pongezi kwao

    • @karasuyazidi8547
      @karasuyazidi8547 Před 2 lety

      Kwani we umekatazwa kumiliki magari hata wao hizo barabara zinawahusu kwani ni wananchi kama wewe akili zako za umasikini

  • @yohanagabriel6061
    @yohanagabriel6061 Před 2 lety

    Kwaya

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Před rokem

    Daah awa mafogo atari sanaa wamechafukwaa

  • @sasakawagroupone50
    @sasakawagroupone50 Před rokem

    Na kwanini uwaombe ushauli huku unamacho unaona mwenyewe

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 Před 2 lety +1

    Heee ndege or bas 😍🙈

    • @philipobunyomyo5172
      @philipobunyomyo5172 Před 2 lety

      Sasa unataka tajili mwenye mabilioni yake aishi kama wewe kulia lia ahaha iyo roho ya kichawi

    • @Tatafati-uk8vy
      @Tatafati-uk8vy Před rokem

      Hiziroho za husuda zinatisha sana yani ukisoma tu comment ya mtu unajua asha umia mtu kuwanacho

  • @mussalusinde7716
    @mussalusinde7716 Před 2 lety

    Halafu waañdishi msiwe machawa wa matajili kwakua hamjatoka nnje ya Tanzania mkaona mataili wanavo nunua magali michina mnasifia he mikiona wazambia wanaonunua mascania mavolvo itakuaje ?

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 Před 2 lety

      Raha Sana jamani nimewafurahia Sana jamani mungu azidi kuwabariki na wengine

  • @masatumgeta196
    @masatumgeta196 Před 2 lety

    Yote 9_10 kwa mo cha mtoto

  • @amospiusngeleja9776
    @amospiusngeleja9776 Před rokem

    Yangekuaga hayaanguki ingekuaga fahari!

    • @Tatafati-uk8vy
      @Tatafati-uk8vy Před rokem

      Aliompa atamlinda na hilo bomu mdomo wako hata binadamu huzalliwa na asiishi milele kwahiyo heshimu kujaliwa kwa mtu

  • @jameskabenga8295
    @jameskabenga8295 Před 2 lety +2

    Jeuri ya pesa au they do their business 😤

    • @Tatafati-uk8vy
      @Tatafati-uk8vy Před rokem

      Ukifanya masikhara utalazwa chumba cha kuhifadhia sikwa husuda hiyo wacha kwani ww huna kiwili wili unamdomo tu inuka kaoshe hata chooo upate mia yako uwe najeur nayo unaumwa na husuda na mali yamtu

  • @hujacharles2223
    @hujacharles2223 Před rokem

    Ilo BC linafanya safari za kwenda wapi nkapande?

  • @karimuthedon6761
    @karimuthedon6761 Před 2 lety

    Duuh sio mchezo

  • @elisaraclement8252
    @elisaraclement8252 Před 2 lety

    Gsm gsm

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita476 Před 2 lety +2

    GSM GSM GSM GSM GSM GSM GSM

  • @salomemahenge5900
    @salomemahenge5900 Před 2 lety

    Du

  • @highmedland9280
    @highmedland9280 Před rokem

    Km hauna msukule huwezi kutoa lzm ndugu mmoja umtoe denda bila ivo huendi mbingun🥂😂🤰🚀💪

    • @Tatafati-uk8vy
      @Tatafati-uk8vy Před rokem

      Umezowea ushirikina sasa unataka kusema kila mwenye mali ni shirikina

  • @elishasolomon9742
    @elishasolomon9742 Před 2 lety +1

    Kiberti kimewaka chenyewe

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 Před 2 lety

    Hizo gari Zinaendaga wapi mbona uku hazipo tunduma Dar

  • @emmanuelamos5393
    @emmanuelamos5393 Před rokem

    gsm4=shabiby1

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada Před 2 lety

    tajir ni MO tu

  • @jumaa_manandi1149
    @jumaa_manandi1149 Před rokem

    Hv basi moja n kama sh ngapi

  • @kajishijakasabuku
    @kajishijakasabuku Před rokem

    Wewe jeuri yako nini hata dagaa wa kwanza ni gumzo mtaani

  • @rajmkonje7149
    @rajmkonje7149 Před 2 lety

    Hivi mimi sina undugu hata kdg na gsm kweli mbona ka tunafanana kwa mbali?

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 Před 2 lety

    Gsm

    • @suleimanmuhammed1347
      @suleimanmuhammed1347 Před 2 lety

      Sio kama unapo mali hizo ukaona zote zimenuliwa Ana madeni kibao hapo kama wamenunua gari 30 bs zilizo lipiwa gari 7 au 10 zilizo baki utarejesha hela taratibu lakini kwa jiri sio masinyi wa mungu tajiri Kichwa chake kimebeba mizigo mito yenye kilo za shaba

    • @Tatafati-uk8vy
      @Tatafati-uk8vy Před rokem

      Sasa mbona una mbweka hayo madeni alishakwambia anakopa kulipa umsaidie?

  • @karimabubakary385
    @karimabubakary385 Před 2 lety

    Reli kazi ipo

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Před 2 lety

    Biashara ya mabasi muwisho wake kufililisika ukitaka usitake

  • @theodorymwalongo7509
    @theodorymwalongo7509 Před 2 lety

    Natumaini hawapati misamaha ya kodi

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před rokem

    Tunawaombea kheri tuu

  • @vukotz1491
    @vukotz1491 Před 2 lety

    TV ISIYOTUMIA UMEME >>> czcams.com/video/MPjTEFcmKU8/video.html

  • @karimuthedon6761
    @karimuthedon6761 Před 2 lety

    Duuh so mchezo

  • @abdallahdaudi1616
    @abdallahdaudi1616 Před 2 lety

    Mskorokoro

  • @michaelkessy5740
    @michaelkessy5740 Před rokem

    Biashara ina siri ndani yake.
    Unafanya biashara kidogo ila hela zinaongezeka bila kujua zinatoka wapi ndio matajiri wakubwa wanafanya michezo hiyo.
    Ila shabby yuko juu zaidi ya GSM.
    Bus moja sawa na vichwa 6 hadi 10.
    #HonMichaelDeusdedityKessy.

  • @bawazirtwalib1659
    @bawazirtwalib1659 Před 2 lety

    GSM kibolo yao

  • @jenitarthadeus2903
    @jenitarthadeus2903 Před rokem

    Ujinga huu unafanywa sasa kwanini haukufanyika enzi za JPM

  • @francerwelamila1712
    @francerwelamila1712 Před 2 lety

    Naomba contact zako

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita476 Před 2 lety +1

    GSM GSM GSM GSM GSM GSM GSM