Kama wote wamelipa kodi inayostahili hakuna shida tatizo litakuja kama watakuwa wemefanya ukwepaji Kodi inayostahili hapo watanufaika wao tu nasio wananchi kama wamefanya hvyo nawapongeza kiukweli mana hizo niajira pia kwavijana.
Pole sana kwani hapo wakiajiriwa madereva na wasaidizi je wananchi hawanufaiki mambo ya Kodi we hayakuhusu ukitaka kujua nenda sehemu husika ukaulizie je wamelipa Kodi ofisi ipo wazi
Kodi ikilipwa kihalali mzee biashara inafungwa, ikifungwa watu wanakosa ajira, muwekezaji anawekenza nje ya Nchi, na hiyo kodi inaweza ikakusanywa na miradi ya mandeleo isifanyike 👌
Wezi tu hao, hao wote waarabu na marafiki zao ni viongozi wetu, wanaipiga saana nchi yetu wakisaidiana na wastaafu na waliopo madarakani, tunajua yoote
Ujinga na upuuzi kujadili utajir wa watu na kuwaona kama miungu watu, ungejua usingeweza kutupia mtandaoni Mambo kama haya, watu wanadhulumiwa sheikh WANGU,
Usichokijua hao hawajaanza leo kuagiza magari hata wakati magu yupo yaliingia mengi tu usichokijua siku zote kila mtu Mungu kamjaria uwezo wake we una uwezo wa kuwaza matajiri wezi wenzako wanamiliki pesa we endelea kulia huku CZcams
Ukiuliza hawa wote ni waislam ,lkn je wameufanyia nn uislam wao , uhalisia uko hivi ( Kile ulichokitoa au ulichokitumia ndio chako ) Allah awajaalie wawe mfano kwenye dini pia
Uwaulize hell wametowa wapi mwaka. 67 azimio la Arusha 81 uhujumu uchumi wao wametowa wapi hela mwanamboka iko wapi tango kwacha Tanganyika makampuno ya uchukuzi yoooote yamefilisika mpaka na shilika landege lilifilisika ngoja tuone maana bwana kulikuwa na Scandinavia kiswere the big mayai swaibu ng'olika no charenj fresh yashamba labda sisi wengine hatuna akili
Ukisikia tunalamba asali ndiyo huku maana hizo Ndinga za GSM Barambara ya darajan kigamboni kama walipita kw kulipa kivuko basi pesa chafu imeachwa pale getini
Ukifanya masikhara utalazwa chumba cha kuhifadhia sikwa husuda hiyo wacha kwani ww huna kiwili wili unamdomo tu inuka kaoshe hata chooo upate mia yako uwe najeur nayo unaumwa na husuda na mali yamtu
Sio kama unapo mali hizo ukaona zote zimenuliwa Ana madeni kibao hapo kama wamenunua gari 30 bs zilizo lipiwa gari 7 au 10 zilizo baki utarejesha hela taratibu lakini kwa jiri sio masinyi wa mungu tajiri Kichwa chake kimebeba mizigo mito yenye kilo za shaba
Biashara ina siri ndani yake. Unafanya biashara kidogo ila hela zinaongezeka bila kujua zinatoka wapi ndio matajiri wakubwa wanafanya michezo hiyo. Ila shabby yuko juu zaidi ya GSM. Bus moja sawa na vichwa 6 hadi 10. #HonMichaelDeusdedityKessy.
Ukitaka kuanza kununua lako ukiwaomba ushauri utasikia biashara ngumuuu.
😂😂😂
Hahahahahaha!
dhuuuh na ni kweli umuongea
Sinikwel siutazid kuleta mashindano.niwewe sasa kuuchukua ushsur upambanie kombe unafikiri ata kubal ashuke maana ukiingia ni mnagawana
password haitolewi kirahisi jombaa 😀
Kama wote wamelipa kodi inayostahili hakuna shida tatizo litakuja kama watakuwa wemefanya ukwepaji Kodi inayostahili hapo watanufaika wao tu nasio wananchi kama wamefanya hvyo nawapongeza kiukweli mana hizo niajira pia kwavijana.
Pole sana kwani hapo wakiajiriwa madereva na wasaidizi je wananchi hawanufaiki mambo ya Kodi we hayakuhusu ukitaka kujua nenda sehemu husika ukaulizie je wamelipa Kodi ofisi ipo wazi
Sasa we Kodi inakuhusu Nini ..
Acha wivu
Aka kajamaa kana wivu kweli si kodi hautuhusu watu wakipata ajira inatosha rohoo mbay tu
Kodi ikilipwa kihalali mzee biashara inafungwa, ikifungwa watu wanakosa ajira, muwekezaji anawekenza nje ya Nchi, na hiyo kodi inaweza ikakusanywa na miradi ya mandeleo isifanyike 👌
Mungu awabariki, anampa amtakaye.
Kwa kweli aliepewa kapewa
Mungu awabaliki mungu aendelee kuwaongezeea zaidi NAMI kwangu ikawe hivi siku moja
Aliyenacho ataongezewa usienacho utanyang'anywa hata kidogo ulichonacho
Inshaallah
Matajiri duniani wote walikwepa taxes
Pia NAMI nawabariki. Nawe pia Mi mkenya.
@@jovinmagali8001 Wewe una akili na siku utapata
Wabongo wivu unawasumbua mwenzio akipata muombee dua
Wabongo tuna akili za kimasikini hatupendi kuona mtu kafanikiwa
Hatulijui hilo
Hongera zao nas tutapata zetu siku moja
GSM vs SHABIBY ni sawa na kulinganisha na SIMBA SC vs GWAMBINA FC
shabby ametisha GSM ana viduku
Wezi tu hao, hao wote waarabu na marafiki zao ni viongozi wetu, wanaipiga saana nchi yetu wakisaidiana na wastaafu na waliopo madarakani, tunajua yoote
Ujinga na upuuzi kujadili utajir wa watu na kuwaona kama miungu watu, ungejua usingeweza kutupia mtandaoni Mambo kama haya, watu wanadhulumiwa sheikh WANGU,
Mungu awabariki zaidi .
Huyu GSM ANAZALISHA AJIRA KWA WATZ KWANI MADEREVA WATAPATA AJIRA NA UKIMCHUKIA GSM SAWA NA KUMCHUKIA MUNGU WAKO MAANA HUMPA AMTAKAE
Kwani shabbiby anazalisha ajira kwa wakongo, ushabiki mpaka kwenye mambo ya kijamii. Hakuna asiyezalisha ajira kwa WATANZANIA
Usiende mbali huko mungu ni mungu hafananishwi tuwaheshimu waliopewa na mungu ila tusiwafananishe na mungu
Usimlinganishe na Mungu utachapwa wewe
Salute kwao
Wasafilishaji wa tanzanight na madawa ya kulevya
Ndiyo.maana unasikia sgr kuanza inapigwa danadana tarehe, wakubwa tayari wameshaleta mabasi na malori yao
SGR ilitakiwa ikamilike 2019 wala sio danadana
Nakuunga mkongo
Sasa sgr inahusiana nini na mtu kuagiza gari zake akili yako ya umasikini ndo inakupa tabu
Magufuli ayupo acha wez watanue GSM a.k.a mzee wa msoga ccm oyeeee
😂😂
kumbeee
Usichokijua hao hawajaanza leo kuagiza magari hata wakati magu yupo yaliingia mengi tu usichokijua siku zote kila mtu Mungu kamjaria uwezo wake we una uwezo wa kuwaza matajiri wezi wenzako wanamiliki pesa we endelea kulia huku CZcams
@@karasuyazidi8547 Wakubwa wakiongea vitu vikubwa ww kaa kmyaa wkt wako bado huna ulijualo wamekimbia kwao yemen ww unajua hilo
Inshallah mwenyezi Mungu nasi atatupa
Lakini kifo ni kimoja wote tunakaa kimya
nikweli ipa duniani wenzetu wanakula bata
Tafuta hela
Izo Gali mbona kipindi Cha magu hazikununuliwa hivi izo zitakuahazijalipia ushuru
Mashaa llah
Safi sana
Hongera sana bos wetu
Mambo
Shabby yuko vzr GSM chamtoto
yes ikwo
Ukiuliza hawa wote ni waislam ,lkn je wameufanyia nn uislam wao , uhalisia uko hivi ( Kile ulichokitoa au ulichokitumia ndio chako ) Allah awajaalie wawe mfano kwenye dini pia
acga kufananisha gsm na vitu vya ajabu ajabu wew
Allah awazidishie
Hata kidonda kikiwa kipyae utasifia ila kilianza toa usaa utaazatangaza donda hili bwana haliponi,,🔥
GSM ni noma Aisee
Wameanza tena. Enzi za mzee wetu Magu huu ujinga wa kutambishiana mali haukuwepo, tuliheshimiana kwa kuwa sote ni binadamu. RIP Magu
Acha akili za kimasikini
Akili za kimasikini kama mtu mali yake kaipata kwa uhalali kuna shida gani? Kama huna tulia ,
Ulimbukeni Tajiri Bakhresa Hana mda huo.
Wako sawa tu kuliko.wangeshindana kuonga
Tafuta hela uheshimike ,acha utoto na mawazo ya kifukara
Anunue Volvo Kama anauwezo
Shabib zinazunguka stand zinaingia na kutoka so zinaonekana nyingi gsm shida
Kweli ila ingekuwa scania ningestuka
Duh gsm hatarii
Apoooh tajir n mmoja tyu
Shabiby ni zaidi
Hakuna anayejua nani zaidi kwa sababu hujui
Anaejua aliomjalia kuwa zaidi kama umeumia yy kuwanacho kafie mbele
BM lazma ukimbizwe saiv
Daaa kwel
Saa kaka.umatisha
Kila kitu kinabaki hapa duniani
Unaonekana usha umia Allah ndio kishambarikia tena hata kama kilakitu kitabaki hapa hapa duniani hata nguo zako pia hutazikwa nazo zitabaki
Bwana awatie nguvu
Daah kweli Tanzania kuna wenye vyao
Uwaulize hell wametowa wapi mwaka. 67 azimio la Arusha 81 uhujumu uchumi wao wametowa wapi hela mwanamboka iko wapi tango kwacha Tanganyika makampuno ya uchukuzi yoooote yamefilisika mpaka na shilika landege lilifilisika ngoja tuone maana bwana kulikuwa na Scandinavia kiswere the big mayai swaibu ng'olika no charenj fresh yashamba labda sisi wengine hatuna akili
Hali ngumu hali ngumu dadeki, wewe ndio huna pesa.
Ndio kwa maana reli inachelewa
Hey
Jeuri ya pesa au wa2 wanafanya kaz?!!
Huu ubabe ukitoka kwao na kwetu sisi wa hali ya chini tunaanzwa kutishiwa
Hukutakiwa kucompare hao watu wawili
Huku Town au kijijini, infant nawashangaa am from Kenya
Pole sana unateseka
Huko n njee ya mji ndo stendi za bus zilipo unapajua dar we pqlivo na foleni uje uweke stendi mjini au unashangaa ujinga
Ukisikia tunalamba asali ndiyo huku maana hizo Ndinga za GSM Barambara ya darajan kigamboni kama walipita kw kulipa kivuko basi pesa chafu imeachwa pale getini
GSM Akasome, Apo afui dafu🐱🐱🐱🐱🐱
Ela znazochangwa pale kwa kuingilia zijenge pembezon kwa ilo jengo kutazid kunoga
Thomas seleman
Hivi Mabasi Na Njaa Kipi Bora
Kampuni iko mkoa gani
Una maliza Mb kuangalia magari ya wenzako akat huna hata ist acha upuuzi wew wenzako washatoboa kazi kubishana tu
Km Yana vyoo, ugonjwa wa UTI utapamba moto.
Vyote hivyo vitakwisha.! Kifo kitatawala na kujivuna. Mali ya hujuma na wizi.
Hii ndege Sasa Kama kwel is gar zipo bongo tumepiga hatua💞💞😂
Mbona yapo kitambo sana
Tajiri wengi hanunui kesho magari wakopa kwa wachina baresa ndio tajiri alinunua Volvo kesho 100
Kesho au kesh?
Bosi wa dar yanga afiric
Madeni tuu hayo mariba yasikushitueni
Naiomba contact yako kaka
Enzi za uhujumu na upigaji zinerudi
Magari mazuri ndani baada ya mwezi kama daladala
,ukichiba funika tumbo,tena wañao kula nà uma hawajui wala kwa vidole huchomeka ,wanazema hawatumii akili
Kwa hiyo barabara zinazojengwa kwa Kodi zetu wanamiliki wao wenyewe
Pongezi kwao
Kwani we umekatazwa kumiliki magari hata wao hizo barabara zinawahusu kwani ni wananchi kama wewe akili zako za umasikini
Kwaya
Daah awa mafogo atari sanaa wamechafukwaa
Na kwanini uwaombe ushauli huku unamacho unaona mwenyewe
Heee ndege or bas 😍🙈
Sasa unataka tajili mwenye mabilioni yake aishi kama wewe kulia lia ahaha iyo roho ya kichawi
Hiziroho za husuda zinatisha sana yani ukisoma tu comment ya mtu unajua asha umia mtu kuwanacho
Halafu waañdishi msiwe machawa wa matajili kwakua hamjatoka nnje ya Tanzania mkaona mataili wanavo nunua magali michina mnasifia he mikiona wazambia wanaonunua mascania mavolvo itakuaje ?
Raha Sana jamani nimewafurahia Sana jamani mungu azidi kuwabariki na wengine
Yote 9_10 kwa mo cha mtoto
Yangekuaga hayaanguki ingekuaga fahari!
Aliompa atamlinda na hilo bomu mdomo wako hata binadamu huzalliwa na asiishi milele kwahiyo heshimu kujaliwa kwa mtu
Jeuri ya pesa au they do their business 😤
Ukifanya masikhara utalazwa chumba cha kuhifadhia sikwa husuda hiyo wacha kwani ww huna kiwili wili unamdomo tu inuka kaoshe hata chooo upate mia yako uwe najeur nayo unaumwa na husuda na mali yamtu
Ilo BC linafanya safari za kwenda wapi nkapande?
Duuh sio mchezo
Gsm gsm
GSM GSM GSM GSM GSM GSM GSM
Du
Km hauna msukule huwezi kutoa lzm ndugu mmoja umtoe denda bila ivo huendi mbingun🥂😂🤰🚀💪
Umezowea ushirikina sasa unataka kusema kila mwenye mali ni shirikina
Kiberti kimewaka chenyewe
Hizo gari Zinaendaga wapi mbona uku hazipo tunduma Dar
Uyo uwa anauza
gsm4=shabiby1
tajir ni MO tu
Hv basi moja n kama sh ngapi
Laki tisaaa
Wewe jeuri yako nini hata dagaa wa kwanza ni gumzo mtaani
Hivi mimi sina undugu hata kdg na gsm kweli mbona ka tunafanana kwa mbali?
😳
Gsm
Sio kama unapo mali hizo ukaona zote zimenuliwa Ana madeni kibao hapo kama wamenunua gari 30 bs zilizo lipiwa gari 7 au 10 zilizo baki utarejesha hela taratibu lakini kwa jiri sio masinyi wa mungu tajiri Kichwa chake kimebeba mizigo mito yenye kilo za shaba
Sasa mbona una mbweka hayo madeni alishakwambia anakopa kulipa umsaidie?
Reli kazi ipo
Hyo reli itauliwa tu mwenyewe hayupo JPM
Biashara ya mabasi muwisho wake kufililisika ukitaka usitake
Mawazo ya umasikini yanakutesa tafuta pesa wewe
Natumaini hawapati misamaha ya kodi
Tunawaombea kheri tuu
TV ISIYOTUMIA UMEME >>> czcams.com/video/MPjTEFcmKU8/video.html
Duuh so mchezo
Mskorokoro
Biashara ina siri ndani yake.
Unafanya biashara kidogo ila hela zinaongezeka bila kujua zinatoka wapi ndio matajiri wakubwa wanafanya michezo hiyo.
Ila shabby yuko juu zaidi ya GSM.
Bus moja sawa na vichwa 6 hadi 10.
#HonMichaelDeusdedityKessy.
GSM kibolo yao
Kibolo!😄
😂duh!!
Ujinga huu unafanywa sasa kwanini haukufanyika enzi za JPM
Punguza roho mbaya
Naomba contact zako
GSM GSM GSM GSM GSM GSM GSM