Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Huyu dada tunaomba bongo movie imchukue anajua kuigiza sana
Ni bonge movie tayari
Demu mwenyewe muigizaji huyu mbona Kuna tamthilia kibao yumo😅😅😅
Katika tamthilia ya HAIKUFUMA ya JB
Mbn ni muigizaj huyu dada ameigiza kwenye tamthilia ya mwali dstv
Yupo kwenye gemu mbona ni muigizaji azam tv
Crown ilibidi anze na wew Mwanetu Sanya sio Mchaga😢 Diamond afanye jambo kwako kabla mwaka haujaisha Inshallah....Uko talented Broh✊💯
Dada ametisha sana salute 🫡 😊
Mooo 🙌🏾🙌🏾 so talented
Daah na wakubali ila duh 😢😢muna zinguwa Sawa 😢Kaka yangu kaliya adi basi 😢😢
Huy dem yupo kiwandan Sema ndo iv kiwanda hakion talent km hiz ila manzi anajua sanaaaaa 😂😂😂😂😂
Demu linajua sana kuigiza
Bongo Movie wangekua wanaigiza hivi tungefika mbali
We mdada unamjua vzr kinata wew😂😂 sie tunaemjua amekustiri sana😂😂😂
Yaani nimecheka kwa nguvu leo eeeh komosava jamani!!! Hii kali!!! Zuchu imeishi
Huyu dada ni bongo movie ndo maana kaweza
Nimecheka mpaka macho jaman hawa jamaa wanavyopita hy nyimbo
Tulizimiss sana kazi zako mo
Mimi nilishaa lia na mwamba pole sans😢🎉😂😂😂😂
Dada anajua sana 🎉🎉🎉
Shekhe sharifu majin nusu yapande kinata kapatikana😂😂😂😂
Daaah 😮😅 noma sana bhana sanya
Hii imeenda 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kitu kizuri ni iyo Sala ambayo Kinata MC ame sali kila kitu niku weka Allah mbele ya yote…….. big up Motown Sanya na team yote kwa hard work munayo fanya tuna penda saana kipindi…. We here from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Daaah sema mwanangu mpole huyu kama ni mm lazima ale moja nzito kwanza ndy tiongee vizuri amanini
This girl did it well❤❤ 🎉
Alafu kinata anaheshimu wanawake mana hajampiga ht kofi jmn.
Daaah mwanamke anajua sana kuigizaaa daaah
Kibaba Kimemwaga Chozi Manina😢😢😢😢
Dada ana performance nzuri sana, nataman sikumoja tu play pamoja.
Dada unavotaka ndonataka dadekiii😂😂😂😂😂😂
Huyu dada sio poa adi qilio jmn😂😂😂😂
Ila sanyaa😂😂😂😂😂😂
Daaaaaaah ase mmeua
Iyo ni unkwepecable thwings 😂😂😂
Ningekua mm ningeend kumgonga kwel huyo demu
😅😅😅 tok hap nitakuharibu na sura yako nyeupe 😂😂😂😂
Kali kali kaka da hatar
Dah kinata kalia damu yangu kusingiziwa kunauma sema mi nngempga kiti cha kichwa huyo dem angejuta kufanya prank😢
Anaitwa aqwelina uyo ni noma wazee💥🐐
Huyu dada kuna tamthiliya aliigiza kitambo kidogo azam tv anajua sana huyu kwenye scene za kulia lia na kulalamika
Huyu dada kwa kweli hanaweza kuigiza yupo vizuri
Noma
Nimepaliwa KWA kucheka mo sanya soda yangu natakaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hii kalii kuliko zote aisee uyo dada kauaa sanaaa😂😂😂😂
Dah huyo demu ameitendea haki nafasi yake😂 hadi master kamwaga chozi😂😂
Hii kubwa sanya😂😂😂😂
Hii pochi huijui😅😅😅
Huyu dem alitegeka na Denny c tv kenya 😂😂😂 golddigger
🎉🎉🎉🎉dada kajuaaa tenaa kawezaaaaaaa
Kalia
Ichi kipind ni really 😂
Demu kawezaaa sanaaaaaaa❤❤❤❤❤
Dada aliigiza tamthiliya ya haikufuma huyu😅😅
uyu dada akikupeleka mahakaman ata kama huna kosa basi jua umekwisha.
Kinataaaa mtu wa dini❤❤❤
Mimi ningemchapa makofi dada
Was kumbusu kinata necessary??😢😢
Ila moo unazngua mwang mwana kamwaga chozi unajua Sema huy manzi bhn anajua sanaaa
Daimond platinum ❤❤❤❤❤❤
Dada katisha sana 😂😂
Ivi Sanya una chukua muda gn kuwaza jambo km hli😊
Mungu wang wew kaka😢😢😢
Haw ndio wanaume tanzania wanategemeaa waende maandamona😂😂😂
Huyo Dada anaitwa aqwelina mwali yuko vizuri
Anajua sna huyo dada 😅😊
Dah demu anajua sana
Shekhee sharifu majin
Mwanaum halii😂😂😂😂😂
Sister katisha sana
Dada yupo kwenye haikufuma ya JB
Gonga beat 😂😂😂😂😂🙌🏾
Eti hapa nilipo nasikiliza 😂😢
Uyu dada clam anamfaa kufnya nae kaz😂😂😂
Sijapenda 😅
😂😂😂 Dah aisee nyie watu kunasiku mtakuja kufanya mtu aumie
Dah mmemzingua sana jamaa,yaan mpaka na mm nimelia yaan.
😂😂😂😂🙌🙌🙌🔥
Kinataaaa kaliaaa😢
😂😂😂😂😂😂 maskin
Sanya duuh hiki chuma cha leo ni 🔥🔥🔥
Hiyo duwa sasa
Huyo sister anajua ila ttz aache matusi tu
hahahaha
Dada anajua saaana aseee, hapo bila skript
Huyu demu jina lake ni nani jameni, any contact of her please guys?
Huyu dada anajua Hadi so powa
Jmn
Kinata analia h😂😂😂😂
KWANI HAWA WANA WANAIMBA NINI😅😅😅😅
oy kaka uyu dem anajua xanaaaaa lamata mchukue uyu dad anajua xan
Upuuz mwing sana sipendagi wadada kama hawa pumbavu.
Hupendi afu unaangalia
🔥🔥🔥🔥😂😂😂
Acha uongo😂😂😂😂
Iv big Sunday imeenda wap?
Watu wafupi ukiwachanganya kidogo tu wanalia😅😅😅😅😅😅
Eti na ww nitakuharibu na rangi yako nyeupe 😂😂
Sasa huyu mwanaume wa vipi analia!!
Huyu demu kaua sana kwe hii kipande.
Hahah hiyo comasava
😅😅 haya mdogoangu imekaa poa
😁😁😁😁😁😁
Bonge moja la pindi😂🙌
Et Allah amjaze nguvu mwamba 😂😂😂
Mo Sanya ni mtu na nusu😂
Uyu Dem muigizaji tunamjua
Dada aongezewe mshahara
Huyu dada tunaomba bongo movie imchukue anajua kuigiza sana
Ni bonge movie tayari
Demu mwenyewe muigizaji huyu mbona Kuna tamthilia kibao yumo😅😅😅
Katika tamthilia ya HAIKUFUMA ya JB
Mbn ni muigizaj huyu dada ameigiza kwenye tamthilia ya mwali dstv
Yupo kwenye gemu mbona ni muigizaji azam tv
Crown ilibidi anze na wew Mwanetu Sanya sio Mchaga😢 Diamond afanye jambo kwako kabla mwaka haujaisha Inshallah....Uko talented Broh✊💯
Dada ametisha sana salute 🫡 😊
Mooo 🙌🏾🙌🏾 so talented
Daah na wakubali ila duh 😢😢muna zinguwa Sawa 😢Kaka yangu kaliya adi basi 😢😢
Huy dem yupo kiwandan Sema ndo iv kiwanda hakion talent km hiz ila manzi anajua sanaaaaa 😂😂😂😂😂
Demu linajua sana kuigiza
Bongo Movie wangekua wanaigiza hivi tungefika mbali
We mdada unamjua vzr kinata wew😂😂 sie tunaemjua amekustiri sana😂😂😂
Yaani nimecheka kwa nguvu leo eeeh komosava jamani!!! Hii kali!!! Zuchu imeishi
Huyu dada ni bongo movie ndo maana kaweza
Nimecheka mpaka macho jaman hawa jamaa wanavyopita hy nyimbo
Tulizimiss sana kazi zako mo
Mimi nilishaa lia na mwamba pole sans😢🎉😂😂😂😂
Dada anajua sana 🎉🎉🎉
Shekhe sharifu majin nusu yapande kinata kapatikana😂😂😂😂
Daaah 😮😅 noma sana bhana sanya
Hii imeenda 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kitu kizuri ni iyo Sala ambayo Kinata MC ame sali kila kitu niku weka Allah mbele ya yote…….. big up Motown Sanya na team yote kwa hard work munayo fanya tuna penda saana kipindi…. We here from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Daaah sema mwanangu mpole huyu kama ni mm lazima ale moja nzito kwanza ndy tiongee vizuri amanini
This girl did it well❤❤ 🎉
Alafu kinata anaheshimu wanawake mana hajampiga ht kofi jmn.
Daaah mwanamke anajua sana kuigizaaa daaah
Kibaba Kimemwaga Chozi Manina😢😢😢😢
Dada ana performance nzuri sana, nataman sikumoja tu play pamoja.
Dada unavotaka ndonataka dadekiii😂😂😂😂😂😂
Huyu dada sio poa adi qilio jmn😂😂😂😂
Ila sanyaa😂😂😂😂😂😂
Daaaaaaah ase mmeua
Iyo ni unkwepecable thwings 😂😂😂
Ningekua mm ningeend kumgonga kwel huyo demu
😅😅😅 tok hap nitakuharibu na sura yako nyeupe 😂😂😂😂
Kali kali kaka da hatar
Dah kinata kalia damu yangu kusingiziwa kunauma sema mi nngempga kiti cha kichwa huyo dem angejuta kufanya prank😢
Anaitwa aqwelina uyo ni noma wazee💥🐐
Huyu dada kuna tamthiliya aliigiza kitambo kidogo azam tv anajua sana huyu kwenye scene za kulia lia na kulalamika
Huyu dada kwa kweli hanaweza kuigiza yupo vizuri
Noma
Nimepaliwa KWA kucheka mo sanya soda yangu natakaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hii kalii kuliko zote aisee uyo dada kauaa sanaaa😂😂😂😂
Dah huyo demu ameitendea haki nafasi yake😂 hadi master kamwaga chozi😂😂
Hii kubwa sanya😂😂😂😂
Hii pochi huijui😅😅😅
Huyu dem alitegeka na Denny c tv kenya 😂😂😂 golddigger
🎉🎉🎉🎉dada kajuaaa tenaa kawezaaaaaaa
Kalia
Ichi kipind ni really 😂
Demu kawezaaa sanaaaaaaa❤❤❤❤❤
Dada aliigiza tamthiliya ya haikufuma huyu😅😅
uyu dada akikupeleka mahakaman ata kama huna kosa basi jua umekwisha.
Kinataaaa mtu wa dini❤❤❤
Mimi ningemchapa makofi dada
Was kumbusu kinata necessary??😢😢
Ila moo unazngua mwang mwana kamwaga chozi unajua Sema huy manzi bhn anajua sanaaa
Daimond platinum ❤❤❤❤❤❤
Dada katisha sana 😂😂
Ivi Sanya una chukua muda gn kuwaza jambo km hli😊
Mungu wang wew kaka😢😢😢
Haw ndio wanaume tanzania wanategemeaa waende maandamona😂😂😂
Huyo Dada anaitwa aqwelina mwali yuko vizuri
Anajua sna huyo dada 😅😊
Dah demu anajua sana
Shekhee sharifu majin
Mwanaum halii😂😂😂😂😂
Sister katisha sana
Dada yupo kwenye haikufuma ya JB
Gonga beat 😂😂😂😂😂🙌🏾
Eti hapa nilipo nasikiliza 😂😢
Uyu dada clam anamfaa kufnya nae kaz😂😂😂
Sijapenda 😅
😂😂😂 Dah aisee nyie watu kunasiku mtakuja kufanya mtu aumie
Dah mmemzingua sana jamaa,yaan mpaka na mm nimelia yaan.
😂😂😂😂🙌🙌🙌🔥
Kinataaaa kaliaaa😢
😂😂😂😂😂😂 maskin
Sanya duuh hiki chuma cha leo ni 🔥🔥🔥
Hiyo duwa sasa
Huyo sister anajua ila ttz aache matusi tu
hahahaha
Dada anajua saaana aseee, hapo bila skript
Huyu demu jina lake ni nani jameni, any contact of her please guys?
Huyu dada anajua Hadi so powa
Jmn
Kinata analia h😂😂😂😂
KWANI HAWA WANA WANAIMBA NINI😅😅😅😅
oy kaka uyu dem anajua xanaaaaa lamata mchukue uyu dad anajua xan
Upuuz mwing sana sipendagi wadada kama hawa pumbavu.
Hupendi afu unaangalia
🔥🔥🔥🔥😂😂😂
Acha uongo😂😂😂😂
Iv big Sunday imeenda wap?
Watu wafupi ukiwachanganya kidogo tu wanalia😅😅😅😅😅😅
Eti na ww nitakuharibu na rangi yako nyeupe 😂😂
Sasa huyu mwanaume wa vipi analia!!
Huyu demu kaua sana kwe hii kipande.
Hahah hiyo comasava
😅😅 haya mdogoangu imekaa poa
😁😁😁😁😁😁
Bonge moja la pindi😂🙌
Et Allah amjaze nguvu mwamba 😂😂😂
Mo Sanya ni mtu na nusu😂
Uyu Dem muigizaji tunamjua
Dada aongezewe mshahara