Allah anatupa haya mambo bure sisi tunaona kama hakuna kitu kikubwa hebu tumskilize huyu mtu anachozungumza na garama alizotumia na Allah anatupa uhai bure,tumuogope na tujue kua anastahiki kutukuzwa
God is GREAT. Professor Jay, man!!! Praise the Lord!!! It is written that it is not easy to remain strong in the face of temptation. But what can always give us strength are God's promises. Allah will protect you. God keeps his promises. He does not lie and has not blessed us with anger or a life of misery. If you have already received a promise from Him, the presence of sickness around you cannot erase His Word. Do not be afraid, your head is not made to carry worries and do not appear worried because the Lord is with you. Amen!!! Amen!!!
I like the empathy, the ethical probing and professionalism of these three journalists very articulative kudos guys from Kenya, and for Professor Jay you will win this battle mzito.
Profesa kapigania uhai wake kwa ghalama Kali tusioumwa tuendelee kumwomba mungu man kuna homa zingine mungu ndo anaetusaidia mana kwasisi makapuku ambayo hatuna ela tunakufaga kwaajili yakipato pia mungu ndo mkubwa tumuombe mungu aise
Pole sana kaka, aisee, Mungu amejifunua kwako acha muziki mtumikie Mungu alokulejesha tena duniani. Ushuhuda wako utaokowa watu wengi dhidi mkono wa BWANA Mungu.
Nathani serikali inabid kutazama swara ra afya kwa nguvu zote maana kaka mkubwa amesema gharama kubwa sana kwa mtanzania wa kawaida ambae baskeri kwake kitendawili kaka naomba tuendelee kuikumbusha serikali kuusu afya
SERIKALI ITUGHARAMIE MATIBABU WATANZANIA WOTE KWA KUTUMIA KADI YA NIDA!! HII BIMA YA NHIF INABAGUA; KUNA BIMA ZA VIONGOZI NA WANANCHI! TUNAULIZA: KUNA MALARIA YA VIONGOZI NA WANANCHI???? KAMA MNATUJALI WANANCHI, MAITUBAGUE KWENYE MATIBABU!!! KODI TUNALIPA SISI; SASA KWANINI MNATUBAGUA?????
Allah anatupa haya mambo bure sisi tunaona kama hakuna kitu kikubwa hebu tumskilize huyu mtu anachozungumza na garama alizotumia na Allah anatupa uhai bure,tumuogope na tujue kua anastahiki kutukuzwa
Hakika🙏
God is GREAT. Professor Jay, man!!! Praise the Lord!!! It is written that it is not easy to remain strong in the face of temptation. But what can always give us strength are God's promises. Allah will protect you. God keeps his promises. He does not lie and has not blessed us with anger or a life of misery. If you have already received a promise from Him, the presence of sickness around you cannot erase His Word. Do not be afraid, your head is not made to carry worries and do not appear worried because the Lord is with you. Amen!!! Amen!!!
Eeh Mungu hakika wew ndie ujuaye kwanini tunapitia haya,.pole saana legendary joseph haule,.Allah akufanyie wepesi
Duuuh hakika mungu achunguziki mwacheni MUNGU aitwe MUNGU
Daaaahhhh , hakika mwacheni Mungu aitwe Mungu, Legend Prof. Jay, tunakuombea Mola azidi kukuimarishia afya yako
Nasipenda sana nyimbo zake
I like the empathy, the ethical probing and professionalism of these three journalists very articulative kudos guys from Kenya, and for Professor Jay you will win this battle mzito.
Mungu mwema sana,pole kwa changamoto tunapitia lakini Mungu anasimama nas 🙏🙏
Pole sana kaka..mungu akakusimamie afya yako irejee vyema..wew ni mshindi kwa jina la yesu..
😭😭😭😭😭 aisee mungu wangu mbona mm ningekufa!! Mungu niepuxhie katika jina la yesu🙏🙏🙏
Pole broo pia mshkuru mungu sana hakika umepitia wakati mgumu sana na umepitia mazito pole sana mungu atakupa kheri na nguvu nyingi baada dhiki faraja
Pole sana J
Mungu ni mwema kila wakati
😢😢😢😢😢daaah eeeh Mungu endelea kumwimalisha mtu wako afya yake hakika ukuuu wako tumeuona mungu
Mungu nimkubwa sana
Wengine tufe tu .pesa hizo tutoe wapi. Yarabbi tuzidishie afya na uwaponyeshe wagonjwa Wote wa Hospitalini na majumbani. Amin
Mungu mwema Allah akufanyie wepes urud ktk afya yako imara
MUNGU ni mwema. Akutie nguvu upone mapema 🙏
Pole sana brother mungu ndio kila kitu kwani walio wengi hatukutalajia kua utainuka Mungu molo yupo
Huyu kipanya ni bonge la geneus, good question bro
4:35 Mungu akuongoze
utapona inshallah prof jay🙏😍
Bro pole sana
mwaka huu wa 2023 umekuwa mgumu xn kwangu cji usahau mungu akutangulie kaka angu🙏🙏🙏🙏
Mungu mwema
Pole sana
Profesa kapigania uhai wake kwa ghalama Kali tusioumwa tuendelee kumwomba mungu man kuna homa zingine mungu ndo anaetusaidia mana kwasisi makapuku ambayo hatuna ela tunakufaga kwaajili yakipato pia mungu ndo mkubwa tumuombe mungu aise
Uyu ni profesajay
Pole prof jay,but why sindano i-cost 5m? those who deals with heath must look on humanity first before money.
Sisi maskini kazi tunayo
Peke yako hautoweza bro..muhimu kumtanguliza Mwenyezi Mungu
GOd is great
Pole sana kaka, aisee, Mungu amejifunua kwako acha muziki mtumikie Mungu alokulejesha tena duniani. Ushuhuda wako utaokowa watu wengi dhidi mkono wa BWANA Mungu.
Mbona kuna nyimbo za Dini mzee au sio miziki ile? Hujui kama Nyimbo ya kumsifu Mungu inanguvu kuliko Sala!!
Aimbe za dini sio aache
Daaahh sindano moja mill5, maskin hatutoboi tutakufa tu
Mtu wa Mungu naomba kuomba na wewe ili Bwana akuponye nitafute nifunge nakuomba na wewe hakika Mungu anakusudi na wewe
Dah wengine tukiumwa na hatuna ata wakupaza sauti tunakufa ila pole mungu mkunbwa
Pole sana profesa J Jina la mungu Lizidi kuhimidiwa milele
Sote_ni_waja_wa_Mungu_pesa_sio_kitu_huyu_ni_mola_tu_ametaka_abaki_sio_mtu_hata_sisi_masikini_MUNGU_ATATUPIGANIA_tumjue_tu_Muumba_wetu
Allah akuongoze njia ya haki
Maji kujaa ndio matokeo ya figo kutofanya kazi vzr ndio zilikuwa zinaelekea kufeli
Kweli sisi masikini apo una kufa ndani ya siku 2 tu
Profesa nakuomba acha kufanya majiono nawatangazaji pumzika kwanza kakangu
Nathani serikali inabid kutazama swara ra afya kwa nguvu zote maana kaka mkubwa amesema gharama kubwa sana kwa mtanzania wa kawaida ambae baskeri kwake kitendawili kaka naomba tuendelee kuikumbusha serikali kuusu afya
Da,ariugua nn mwamba
Kwanza alikua anaumwa nn hcho
Siku sure ila kulingana na maongezi ni Ugonjwa wa figo
SERIKALI ITUGHARAMIE MATIBABU WATANZANIA WOTE KWA KUTUMIA KADI YA NIDA!! HII BIMA YA NHIF INABAGUA; KUNA BIMA ZA VIONGOZI NA WANANCHI! TUNAULIZA: KUNA MALARIA YA VIONGOZI NA WANANCHI???? KAMA MNATUJALI WANANCHI, MAITUBAGUE KWENYE MATIBABU!!! KODI TUNALIPA SISI; SASA KWANINI MNATUBAGUA?????
Haujui ulisemalo
Yani ni bora wakapunguza wakawekeza kwenye Afya kila mwananchi akawa na bima ya uhakika! Afya kwanza mengine ndo yaje baadae!
Bado mikono inashake maskini mola ampe taafif
Mmmmhhh sisi masikini tutakufa
Kwa kwel
Yani walayyyy
Kipanya maswali yako ni ya muhimu mno!!hiko kichwa kitumike kuleta tija kwa taifa.