MWIJAKU-AMTOLEA UVIVU BABA LEVO KUMTETEA MCHEPUKO WAKE ASMAH/MAMA RUBY KAZAA NAE/KAZALILISHA FAMILIA
Vložit
- čas přidán 16. 01. 2024
- MWIJAKU AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI MWIJAKU-AMTOLEA UVIVU BABA LEVO KUMTETEA MCHEPUKO WAKE ASMAH/MAMA RUBY KAZAA NAE/KAZALILISHA FAMILIA#mwijaku #babalevo
- Zábava
Ikifika mambo ya userious uwa anajielewaga sana huyu baba 😂akili zipo sio Kama ile mijinga ilokuwa inampa kichwa baba levo
Mwijaku today you speak true ❤❤❤❤❤❤❤❤
Mwijaku uneongea kwa Nidhamu sana🙌🏾
Mwijaku umeongea POINT sanaa
Kabisa mwijaku u speak well brother
@mwijaku aisee umeongea point sana wewe baba, kama anaakili baba levo atafakari hili.huyo mchepuko nae ajitafakari.
Well said a lil bit respect to women 🙏🏿❤
Ni kwel kbsa majasho yetu yanawatoa watu mbali😂nyota zinaendana
Naomba TikTok hii jaman imenigusa yote hayo yalikuta mchepuko alisingizia Hadi anamimba kisa tu Mimi nilikuwa na mimba mpaka Leo miaka miwili mimba yake hakazaa na Mimi mtoto wangu anakimbia miaka 2 dunia hii jamani tuwaombee tu wanaume zetu wanavyolishwa mungu ndio anajua
Yaani Leo umeongea pwent Sana
❤❤❤Really kabisa Kakanqu❤❤,Du inaumiza sana mwanaume kumweka hadhara mchepuko .Dharau kubwa sana.Samehe mara 1.Munqu tusaidie.😢😢😢😢😢😢
Ndoa in ngumu sana huwezi.jua huyu mama.Rubi alipitia.mangapi uwezi.jua alikelwa nini. Pole mama Rubi ila kazi unayo
Na huo ndo ujinga wa michepuko inajiachiaa sana ikisahau waume huwa wanarudi kwa familia zao😅
Hongera mwijaku
Tangu nimjue huyu jamaa leo ndoo kaongea mambo ya maana sana siku nyingine huwa simuelewagi
Wacha usenge wewe kila mtu ndio anajuwa mahusiano yake, wee hujui anachopitia baba levo yule mwanamke kaondoka na kwenda kutombwa na wanaume wengine na kuacha watoto wake na baba yao, mwanamke anayejielewa hawezi kuondoka na kuacha watoto wake..yule mama ruby malaya tuu
Umeongea kitu kizri Sana nadhani kackia
Bravo
Kumbe Mwijaku ana akili eh
Na amuache Esma
Dk chache ndo msingi wa hoja,,,,,,,,,,,,
😍
Yusra njoo uwe mchepuko wangu
Kumbe huyu jamaa ana akili sana, ni vile anajizimaga Data