Video není dostupné.
Omlouváme se.

MKE WA MAALIM SEIF AFUNGUKA KILICHOMUUA MUMEWE/ TULIRUSHWA KICHURA/ NILIFUKUZWA KAZI KISA MAALIM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 01. 2022
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24news@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24Tz
    ⚫️ Facebook: @dar24news
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #AweinaSinan #MaalimSeif #MkeWaMaalim

Komentáře • 323

  • @pastorbonnyphillip8945
    @pastorbonnyphillip8945 Před 2 lety +32

    Narudia tena... Kaka unajitahidi sana ... Kwa neema ya Mungu utafika mbali. Wewe na Salim Kikeke mnafanya vizuri sana....

  • @hono1232
    @hono1232 Před 2 lety +23

    Mama nimekukubali kwamba watoto wa kike ndo walezi !!
    Hongera sana mama

  • @dottieray5435
    @dottieray5435 Před 2 lety +41

    BBC LEVELS indeed....Huyu mtangazaji is so underrated, levels zake ni za BBC...namna anavyostructure maswali yake, namna anavyoengage na huyo mama hadi anacheka, anakua confortable kujibu maswali is on another level...KUDOS for the goodjob.

  • @sadabkari5532
    @sadabkari5532 Před 2 lety +18

    Mashallah mama yetu awena Allah akupe kher na uvumilivu na upate mume mwema Kama baba yetu Almahrumu seif sharifu Hamad.

    • @mustafa-wh8gi
      @mustafa-wh8gi Před rokem

      Allahuma amiin❤

    • @Youngchimodzi823
      @Youngchimodzi823 Před 7 měsíci

      Awena ni.mke mwema,mcheshi, muangalifu,mvumilivu,msiri na akili nyingi.Mume mwingine wa nini Sasa?
      Atambulia uharibifu kimwili ,kiroho na mateso kwake.
      Abaki hivyo hivyo mama Awena akimuenzi mume wake Maalim Seif wakati alipokuwa hai na Leo akiwa amekufa.
      Ameongea vizuri lkn napata shida Zanzibar itawezaje kuwa huru kabla ya Pemba-,Tumbatu na unguja bila kudai uhuru na kila kisiwa kujiamulia mambo yake.
      Huu mtihani,dhambi ya ubaguzi Haina tabia ya kusimama,inakwenda kama moto wa nyika.muungano udumu milele😂

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 Před 2 lety +57

    Baba yetu mzee wetu Sheikh Seiff shariff Hamad Allahumma ighfirlahu warhamhuu waskanhuu fii janna 😭👏

  • @user-dh6uv5lw6c
    @user-dh6uv5lw6c Před 7 měsíci +4

    Allah amjalie Kila la kheri kwenye maisha yake ya kaburini natunakukumbuka sana maalim seif mtetezi wa wanyonge

  • @inthekitchenwithnona4427
    @inthekitchenwithnona4427 Před 2 lety +21

    Ahsante sana mpenzi wetu, Allah akupe nguvu na wepesi Yarrab... Na babaetu Allah amkutanishe na maswahaba na ma walii Yarrab

  • @raykhalamour3666
    @raykhalamour3666 Před 2 lety +4

    Allah amrehemu maalim...bi Awena kajibu vizur..kwakweli very smooth short and clear..hongera kwa mtangazajiii..indeed ..he is very conving one...Anafaa kua international mtangazaji..BBC swahili wamchukue tu ...

  • @fatmaalsharge3257
    @fatmaalsharge3257 Před 2 lety +12

    Innalillah wainna ilaihi rajjiun Allah amlaze mahala pema peponi Ameen ishallah

  • @sprettysalim4659
    @sprettysalim4659 Před 2 lety +7

    Allah Ampe Kauli Thabit Tumempenda Sana Maalim Saif hivi Sasa Hivi Natoka Machozi ,Pole Sana Mama Awena ALLAH atakupa Subra

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před 2 lety +44

    Nafurahi unajistiri mtii mume wako Allah akukutanishe naye peponi inshallah

  • @nassorshaaban7295
    @nassorshaaban7295 Před 2 lety +9

    MashaAllah nawapenda Sana Dar 24 na hasa we Mtangazaji na Brother Shaban kondo

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 Před 2 lety +24

    Mama tumekuelewa na pole
    Sanaa na Tunamuomba allah
    Amrehemu marehemu aliko
    Akhera

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety +24

    Allah Amrehem Mzee wetu Maalim Seif

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 Před 2 lety +26

    Innalillah wainnailaih rajiun Allah amlaze mahal pema pepon ammin 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭💔Maalim wetu hatuwezi kumsahau daima jaman 💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @hamishemed9396
    @hamishemed9396 Před 2 lety +12

    Mama makini sana Allah akujalie subra inshaallah

  • @bakarali9657
    @bakarali9657 Před 2 lety +5

    Pole sana dada yangu bi Awena M mungu akuzidishie subra In shaallah.

  • @Mitusspicetour
    @Mitusspicetour Před 6 měsíci +4

    M / mungu. Amfanyie wepesi. Mama Awena Tupo pamoja.

  • @hamoudabdullah5497
    @hamoudabdullah5497 Před 2 lety +7

    Mashallah. Aunt Aweina amejieleza vizuriii.

  • @nassorshaaban7295
    @nassorshaaban7295 Před 2 lety +12

    Habari zenu ni za uhakika Panapo Jaala ya Allah mtafika Mbali sana

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Před 2 lety +6

    Hongera sana mtangazaji uko vizuri mashallah kwenye kazi yako

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 Před 2 lety +10

    Muna tz pole mama allah AKUZIDISHIE afya na uzima uzidi kuwa na furaha ndio amani kwa sote

    • @Nassy2009
      @Nassy2009 Před 2 lety +1

      Allahuma Ameen yaa Rabbi

  • @mustafa-wh8gi
    @mustafa-wh8gi Před rokem +5

    Allah amsamehe makosa yake maalim seif wetu😭😭😭😭😭😭 tunamuomba allah atuekee mama awena wetu❤❤❤ amuuondoshee mahasid

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Před 2 lety +7

    Hasbiya Allah wani'mal wakiil Mwenye Enzi Mungu ata walipia kwa uwezo wake yaarab

  • @chamchuuconsult4682
    @chamchuuconsult4682 Před 2 lety +3

    Mama yupo vizuri Sana sisi tulioowa walimu tunafaidi Sana full busara Nampa tano mama anajitambua Allah akustiri na kila Shari na watoto wako Allah amsamehe maalim seif amuingize Janna Firdausi.

  • @Alykondo99
    @Alykondo99 Před 2 lety +2

    Asante sister wangu mpenzi Mungu akuzidishie Subra na akupe furaha Daima Ameen love you Usijali Seif mdogo tunaye nakulelea

  • @DamianDavid-hz5gp
    @DamianDavid-hz5gp Před 4 měsíci

    Hongera mama Awena kwa ujasiri ulionao baada ya kuondokewa na mwenzi wako, Mwenyenzi akujalie maisha marefu

  • @janegeogre3234
    @janegeogre3234 Před 2 lety +7

    Daah!... yan mama la mama yan mama ni cute kwelikweli!

  • @yahyaburhan4798
    @yahyaburhan4798 Před 2 lety +6

    Mama awena Mashallah Mashallah Mashallah umeongeya vizuri

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 Před 2 lety +11

    Allah akupe nguvu mama hongera

  • @jumahamis227
    @jumahamis227 Před 2 lety +18

    Mama mvumilivu sana huyo anavyoonekana 😆, hongera sana dar 24 pia, wanasema ukitaka kuwaelewa viongozi vizuri, wahoji wake zao, wanawake wa viongozi wanapitia mengi,wanajua mengi, wavumilivu sana na wana siri kubwa ya kuelewa jinsi ya kuwalea viongozi.

    • @Nassy2009
      @Nassy2009 Před 2 lety +3

      Allahuma Ameen yaa Rabbi

    • @msuyarashid9482
      @msuyarashid9482 Před 2 lety +1

      Mama anaongea vizuri
      Inaonekana naye ana busara kama matehemu mumewe

    • @kassimally5515
      @kassimally5515 Před 2 lety

      @@msuyarashid9482 je?ukotayar tuje tuzibe pengo mma

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 Před 7 měsíci +5

    Mashallah! Mama umejaaliwa busara mwenyezi mungu akupe kheri

  • @enterenter1921
    @enterenter1921 Před 2 lety +4

    Innalilla wainna Illayh rajiunah 😭😭Allah azid kukupandisha darja firdaus,, binafs nilikua nampenda kwaajili ya ALLAH,, ALLAH amjaze subr mkewe maalim Seif naawape furaha family

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 Před rokem +2

    😭😭😭😭😭maalim wetu kipenz chetu mtetezi wetu allah ampe jannah yaa Rab pole mama awena umeumia sana zaid ya sisi lkn allah atawakutanisha pepon

  • @sophiafaith4750
    @sophiafaith4750 Před 5 měsíci

    Pole mama. Allah akupe nguvu. Yaaarabi. Mwenyezi Mungu akupe nguvu.

  • @msemwawalter837
    @msemwawalter837 Před 2 lety +3

    Wanasiasa mjue kwa Mungu ni mbali.
    Aiseee........

  • @aisharevelian6933
    @aisharevelian6933 Před 2 lety +11

    Mama bado mzurii kabisa yan...halaf anaongea vizur😍 mashallah

  • @hemednassor2362
    @hemednassor2362 Před 4 měsíci

    mashAllah maam awena ni mtu wawap

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Před 2 lety +6

    Mama ni smart mno, nimependa na majibu yake ,ingekuwa mwingine angekurupuka kuongea ovyo lakini mama anajua kuongea kutokana na wakati uliopo,hajamlaumu wala kukashifu mtu.

  • @aishakh5046
    @aishakh5046 Před 2 lety +1

    Pola sana Ati yangu pole sana dada yangu misimba miwili kwa mwaka moja Allah akupe subra wazazi wetu hao nikombali nanyiyi ila Allah atatukutanisha insha'Allah

  • @kawtharalbarwani1337
    @kawtharalbarwani1337 Před 2 lety +3

    Tunakupenda mama 😍😍😍Allah akulinde pamoja na family yako inshaAllah amiin

  • @yordanidigital5011
    @yordanidigital5011 Před 2 lety +12

    BBC levels🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Huyu Mtangazaji anajielewa saaaaaaaana

  • @amanimyolo1478
    @amanimyolo1478 Před 4 měsíci

    INNALILLAH wainna ilaih rajiuun Allah akupe shifaa mama yangu

  • @amirybeka9602
    @amirybeka9602 Před 11 měsíci

    Mashaallah mamaa. Allah akufnyie wepes ktk kbri lake. 🎉

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 Před 2 lety +4

    Allah akupe kila la heri inshaa Allah🙏

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi Před rokem +3

    Hongera sana bi Awena, hicho ndio kipimo halisi cha uvumilivu kuna jambo kubwa sana la kujifunza kwako kwa vizazi vyetu vijavyo, Allah akubariki 🙏🙏

  • @rashidjuma1969
    @rashidjuma1969 Před 2 lety +10

    Mungu ampe kauli thabit huko alikoo pamoja na sisi sote

  • @Maryam-yt8lw
    @Maryam-yt8lw Před 2 lety +1

    Mashaallah dada etu Allah amlaze mahali pema peponi mzee wetu Amin

  • @abdelnasseraq7133
    @abdelnasseraq7133 Před 4 měsíci

    الله يغفرله ويرحمه ويدخله فسيح جناته ويلهم اهله الصبر والسلوان وانا لله وانا اليه راجعون

  • @allykingu6954
    @allykingu6954 Před 2 lety +1

    Maashalah mama yupo vizur ,na Hongera bonge la mtangazaj

  • @user-wo2mm1rr7w
    @user-wo2mm1rr7w Před 4 měsíci

    Mashalah mama ❤Awena umeongea vizuri sanaa

  • @masoudrashidmohammed4124
    @masoudrashidmohammed4124 Před 2 lety +3

    Allah akupe nguvu mamaetu kipenzi ila mm nalia bila kituo nakumbuka madhila na mateso tuliopitia wazazinzibar mungu atakupa nguvu zaidi na team DAR 24 MEDIA YETU PENDWA TANZANIA 🇹🇿 ila brother lambat levo yako sio kufanya kazi Africa bbc .dw. au voa sauti ya 🇺🇸

  • @assumptamuzima2745
    @assumptamuzima2745 Před 5 měsíci

    Mama yetu huku anaongea vizuri saana mstarabu saana kwa kweli ahsante saana mama

  • @yordanidigital5011
    @yordanidigital5011 Před 2 lety +4

    Mtangazaji 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾

  • @allymwatima5401
    @allymwatima5401 Před 6 měsíci +1

    Interview nzuri sana. Hongera mwandishi

  • @maxlattinokiki8105
    @maxlattinokiki8105 Před 2 lety +11

    Na sikitika sana Malim nimeanza muelewa dakika za mwisho kabisa Allwah ampe makazi mema peponi

  • @goodluckriwa3425
    @goodluckriwa3425 Před 9 měsíci

    Mama Ana jielewaa kweli Yuko vizuri Sana kichwani , Mungu amjalie Maisha marefu,

  • @barakambilinyi2507
    @barakambilinyi2507 Před 2 lety +11

    Mama yupo vizury.....apewe siku nyingi za kuishi

  • @mudathirmkubwamselem5650
    @mudathirmkubwamselem5650 Před 2 lety +3

    Mama awena mim nakukumbuka haukua ivoo wew ulikua mnene mashallah kipindi kile tunapita tunaenda chuoni kwa malim abasi mtoni kidatuu

    • @mwanaishazain7985
      @mwanaishazain7985 Před 2 lety

      Sasa ulitaka awe je ? Huo ni udhalilishaji eti ulikuwa mnene kamlishe basi anenepe

  • @jumamohammed5378
    @jumamohammed5378 Před 2 lety +1

    MashaAllah mungu akupe kila la khery mama

  • @jafaribori5428
    @jafaribori5428 Před 2 lety +1

    Pole Mama Awena nimekukubali kwa maelezo yako

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Před 2 lety +2

    Siasa ni nzuri. Hakuna mwanasiasa masikini

  • @AHIMTYKIJANGWANIPEMBA-bc2wj

    Pole sana mama pamoja na watoto wko pia poleni sana watoto mliopata sulubu hiyo ila nawao waliowatesa watoto hao mungu atawahukumu mpka kiama

  • @hamishassan6784
    @hamishassan6784 Před 7 měsíci +1

    Historia hii ya Mama inatuwazisha kubadili Namna ya uendeshaji wa Siasa Zetu. Kutofautiana kisiasa kunakuwapo lakini baadhi ya madhila ya kisiasa yasio yalizima haukunahaja ya kuyaendekeza. Hasa Haki za Msingi za waambata wa kisiasa na wale wanaowazunguuka. Nimpongeze sana Rais Mwinyi kwa mabadiliko chanya ya Siasa Zetu Upande wa Visiwani. Ninamatumaini yajayo yanafurahisha

  • @alluabdallah6893
    @alluabdallah6893 Před 6 měsíci

    🎉🎉🎉🎉🎉 Hongera mama nimekubali maoni yako

  • @gracejulius3966
    @gracejulius3966 Před 2 lety +10

    Inavyoonekana Wazanzibar ni Wapole sana na Wenye busara.

    • @ummusamira3518
      @ummusamira3518 Před 2 lety +2

      Nikweli wengi tuko hivyo ila hakuna kizuri kikakosa kasoro na tabia yapili pia wapo ila hawana nguvu kubwa kwasababu asili yetu ni hivyo shukran

    • @hassanally4960
      @hassanally4960 Před 2 lety +3

      Shukran yote ni kwasababu ya imani ya uislam

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu Před 2 lety +3

      Wazanzibari ni wakarimu....kutoka mombasa salaam kwenu

  • @Hassanali-sq2dm
    @Hassanali-sq2dm Před rokem

    ❤❤❤❤hongera mama etu mpendw upo mchesh na umejibu vzr sana mama

  • @user-xh9ko2cs1r
    @user-xh9ko2cs1r Před 5 měsíci

    Nimempenda sana mama mstarabu sana.mwenyezi mwenyezi Mungu amjalie na busara hizo.

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 Před 2 lety +3

    Pole sana mwalimu wangu

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 Před 2 lety +5

    Tena tunamkumbuka sana zaidi ya waliopo madarakani mungu amsamehe makosa yake ampe kheri na pepo njema

  • @mwanaishakhamis8069
    @mwanaishakhamis8069 Před 2 lety +9

    Allah ampe kauli thabit Amin.Maalim seif Hamadi 😂kutoka🇰🇪001county mambasa

    • @Nassy2009
      @Nassy2009 Před 2 lety +1

      Allahuma Ameen yaa Rabbi

    • @kiri5807
      @kiri5807 Před 2 lety +1

      Amin

    • @activetravel7412
      @activetravel7412 Před 2 lety

      Ameen

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu Před 2 lety

      @sheshi beshi wewe senge la mtwapa acha kutangaza tarabu zako hapa

    • @Khalid-mf3iu
      @Khalid-mf3iu Před 2 lety

      @sheshi beshi huna heshima yani watu waongea ya maana ww watuma tarabu zako how senge la mtwapa mombasa ww nakujua vizuri sana

  • @sadabkari5532
    @sadabkari5532 Před 2 lety +3

    Mtangazaji mashallah saut cute 🥰🥰🥰🥰🥰

  • @anawa4326
    @anawa4326 Před 2 lety +2

    Pole sanaaa Mamaaa

  • @abduliauni8048
    @abduliauni8048 Před 2 lety +1

    Mama nakupenda san nakuwona kam mama yangu Allah atakupa tahfiki

  • @yussufdarus
    @yussufdarus Před 7 měsíci

    Hongera mama kwa kujibu maswali ipasavyo Allah akupe kilichobora zaid

  • @jumannerajabu6324
    @jumannerajabu6324 Před 2 lety +10

    mwanandishi kweli umeenda darasa upo vizuli

  • @suleimanmuhammed1347
    @suleimanmuhammed1347 Před 2 lety +1

    Dr mwinyi ni raisi mwenye mawazo naamini Atafkiria na kumpa Ajira biawena na kumsaidia inshallah nakujenga umoja na ushikamano zaidi

    • @khamissalim3701
      @khamissalim3701 Před rokem

      Ajira gani na huyo ni mke wa kiongozi wa juu kabisa na analipwa mpaka kufa kwake.

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 Před 2 lety +7

    I didn’t know the guy but the government machinery walimtesa sana huyu mzee. How ha survived, I don’t know

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 Před 2 lety +2

    Mama awena mlezi wa watoto na mlezi wa marehemu wa maalim seiif

  • @HamadHamad-oy7mp
    @HamadHamad-oy7mp Před rokem +1

    Nakupenda sana mama Awena

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah8505 Před 2 lety +1

    Asalam alykum
    Pole sana mama yetu mama wa Kiongozi wetu almarhamu maalim Seif tunakupenda sana kwa ajili ya Allah sw
    Pia pole sana kwa dhulma waliokufanyia serikali ya ccm Zanzibar walikufukuza kazi kwasababu ya ubaguzi waoo lakini inshallah Allah amekuona na haki yako haitapotea kamwe na walikudhulimu wakumbuke kuwa Allah atawatia mikononi mwake
    Nakupenda sana mama

    • @dreammovementcentre9095
      @dreammovementcentre9095 Před 2 lety

      Tunyamaze tu kaka ila duhhhhhhhh ile sio haki kila siku sisi ila uyu mama allah ampe subra

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Před 2 lety +1

    Siasa nzuri. Hakuna mwanasiasa masikini.

  • @magwinahimself7316
    @magwinahimself7316 Před 2 lety +6

    Mwandishi nakubali sana mahojiano yako una uwezo mkubwa

  • @getitdoneright1938
    @getitdoneright1938 Před 2 lety +2

    Pole sana Mama wa taifa

  • @user-qu1iu7fl9v
    @user-qu1iu7fl9v Před 5 měsíci

    Mh maa pole sana, mshkur mungu tu

  • @aliali-ei3cf
    @aliali-ei3cf Před rokem +1

    Huyu mtangazaji 100%

  • @sabrinasabrina8395
    @sabrinasabrina8395 Před 2 lety +1

    Wewe mwandishi huwa uko very smart yanii nakupendaga sana

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe2967 Před 2 lety +2

    Ahsante mama

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 Před 2 lety +2

    Mama awena nakusalimia mashallah

  • @bonylove6192
    @bonylove6192 Před 2 lety +1

    Mungu akubariki mkewe masrimu seif

  • @geraldtarimo2550
    @geraldtarimo2550 Před 2 lety +4

    Mama Samia msaidie kazi huyu mama

  • @benjaminsteven4818
    @benjaminsteven4818 Před 2 lety +3

    Mungu akupe nguvu mama katupa somo

  • @abuuhashr8351
    @abuuhashr8351 Před 5 měsíci

    Inna lilah wainna ilayh rajiun Mama allah azd kkupa nguvu

  • @mohamediamil3365
    @mohamediamil3365 Před 2 lety +8

    Kama ningekuwa kiongozi ningemtafutia nafasi sirikalini.

  • @rajabseifabdalla710
    @rajabseifabdalla710 Před 7 měsíci

    Allah akupe subra mama Awena

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 Před 2 lety +3

    Mama umeeleza vizuri sana Kuna tofauti kubwa Kati ya mzanzibari na mpemba vitu viwili tofauti na ndio Maana kipindi hicho kulikua na Chama kinaitwa zppp lakini wapemba wengi hawalijui Hilo wafahamisheni walijue Hilo

    • @hemedalawy6527
      @hemedalawy6527 Před rokem

      Hujui lolote ww

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 Před rokem

      Usitubague hakuna Zanzibar bila ya Pemba wala hakuna muungano wa Unguja na Pemba

  • @allyboka4264
    @allyboka4264 Před rokem

    Mama anaekima sana jaman tumuombe mung ampe maisha marefu

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Před 2 lety +1

    Wanawake wa viongozi oyeee😂👌👌👌👌🙏wanakula kiapo kuwatunza waume zao safi....

  • @amosmwanga4027
    @amosmwanga4027 Před 2 lety +5

    Wa kwanza ku comment ni mm toka Bara,

  • @user-hp3kj1bu6b
    @user-hp3kj1bu6b Před 5 měsíci

    Wewe mama unaongea vzur km mumeo mashaallah