Brother Mohamed Dewij you are Man of God 🙏 Mungu azidi kukupigania, una hofu ya Mungu pia una Roho ya upendo ndani Yako.....! Nimejifunza mengi kupitia wewe, let me change my life...! Mungu akubariki 🙏🙏
M.mungu akunusuru haya na mengine.😭😭 baba yangu Humaid Abdullah Humaid mkazi wa Itigi mjini mkoa wa Singida ni marehemu Allah mjaalie makazi mema huko aliko ampe pepo ameen.Alipofariki baada ya week tu walifukua kaburi lake na sijui nini walichofanya Allah ndio anajua zaid😭😭 lkn wakazi wa Singida na Manyoni na Itigi walishirikiana kwa pamoja kwa kumuombea dua marehemu kwa yale alietendewa.Watu wa singida ni watu wema sana.
Mwenyezi Mungu Subhannahu Wata'ala atakulipia leo hapa Duniani na Kesho Akheyra, Aamiin. Namwomba Allah Subhannahu Wata'ala akuepushe na balaa nyinginezo, Aamiin.
Kwa kweli tulikuwa tunakuombea Sana Sana sana hasa Mimi nilikuwa nawaza juu ya mzunguko wa pesa ulivyo Tz halafu watu wanakuja kutupunguzia mabosi wetu. Sisi tunaomba kila siku Mungu Atushushie mabosi wawe wengi kwenye nchi yetu halafu watu wanakuja kuwasumbuasumbua dah!!! Ilinipa tabu Sana lakini tunamshukur Mungu wamekuacha huru mwenyezi Mungu azidi kukulinda siku zote.
Alhamdulillah uko salama. We were so sad when you were kiddnaped. We prayed to Allah for your safety ALHAMDULILLAH. Allah akuhifadhi wewe na sisi sote. Amiin
Enzi za magu na kina makonda si mchezo,unafanyiziwa halafu unasifu mwenyewe,ikizidi huna njia zaidi ya kuwasifu waliokudhalilisha kuwa wamefanya kazi kubwa sana na juhudi
16:18 - 16:30 Your good deeds will forever follow you, nimejifunza. Let's have good intentions, God will spare our lives, what a humble soul Mo. May God keep you longer.
Ukiangalia Nywele,,, na Sura Yake,,,,, utasema muarabu Au Muhindi,,, Allah kamulindaa kwa Moyo wake Mzurii Ana Roho Nzuri,,, Allah Azidi kumtunza Daima
Glory to God 👏 Binafsi na Mungu yupo na sisi watanzania ni watu wenye amain na upendo huweziona inchi yoyote ila hapa Africa.. Mungu anatupenda sana Watanzania!!
Brother Mohamed Dewij you are Man of God 🙏 Mungu azidi kukupigania, una hofu ya Mungu pia una Roho ya upendo ndani Yako.....! Nimejifunza mengi kupitia wewe, let me change my life...!
Mungu akubariki 🙏🙏
Mo Dewji pole ndugu yangu,. Umeongea point sana na umeongea vizuri nashukuru umeelezea huu mkasa maana kunawazushi walizua habari mbaya. Thanks sana
Nchi ilielekea pabaya sana,ni aibu kubwa sana,pole Mh Mo Dewji,poleni Watanzania waliopitia dhahama hizo,Mungu awape amani tena
Mimi Mch EmmanuelMtafya Niko Tunduma,namshukuru sana Mungu kumuokoa mo Dowji ,Nimesikiliza ushuhuda wake nimeogopa lakini ashukuliwe Mungu pekee.
Mungu akuongezee maisha marefu Mo. Leo ndo naiona simulizi yako japo muda mrefu ulishapita imeniumiza sana, mtegemee mungu yeye ni kilikitu kwako
M.mungu akunusuru haya na mengine.😭😭 baba yangu Humaid Abdullah Humaid mkazi wa Itigi mjini mkoa wa Singida ni marehemu Allah mjaalie makazi mema huko aliko ampe pepo ameen.Alipofariki baada ya week tu walifukua kaburi lake na sijui nini walichofanya Allah ndio anajua zaid😭😭 lkn wakazi wa Singida na Manyoni na Itigi walishirikiana kwa pamoja kwa kumuombea dua marehemu kwa yale alietendewa.Watu wa singida ni watu wema sana.
Mwenyezi Mungu Subhannahu Wata'ala atakulipia leo hapa Duniani na Kesho Akheyra, Aamiin.
Namwomba Allah Subhannahu Wata'ala akuepushe na balaa nyinginezo, Aamiin.
Tumekopa gari kutoka kwako gari moja tu nimetoka kwenye udereva wa mabasi Sasa namalizia Deni lako niwe huru Asante Sana bro
Hii,.ni maisha tunaoishi.,mshukru mwenyezi Mungu amekutoa kwa hatari ya maishani.,siyo wote wanabahti kama hiyo., So it's a miracle.
Pole Sana dua zako ni funguo ya Kila mlango upitao hata uwe na rok ngum mungu anafungua
Allah pekee anatosha
MASHALLAH mashallah Allah akuzidishie iman mwanzo hadi mwisho wa dunia
mahojiano mazuri allah akuhifadhi mo dewji
Mashallah. Mungu akustir usiyaone tenants ktk Maisha yako pole sana Bro
Pole sana .Mungu ndiyo mwanzo wetu na mwisho wakila amtegemeae
Very interested pole Sana bro mungu yu pamoja nawe siku zote
Alie ckia neno boc Kutoka kwa mo agonge like zake hapa
Pole sana mo deuji allah amekulinda hakika ulimtengemea alllah ndiyo kakuokoa
Pole sana Shehe wangu Mohamed Dowji,alhamdulillah
Pole sana hakika mwenyezi mungu ni mwema
Mo kwakweli unabusala kubwa na mungu yupamojanae pole sana moyoni naumia kiukweli hao wa2 wabaya mungu awaangamize
Pole sana Mungu akongezeye heli!
Duh pole sana mo mshukuru Mungu pia hawakukuharibu
God does his miracles in mysterious ways. He’ll keep you long enough to tell fairytales and roaring stories. Pole sana kwa yaliyo kukuta
Mungu Ni mwema Sana, wakati wowote, pole MO
Mungu Ni Mwema Mo Dewji
pole sana ndugu hua kwa imani yetu tunaamini roho haitoki ila kwa idhini ya Allah
Singida ilove you mkuu wetu kama wewe mnyaturu gonga like hapa
unyaturu nyuma utanzania mbele
Pole sana ndugu yetu, kwakweli tuliuzunika sana kwa kipindi kigumu ulichopitia, ila baada ya yote tuseme Alhamdulilah Allah ni muweza wa kila kitu. 🙏
Saumu Hassan mambo
Polemo
Mkurugenzi wa Metl Mo Dewji Pole sana kaka Kwa yaliyokukuta lakn you a wisdom bro Allah blessed you
You have a wisdom bro
MO Mungu ni mkubwa Sana. Mungu akubariki sana
Daah so sad.. lkn Mungu ni mkubwa siku zote, humlipa mtu kulingna na nia yke. Una nia nzr na watanzania, Mungu amejaalia ukatoka salama salmin
Ata Mimi nakupenda moo maana kuna siku uliongea kitu Cha iman ukagusa moyo wangu.
Pole sana kwa hayo yote. Inatisha kanisa ila keep up, keep doing it brother. Peace.
Pole kabisa. Bado na sikiya uchungu ndani ya sauti yako. Pole tena Bingwa.
Kwa kweli tulikuwa tunakuombea Sana Sana sana hasa Mimi nilikuwa nawaza juu ya mzunguko wa pesa ulivyo Tz halafu watu wanakuja kutupunguzia mabosi wetu. Sisi tunaomba kila siku Mungu Atushushie mabosi wawe wengi kwenye nchi yetu halafu watu wanakuja kuwasumbuasumbua dah!!! Ilinipa tabu Sana lakini tunamshukur Mungu wamekuacha huru mwenyezi Mungu azidi kukulinda siku zote.
Baada ya yote uliyoyapitia bado unaishi Mungu akupe maisha marefu
Mungu anakupenda kwa mazuri yako wabaya hawata weza mbele yake allah
Pole sana kaka yetu mo dewji kwa matatizo yaliyo kupata
Alhamdulillah uko salama. We were so sad when you were kiddnaped. We prayed to Allah for your safety ALHAMDULILLAH. Allah akuhifadhi wewe na sisi sote. Amiin
Aisee nomaah nimependa Moh alivyojibu jamaa ni smart enough
FAITH, FAITH, FAITH 7:35 - 7:40 Very powerful!
Eee Mungu nipe unyenyekevu zaidi ya huu, Imani yangu nisiiache, ukinipa mafanikio maishani mwangu.
Pole sana mungu bado anataka uishi 😗😗
Allah akuhifadhi akuepishe na mabalaa na mitihani
Dah pole sana boss m.mungu akulinde leo na kesho inshaallah
mungu yu pamoja na wewe mkuu
Huyu jamaa ni humble Sana, anamwita Salim boss
Kuitwa boc sioboc wewe unaeitwa boc. Ndoboc hataumuingizie buku nihela
Pole sana inauma sana ila Mungu ni mwema anajua wema wako kwa watu usichoke kutenda mema
Pore sana mo mungu azidi kukurinda hakika tupo pamoja
Kabisa tajili umeongea neno mashallha watanzani kwenye matatizo pammoja
Pole sana Mohammed Gullam Dewji
Pole sana Kaka...inauma Sanaa wanadamu wengine kucheza na Amani yako hivyo!..unaombewa na wengi Sanaa!...na utaishi Maisha marefu Sanaa!
Pole sana kaka nikuomba bila kukoma
Mm mmoja wapo ambaye umenisaidia Sana nashukuru Sana siku umetekwa niliumia Sana bro pole sana
Najua dua zetu Mungu aliziskia
Umeongea sifa ya watanzania cc hatubaguwani hatuangalii rangi mwalimu nyerere ametuachia Hilo tunajivunia.
Polesana mtani wangu
Allah akulinde kijana wety
Salim you're bright ,thumb up brother!
So cool and clam speaking
Mo pole sana kwa matatizo iliyokukuta lakn mungu bado yupo pamoja nawe tunamshukuru mungu kwa kutenda wema wako mungu
Muombe Mwenyezi Mungu lisikutokee tena
Allah atakuhifadh kila wakati mngu ni mkubwa🙏
Pole sana kaka ulipitia wakati mgumu sana Allah karim
Mwenyenzi mungu akurinde sana
Kila jambo linasababu kutokea katika maisha yetu hapa duniani,jambo lamsingi ni kumshukuru mungu umzima,nothing last forever
Acha kutetea udhaifu ni wasiyo julikana
Nimekusikiliza sana leo naomba unisaidie mimi hataftari tu ninayatima namremavu nawalea
mungu akupe rehema nyingi kaka
Itakusaidia kuwakumbuka wanyonge, pole sana. Allah ashukuriwe
Mwenyemungu mkubwa inshaallah izo nichangamoto
pole sana mo dewji
Ktk matatizo lzm umtangulize mungu na hicho ndo kilicho kusaidia boss ukatoka salama
Pole sana boss Dah hyo lzm ikufanye uwe mchamungu tumejifunza kitu kutoka ktk hili tukio
Pole sana brother
Enzi za magu na kina makonda si mchezo,unafanyiziwa halafu unasifu mwenyewe,ikizidi huna njia zaidi ya kuwasifu waliokudhalilisha kuwa wamefanya kazi kubwa sana na juhudi
Inauma Sana, pole mno Mungu wetu ni mwaminifu
Inauma sana pole sana lauchungu alisauliki lakini muombe mungu tuu
Long life mo dewj
Pole Sana mshikaji wetu, ila na ww umezidi woga sanaa
Pole mungu ajalie tunakupanda❤️❤️❤️♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏🇹🇿😭😭
Pole sana. Uko wapi mm ninashida na mtaji tu ndugu yangu moo. Niliibiwa
Pole sana , inatia uchungu hii kusikiliza ,
Mungu akulinde daima pole Sana dewgi
mungu atatenda makuu
mungu yupp
Pole sana
Pole sana Mo!! Nilisali sana nilijisikia vby wakati wote mungu mkubwa! Aliruhusu uwe hai!
Mimi chadema nami pia ni yanga ila nililia na kuomba sana
16:18 - 16:30 Your good deeds will forever follow you, nimejifunza. Let's have good intentions, God will spare our lives, what a humble soul Mo. May God keep you longer.
hghgghhghghhggggggggģggģggģggggggggggggggggggģgggggggggggggģgģģggggggggggggggģggggģgģgggggggģggģggggģģggggģgggģggggggggģgģggggg hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh hhh hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhjhhh hhhhhhhhhh hhhhjhhhh hhhhhhhhhhhhggģgggggggģgggggggggggggggģggggggggggg
gggggggggggggggģggghhh
Santeeeh!!
@@arcusiusngonyani8639😊😊😊😊😊
😊
Pole sana mzee mo je? Ulivyokuwa unataka kujisaidia hulikuwa unafanyaje mzee
😅😅😅
Walipo Kuja kuniona Mara ya kwanza wamesujudu. Allah Akbar❤️🙏
Pole ndugu moo.. #from +254
Kumbe mo ni mnyaturu, nilikuwa we ni mzungu wa mataifa ya nje, hongera kwa kumtumaini mungu kwenye shida hiyo uloipata mashaalah
Ni Mzur ET
Ukiangalia Nywele,,, na Sura Yake,,,,, utasema muarabu Au Muhindi,,, Allah kamulindaa kwa Moyo wake Mzurii Ana Roho Nzuri,,, Allah Azidi kumtunza Daima
media za bongo baada zikave stories kama hizi ziko busy zina cover umbea
Subhanallah naumia kwa kweli Allah asiwasamehe awachome moto wa jahanamu milele
M/Mungu aendelee kukutunza.Be blessed.
MZM
Bless ur heart
A.ALEYKUM jaman m.mungu mkubwa kweli watanzania tuli muombea sana kwa m.mungu. Allah kareem.
Glory to God 👏
Binafsi na Mungu yupo na sisi watanzania ni watu wenye amain na upendo huweziona inchi yoyote ila hapa Africa.. Mungu anatupenda sana Watanzania!!
Mungu ahimidhiwe kwa kukuokoa
i was cryn the whole time..pole sana MO alhmdullah kwa kutoka salama
Pole sana mama kwa viliyo ulivyoliyaa🙄
Alhmdulillah
Pole kwa hayo yote uliyopitia
@
Mambovp
Allah ataendelea kukulinda daima
Pole sana Mo
Pole.sanaa.mtani.wangu.mnyampaa
pole sanaa kaka mooo simba hoyeeeerrr
Pole sana
super humble man Allah over everything
Aisee pole sana Jamaal yetu