MO DEWJI AZUNGUMZIA KUHUSU KUTEKWA KWAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 10. 2019
  • Mfanyabiashara maarufu wa Tanzania Mo Dewji amezungumza katika mahojiano maalum na BBC kuhusu kutekwa kwake mwaka 2018

Komentáře • 456

  • @jeremiahjulias2002
    @jeremiahjulias2002 Před rokem +5

    Brother Mohamed Dewij you are Man of God 🙏 Mungu azidi kukupigania, una hofu ya Mungu pia una Roho ya upendo ndani Yako.....! Nimejifunza mengi kupitia wewe, let me change my life...!
    Mungu akubariki 🙏🙏

  • @patientlazaro6930
    @patientlazaro6930 Před 3 lety +8

    Mo Dewji pole ndugu yangu,. Umeongea point sana na umeongea vizuri nashukuru umeelezea huu mkasa maana kunawazushi walizua habari mbaya. Thanks sana

  • @modestalois2535
    @modestalois2535 Před 2 lety +7

    Nchi ilielekea pabaya sana,ni aibu kubwa sana,pole Mh Mo Dewji,poleni Watanzania waliopitia dhahama hizo,Mungu awape amani tena

  • @mtafyaemmanuel66
    @mtafyaemmanuel66 Před 4 lety +5

    Mimi Mch EmmanuelMtafya Niko Tunduma,namshukuru sana Mungu kumuokoa mo Dowji ,Nimesikiliza ushuhuda wake nimeogopa lakini ashukuliwe Mungu pekee.

  • @upendomgombozi1239
    @upendomgombozi1239 Před rokem +3

    Mungu akuongezee maisha marefu Mo. Leo ndo naiona simulizi yako japo muda mrefu ulishapita imeniumiza sana, mtegemee mungu yeye ni kilikitu kwako

  • @ashuashu3843
    @ashuashu3843 Před 4 lety +6

    M.mungu akunusuru haya na mengine.😭😭 baba yangu Humaid Abdullah Humaid mkazi wa Itigi mjini mkoa wa Singida ni marehemu Allah mjaalie makazi mema huko aliko ampe pepo ameen.Alipofariki baada ya week tu walifukua kaburi lake na sijui nini walichofanya Allah ndio anajua zaid😭😭 lkn wakazi wa Singida na Manyoni na Itigi walishirikiana kwa pamoja kwa kumuombea dua marehemu kwa yale alietendewa.Watu wa singida ni watu wema sana.

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 Před 3 lety +2

    Mwenyezi Mungu Subhannahu Wata'ala atakulipia leo hapa Duniani na Kesho Akheyra, Aamiin.
    Namwomba Allah Subhannahu Wata'ala akuepushe na balaa nyinginezo, Aamiin.

  • @abdulparesh4899
    @abdulparesh4899 Před 4 lety +9

    Tumekopa gari kutoka kwako gari moja tu nimetoka kwenye udereva wa mabasi Sasa namalizia Deni lako niwe huru Asante Sana bro

  • @gumatohuka8827
    @gumatohuka8827 Před 4 lety +13

    Hii,.ni maisha tunaoishi.,mshukru mwenyezi Mungu amekutoa kwa hatari ya maishani.,siyo wote wanabahti kama hiyo., So it's a miracle.

  • @zaudiarirunguru6877
    @zaudiarirunguru6877 Před 4 lety +2

    Pole Sana dua zako ni funguo ya Kila mlango upitao hata uwe na rok ngum mungu anafungua
    Allah pekee anatosha

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 Před 4 lety +7

    MASHALLAH mashallah Allah akuzidishie iman mwanzo hadi mwisho wa dunia

  • @barackjoshua6712
    @barackjoshua6712 Před 4 lety +5

    mahojiano mazuri allah akuhifadhi mo dewji

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 Před 3 lety +2

    Mashallah. Mungu akustir usiyaone tenants ktk Maisha yako pole sana Bro

  • @alicenoah5407
    @alicenoah5407 Před 5 měsíci +1

    Pole sana .Mungu ndiyo mwanzo wetu na mwisho wakila amtegemeae

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před 4 lety +9

    Very interested pole Sana bro mungu yu pamoja nawe siku zote

  • @stephanom.sylvestor6902
    @stephanom.sylvestor6902 Před 3 lety +4

    Alie ckia neno boc Kutoka kwa mo agonge like zake hapa

  • @abdularuffin9308
    @abdularuffin9308 Před 3 lety +4

    Pole sana mo deuji allah amekulinda hakika ulimtengemea alllah ndiyo kakuokoa

  • @tahiraabdul1701
    @tahiraabdul1701 Před 4 lety +7

    Pole sana Shehe wangu Mohamed Dowji,alhamdulillah

  • @moudyhamisi2641
    @moudyhamisi2641 Před 3 lety +3

    Pole sana hakika mwenyezi mungu ni mwema

  • @user-gf6fp5cg8o
    @user-gf6fp5cg8o Před 4 měsíci +1

    Mo kwakweli unabusala kubwa na mungu yupamojanae pole sana moyoni naumia kiukweli hao wa2 wabaya mungu awaangamize

  • @mpozaurugamba2615
    @mpozaurugamba2615 Před 2 lety +3

    Pole sana Mungu akongezeye heli!

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 Před 2 lety +3

    Duh pole sana mo mshukuru Mungu pia hawakukuharibu

  • @wolfgangkichai8577
    @wolfgangkichai8577 Před 4 lety +28

    God does his miracles in mysterious ways. He’ll keep you long enough to tell fairytales and roaring stories. Pole sana kwa yaliyo kukuta

  • @carolinenjiro41
    @carolinenjiro41 Před 3 lety +4

    Mungu Ni mwema Sana, wakati wowote, pole MO

  • @user-eo7ug2tg9r
    @user-eo7ug2tg9r Před 3 lety +4

    Mungu Ni Mwema Mo Dewji

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu Před 4 lety +25

    pole sana ndugu hua kwa imani yetu tunaamini roho haitoki ila kwa idhini ya Allah

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 Před 4 lety +7

    Singida ilove you mkuu wetu kama wewe mnyaturu gonga like hapa

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 4 lety +5

    Pole sana ndugu yetu, kwakweli tuliuzunika sana kwa kipindi kigumu ulichopitia, ila baada ya yote tuseme Alhamdulilah Allah ni muweza wa kila kitu. 🙏

  • @YAHAYA-xr8pu
    @YAHAYA-xr8pu Před 4 měsíci

    Mkurugenzi wa Metl Mo Dewji Pole sana kaka Kwa yaliyokukuta lakn you a wisdom bro Allah blessed you

  • @lusekelokajigili4564
    @lusekelokajigili4564 Před 2 lety +3

    MO Mungu ni mkubwa Sana. Mungu akubariki sana

  • @legrandmsangi8405
    @legrandmsangi8405 Před 3 lety +5

    Daah so sad.. lkn Mungu ni mkubwa siku zote, humlipa mtu kulingna na nia yke. Una nia nzr na watanzania, Mungu amejaalia ukatoka salama salmin

  • @jilbertdanifordbutemba917

    Ata Mimi nakupenda moo maana kuna siku uliongea kitu Cha iman ukagusa moyo wangu.

  • @vuvuzelajordankhasindu2963
    @vuvuzelajordankhasindu2963 Před 4 měsíci +1

    Pole sana kwa hayo yote. Inatisha kanisa ila keep up, keep doing it brother. Peace.

  • @SuperKayaya
    @SuperKayaya Před 2 lety +2

    Pole kabisa. Bado na sikiya uchungu ndani ya sauti yako. Pole tena Bingwa.

  • @arcusiusngonyani8639
    @arcusiusngonyani8639 Před rokem +2

    Kwa kweli tulikuwa tunakuombea Sana Sana sana hasa Mimi nilikuwa nawaza juu ya mzunguko wa pesa ulivyo Tz halafu watu wanakuja kutupunguzia mabosi wetu. Sisi tunaomba kila siku Mungu Atushushie mabosi wawe wengi kwenye nchi yetu halafu watu wanakuja kuwasumbuasumbua dah!!! Ilinipa tabu Sana lakini tunamshukur Mungu wamekuacha huru mwenyezi Mungu azidi kukulinda siku zote.

  • @momylaviel
    @momylaviel Před 5 měsíci +1

    Baada ya yote uliyoyapitia bado unaishi Mungu akupe maisha marefu

  • @ramadhanshaban4754
    @ramadhanshaban4754 Před rokem +1

    Mungu anakupenda kwa mazuri yako wabaya hawata weza mbele yake allah

  • @rekhaakashi5750
    @rekhaakashi5750 Před 2 lety +2

    Pole sana kaka yetu mo dewji kwa matatizo yaliyo kupata

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf Před 3 lety +5

    Alhamdulillah uko salama. We were so sad when you were kiddnaped. We prayed to Allah for your safety ALHAMDULILLAH. Allah akuhifadhi wewe na sisi sote. Amiin

  • @michaelstanley9898
    @michaelstanley9898 Před 4 lety +18

    Aisee nomaah nimependa Moh alivyojibu jamaa ni smart enough

  • @Da_Gee
    @Da_Gee Před 2 lety +3

    FAITH, FAITH, FAITH 7:35 - 7:40 Very powerful!
    Eee Mungu nipe unyenyekevu zaidi ya huu, Imani yangu nisiiache, ukinipa mafanikio maishani mwangu.

  • @nasseradel9784
    @nasseradel9784 Před 3 lety +2

    Pole sana mungu bado anataka uishi 😗😗

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 Před 2 lety

    Allah akuhifadhi akuepishe na mabalaa na mitihani

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh203 Před 4 lety +1

    Dah pole sana boss m.mungu akulinde leo na kesho inshaallah

  • @user-qg7wo4sy1z
    @user-qg7wo4sy1z Před rokem +2

    mungu yu pamoja na wewe mkuu

  • @precioussambale1964
    @precioussambale1964 Před 4 lety +26

    Huyu jamaa ni humble Sana, anamwita Salim boss

    • @nadiaahmada7092
      @nadiaahmada7092 Před 3 lety +1

      Kuitwa boc sioboc wewe unaeitwa boc. Ndoboc hataumuingizie buku nihela

  • @selinamnzava7750
    @selinamnzava7750 Před 4 lety +2

    Pole sana inauma sana ila Mungu ni mwema anajua wema wako kwa watu usichoke kutenda mema

  • @mustafaomari6293
    @mustafaomari6293 Před rokem +2

    Pore sana mo mungu azidi kukurinda hakika tupo pamoja

  • @habibmhunga2391
    @habibmhunga2391 Před 5 měsíci +1

    Kabisa tajili umeongea neno mashallha watanzani kwenye matatizo pammoja

  • @rashidlighuda6014
    @rashidlighuda6014 Před 3 lety +2

    Pole sana Mohammed Gullam Dewji

  • @70SIXER7
    @70SIXER7 Před 4 lety +7

    Pole sana Kaka...inauma Sanaa wanadamu wengine kucheza na Amani yako hivyo!..unaombewa na wengi Sanaa!...na utaishi Maisha marefu Sanaa!

  • @abdulparesh4899
    @abdulparesh4899 Před 4 lety +4

    Mm mmoja wapo ambaye umenisaidia Sana nashukuru Sana siku umetekwa niliumia Sana bro pole sana

  • @mariammatandala1409
    @mariammatandala1409 Před 3 lety +2

    Najua dua zetu Mungu aliziskia

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 Před 4 lety +15

    Umeongea sifa ya watanzania cc hatubaguwani hatuangalii rangi mwalimu nyerere ametuachia Hilo tunajivunia.

  • @mhangwacharles1156
    @mhangwacharles1156 Před 4 lety +6

    Polesana mtani wangu

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 Před 4 lety +1

    Allah akulinde kijana wety

  • @emmanuellemalali3034
    @emmanuellemalali3034 Před 4 lety +12

    Salim you're bright ,thumb up brother!

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747 Před 2 lety +1

    So cool and clam speaking

  • @danielmahelaleimba9644
    @danielmahelaleimba9644 Před 4 lety +5

    Mo pole sana kwa matatizo iliyokukuta lakn mungu bado yupo pamoja nawe tunamshukuru mungu kwa kutenda wema wako mungu

  • @libeliusdonati7695
    @libeliusdonati7695 Před 2 lety +1

    Muombe Mwenyezi Mungu lisikutokee tena

  • @twalaataib7337
    @twalaataib7337 Před 3 lety +4

    Allah atakuhifadh kila wakati mngu ni mkubwa🙏

  • @sharifakhamis2461
    @sharifakhamis2461 Před 4 lety +11

    Pole sana kaka ulipitia wakati mgumu sana Allah karim

  • @ashapearubart2624
    @ashapearubart2624 Před 4 lety +7

    Mwenyenzi mungu akurinde sana

  • @origenesmsuya8291
    @origenesmsuya8291 Před 4 lety +1

    Kila jambo linasababu kutokea katika maisha yetu hapa duniani,jambo lamsingi ni kumshukuru mungu umzima,nothing last forever

  • @abdulamir270
    @abdulamir270 Před 4 lety

    Nimekusikiliza sana leo naomba unisaidie mimi hataftari tu ninayatima namremavu nawalea

  • @edwardsalufu6886
    @edwardsalufu6886 Před 3 lety +4

    mungu akupe rehema nyingi kaka

  • @zuberigwakula8531
    @zuberigwakula8531 Před 4 lety +12

    Itakusaidia kuwakumbuka wanyonge, pole sana. Allah ashukuriwe

  • @mahamoudmakotaperfumes8788

    Mwenyemungu mkubwa inshaallah izo nichangamoto

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 Před 2 lety +2

    pole sana mo dewji

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 Před 4 lety +17

    Ktk matatizo lzm umtangulize mungu na hicho ndo kilicho kusaidia boss ukatoka salama

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 Před 4 lety +8

    Pole sana boss Dah hyo lzm ikufanye uwe mchamungu tumejifunza kitu kutoka ktk hili tukio

  • @msilaipimilo1928
    @msilaipimilo1928 Před 4 lety +2

    Pole sana brother

  • @nusalim3389
    @nusalim3389 Před 2 lety +1

    Enzi za magu na kina makonda si mchezo,unafanyiziwa halafu unasifu mwenyewe,ikizidi huna njia zaidi ya kuwasifu waliokudhalilisha kuwa wamefanya kazi kubwa sana na juhudi

  • @felisteranthony8688
    @felisteranthony8688 Před 3 lety +1

    Inauma Sana, pole mno Mungu wetu ni mwaminifu

  • @gipsonmassawe4632
    @gipsonmassawe4632 Před 2 lety +4

    Long life mo dewj

  • @hoseakamchapekaponya3502

    Pole Sana mshikaji wetu, ila na ww umezidi woga sanaa

  • @tatungeni6937
    @tatungeni6937 Před 3 lety +1

    Pole mungu ajalie tunakupanda❤️❤️❤️♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏🇹🇿😭😭

    • @zawadikimaro4087
      @zawadikimaro4087 Před 2 lety

      Pole sana. Uko wapi mm ninashida na mtaji tu ndugu yangu moo. Niliibiwa

  • @FoodTVTube
    @FoodTVTube Před 2 lety

    Pole sana , inatia uchungu hii kusikiliza ,

  • @carmelinapalermo1573
    @carmelinapalermo1573 Před 3 lety +2

    Mungu akulinde daima pole Sana dewgi

  • @saramwajeka5928
    @saramwajeka5928 Před 2 lety +2

    Pole sana

  • @driftdumper8927
    @driftdumper8927 Před 4 lety +6

    Pole sana Mo!! Nilisali sana nilijisikia vby wakati wote mungu mkubwa! Aliruhusu uwe hai!

    • @luluzegema5782
      @luluzegema5782 Před 4 lety +2

      Mimi chadema nami pia ni yanga ila nililia na kuomba sana

  • @Da_Gee
    @Da_Gee Před 2 lety +11

    16:18 - 16:30 Your good deeds will forever follow you, nimejifunza. Let's have good intentions, God will spare our lives, what a humble soul Mo. May God keep you longer.

    • @mradyally6948
      @mradyally6948 Před 2 lety

      hghgghhghghhggggggggģggģggģggggggggggggggggggģgggggggggggggģgģģggggggggggggggģggggģgģgggggggģggģggggģģggggģgggģggggggggģgģggggg hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh hhh hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhjhhh hhhhhhhhhh hhhhjhhhh hhhhhhhhhhhhggģgggggggģgggggggggggggggģggggggggggg

    • @mradyally6948
      @mradyally6948 Před 2 lety

      gggggggggggggggģggghhh

    • @arcusiusngonyani8639
      @arcusiusngonyani8639 Před rokem

      Santeeeh!!

    • @claudiamollel4536
      @claudiamollel4536 Před 7 měsíci

      ​@@arcusiusngonyani8639😊😊😊😊😊

    • @claudiamollel4536
      @claudiamollel4536 Před 7 měsíci

      😊

  • @deverathabalitazari8685
    @deverathabalitazari8685 Před 2 lety +1

    Pole sana mzee mo je? Ulivyokuwa unataka kujisaidia hulikuwa unafanyaje mzee

  • @beejay7354
    @beejay7354 Před 3 lety +1

    Walipo Kuja kuniona Mara ya kwanza wamesujudu. Allah Akbar❤️🙏

  • @ibrahimmusa331
    @ibrahimmusa331 Před 3 lety

    Pole ndugu moo.. #from +254

  • @zboy6321
    @zboy6321 Před 3 lety +6

    Kumbe mo ni mnyaturu, nilikuwa we ni mzungu wa mataifa ya nje, hongera kwa kumtumaini mungu kwenye shida hiyo uloipata mashaalah

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Před 3 lety +2

      Ni Mzur ET

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 Před 5 měsíci

      Ukiangalia Nywele,,, na Sura Yake,,,,, utasema muarabu Au Muhindi,,, Allah kamulindaa kwa Moyo wake Mzurii Ana Roho Nzuri,,, Allah Azidi kumtunza Daima

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo Před 4 lety +15

    media za bongo baada zikave stories kama hizi ziko busy zina cover umbea

  • @halimasaid4977
    @halimasaid4977 Před 4 lety +3

    Subhanallah naumia kwa kweli Allah asiwasamehe awachome moto wa jahanamu milele

  • @lilyrose4066
    @lilyrose4066 Před 4 lety +7

    M/Mungu aendelee kukutunza.Be blessed.

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747 Před 2 lety +1

    Bless ur heart

  • @yusuffharoun7562
    @yusuffharoun7562 Před 4 lety +2

    A.ALEYKUM jaman m.mungu mkubwa kweli watanzania tuli muombea sana kwa m.mungu. Allah kareem.

  • @sallygrace1495
    @sallygrace1495 Před 3 lety +1

    Glory to God 👏
    Binafsi na Mungu yupo na sisi watanzania ni watu wenye amain na upendo huweziona inchi yoyote ila hapa Africa.. Mungu anatupenda sana Watanzania!!

  • @miriamneemavaagen4632
    @miriamneemavaagen4632 Před 3 lety +1

    Mungu ahimidhiwe kwa kukuokoa

  • @fadyanassor6934
    @fadyanassor6934 Před 4 lety +15

    i was cryn the whole time..pole sana MO alhmdullah kwa kutoka salama

  • @munamuna7488
    @munamuna7488 Před 3 lety +1

    Allah ataendelea kukulinda daima

  • @salimstuart3520
    @salimstuart3520 Před 4 lety +3

    Pole sana Mo

  • @waziristeven2676
    @waziristeven2676 Před 3 lety +1

    Pole.sanaa.mtani.wangu.mnyampaa

  • @sharifachacha978
    @sharifachacha978 Před 4 lety +4

    pole sanaa kaka mooo simba hoyeeeerrr

  • @stewardismailngala2815

    super humble man Allah over everything

  • @mohdmnkenyi1542
    @mohdmnkenyi1542 Před 4 lety +3

    Aisee pole sana Jamaal yetu