CDF MABEYO ATINGA IKULU KUMUAGA RAIS MWINYI BAADA YA KUMALIZA MUDA WAKE!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 06. 2022
  • CDF MABEYO ATINGA IKULU KUMUAGA RAIS MWINYI BAADA YA KUMALIZA MUDA WAKE!
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 118

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 Před 2 lety +3

    Ukiwa na Jenerali aliyempa Mungu maisha yake,kuna faida na baraka tele katika nchi.Mkumbuke jenerali Naamani Mkuu wa majeshi ya Shamu, pamoja na ujenerali wake wote alisullender kwa Nabii Elisha, akampa Mungu maisha yake yote,Nchi ya Shamu ikamjua Mungu kuanzia Mfalme na watu wake. Hongera CDF wetu Mungu awe nawe na familia yako.Ulitukuta salaama umetuacha salaama.Mungu akukinge na maadui wa mawili na Roho.Amina

  • @wemawamungu9866
    @wemawamungu9866 Před 2 lety +3

    Ongera Sana mabeo kwa kazi uliyo ifanya kwa uzalendo wako kuilinda nchi yetu Mungu akubariki sana

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 Před 2 lety +8

    But he is still young why can’t they extend his term. Am in a total shock on why his term has not been renewed! God bless him and all the best for the future.

    • @kassimali2273
      @kassimali2273 Před 2 lety

      He has been beged more than 3 times but he has decided to retire mind u he was added 2 years more back in 2020 he was such a loyal

    • @ezekielkandonga9238
      @ezekielkandonga9238 Před 2 lety

      No there should be something behind, I don't see reason for this guy to retire right now whereby there are Still older men than him in the Army

    • @robinsonrespicius2713
      @robinsonrespicius2713 Před 2 lety

      Because the one that appointed him is no longer alive

    • @jescaAmos-cx7iz
      @jescaAmos-cx7iz Před 2 lety

      1

  • @bamsnames149
    @bamsnames149 Před 2 lety +6

    MAMA AMWONGEZE MIAKA JAPO 5 MAANA BADO ANANGUVU NA UTUMISHI WAKE UMENYOOKA SANA INSHAALLAH 🙏

  • @masaimollel2525
    @masaimollel2525 Před 2 lety +3

    Eee Mungu Baba tunaomba tuletee Mtu mwingine kama huyu katik jeshi letu amina🙏🏾

    • @imranijuma6955
      @imranijuma6955 Před 2 lety

      Bora ukosee kuchaguwa RAIS kuliko mkuu wa jwtz

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před 2 lety +40

    Watu wengi hudharau role ya dini katika maisha binafsi ya mtu. Wamtazame huyu Generali: uaminifu, msimamo ulionyooka, kuheshimu dhamana, kutokuwa na pupa wala tamaa.... yote hayo kwa hakika ni tija ya ucha Mungu wake. Kisha mtazame Waziri wetu mkuu pia.
    Religion should be incalculated in our children and taught from an early age. You remove religion from children's upbringing at your own peril. Matatizo mengi katika jamii ya Kitanzania hii Leo ni kwa sababu ya kukosekana malezi ya kumuenzi na kumcha Mungu. Hata hao atheists wana Mungu wao.
    lau si uchamungu wa Generali, kungetokea machafuko makubwa wakati wa kubadilisha madaraka kufuatia kifo cha hayati Magufuli. Kusingekuwa na mabadiliko ya amani.
    Kapumzike vyema Generali mnyoofu.

    • @iddydawood2020
      @iddydawood2020 Před 2 lety +5

      ilibidi wengine tusicomment koz hii ya kwao inatosha na ina akiba.umesema ukweli mtupu.kumjua na kumcha Mungu ndio msingi mkubwa wa maisha ya mwanadamu.

    • @jacquelinemabula2519
      @jacquelinemabula2519 Před 2 lety +5

      Hii comment natamani kuilaminate

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před 2 lety

      Sio Atheists tu kua na mungu hata mabaniani nao wana mungu wao ng'ombe, yaani huu ulimwengu umejaa waungu !
      Sasa ukimcha Mungu usikosee kumjua Mungu wa kweli, si matendo ya wema tu ama mabaya ati ngombe siku hiyoooo ikifika atatoa hukumu.

    • @mbwanarajab4756
      @mbwanarajab4756 Před 2 lety +3

      Jo Jumbe
      Watu kama wewe kwenye jamii yetu ni muhimu mno na mawazo km haya ni mafundisho tosha na sioni cha kuongezea
      Mungu akupe umri wenye mafanikio kwako na kwake pamoja na mwisho mwema.
      Nikweli , wengi tunamkumbuka Mungu hasa kwenye misiba , ila kwenye raha hatuna shida naye..
      Tuelewe bila ya kujali imani yoyote , kwa Mungu tutakusanywa mbele yake wote baada ya kufa na kisha tutahukumiwa kwa yale tuliomuudhi na tuliyoudhi wengine.

    • @simonmalegesi414
      @simonmalegesi414 Před 2 lety

      🛣️🙏🇹🇿

  • @edwardmakonge6951
    @edwardmakonge6951 Před 2 lety +3

    kazi umeimaliza salama kwa kuonyesha uzalendo mkubwa.Utakumbukwa sana jeshini.

  • @angelolukwembe1865
    @angelolukwembe1865 Před 2 lety +1

    Ahante sana afande CDF Mabeyo kwa kazi nzuri sana ya kuliongoza jeshi letu la wananchi kwa ni dhamu ya hali ya juu. Mungu akubariki sana katika maisha mapya ya jayo

  • @kassimmurji632
    @kassimmurji632 Před 2 lety

    Jamaa mwanaume kweli kweli we wil remember years to come,kama daraja imara lilotuvusha watanzania wote nakutokea sehemu salama mm binafsi nakutakia maisha mema kapumzike kwaamani shujaa wetu,ila bado tunakuhitaji kwaushauri wako,mungu akubariki.

  • @maigajohn5828
    @maigajohn5828 Před 2 lety

    Hongera sana kwa kaZi nzuri katika kaZi ya yako ya ulinzi wa taifa letu wewe na timu yako nzima kutulinda kwa amani na kwa moyo wa dhati karibu uraiani tunakaribisha kwa moyo wa dhati karibu sana

  • @annamashauri7421
    @annamashauri7421 Před 2 lety +1

    Mungu wa mbinguni akutunze uishi miaka 100

  • @stephensinka5616
    @stephensinka5616 Před 2 lety +1

    Watu wachache sana katika hii dunia wa kariba yako Mabeyo... God bless 🙌

  • @bellam.vyampi5528
    @bellam.vyampi5528 Před 2 lety

    Hongera sana mkuu kwa hatua hio

  • @danielpallangyo380
    @danielpallangyo380 Před 2 lety +5

    MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU GENERAL 👑👑👑👑👑👑👑TUNAKUPENDA NAKUTAKIA HERI NA MUNGU AKULINDE

  • @geradinadeonatus8929
    @geradinadeonatus8929 Před 2 lety +1

    Tunashukuru kwa kulitumikia Taifa letu la Tanzania na kuliacha kwenye mikono salama tunakutakia kila laheri katika kustafu Mungu akupe afya njema Amina

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 Před 2 lety +1

    Kapumzike kwa amani katika majukumu yako mengine amin😍🥰

  • @shamsakiobia6421
    @shamsakiobia6421 Před 2 lety +2

    Allah akupe maisha marefu

  • @amirikoshuma3039
    @amirikoshuma3039 Před 2 lety +4

    Kiongozi wetu tutakumbuka Sana kwa utendaji kazi wako mzuri .boss lakini Bado taifa linakuhitaji

    • @evelinemsaki2057
      @evelinemsaki2057 Před 2 lety

      Wapate not Kama huyu akiingia mtuu mwenye Mambo mengi t tutashuhudia mengi nchii hi no cdf aliyepata changamoto kuondokewa na rais akiwa madarakani

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 2 lety +1

    Nimekumbuka hotuba yake siku ya mazishi ya JPM.. Alitoa uthibitisho hadharani kwamba wameapa kulinda katiba, kumtii Rais regardless ya jinsi yake..akamwambia Rais atamwambia jambo faraghani.. Naomba sana CDF Mabeo aandike kitabu kuhusu maisha yake.

  • @queenkileo3698
    @queenkileo3698 Před 2 lety +2

    Salute Gen.
    Utumishi uliotukuka.

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 Před 2 lety

    Bwana Ambariki kwa kumalizia vema hongera Sana umetoka vizuri

  • @erodeshayo123
    @erodeshayo123 Před 2 lety

    Mungu akusimamie kiongozi wetu kwenye maisha yako mapya

  • @noelbernard6390
    @noelbernard6390 Před 2 lety

    Salute Kwa General

  • @hijasaid4619
    @hijasaid4619 Před 2 lety

    Kazi kwako mama

  • @ntwajipharles2313
    @ntwajipharles2313 Před 2 lety

    Nakubali

  • @wemawamungu9866
    @wemawamungu9866 Před 2 lety

    Yona matayo mollel mugu akubariki sana kwa kazi

  • @frenkreuben5650
    @frenkreuben5650 Před 2 lety

    Hongera kwa kumaliza muda wako. Mungu akubariki

  • @anganilekalinga9574
    @anganilekalinga9574 Před 2 lety

    Hongereni sana viongozi wetu MUNGU azidi kuwatumia kwa Amani na ustawi wa Nchi yetu.

  • @fidelismwakanyamale6787

    Wewe ni mcha Mungu nenda ukatumikie na kanisa mchàngo wako tumeuona

  • @johnrusibamayila6068
    @johnrusibamayila6068 Před 2 lety +3

    Jamani mwongezeeni muda huyu baba.Napenda kazi yake nzuri
    MUNGU AZIDI KUKULINDA MABEYO.

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 Před 2 lety +1

    Ila mngempa nafasi nyengine basi

  • @ilungasalle
    @ilungasalle Před 2 lety +4

    Hivi sirro wenzake wanapostaafu yeye anazidi kuwa kijana wajameni?

  • @komumbughuni8301
    @komumbughuni8301 Před 2 lety

    umestaafu ukiwa umefanya mengi mema for us hasa ktk wakati wa msiba wa kiongozi aliyepita, umetuvusha,ubarikiwe Gen. Mabeyo.

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Před 2 lety +5

    Ni moja ya watu walio hiheshimisha nchi yetu

  • @princekagame8203
    @princekagame8203 Před 2 lety

    Hapo utaskia janu or mwigulu kawa mkuu wa jeshi chezea mama weee

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Před 2 lety

    Tumpe urais Jenerali Mabeyo baada ya Mama Samia

  • @lukaseliasobwolo7498
    @lukaseliasobwolo7498 Před 2 lety +1

    Jamani watu wazuri ndoo
    Hawadumu kwenye nafasi zao Bora angekua siro

    • @imranijuma6955
      @imranijuma6955 Před 2 lety

      😂😂😂😂😂 kikweli Hana kashfa km siro

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Před 2 lety

    Nilijuatu kuwa hatamaliza mana mama hawataki wote walioachwa na mtangulizi wake bado silo

  • @abdulhamis9825
    @abdulhamis9825 Před 2 lety +2

    Mbona Mapema Sana CDF anaondoka Naona Bado Anahitajika

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 2 lety +1

      Labda Rai's ameamua amuweke WA kwake

    • @abdulhamis9825
      @abdulhamis9825 Před 2 lety

      @@MsAggie5 Hii Ni Hatarii Sasa Maana Inabd Tuangalie Uwezo Wa Mtu Kufanya Kaz Na Sio Siasa

    • @amannesphory7343
      @amannesphory7343 Před 2 lety +2

      Anataka kumuweka wa kwake huyu wa ancle magu

    • @abdulhamis9825
      @abdulhamis9825 Před 2 lety

      @@amannesphory7343 Kwakwel Kama Ni Hvo Tumekosea Sana Hapa Huyu Jamaa Aliweka Nidham Nzr Sana Kwa Jeshi La Polisi Na Ni Mchapakaz Sema Naamin Itakuwa Ni Yy Mwenyew Sio Rahis Kumuondoa Mtu Makin Kama Huyu

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 2 lety

      @@abdulhamis9825 serikali ni raisi, sio Mzee hivyo WA kustaafu halafu huwa wanawekwa na raisi aliyepo madarakani Kwa hiyo kama mama ana wake anayemuona anafaa ndo hivyo....hakuna jinsi.

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Před 2 lety

    Maskini.mh samia naomba umuongezee miaka ya kuendelea ata miwili uwa namkubali Sana uyu baba.

  • @mrishojumbe4572
    @mrishojumbe4572 Před 2 lety

    Siro lini

  • @fredpiter4657
    @fredpiter4657 Před 2 lety

    MUNGU AKUPE AFYA NJEMA GENERAL MABEO WEWE NIMFANO UTULIVU WAKO NIMKUBWA

  • @raphaeljoseph4837
    @raphaeljoseph4837 Před 2 lety

    Good job mabeyo

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari2833 Před 2 lety

    Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU endelea kuwaongoza vyema raisi wetu mwinyi na mkuu wa majeshi yetu ewe mwenyezi MUNGU

  • @josphndungulu804
    @josphndungulu804 Před 2 lety

    Hanger Yako mstaafa cdf mabeyo kapumzike salama kitaaa,

  • @salumumakombo9136
    @salumumakombo9136 Před 2 lety

    vichwa alivyoviacha mwamba Jpm karibia vyote visha achia wadhfa ..daaa aya bhana

  • @godwinkaijage9704
    @godwinkaijage9704 Před 2 lety

    Mi nakujua, isipokuwa ninachoshangaa sijaajiriwa kabisa na umri wangu ni miaka 43. Na nina kuhakikishia hapa Tanzania na nje hakuna anayenishinda kiswahili wala kingereza. Wewe ni jirani yetu Segerea. Wewe si ni kaka yake mama Madulu? Natamani hata ATE yaani Association of Tanzania Employers tuifute nchini haina maana, sie tuliowahi kukaa Ulaya tumechoshwa. Sijui tuanzishe job agency na job centers! Mimi nilifanya kazi na Mwamnyange mdogo The Nation, ( The East Africa) ni mkali sana wa kingereza na involve five countries, Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi. Na nilishaishi England eg London.

  • @husseinmwanjela8644
    @husseinmwanjela8644 Před 2 lety

    Bado napendaa CDF Mabeyo aendelee nafsi yangu bado inamuhitaji hawepo hapo kwenye cheo chake mpaka 2030,amalize na mama yetu tuwaage pamoja.

  • @mkalisimbatv1915
    @mkalisimbatv1915 Před 2 lety +3

    Kakimbia kikotoo huyu😀😀

    • @fauzimohamed5757
      @fauzimohamed5757 Před 2 lety +1

      We tafuta kiki tu hamkawiagi kusema wanajeshi wakorofi wanaonea

    • @husseinshabani9522
      @husseinshabani9522 Před 2 lety

      Acha Ujinga.....Utakuwa lini Wewe....Taifa linaamani Unafikiri ni mchezo mchezo tu....Watu wametowa Maisha Yao kwa Ajili yetu...Wanatulinda Usiku na Mchana....Unakuja kuongea Ujinga Ujinga tu....(Mungu Awape Nguvu na Afya njema Awape Busara zaidi zakutuongoza.Mungu Azidi kuweka Mkono wake katika Taifa ili...na Mataifa mengine pia....In sha Allah Allah Atufanyie Wepesi sote..)

  • @piniellaizer5753
    @piniellaizer5753 Před 2 lety

    Afande taifa kwanza

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před 2 lety

    Nakutakia mapumziko mema CDF Mabeyo, nakushauri Mhe. Mwinyi USIJE ukatuletea huyo mtu, huko jeshini wanajeshi taabani itapigwa mizinga 100 ya furaha. Hana legacy yoyote ndani ya jeshi hivi sasa jeshi hata uniform halina.

  • @buberwarugaiganisa5190
    @buberwarugaiganisa5190 Před 2 lety +1

    Mungu akubariki siku zote Kamanda wetu

    • @joffmastertz2042
      @joffmastertz2042 Před 2 lety

      Umepigana Vita ya kamada tunakuombea kwa mugu katika maisha mapya

    • @meldaedward9581
      @meldaedward9581 Před 2 lety

      Mungu akubariki Kwa kazi nzuri uliyoifanya,akupe zawadi ya maisha yenye furaha ktk uzee wako

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 2 lety

    KAMANDA MABEYO NI MFANO MZURI WA KUIGWA KTK VIKOSI VYETU VYA ULINZI NA USALAMA
    HONGERA KAMANDA MABEYO KWA UFANISI ULIOTUKUKA

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Před 2 lety

    bola angestafu silo kuliko uyu jamanii

  • @mauricempinga935
    @mauricempinga935 Před 2 lety

    Shinikizo

  • @sangulorashoo4116
    @sangulorashoo4116 Před 2 lety

    hamna kitu apo mnatia watu ujinga tu

  • @erodeshayo123
    @erodeshayo123 Před 2 lety

    Yajayo sssa tusubirie maana hiyo co nafasi ya mchezo mchezo Mama mama mama nimekuita mara tatu wacha kuona mambo ni Raisi Jali sana wanyonge kumbuka yakua chakula kinaanza kutumika na mtoto mdogo asiye tambua chochote jitahidi vitu viache kupanda usidhulum hawa wajukuu wako Waacheni watoto wadogo waje kwangu maana ufalme wa Mbinguni niwao Tunakuombea sana Mama kaa tulia na tazama hili

  • @ceciliamagalabajimmy4391

    Watu walivyojaa uroho wa madaraka bila wewe Mabeyo watu wangeuwana, Vurugu zingekuwa kubwa, bila ushauri wa kufuata katiba, bila kuweka msimamo thabiti Mmmmmmmmh. Mabeyo, Mabeyo God bless you you.

  • @fintanmkesha1077
    @fintanmkesha1077 Před 2 lety

    Miss u a lot CDF

  • @saidmlemeta8083
    @saidmlemeta8083 Před 2 lety +2

    Kasfafiswa uyooo watanzania sio wajinga tunaelewa

  • @chrisjacob4057
    @chrisjacob4057 Před 2 lety

    Mhuuuuuuui

  • @aminipangani14
    @aminipangani14 Před 2 lety

    Utukufu ni kwa bwana

  • @malugubrithon1478
    @malugubrithon1478 Před 2 lety

    Nice

  • @enickosanga4921
    @enickosanga4921 Před 2 lety

    Ningekua na mamlaka mwamba angeendelea

  • @quantumcosmos7771
    @quantumcosmos7771 Před 2 lety +4

    THE BEST CDF EVER IN WHOLE AFRICA....HE DESERVE THE MO IBRAHIM AWARD FOR NORBLE PEACE FOR WHAT HE DID TO OUR COUNTRY..NI VILE TU INATOLEWA KWA MARAIS PEKEE..

  • @rajlikhamisi3037
    @rajlikhamisi3037 Před 2 lety

    Michenzo

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 Před 2 lety

    Tutegemee mpemba CDF

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 2 lety +2

      Muhimu na LAZIMA awe Mtanzania, tena umekumbusha kitu cha maana sana Tanzania ni Tanganyika na Zanzibar iwe je viongozi Wakuu wa vyombo vya ulinzi wote watokee Tanganyika tu.

  • @eliudijustinyindi5939
    @eliudijustinyindi5939 Před 2 lety

    Kwaiyo mabeo kastaafu

    • @barakarobert1029
      @barakarobert1029 Před 2 lety

      Acheni kutufanya watanzania kama wajinga hizo ni njama zenu za kumuondoa kisiasa mm anakumbuka kipindi jpm anashika nchi mwamnyanje alikua amestafu lkn kulingana na uzalendo wa nchi magufuli alimuongezea muda mwaka mzima iweje leo huyu toka nchi hii imepata uhuru hakuna cdf aliye ongoza majeshi yetu kwa muula wa miaka mitano au saba nchi yangu Tanzania nakupenda lkn uzalendo haupo ngojeni mtaona mengi sana siasa adi jeshini hii hatar ckumoja mtanikumbuka kwel baba jpm leo tunaona live

    • @barakarobert1029
      @barakarobert1029 Před 2 lety

      Ndio hivyo mzee siyo cdf tena

  • @mtumishiwamungu3111
    @mtumishiwamungu3111 Před 2 lety

    Nimekupenda sana muheshimiwa mabeyo mungu akulinde akupe afya njema

  • @frankmnale1900
    @frankmnale1900 Před 2 lety +1

    CDF Mabeyo ni rafiki yangu kiroho hivo ombi langu baada ya maisha ya utumishi aliyojaliwa na BWANA YESU sasa amtumikie kwa 100% maana majukumu yamepungua
    Karibu kwa BWANA YESU KRISTO anakungoja

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 Před 2 lety

    Sijuwi nani atachaguliwa badala yake. Sasa wote wa Hayati Magufuli nje

    • @alinassor391
      @alinassor391 Před 2 lety

      Mbowe

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 Před 2 lety

      @@alinassor391 MUNGU APISHE MBALI. TENDA ZOTE ZA JESHI ATACHUKUWA YEYE NA FAMILIA YAKE. HATA TUNDU LISSU ATAMUONA TAKA TAKA. HAPO NDIYO MUTAJUWA MBOWE NI MUNYAMA GANI. KWA SASA ANACHEZA MUCHEZO WA KUIGIZA KAMA BABA ASKOFU. MUFUNGUWE MOYONI MWAKE, NI GIZA TUPU. USIOMBE.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 2 lety

      Kutoka Zanzibar

    • @gracegrace6200
      @gracegrace6200 Před 2 lety +1

      @@MsAggie5 basi Tanzania waiite Zanzibar watu wa bara tujuwe hatuna nchi

    • @bernardndemba2253
      @bernardndemba2253 Před 2 lety

      Mnadhim wake mzuri

  • @annamashauri7421
    @annamashauri7421 Před 2 lety

    Mungu wa mbinguni akutunze uishi miaka 100

  • @maunabelius6615
    @maunabelius6615 Před 2 lety

    Hakika katika nyakati zetu tunakushukuru sana