CDF MABEYO ATINGA IKULU KUMUAGA RAIS MWINYI BAADA YA KUMALIZA MUDA WAKE!
Vložit
- čas přidán 5. 06. 2022
- CDF MABEYO ATINGA IKULU KUMUAGA RAIS MWINYI BAADA YA KUMALIZA MUDA WAKE!
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Ukiwa na Jenerali aliyempa Mungu maisha yake,kuna faida na baraka tele katika nchi.Mkumbuke jenerali Naamani Mkuu wa majeshi ya Shamu, pamoja na ujenerali wake wote alisullender kwa Nabii Elisha, akampa Mungu maisha yake yote,Nchi ya Shamu ikamjua Mungu kuanzia Mfalme na watu wake. Hongera CDF wetu Mungu awe nawe na familia yako.Ulitukuta salaama umetuacha salaama.Mungu akukinge na maadui wa mawili na Roho.Amina
Ongera Sana mabeo kwa kazi uliyo ifanya kwa uzalendo wako kuilinda nchi yetu Mungu akubariki sana
But he is still young why can’t they extend his term. Am in a total shock on why his term has not been renewed! God bless him and all the best for the future.
He has been beged more than 3 times but he has decided to retire mind u he was added 2 years more back in 2020 he was such a loyal
No there should be something behind, I don't see reason for this guy to retire right now whereby there are Still older men than him in the Army
Because the one that appointed him is no longer alive
1
MAMA AMWONGEZE MIAKA JAPO 5 MAANA BADO ANANGUVU NA UTUMISHI WAKE UMENYOOKA SANA INSHAALLAH 🙏
Eee Mungu Baba tunaomba tuletee Mtu mwingine kama huyu katik jeshi letu amina🙏🏾
Bora ukosee kuchaguwa RAIS kuliko mkuu wa jwtz
Watu wengi hudharau role ya dini katika maisha binafsi ya mtu. Wamtazame huyu Generali: uaminifu, msimamo ulionyooka, kuheshimu dhamana, kutokuwa na pupa wala tamaa.... yote hayo kwa hakika ni tija ya ucha Mungu wake. Kisha mtazame Waziri wetu mkuu pia.
Religion should be incalculated in our children and taught from an early age. You remove religion from children's upbringing at your own peril. Matatizo mengi katika jamii ya Kitanzania hii Leo ni kwa sababu ya kukosekana malezi ya kumuenzi na kumcha Mungu. Hata hao atheists wana Mungu wao.
lau si uchamungu wa Generali, kungetokea machafuko makubwa wakati wa kubadilisha madaraka kufuatia kifo cha hayati Magufuli. Kusingekuwa na mabadiliko ya amani.
Kapumzike vyema Generali mnyoofu.
ilibidi wengine tusicomment koz hii ya kwao inatosha na ina akiba.umesema ukweli mtupu.kumjua na kumcha Mungu ndio msingi mkubwa wa maisha ya mwanadamu.
Hii comment natamani kuilaminate
Sio Atheists tu kua na mungu hata mabaniani nao wana mungu wao ng'ombe, yaani huu ulimwengu umejaa waungu !
Sasa ukimcha Mungu usikosee kumjua Mungu wa kweli, si matendo ya wema tu ama mabaya ati ngombe siku hiyoooo ikifika atatoa hukumu.
Jo Jumbe
Watu kama wewe kwenye jamii yetu ni muhimu mno na mawazo km haya ni mafundisho tosha na sioni cha kuongezea
Mungu akupe umri wenye mafanikio kwako na kwake pamoja na mwisho mwema.
Nikweli , wengi tunamkumbuka Mungu hasa kwenye misiba , ila kwenye raha hatuna shida naye..
Tuelewe bila ya kujali imani yoyote , kwa Mungu tutakusanywa mbele yake wote baada ya kufa na kisha tutahukumiwa kwa yale tuliomuudhi na tuliyoudhi wengine.
🛣️🙏🇹🇿
kazi umeimaliza salama kwa kuonyesha uzalendo mkubwa.Utakumbukwa sana jeshini.
Ahante sana afande CDF Mabeyo kwa kazi nzuri sana ya kuliongoza jeshi letu la wananchi kwa ni dhamu ya hali ya juu. Mungu akubariki sana katika maisha mapya ya jayo
Jamaa mwanaume kweli kweli we wil remember years to come,kama daraja imara lilotuvusha watanzania wote nakutokea sehemu salama mm binafsi nakutakia maisha mema kapumzike kwaamani shujaa wetu,ila bado tunakuhitaji kwaushauri wako,mungu akubariki.
Hongera sana kwa kaZi nzuri katika kaZi ya yako ya ulinzi wa taifa letu wewe na timu yako nzima kutulinda kwa amani na kwa moyo wa dhati karibu uraiani tunakaribisha kwa moyo wa dhati karibu sana
Mungu wa mbinguni akutunze uishi miaka 100
Watu wachache sana katika hii dunia wa kariba yako Mabeyo... God bless 🙌
Hongera sana mkuu kwa hatua hio
MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU GENERAL 👑👑👑👑👑👑👑TUNAKUPENDA NAKUTAKIA HERI NA MUNGU AKULINDE
Tunashukuru kwa kulitumikia Taifa letu la Tanzania na kuliacha kwenye mikono salama tunakutakia kila laheri katika kustafu Mungu akupe afya njema Amina
Kapumzike kwa amani katika majukumu yako mengine amin😍🥰
Allah akupe maisha marefu
Kiongozi wetu tutakumbuka Sana kwa utendaji kazi wako mzuri .boss lakini Bado taifa linakuhitaji
Wapate not Kama huyu akiingia mtuu mwenye Mambo mengi t tutashuhudia mengi nchii hi no cdf aliyepata changamoto kuondokewa na rais akiwa madarakani
Nimekumbuka hotuba yake siku ya mazishi ya JPM.. Alitoa uthibitisho hadharani kwamba wameapa kulinda katiba, kumtii Rais regardless ya jinsi yake..akamwambia Rais atamwambia jambo faraghani.. Naomba sana CDF Mabeo aandike kitabu kuhusu maisha yake.
Salute Gen.
Utumishi uliotukuka.
Bwana Ambariki kwa kumalizia vema hongera Sana umetoka vizuri
Mungu akusimamie kiongozi wetu kwenye maisha yako mapya
Salute Kwa General
Kazi kwako mama
Nakubali
Yona matayo mollel mugu akubariki sana kwa kazi
Hongera kwa kumaliza muda wako. Mungu akubariki
Hongereni sana viongozi wetu MUNGU azidi kuwatumia kwa Amani na ustawi wa Nchi yetu.
Wewe ni mcha Mungu nenda ukatumikie na kanisa mchàngo wako tumeuona
Jamani mwongezeeni muda huyu baba.Napenda kazi yake nzuri
MUNGU AZIDI KUKULINDA MABEYO.
Ila mngempa nafasi nyengine basi
Hivi sirro wenzake wanapostaafu yeye anazidi kuwa kijana wajameni?
😁😁
Teh
😁 😁 😁
Siku zake zinahesabiwa
umestaafu ukiwa umefanya mengi mema for us hasa ktk wakati wa msiba wa kiongozi aliyepita, umetuvusha,ubarikiwe Gen. Mabeyo.
Ni moja ya watu walio hiheshimisha nchi yetu
Hapo utaskia janu or mwigulu kawa mkuu wa jeshi chezea mama weee
Tumpe urais Jenerali Mabeyo baada ya Mama Samia
Jamani watu wazuri ndoo
Hawadumu kwenye nafasi zao Bora angekua siro
😂😂😂😂😂 kikweli Hana kashfa km siro
Nilijuatu kuwa hatamaliza mana mama hawataki wote walioachwa na mtangulizi wake bado silo
Mbona Mapema Sana CDF anaondoka Naona Bado Anahitajika
Labda Rai's ameamua amuweke WA kwake
@@MsAggie5 Hii Ni Hatarii Sasa Maana Inabd Tuangalie Uwezo Wa Mtu Kufanya Kaz Na Sio Siasa
Anataka kumuweka wa kwake huyu wa ancle magu
@@amannesphory7343 Kwakwel Kama Ni Hvo Tumekosea Sana Hapa Huyu Jamaa Aliweka Nidham Nzr Sana Kwa Jeshi La Polisi Na Ni Mchapakaz Sema Naamin Itakuwa Ni Yy Mwenyew Sio Rahis Kumuondoa Mtu Makin Kama Huyu
@@abdulhamis9825 serikali ni raisi, sio Mzee hivyo WA kustaafu halafu huwa wanawekwa na raisi aliyepo madarakani Kwa hiyo kama mama ana wake anayemuona anafaa ndo hivyo....hakuna jinsi.
Maskini.mh samia naomba umuongezee miaka ya kuendelea ata miwili uwa namkubali Sana uyu baba.
Siro lini
MUNGU AKUPE AFYA NJEMA GENERAL MABEO WEWE NIMFANO UTULIVU WAKO NIMKUBWA
Good job mabeyo
Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU endelea kuwaongoza vyema raisi wetu mwinyi na mkuu wa majeshi yetu ewe mwenyezi MUNGU
Hanger Yako mstaafa cdf mabeyo kapumzike salama kitaaa,
vichwa alivyoviacha mwamba Jpm karibia vyote visha achia wadhfa ..daaa aya bhana
Mi nakujua, isipokuwa ninachoshangaa sijaajiriwa kabisa na umri wangu ni miaka 43. Na nina kuhakikishia hapa Tanzania na nje hakuna anayenishinda kiswahili wala kingereza. Wewe ni jirani yetu Segerea. Wewe si ni kaka yake mama Madulu? Natamani hata ATE yaani Association of Tanzania Employers tuifute nchini haina maana, sie tuliowahi kukaa Ulaya tumechoshwa. Sijui tuanzishe job agency na job centers! Mimi nilifanya kazi na Mwamnyange mdogo The Nation, ( The East Africa) ni mkali sana wa kingereza na involve five countries, Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi. Na nilishaishi England eg London.
Bado napendaa CDF Mabeyo aendelee nafsi yangu bado inamuhitaji hawepo hapo kwenye cheo chake mpaka 2030,amalize na mama yetu tuwaage pamoja.
Kakimbia kikotoo huyu😀😀
We tafuta kiki tu hamkawiagi kusema wanajeshi wakorofi wanaonea
Acha Ujinga.....Utakuwa lini Wewe....Taifa linaamani Unafikiri ni mchezo mchezo tu....Watu wametowa Maisha Yao kwa Ajili yetu...Wanatulinda Usiku na Mchana....Unakuja kuongea Ujinga Ujinga tu....(Mungu Awape Nguvu na Afya njema Awape Busara zaidi zakutuongoza.Mungu Azidi kuweka Mkono wake katika Taifa ili...na Mataifa mengine pia....In sha Allah Allah Atufanyie Wepesi sote..)
Afande taifa kwanza
Nakutakia mapumziko mema CDF Mabeyo, nakushauri Mhe. Mwinyi USIJE ukatuletea huyo mtu, huko jeshini wanajeshi taabani itapigwa mizinga 100 ya furaha. Hana legacy yoyote ndani ya jeshi hivi sasa jeshi hata uniform halina.
Mungu akubariki siku zote Kamanda wetu
Umepigana Vita ya kamada tunakuombea kwa mugu katika maisha mapya
Mungu akubariki Kwa kazi nzuri uliyoifanya,akupe zawadi ya maisha yenye furaha ktk uzee wako
KAMANDA MABEYO NI MFANO MZURI WA KUIGWA KTK VIKOSI VYETU VYA ULINZI NA USALAMA
HONGERA KAMANDA MABEYO KWA UFANISI ULIOTUKUKA
bola angestafu silo kuliko uyu jamanii
Shinikizo
hamna kitu apo mnatia watu ujinga tu
Yajayo sssa tusubirie maana hiyo co nafasi ya mchezo mchezo Mama mama mama nimekuita mara tatu wacha kuona mambo ni Raisi Jali sana wanyonge kumbuka yakua chakula kinaanza kutumika na mtoto mdogo asiye tambua chochote jitahidi vitu viache kupanda usidhulum hawa wajukuu wako Waacheni watoto wadogo waje kwangu maana ufalme wa Mbinguni niwao Tunakuombea sana Mama kaa tulia na tazama hili
Watu walivyojaa uroho wa madaraka bila wewe Mabeyo watu wangeuwana, Vurugu zingekuwa kubwa, bila ushauri wa kufuata katiba, bila kuweka msimamo thabiti Mmmmmmmmh. Mabeyo, Mabeyo God bless you you.
Miss u a lot CDF
Kasfafiswa uyooo watanzania sio wajinga tunaelewa
Miaka 66
Ana umri wa 66
Mhuuuuuuui
Utukufu ni kwa bwana
Nice
Ningekua na mamlaka mwamba angeendelea
THE BEST CDF EVER IN WHOLE AFRICA....HE DESERVE THE MO IBRAHIM AWARD FOR NORBLE PEACE FOR WHAT HE DID TO OUR COUNTRY..NI VILE TU INATOLEWA KWA MARAIS PEKEE..
Michenzo
Tutegemee mpemba CDF
Muhimu na LAZIMA awe Mtanzania, tena umekumbusha kitu cha maana sana Tanzania ni Tanganyika na Zanzibar iwe je viongozi Wakuu wa vyombo vya ulinzi wote watokee Tanganyika tu.
Kwaiyo mabeo kastaafu
Acheni kutufanya watanzania kama wajinga hizo ni njama zenu za kumuondoa kisiasa mm anakumbuka kipindi jpm anashika nchi mwamnyanje alikua amestafu lkn kulingana na uzalendo wa nchi magufuli alimuongezea muda mwaka mzima iweje leo huyu toka nchi hii imepata uhuru hakuna cdf aliye ongoza majeshi yetu kwa muula wa miaka mitano au saba nchi yangu Tanzania nakupenda lkn uzalendo haupo ngojeni mtaona mengi sana siasa adi jeshini hii hatar ckumoja mtanikumbuka kwel baba jpm leo tunaona live
Ndio hivyo mzee siyo cdf tena
Nimekupenda sana muheshimiwa mabeyo mungu akulinde akupe afya njema
CDF Mabeyo ni rafiki yangu kiroho hivo ombi langu baada ya maisha ya utumishi aliyojaliwa na BWANA YESU sasa amtumikie kwa 100% maana majukumu yamepungua
Karibu kwa BWANA YESU KRISTO anakungoja
Sijuwi nani atachaguliwa badala yake. Sasa wote wa Hayati Magufuli nje
Mbowe
@@alinassor391 MUNGU APISHE MBALI. TENDA ZOTE ZA JESHI ATACHUKUWA YEYE NA FAMILIA YAKE. HATA TUNDU LISSU ATAMUONA TAKA TAKA. HAPO NDIYO MUTAJUWA MBOWE NI MUNYAMA GANI. KWA SASA ANACHEZA MUCHEZO WA KUIGIZA KAMA BABA ASKOFU. MUFUNGUWE MOYONI MWAKE, NI GIZA TUPU. USIOMBE.
Kutoka Zanzibar
@@MsAggie5 basi Tanzania waiite Zanzibar watu wa bara tujuwe hatuna nchi
Mnadhim wake mzuri
Mungu wa mbinguni akutunze uishi miaka 100
Hakika katika nyakati zetu tunakushukuru sana