MWANA FA Sio RAPA BORA/ Wakawaida SANA/LUNYA Bado Kutuwakilisha KIMATAIFA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • Rapa TRUBA TZ amefunguka kuwa Uwezo wa Rapa MWANA FA haujafika kiwango cha kujiita Rapa Bora wa Muda wote kuwahi kutokea Tanzania
    _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe CZcams channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

Komentáře • 5

  • @saididuri3518
    @saididuri3518 Před měsícem

    nimekuckiliza vizur km vizuri dizain km nikaanza kukuelewa lakin ulivoanza uchawa wa ccm bac nichofaham mm mwanaharakati kuhusiana na hip hop hawez kuwa ccm.

  • @BornBush255
    @BornBush255 Před měsícem

    Huyu Jamaaaa bwana anataka kufanya sanaa kama Science 😂😂😂 Sanaa haina kanuni asisahau hilo. Yeye anaye jua yote hayo hana wimbo mkubwa wowote unaoupita milestone wimbo wowote wa mwana FA

  • @Maboki265
    @Maboki265 Před měsícem

    Eti nyimbo inaitwa KUBABAKE 😂😂😂

  • @mropeeliakim2528
    @mropeeliakim2528 Před měsícem

    FA ameyakanyaga