Hatari! Kimbunga HIDAYA kilivyoipiga Mafia, Miti mkubwa, mikorosho yaangushwa
Vložit
- čas přidán 3. 05. 2024
- Wananchi wa Kisiwa cha Mafia ni miongoni waliopatwa na majanga ya Kimbunga Hidaya kilichotikisa kuanzia jana usiku na kudumu kwa saa kadhaa hadi leo Jumamosi, Mei 4, 2024. Upepo mkali ulioambatana na mvua kubwa umesababisha mafuriko, miti mikubwa ikiwamo mikorosho na minazi kudondoka kwenye makazi ya watu usiku wa manani. Tazama hali ilivyokuwa kwenye baadhi ya maeneo kisiwani Mafia.
Allah Akbar poleni sana ndugu zetu
Allah atunusuru na haya majanga
Poleni sana ndugu zet
Poleni sana ndugu zangu
Duuuh poleni sana
Poleni sana ndugu zetu❤❤❤❤❤❤
Poleni
Poleni sana
Duuh subuhanallah Allah atunusuru na majanga kama haya
Amiin
Polen watu wote mliopatwa na changamoto
Nakwambia tusipogeuka na kuacha njia zetu mbaya halima kinakuja
Very true dear our knowledge has failed us HE has shown us who HE is HE says in the beginning HE created all these things He is alpha and Omega HE can't share his glory with anyone it's time to turn ourselves back to him HE is merciful GOD
Poreni wote
Nicheki nikutumie video nyingine nilizorecord hapa *KILINDONI NA KIRONGWE* MAFIA asa hiyo baleni ndio kabisa barabara atuna pakupita
Nitumie jamaniii
Bado asha anakuja na baadae Maimuna ndio itakuwa kali zaid tusipotubu
Idaya kwann lkn
😢😢Mafia yetu jamanii
Mola atuepushe na dhoruba!
Tuluki wanachinja kilasiku ng,mbe watoa kafara haya Mambo ayakuwepo kweti lazima watuote tujue YESU NI MUNGU
Haina mahusiano
Idaya tena? Majina ya mashetani ayo
Kama lako