Video není dostupné.
Omlouváme se.

GB 64 AFUNGUKA KINACHOENDELEA SIMBA MISRI KWENYE PRE SEASON, USAJILI ELIE MPANZU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 07. 2024
  • Simba

Komentáře • 57

  • @user-vv9wb9he2x
    @user-vv9wb9he2x Před měsícem

    Safi sana GB 64 unafanya jambo la muhimu na lenye tija katika club ya Simba be blessed

  • @albamwanja4304
    @albamwanja4304 Před měsícem +4

    Kama timu Ina commitment na spirit ya kupambana then chemistry ni suala la muda tuu. Simba inaweza kufanya makubwa msimu ujao

  • @vituslawa6366
    @vituslawa6366 Před měsícem

    Huyu mwam anajua mambo na ni kweli simba hii wengi tutajiuliza huu mpira wa simba ni nchi ya wapi

  • @user-pf4vx5yx1q
    @user-pf4vx5yx1q Před měsícem +1

    Kazi na umri sadi sana

  • @barnabasngungo3521
    @barnabasngungo3521 Před měsícem

    Gb 64 nakukubali sana mchezaji anayejua mpira hahitaji muunganiko

  • @RHOIDAKALUKWA-bw4jo
    @RHOIDAKALUKWA-bw4jo Před měsícem

    Tunaomba viongozi wampe hata miezi 6 au acheze league ya ndani tu kuliko kumuacha tutakutia

  • @augustinobongo9962
    @augustinobongo9962 Před měsícem +2

    Gb 64 nakukubali Sana, eti kazi na umri...carbon 14 itatumika kupima umri wa timu ya NSSF😂😂😂

  • @adudeswalehe8724
    @adudeswalehe8724 Před měsícem

    GB nakukubali sanaa 😂😂😂 kazi na umri

  • @KingMbaz0-p8u
    @KingMbaz0-p8u Před 26 dny

    Yani we sio gb 64 tu naisi ni gb 1000 mana ni mtu mwanye pwent kubwa sana

  • @OS-pf6op
    @OS-pf6op Před měsícem

    Shs 10,000/-? Mcheze majaribio na taxi drivers😂

  • @RHOIDAKALUKWA-bw4jo
    @RHOIDAKALUKWA-bw4jo Před měsícem

    Kramo asiachwe wanasimba lindeni sana wachezaji kramo alikuja mzima tu mvumilieni atatupa kitu mpeni hata miezi 6 dirisha dogo kama hatafaa basi aachwe

  • @dechmusi1661
    @dechmusi1661 Před měsícem +2

    Uje na mwanza siyo tu kwa huko Dar

  • @user-yw7uu6mc3m
    @user-yw7uu6mc3m Před měsícem +1

    And their bodies streamlined to the pitch so as to enhance contest

  • @EliasMikidad
    @EliasMikidad Před měsícem

    Wanachokiangalia simba ni ubora wa mchezaji na si tim wanazotoka ziko nafasi ya yanga wamemchukua chama simba ipo nafasi ya yangapi?

  • @jumasaid9340
    @jumasaid9340 Před měsícem

    Kwa huku Zanzibar tunazipata vipi

  • @TunuAdam-gc9rc
    @TunuAdam-gc9rc Před měsícem

    Naipataj kadi ya simba jmn

  • @user-cz9me7mq9r
    @user-cz9me7mq9r Před měsícem

    GB64 umetisha bro❤

  • @RaphaelNdameze
    @RaphaelNdameze Před měsícem

    Nikuone wapi GB 64 nimetafuta kadi muda mrefu

  • @lautz8377
    @lautz8377 Před měsícem

    Uyu jamaa awe msemaji

  • @Ramadhanjumanne-vl4sv
    @Ramadhanjumanne-vl4sv Před měsícem

    Mpanzu lini anapewa welcom

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y Před měsícem

    Wewew nahakiri yako unataka aweje? Wachezaji wapya anataka awasemeje mechi bado kuanza acha ajenge team Simba nguvu mojaaa

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n Před měsícem

    Simba yetu mpk ubao hatuiachi hata iweje tutazikwa nato

  • @AllyHussein-so1hr
    @AllyHussein-so1hr Před měsícem +1

    Huyu jamaa anafit kuwa semaji

  • @DadeSaide-qr7ti
    @DadeSaide-qr7ti Před měsícem

    Nakukubari kaka

  • @YasinSadick
    @YasinSadick Před měsícem

    Gb 64 mm nakuita Gb 125 salut kwako mwamba

  • @user-oq6to7pf2u
    @user-oq6to7pf2u Před měsícem

    nakubar kaka

  • @sijaonamjungufinias481
    @sijaonamjungufinias481 Před měsícem

    Kramo asiondoke ni mchezaji mzuri Sana Kwa sasa kapona

  • @kazyn9554
    @kazyn9554 Před měsícem

    😂😂😂saw tutakutana kwenye derby jimalizen tu

  • @pascalvitalis
    @pascalvitalis Před měsícem

    Huyu sahiz anapiga hela hakuna kitu tena😂😂

  • @mohsinrajab7350
    @mohsinrajab7350 Před měsícem

    Kwani simba imesajili timu au imessajili mchezaji watu wanaangalia mchezaji anayefanya vzr ktk timu jifunze kujua jinsi ya kusajili sio unabwabwaja tu

  • @FlavianEdson
    @FlavianEdson Před měsícem +1

    Tupe taarifa ticket lini

    • @Zenampande
      @Zenampande Před měsícem

      Ticket walisema zitaanza kuuzwa wiki mbili kabla ya Simba dey

  • @AbbasyMdabwa
    @AbbasyMdabwa Před měsícem

    Gb,64 Nina kukubalisana ila wachezaji wetu walindwe hatahuko misiri wafanyiwe kisomo

  • @christopherngereri76
    @christopherngereri76 Před měsícem

    G.b 64....weka namba hapa tukujie in box Kwa maelekezo namna ya kujiunga

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před měsícem

    sio kama yule benchika yeye mpira unachezwa anakaa tu kwenye dumu

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před měsícem

    wachezaji wa utoporo hawafundishiki tena umri ni Mkubwa

  • @MwinyjumaRamadhani
    @MwinyjumaRamadhani Před měsícem

    Kwaio fei Azam wamegoma kumuuza?

  • @abdoulkarenzo3138
    @abdoulkarenzo3138 Před měsícem +4

    Uyu GB 64 Umesha geuzwa naona umeshalambishwa tu pesa sio ule GB 64 tuliozoweya kbs kwasababu simba bado kbs hayijawa na kikisi cha kupambana na Yanga ni danganya toto msimbazi kwasababu akuna mchezaji oliyosajiliwa aliyetoka timu yakwanza amo ya pili katika ligi yao

    • @willieymesh7823
      @willieymesh7823 Před měsícem +1

      Kwan wachezaji wazuri wanatakiwa watoke team yakwanza na yapili😂😂

    • @abdoulkarenzo3138
      @abdoulkarenzo3138 Před měsícem

      Kimfano umealikwa ulaya kucheza champions league wanakwambia uchukuwe wachezaji wanaweza kukufaa katika michezahiyo kati ya Geita gold na Ruvushouting amo yanga na azama tuuu kama umataka kufika mbali mu ayo mashi dano utachukuwa wachezaji wapi kati izo nafasi mbili?

    • @willieymesh7823
      @willieymesh7823 Před měsícem

      @@abdoulkarenzo3138chama katokaa team iliyoshika nafasi ya ngap🙄

    • @abdoulkarenzo3138
      @abdoulkarenzo3138 Před měsícem

      @@willieymesh7823
      Na dube katoka kwenyetimu iko nafasi yangapi na simba mbovu ni ya iyimya michache imepita kabla ya icho kipindi simba sc ilikua tishiyo tanzania so wachezaji wapilio sajiliwa yanga wafiliye na perfomance ya timu zao ,
      Wachezaji wa simba wote wachunguze vzr mtu mwenyewe alitoka mu timu ya tatu katika league yao ni uyo mzambia tuu wangine na fasi 8, 7 ... wangine timu zao zimeshuka daraja.
      Simba sc inakazi kubwa yakufanya zidi ya kupambana na yanga

    • @harunachinja7801
      @harunachinja7801 Před měsícem

      Chama baleke, duka ambuya sijui boka hao wote timu walizotoka zimemaliza nafasi ya ngapi?? Mbwiga wewe​@@abdoulkarenzo3138

  • @desuretvonline255
    @desuretvonline255 Před měsícem

    NFCC😂😂😂

  • @Ramadhanjumanne-vl4sv
    @Ramadhanjumanne-vl4sv Před měsícem

    😂😂 kwamba weka kunyavu gb 64

  • @frankshirima4029
    @frankshirima4029 Před měsícem

    We jamaa ulisema chama akienda yanga unahamia azam bp tena huku mkuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂