Mathayo 8:17 ...... Mwenyewe aliutwaa udhaifu wetu Na kuyachukua magonjwa yetu. Isaya 53:5 Bali alijeruhiwa Kwa makosa yetu, Alichubuliwa Kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na Kwa kupigiwa kwake sisi tumepona. 1Petro 2:24 ...alizichukua dhambi zetu..... Zaburi 103:12 Kama mashariki ilivyo mbali na magharibi, Ndivyo alivyoweka dhambi zetu mbali nasi. Warumi 6:23 Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.
Amina
Amen
God is faithful to those who are humble 🙏🙏
🙏
Hiyo ni Zaburi ngapi naomba msaada
Hujafafanua msitari unaosemaje Kwa sababu hapo mwanzoni amesema zaburi kadhaa
Mathayo 8:17 ...... Mwenyewe aliutwaa udhaifu wetu
Na kuyachukua magonjwa yetu.
Isaya 53:5 Bali alijeruhiwa Kwa makosa yetu,
Alichubuliwa Kwa maovu yetu;
Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake,
Na Kwa kupigiwa kwake sisi tumepona.
1Petro 2:24 ...alizichukua dhambi zetu.....
Zaburi 103:12 Kama mashariki ilivyo mbali na magharibi,
Ndivyo alivyoweka dhambi zetu mbali nasi.
Warumi 6:23 Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.
Zab 103
Amen🙏