MC PETIT: CHAMA HAKUWA NA MCHANGO WOWOTE SIMBA/MASHINE TUNASHUSHA ZA MAANA SANA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 07. 2024
  • Timu ya Simba SC Leo July 4,2024 imezindua mfumo utakaowawezesha mashabimi wa Simba SC kupata taarifa za klabu hiyo.
  • Sport

Komentáře • 9

  • @DeborahSaitoti-oy7fm
    @DeborahSaitoti-oy7fm Před 2 dny +1

    Safi sana waambie ukweli kaka

  • @SaidiKaniki-rn8yh
    @SaidiKaniki-rn8yh Před 3 dny +1

    Ni kweli kabisa,!!!!!Waambie hao si malimbukeni,,,Wanalazimisha kujulikana hao utopwize.

  • @VitalessGalus
    @VitalessGalus Před 3 dny +1

    watu msio jua mpila mnatakiwa mjue kuwa chama alimaza mkataba wake hakiwa ximba Ameondoka ximba akiwa uhuru sawa

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur

    Hahahhahahahahaa nimecheka hatari, mchezaji anaenda timu ambayo malipo ya mchezaji yanaenda kumaliziwa mahakamani

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 Před dnem

    💟💟💟

  • @LuqmanIddi-cb8me
    @LuqmanIddi-cb8me Před 3 dny +2

    Mimi niwashauri waandishi wa habari sasa hivi msiwahoji mashabiki wa simba kuhusu chama wanaweza kulia.

  • @mbarakasijaona7638
    @mbarakasijaona7638 Před 3 dny

    😂😂😂😂😂😂

  • @barakamwamkinga4624
    @barakamwamkinga4624 Před 2 dny

    Mc umezingua chama kafanya mambo makubwa ndani ya simba yetu unayoongea ni siasa za mpira wa Tanzania kwa mfano ntibazokiza alipokuwa Yanga sisi tulisema mzee akaja kwetu kijana na wao chama wa simba mzee aliyeenda Yanga kijana ila chama analijua bili ila sijui kama atakuwa bora kama wa simba