Nimekufuatilia Kwa muda mfupi nimeshika hofu ya Mungu ikiongezeka sana ndan yangu unakitu Cha tofaut Dr Ipyana .Kwa macho yakibinadam watu hawawez kuona
Live your life for christ Jesus binadamu wako hivyo ukinyamaza unamaringo ukiongea wanatafuta makosa, as a servant and man of God, for God to lead you in the right path its good kukuwa vile huko Ata Mungu hapendu kiherehere
wengi wanasema mimi muoga,wengine wanasema naringa kwa sababu ya nafasi nilionayo,wengi wanasema nimejijengea ufalme wangu mwenyewe........huhuhuhu im enjoying that,nahiaji kuwaona kwa mbali na ninafurahia hilo wao wanadhani naumia na kujihisi mpweke,my super power naeza kukaa ndani half a week huku nafanya issue through meadia
It's God's glory n favour not pride,people shud not perceive otherwise,God bless Dr Ipyana,God bless Kenya God bless Tz n all our neibas,,karibu Kenya-Ken Mwatu-RGC Umoja
Ringa sana Mtumishi Stahili yako inakufanya ufike mbali Mungu anapenda utulivu ,unyenyekevu na kutulia huko ndo kunafanya tuvutiwe na nyimbo zako mfano ,Umestahili heshima na utukufu ooo
Kusema kweli kati ya mastaa wasio ringa on social media ni huyu kaka. Ukimtag ana respond au uki comment ana respond kitu ambacho ni very rare kwa mastaa wengi.Maybe he has his own character but he is an humble man.
Kwel kabisa usipo ongea wanasema umenunua mara umeringa ila watu 😃😃😃Bora kubak tu na ukimya tupo wengi wa namna hii bora kuwa mkimya tu waache waongee tu
Live your life for christ Jesus binadamu wako hivyo ukinyamaza unamaringo ukiongea wanatafuta makosa, as a servant and man of God, for God to lead you in the right path its good kukuwa vile huko Ata Mungu hapendu kiherehere
Nimekufuatilia Kwa muda mfupi nimeshika hofu ya Mungu ikiongezeka sana ndan yangu unakitu Cha tofaut Dr Ipyana .Kwa macho yakibinadam watu hawawez kuona
Asikujua hakuthamini. Bora wakwambie unaringa. Kuliko kufumania. Una heshima sana mwanangu
Am an introvert too and am happy when alone.
Ameeen tunaishi kwaneno litokalo kwa mungu na siyo maneno ya watu saluti kwa mtumishi
Huyu Daktari anakaa mnyenyekevu sana sio maringo hayo
Live your life for christ Jesus binadamu wako hivyo ukinyamaza unamaringo ukiongea wanatafuta makosa, as a servant and man of God, for God to lead you in the right path its good kukuwa vile huko Ata Mungu hapendu kiherehere
We introvert are considered antisocial, MTUELEWE TU JAMANI. i prefer my alone time, me time 🤗🤗
Mimi pia ndivyo nilivyo
Dr nakupenda Sana Yan unahofu ya Mungu sana na uwepo upo wa wa Mungu hivyo Kwa asiyefaham anaona unaringa
wengi wanasema mimi muoga,wengine wanasema naringa kwa sababu ya nafasi nilionayo,wengi wanasema nimejijengea ufalme wangu mwenyewe........huhuhuhu im enjoying that,nahiaji kuwaona kwa mbali na ninafurahia hilo wao wanadhani naumia na kujihisi mpweke,my super power naeza kukaa ndani half a week huku nafanya issue through meadia
Humble man may God bless you 🙏👍
A very humble man.
The most humble minister
It's God's glory n favour not pride,people shud not perceive otherwise,God bless Dr Ipyana,God bless Kenya God bless Tz n all our neibas,,karibu Kenya-Ken Mwatu-RGC Umoja
Ringa baba ,,, Mungu amekupa kipawa bure na unakutumia ipasavo,,,, fanya kile Mungu anakuongoza husifanye kile mwanadamu anataka,,,, nakupenda bure kijana wangu
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu Dr Ipyana
Ringa sana Mtumishi Stahili yako inakufanya ufike mbali Mungu anapenda utulivu ,unyenyekevu na kutulia huko ndo kunafanya tuvutiwe na nyimbo zako mfano ,Umestahili heshima na utukufu ooo
Am an introvert and many people misunderstand us
Kusema kweli kati ya mastaa wasio ringa on social media ni huyu kaka. Ukimtag ana respond au uki comment ana respond kitu ambacho ni very rare kwa mastaa wengi.Maybe he has his own character but he is an humble man.
Ubarikiwe
Ringa kabisa Dr. We love you like that!!!
Haaa hapana huyu kijana ni nyenyekevu sana labda wivu unawasumbua anaupako wa Mungu mpaka nalia akiimba
Yaani hicho kinachomkuta huyu jamaa ndio kinachonikuta mimi pia
Kwenye kulinga sio kweli
Dr.yuko sawa
kyala ungwa maka, unkulumba aje na nunghwe ifunaga kaka ukuja najesu ugwanaloli ukha nkino papo ikukulongosya, bhagwitu une nguti kyala aje nanugwe imijobhojobho gingakugomosyagha kunyuma
Same here
Leo nimeijua personality yangu bwn 😄
Kwel kabisa usipo ongea wanasema umenunua mara umeringa ila watu 😃😃😃Bora kubak tu na ukimya tupo wengi wa namna hii bora kuwa mkimya tu waache waongee tu
I'm an extrovert but not always at times I'm also ambivert
Kujeni Kenya mjue vile huyu mtumishi anapendwa jameni
Tunaringa tupo ndani ya Yesu
my fellow introvert
Kuumbe nilikua sijijui kuwa nami ni introvert mana napenda kuwa peke yangu.leo nimejjuaaa
Anaringa vipi ??? He's okay
😃😃😃😃😃😃
Ringa baba
Wanadamu wana maneno mno, ukiongea na kila mtu na kicheka na kila mtu nayo ni shida. Bwana wee mumuache. Watu hawana wema ana neno la Mungu
Live your life for christ Jesus binadamu wako hivyo ukinyamaza unamaringo ukiongea wanatafuta makosa, as a servant and man of God, for God to lead you in the right path its good kukuwa vile huko Ata Mungu hapendu kiherehere