MSTAAFU KIKWETE AFICHUA SIRI YAKE na MZEE MWINYI - ''HAKUWA na KIHEREHERE - KUJIWEKA MBELE''....

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 02. 2024
  • MSTAAFU KIKWETE AFICHUA SIRI YAKE na MZEE MWINYI - ''HAKUWA na KIHEREHERE - KUJIWEKA MBELE''....
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 65

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 4 měsíci

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @edwinkusaya1282
    @edwinkusaya1282 Před 4 měsíci +6

    Alikuwa mtu wa watu. Nakumbuka siku moja akitokea mjimwema kumsabahi Abdul Jumbe msafara ulipofika ferry alikataa protocol na kuruhusu avuke na raia kwenye kivuko kimoja jambo ambalo halikuwahi na halijawahi kutokea. Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake libarikiwe.

  • @user-cc6dx4kn7w
    @user-cc6dx4kn7w Před 4 měsíci +4

    Innallilah wainna illah, Hana baya Mzee wa ruksa katuingiza duniani

  • @RamadhaniAlly-ex6ed
    @RamadhaniAlly-ex6ed Před 4 měsíci +1

    Alla amjalie kauli thabiti

  • @onesmofaustine
    @onesmofaustine Před 4 měsíci +2

    Baba wa mageuzi nchini Tanzania, maarufu kama mzee wa ruksa R.I P daima tutakukumbuka.

  • @user-dq3op3gs2d
    @user-dq3op3gs2d Před 4 měsíci

    Ahsante sana muheshimiwa Kikwetw kuna vitu tunapata hapo apumzike kwa amani raisi mstaafu Mwinyi

  • @marcoshayo771
    @marcoshayo771 Před 4 měsíci +1

    R i p Mzee mwinyi .Lakini pia mzee Kikwete tunakukumbuka kwa mengi hasa mifumo ya ajira Mungu akupe maisha marefu

    • @mailacamillius
      @mailacamillius Před 4 měsíci

      Kweli. Kikwete alifanya makubwa japo juhudi kubwa ya watesi wake ni kuondoa legacy yake kabisa

  • @gerrymimi9387
    @gerrymimi9387 Před 4 měsíci +2

    Naye kazeeka. Shughuli ya watu ameigeuza kuwa yake. Nafasi ya kuzungumza msibani anachukua muda wote kusimulia ya kwake.😅

  • @idrissamustafabukenya6110
    @idrissamustafabukenya6110 Před 4 měsíci

    Allah yarihamuhu ya Rabbi

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před 4 měsíci +3

    Hapo hujafuata nyayo za aliyekuibua, umepotoka kusema bado mnatesa kisa kukubali asilimia 20% wakati ni mwlm.Nyerere aliwashinikiza! Kutesa kwenyewe sio kwa uhalali! Hakuna kama Mzee Ruksa hata mkihusudu kwa wema au kwa ubaya hayupo tena!

  • @judithcarlos762
    @judithcarlos762 Před 4 měsíci

  • @alloycejames5285
    @alloycejames5285 Před 4 měsíci +1

    JK ni kiongozi

  • @filipomatondo4040
    @filipomatondo4040 Před 4 měsíci +1

    Ahaaaa" kumbe" Ditopile mzuzuri alikuwa rafiki yako?

  • @user-zf7nl4es7q
    @user-zf7nl4es7q Před 4 měsíci

    Polen sana

  • @user-ij1sz6un7m
    @user-ij1sz6un7m Před 4 měsíci

    Napenda sana hotuba za Kikwete saaaaaana

  • @raheemmahadi2987
    @raheemmahadi2987 Před 4 měsíci +2

    Sio uislam siku 3 Hayati hamjamstil

  • @AbdallaMwagora-sm1rj
    @AbdallaMwagora-sm1rj Před 4 měsíci +1

    Nikweli CCM inatutesa wa Tanzania .mungu atawaondoa inshaalah.

  • @freddymtashi5020
    @freddymtashi5020 Před 4 měsíci

    Ccm kwasasa mnaiba kura2 hakuna uimara mliyonao

  • @festomkenda9111
    @festomkenda9111 Před 4 měsíci

    Sad! Kikwete anapaswa kujua tukio kama hili ni la kitaifa na fursa ya kipekee ya kuwaunganisha Watanzania. Mambo ya "CCM inatesa" yana sehemu yake, sii hapa! Please be a senior statesman that you are supposed to be, please!!!

  • @user-dq9mb9wg3i
    @user-dq9mb9wg3i Před 4 měsíci

    R I P mwinyi Baba yetu

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 4 měsíci +1

    Sema Mungu akipenda,,,,usiseme tu mwakani!

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 Před 4 měsíci

      Unafikiki anajitambuwa uyu jasusi

    • @mohamediomari1614
      @mohamediomari1614 Před 4 měsíci

      @@nishaabdula5015😂😂😂

    • @aminaramdan3283
      @aminaramdan3283 Před 4 měsíci

      ​@@nishaabdula5015😂😂😂😂😂😂😂

    • @ameenaameena422
      @ameenaameena422 Před 4 měsíci

      Mbona ww huna mapenz na watu unajua utaishi milele ysni kikwete uko mnaFki sana

  • @kedmonmjelwa3406
    @kedmonmjelwa3406 Před 4 měsíci

    R.I.P Mzee wetu Ally Hassan Mwinyi

  • @user-cw6tb6el9p
    @user-cw6tb6el9p Před 4 měsíci +1

    Tutashinda tana na tenaaaaaa

  • @andongolilemwakibwili9650
    @andongolilemwakibwili9650 Před 4 měsíci +2

    JAMBO UNALOLIAMINI KOMAA NALO, Maneno ya busara

    • @KhamisMasms
      @KhamisMasms Před 4 měsíci

      HATA SEIF SHARIF MUNGU ALIMUONDOA KWA SIBABU YA UKOROFI WAKE

  • @user-vs5ow5jt1w
    @user-vs5ow5jt1w Před 4 měsíci

    Kaizikeni maiti basi duuu

  • @zegelibilishanga6047
    @zegelibilishanga6047 Před 4 měsíci

    Mzee mwinyi akufunze kitu amefariki hakuna hata mumoja
    Anayemkosoa,kama kweli ww ikikutokea ndiyo utajua umewekeza nn duniani

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 Před 4 měsíci

    😅😅😅wote mkajiuzuli

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před 4 měsíci

    Mtashinda....mwakani...na miaka inayofuata....utakuwepo basi? Usifikiirie madaraka na kutawala tu

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Před 4 měsíci +1

    Huyu mzee nae nichangamotto kila kiongozi anahistoria nae

  • @omarjeylan4113
    @omarjeylan4113 Před 4 měsíci

    THE EMIRATE LEADER DIED AND BURIED WITHOUT ALL THESE NONSENSE HAPPENING IN TANZANIA.

  • @dinalema732
    @dinalema732 Před 4 měsíci +1

    Wewe mbona unajisifia ww tuu..toa sifa za marehemu

    • @johnmalembo6464
      @johnmalembo6464 Před 4 měsíci

      Bro umenena jambo....huyu ndugu yetu anapenda sifa zake binafsi mbele ya kadamnasi

  • @HenryKasaje-on4xq
    @HenryKasaje-on4xq Před 4 měsíci

    Kikwete anapiga kampen msiban Kwa mzee wa ruksa

  • @judithcarlos762
    @judithcarlos762 Před 4 měsíci

    Kiukweli nampenda sana kikwete

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat Před 4 měsíci

    Mama Alinihadithi kipindi cha Mwinyi hakuna njaa unga ya ugali bule

    • @vincentmushi1247
      @vincentmushi1247 Před 4 měsíci

      Alikuambia ukweli kabisa... Kipindi cha utawala wa mzee Ruksa, maisha yalikuwa rahisi sana... Pesa ilikuwa nje nje... Kila biashara ilikuwa inauzika... Tabaka la masikini na matajiri lilikuwa Dogo sana
      Watu tulikula bata kinomaaa... Kilikuwa kipindi cha raha sana
      Sitasahau na ndio aliruhusu TV kuwepo majumbani... RIP mzee Ruksa

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Před 4 měsíci +1

    Yn ww kikwete ww

  • @MselemuRamadhani-mt5zl
    @MselemuRamadhani-mt5zl Před 4 měsíci

    MAJAMBAZI YA KURA

  • @KIDORBOYS
    @KIDORBOYS Před 4 měsíci

    Munaahinda au munaiba Sasa mukijaribu mwak 2025 mutachoma

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 Před 4 měsíci +4

    Mnakosea si uislam huo mnaofanya wacheni kuitesa maiti

    • @masumbukomaganga438
      @masumbukomaganga438 Před 4 měsíci +1

      kumbe maiti inateseka?..je bado ina uhai kumbe hata inateseka? hili nalo ni fundisho la uislam au uliyeseama ni maamuma? na kama ni kweli kumbe hajafa ndo mana anateseka, hizi imani hizi kazi kweli kweli

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 4 měsíci +1

      ​@@masumbukomaganga438 Unadhani ukifa ndio yamekwisha? Maiti inateseka kwenye Uislam mtu akifa ni kukafiniwa (kusafishwa), kukoshwa, kusaliwa na kuzikwa na yote yafanyike haraka iwezekanavyo.

    • @mundugichini7886
      @mundugichini7886 Před 4 měsíci +1

      Raisi ni mali ya taifa sio mali ya waisilamu

    • @mohamedkijuu9675
      @mohamedkijuu9675 Před 4 měsíci

      He uislamu nayo ni dini ya Mungu na huyo marehemu ni alikuwa mtu wa Mungu kwaiy anatakiwa kuwaishw kwa Mungu wake ili aka hesabiwe matendo yak

    • @veronicabwamukuru1265
      @veronicabwamukuru1265 Před 4 měsíci

      Sasa hayo unayoongea yanamahusiano gani na msiba? Mara kimbele mbele🙆🙆, Naona unajisifia tuuuu , kwahiyo mtu akiwa kimbele mbele ni tatizo kwako? Unatuchosha kaandike kitabu km unahisi watu watasahau kuyahadithia hayo siku yako ikifika.

  • @philipojosephati5773
    @philipojosephati5773 Před 4 měsíci

    Miongoni mwa watu ambao akianza kuzungumza nazimaga tv ni huyu

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Před 4 měsíci

    Umeanza usani wako

  • @KhamisMasms
    @KhamisMasms Před 4 měsíci

    HATA SEIF SHARIF MUNGU KAMUONDOA KWA SIBABU YA UKOROFI WAKE

  • @kainimlowe9646
    @kainimlowe9646 Před 4 měsíci +2

    Bado wewe sasa