🔴
Vložit
- čas přidán 1. 03. 2024
- 🔴#LIVE: HOTUBA NZITO YA RAIS SAMIA MSIBANI KWA HAYATI MZEE MWINYI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ametangaza Kifo cha Aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi kilichotokea katika hospitali ya Mzena Jijini Dar es salaam alipokuwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa saratani ya mapafu
Rais Samia ameeleza kuwa Hayati Mwinyi alikuwa akipatiwa matibabu nchini Uingereza tangu mwaka jana Novemba ambapo baadae alirejea nchini na kuendelea na matibabu katika hospitali ya Mzena hadi umauti ulipomfika Februari 29, 2024
Pia Rais Samia ametangaza Siku 7 za maomboleza ambapo bendera zitapepea nusu mlingoti nchi nzima.
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
😢😢inna Lilah waina Lilah raj'un
Shukram mamaetu Allah azidi kukupa nguvu
😢😢😢😢😢
Yaa Allah mrehem naumsameh alipoteleza mzee wetu
Asante Mama
Apumzike kwa amani kipenzi chetu🙏
Poleni wa Tanzania.
❤❤❤❤Allah ampokee kw Rais wetu mzee mwinyi