CHAMA HAWEZI KUISHI YANGA |"KWANZA MZEE"| JEMEDARI AFICHUA MAZITO |GEOFF APIGILIA MSUMARI |KUMEKUCHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 06. 2024
  • Sport

Komentáře • 57

  • @kajembeswai635
    @kajembeswai635 Před 7 dny +1

    Jemedari ni kenge tu,wameshindwa kumbakiza sasa wanatafuta pakutokea

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba8053 Před dnem

    Inaonyesha umeumia.Yanga mpeni uongozi huyu angalau mwenyekiti wa matawi.

  • @hajiyusuf3837
    @hajiyusuf3837 Před 20 hodinami

    Kumbe wewe ni mtabiri😂😂 umekua shekhe yahaya.

  • @mashipeter4819
    @mashipeter4819 Před 7 dny +1

    Yanga wamemsajili Chama kama kuikomoa Simba. Na ndo maana wamempa mwaka mmoja. Na Yanga wamempa mwaka mmoja kwasababu hawana Imani kama atafanya yale aliyoyafanya Simba kipindi cha nyuma. Itoshe kuwa hakuna mchezaji atadumu na tim mmoja milele.

  • @GoodluckLesilwa-kq2ln

    Bint Kazumali chaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii... porojo kibaoooooooooooo......

  • @jaylosalphonce9659
    @jaylosalphonce9659 Před 5 dny

    Katika wachambuzi ambao sijawah kuwaelewa ni uyu kenge jemedali saidi.

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 Před 7 dny

    Mbona mnajipoza sana

  • @user-gj1bx9ow3u
    @user-gj1bx9ow3u Před 3 dny

    Ila jemedali si aende kulima mihogo kwao kwa nilazima uwe mchambuz ndoo mana hii redio hata sisikilizi

  • @albertmalenge-cs6zy
    @albertmalenge-cs6zy Před 7 dny

    UKUTE HUYU MZEE NI MCHAWI HATUJUI TU😂😂😂

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před 4 dny

    Ndio maana tumempa kandarasi ya miaka miwili atufanyie kazi, yaani we unafikiri una akili kuliko YANGA... 🤣🤣🤣

  • @abdallahshariff6555
    @abdallahshariff6555 Před 3 dny

    Da Miaka 33 bado hamkbali umri umeenda,ngoja tuone muda utaonges

  • @kiboshokiboshomungumkubwa7789

    Jemedari kwanza angalia wewe na chama nani mzee unaupara juu mpaka chini una chuki sana na yanga tunakujua maisha upati umaarufu

  • @mtmarchcontempo
    @mtmarchcontempo Před 7 dny

    Chama mwenyewe roho kwatu huko kwa kuziishi ndoto zake za kutua Yanga. Ila huku Wachambuzi wenye Mahaba na timu zao wanazikoholea mate microphones zao hadi zinanuka shombo🤣🤣

  • @maribahanyora8478
    @maribahanyora8478 Před 7 dny

    Hahahahahahahaha😅😅😅

  • @enockjoseph3818
    @enockjoseph3818 Před 7 dny

    Huyo jamaa anae ongea hajawahi kuwa na akili hata siku moja anamsongo wa mawazo kuachwa na demu wake

  • @jankenkasambala7687
    @jankenkasambala7687 Před 7 dny

    Hawa wachambuzi ambao ni mashabiki wa Simba wameumia sana. Hata maneno yao ukiyasikiliza vizuri utagundua wameumia haswaa

  • @fredmbossa-kc3qn
    @fredmbossa-kc3qn Před 2 dny

    mbona simba walimchukua saido akiwa ana miaka 37😆😆😆😆

  • @mtmarchcontempo
    @mtmarchcontempo Před 7 dny +3

    Hizo ni negative anticipations hivi ni kweli Chama hana positive anticipations pale Yanga! Acheni kutuonyesha kuuumia kwenu.Chama kwenda Yanga anakwenda kucheza na mafundi na atakuwa rejuvenated kwenye uchezaji wake. Kwanza hao wachezaji wa umri mdogo mahiri kwa timu zetu tutawapata wapi? Wakati timu zetu za vijana hazizalishi wachezaji wa kwenda senior teams. Mara ya mwisho kufanya hivyo ni kwenye Simba ya Kina Mkude , Ajib, Seseme na ndiyo hao wanaishia! Kama ilivyokuwa Kwanza kwa Yanga ya kina Mkweche, Addolf Rishard, Tostao, Pondamali na wenzao wa miaka ile ya 1970. Siku hizi baada ya intake 5 za Yanga Under 20 unampata Mzize 1?

    • @hamisimahenge5807
      @hamisimahenge5807 Před 6 dny

      Salute!!, EFM RADIO & E-TV Zina wachambuzi njaa ambao hawana profesionalism na hawajawahi kuwa na positive arguments na YANGA SC hata siku moja

    • @angellomarcel5677
      @angellomarcel5677 Před 2 dny

      Mbona Povu..?

  • @salimhemed7125
    @salimhemed7125 Před 3 dny

    Acha kumtusi makosa ya kimtandao hayo

  • @ewikama1559
    @ewikama1559 Před 7 dny

    Hizi ni personal weaknesses za watu.
    Kwa nini iwe ajabu chama kuhamia yanga lakini iwe sawa kwa ntibazokiza kuhamia simba.

  • @janejoel2465
    @janejoel2465 Před 5 dny

    Ni kweli chama ni mzee kwasababu unalingana nae umli wewe jemedali

  • @DottoWence
    @DottoWence Před 7 dny

    Siasa za mchezo wa soka ndiyo zilivyo. Akina R. Matheus (Mjerumani) alicheza soka umri Mkubwa, Kadhalika Ibrahimovic na wengine wengi mf. Rud Gullit, Frank Rijkaard, Roberto Baggio etc

  • @user-jd6yr3rm1q
    @user-jd6yr3rm1q Před 4 dny

    Huyu jamaa ni mshirikina

  • @mwanangusana
    @mwanangusana Před 7 dny

    Kuna jamaa nimemkubalii "pale mtia huruma aliposema tuwapongezee thimba kwa maamuz madhurii "" jamaa akasema mazuriii eeehh 😅😅 kama alambwe kibao na òruma then apigwe teke na jemedariiii halaf atokee jefff amuongezee na tanganyika jerk 😂😂😂😂😂

  • @user-sg6xy4qs6o
    @user-sg6xy4qs6o Před 7 dny +1

    Dada mbona unamaneno mengi?
    Mbona ujitambui ndugu yangu
    Wewe ulisema viongozi wa yanga wahuni mara dickon job siyo beki kwa kuwa mfupi leo mmehamia kwa chama hama kweli nyie mashoga

  • @philimonmtweve4522
    @philimonmtweve4522 Před 7 dny

    Huyu ndio mwisho wake hapo kapotea kimpira

  • @gabriel-dh3qn
    @gabriel-dh3qn Před 7 dny

    Mzee wewe siyo CHAMA.

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před 5 dny

    CHAMA AKIISHI SIMBA NDIO ANAKUA KIJANA,MBONA KAGERE ALIKUWA MZEE

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Před 7 dny

    Simba hawajafanya maamuzi mchezaji mwenyewe hakutaka kubaki simba

  • @user-so1iu4vd2v
    @user-so1iu4vd2v Před 7 dny

    roho ya mtu kicha unaweza ukawa unaumia rohoni ila kusema ndo shida

  • @user-jd6yr3rm1q
    @user-jd6yr3rm1q Před 4 dny

    Hivi Kuna siku haya machawa ya Simba yaliisifu yanga..?? Mi sikumbuki..!!

  • @octaviusrutta4553
    @octaviusrutta4553 Před 7 dny

    Nakosa hata kuandika juu ya wachambuzi wapuuzi kama nyie

  • @Hope-ok9dy
    @Hope-ok9dy Před 7 dny

    Jemedari Acha ukuma msenge wewe kuma la mama yako shamba kuma wewe

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 Před 6 dny

      Usimtukane huyu jamaa ni mshamba ila usimtukanie mama yake hivyo hata humpendi mama yake hajamtuma Mimi simkubali mana siku zote Huwa mpingaji zidi ya timu yetu ila usimtukane mama yake

  • @KabungaKalla-fw4pp
    @KabungaKalla-fw4pp Před 6 hodinami

    Kwahiyo wewe kuhama studio iwe mjadala!? Mpira ni biashara mchezaji akihama msimpangie awe wapi kwa wakati gani.

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před 7 dny

    Unaweza kukuta mtu ana kipara ukizani ni mzee kumbe akili zake ni za mtoto mdogo.

  • @aljabryaljabry8780
    @aljabryaljabry8780 Před 7 dny

    Huyo mzee upara hama akili huyo ni simba

  • @user-mr3fs6mi2r
    @user-mr3fs6mi2r Před 7 dny

    Wemchambuz mbugira acha shobo

  • @Ambagaye
    @Ambagaye Před 6 dny

    For the past misimu miwili

  • @proisolution7166
    @proisolution7166 Před 6 dny

    MNA KNOWLEDGE NDOGO YA MPIRA,LKN HAMTAKI KUJIFUNZA NA NI SABABU YA MIOYO MIGUMU MLIYO NAYO ( Mna macho, hamwoni; mna masikio, hamsikii? Wala hamkumbuki? )MNAPOFUSHWA NA UPOFU WA MAJIVUNO,UFAHARI,KUKOSA UPENDO NK.acheni wakati useme.

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 Před 7 dny

    JEMEDARI UMEPITWA NA WAKATI KWANI CHAMA MWENYEWE ANAFAHAMU KWAMBA UMRI UNAENDA LAKINI ANATAKA KUSTAAFU KWA AMANI NA NDIO MAANA AMESAINI MWAKA MMOJA. KOMBE LA AFRIKA LIKIPATIKANA, IMEISHA HIYO.

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 Před 5 dny

    Kwani wewe kijana?? Unaweweseka! Atatamba Yanga hadi utaona aibu usi kalili maisha.

  • @FabianiNguvumali
    @FabianiNguvumali Před 5 dny

    Amakweli ushabiki mbaya San asiyejuwa nan Kama nyie ndomawakala wachezaji simba

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 Před 5 dny

    Mzeee kam baba yake

  • @hamisishabani4072
    @hamisishabani4072 Před 5 dny

    HUYU JAMAA JEMBE LA DARI LA MTIPA HATA KUJIITA MWANA HABARI HAFAI KABISAAAA!!!!! KAMA ALIWAHI KUTUKANA,NA KUTAMKA: WANAJITIA KIDOLE NA KUNUSA WENYEWE!! KWA KWELI HAFAI!! NA HATA HABARI ATAKAZO WAFIKISHIA UMMA WA TANZANIA,ZITAKUWA NA MASHAKA MAJUBWA SANA!! HAZIFAI NA HAFAI!! MAANA ANAONYESHA ATAANDIKA ANAYOYAPENDA YEYE!! NA WANAYOYAPENDA,ASIO WAPENDA HATA ANDIKA HAKI YAO NA HATO TETEA HAKI YAO KWA SABABU HAWAPENDI TU BASI.MTU HUYU NI HATARI KULIKO MCHAWI.

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 Před 7 dny

    Jemedari wewe ni mashabiki wa Simba, ila ni wewe umekuwa ukimsifia sanaaaaa hata leo kama Chama angebaki ungesifia tu na kusema kwamba Yanga hawana uwezo wa kumsajili Chama

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 7 dny

      Tuwe wakweli yanga wamembeba chama kwakua yanga inamhitaji au nikutaka tu kuwaumiza watani? Hiyo ni political football kama kweli we ni mtu wa mpira shida tz mpira ni kama dini Kua lolote la timu halipaswi kujiuliza Wala kulichanganua

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před 7 dny

      ​@@fahadfaraj6474umeongea kwa uchungu sanaaaaa

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy Před 7 dny

    Hata baba na ,,,,, pia ni wazee utaweza kuishi nao tobo wewe mumechokolewa mkubali tu acheni ujinga na chuki zenu nyoko

  • @user-zv7ef5ke1e
    @user-zv7ef5ke1e Před 7 dny

    Jemedary we kuma tu

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 Před 7 dny

    Ili limakonde lijinga hili acha kutujaza ujinga wako chama alikua mchezaji muhimu sana simba

    • @NkondokayaJoe
      @NkondokayaJoe Před 7 dny

      Si mlikuwa mnasema ni mzee amekuja kwenu amekuwa Lulu ama hakika gongo wazi inachekesha

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před 7 dny

      ​@@NkondokayaJoejichekeniii

  • @asmahozza8468
    @asmahozza8468 Před 7 dny

    You always talking nonsense....kama huna cha kuongea kimya kitawale...cz huwa umnafungwa midomo misimu ukiisha

  • @user-nt3wk2sx5r
    @user-nt3wk2sx5r Před 3 dny

    Nyie ni wachambuzi washabiki wa Simba tunajua chama kabembelezwa sana aongeze mkataba ikashindikana nyie munadanganya watu